Zaidi ya wakulima 100 kutoka Kilifi wakadiria hasara baada ya ndovu kuvamia mashamba yao

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 окт 2024
  • Zaidi ya wakulima 100 wanaotegemea kilimo cha unyunyiziaji maji mimea katika eneo la chakama kule Magarini kaunti ya kilifi wanakadiria hasara kubwa baada ya ndovu na mifugo kuvamia mashamba yao na kusababisha uharibifu.

Комментарии • 1

  • @eriminahmshai
    @eriminahmshai Год назад

    Aki nduvu wana njaa KWS inafaa kuangalia wanyama pori juu wanapata pesa sana kutoka kwa watalii kwani hamtengi pesa yaziada ili mkanunulie nduvu chakula