ALICHOKISEMA KOCHA FADLU DAVIDS BAADA YA USHINDI DHIDI YA DODOMA
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- SUBSCRIBE NOW:
🌐 Site: simbasc.co.tz/
📱 App Store - apps.apple.com...
📱 Play Store - play.google.co...
🔵 Facebook: / simbatanzania
📸 Instagram: / simbasctanzania
𝕏 Twitter: / simbasctanzania
🎶 Tiktok: / simbascofficial
About the Official Simba SC RUclips Channel:
Simba Sports Club is the most successful club in the history of football in East Africa. Enjoy the best goals, highlights, tricks, new players, training's,exclusive interview and live press conference
🔵🔴⚪ #NguvuMoja #Wenyenchi
Kweli ratiba imekuwa ngumu sana kwa Mnyama imageni mech 3 ndani ya wiki moja, Hongera kwa ushindi
Simbaaa NGUVU MOJA! Wewe unayesema Timu yetu imeanza kutepeta, hiyo ni aina ya mchezo, kumbuka SSC inajengwa, robo tatu ya wachezaji wengi ni wapya, hivyo tuliza mshonooo, tunasongea pole pole!
Kikubwa point 3
Mungu awapiganie na awatie nguvu ❤❤❤❤❤❤simba nguvu moja
Kikubwa ushindi huyo mavunde na nyuma mwiko wenzie wametambika sana wakijua hatutashinda natumeshinda kwa uwezo wake yeye alie juu
Guys tuwaombee wachezaji wetu , I swear ..... watu wanapiga vita ili kuwaumiza bila hata kujali hii ndo kazi ya mtu , so plz lets keep God into this , Nawapenda wanasimba wenzangu .... ratiba ngumu but yeah point 3 Muhimu .
Tunashukuru kwa hiki tulichokipata
Simba nguvu moja, kikubwa point 3
Don't worry coach we are happy for scores 3 point.
I like they have travelled to capital city
Wiki moja mechi 3
MUNGU akubariki kocha wetu
ONGERA SANA SIMBA , SIMBA GUVU MOYAAAA!!!!!!!!!!!!!
MUNGU NI MWEMA TUME SHINDA.
Debora akipata mwenza mzuri pale mbele , yy asiwe anafunga anaminyia tu mtu simba itapata magor mengi maana jamaa hakabiki
Huyu jamaa ni mkali aiseee
Thanks coach for your plans 🎉🎉🎉🎉
We really need FEITOTO and mpanzu
FEITOTO wa nini wewe!
Ratiba ilikuwa ngumu mechi zote za kusafiri lakini kikubwa point tatu
Simba nguvu moja
Ubaya ubwela
Mtangazaji
Penati iliyo wapa simba ushindi👇👇👇
ruclips.net/user/shortsfHIXz9rstu4?si=gEd-Jr_2SA-07maj
Ni mda Sasa Waandishi wajifunze English 😅
Hongera Simba.Ratiba ngumu sana.