Mambo yote yawe ya digital Sio kila siku kutangazia watu Mambo hayo yamepitwa na wakati Pia control ticket kuwe kwa digital Kwenyesimu hata mtu akiwa na ticket paper akaguliwe under machine control
Ni vizuri kuonesha maisha harisi ya Watanzania sio waoneshe gorofa moja zuri pale mjini tuh wengi wetu atuishi ktk magorofa don’t be shame kwa hayo mapagare
I hope they keep it clean and working
Hizo nyumba bana
pamoja sana kaka Godlove m
Maisha halisi ya mtanzania unaonyesha kila kitu hata usipoonyesha wanaotaka kufahamu Tanzania wana google na wanapata kila kitu
When is EMU and double decker trains start the operations ?
25th july
@@mduda_i okay baby
Mambo yote yawe ya digital
Sio kila siku kutangazia watu
Mambo hayo yamepitwa na wakati
Pia control ticket kuwe kwa digital
Kwenyesimu hata mtu akiwa na ticket paper akaguliwe under machine control
Ni vizuri kuonesha maisha harisi ya Watanzania sio waoneshe gorofa moja zuri pale mjini tuh wengi wetu atuishi ktk magorofa don’t be shame kwa hayo mapagare
Kwani wewe ukienda nchi za watu wanaongea kiswahili.
Hivi mnaona sifa kuonyesha hayo mapagala vijumba utadhani sio watu wanaishi sio kila kitu kuonyesha akili gani hiyo
Bora tuone wapi panavuja tuparekebishe hamna aibu yoyote ni uhalisia maskini wapo hata ulaya
Wafanyakazi wa SGR waongee kiswahili na kiingereza kwani inawezekana wasafiri wengine hawajui kiswahili
ukiwa kwenye train ya uingereza au ufaransa wanaongea kiswahili?