Harmonize atumia Mamilioni kwenye mavazi yake, Cheni yake ni zaidi ya millio 100.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024
  • #harmonize

Комментарии • 20

  • @nicksonchesco233
    @nicksonchesco233 Год назад +3

    Muongo huyu hawez nunua chain million 100

  • @ManichManich-yj4sl
    @ManichManich-yj4sl Год назад

    ❤❤❤🎉Harmonize ni kiboko

  • @geeasap825
    @geeasap825 10 месяцев назад +2

    Kiatu sikumbuki ni brand gani seriously???😂😂😂

  • @moseskulola6913
    @moseskulola6913 10 месяцев назад

    Kasema ukweli ju ya izo chaiii.zake mwezake Chui kandagaya

  • @saleheabdallah5461
    @saleheabdallah5461 Год назад +4

    Mshamba uyo anajitamba kumiliki Lebel then anawatesa wasanii wake

    • @lundaboytz4912
      @lundaboytz4912 Год назад

      Kawaida tatzo wale watoto wanatamaa dadadeki xaxa yule ni mmakonde katumwa pesa sio King kiba yule wa kusamehe

  • @ImuDabo
    @ImuDabo 10 месяцев назад

    Shamba

  • @OMANOman-qc1lm
    @OMANOman-qc1lm Год назад +2

    Sasa hapo ntaacha kua mshabiki unanza kuleta mambo ya kishamba unakubali vip mtu akuoji maswali ya kishamba kama hayo sisi hatutaki kujua bei ya vitu unavyo vaa fanya mziki mzur basi

    • @magomeximexi9788
      @magomeximexi9788 Год назад

      Jamaa kipndi chake kinahusian n michongo hyo ww ndo ujui kitu

    • @jay-nyeye1900
      @jay-nyeye1900 Год назад

      Sio lazma upende kila kitu

  • @ISSACCECYTIN
    @ISSACCECYTIN 9 месяцев назад

    Haaaaaaaaaaa jamania harmoo wewe mmmmmmmm hahahahhaahah do wachape mdogo wangu wewe wana kuoji wwwe duka? Hahahhahh

  • @giztony2009
    @giztony2009 Год назад +2

    Ujue anataka kuonekana yupo sawa na Mond ww elewa hiyo hela hana ndo maana ameshindwa kumeneji wasanii coz angekuwa na hela management isingekuwa tatizo kwake!

    • @lundaboytz4912
      @lundaboytz4912 Год назад

      Kama anamiliki Range kibao ashindwe vp vitu vya kisenge kama ivyo bhana We Giztony2009 niaje wewe?

    • @giztony2009
      @giztony2009 Год назад

      Ujue hapa tunachambua tuu hoja alipoulizwa yy mwenyewe iweje anawanyang'anya magari wasanii wake wakiondoka! Mfano Country boy, Angela, Killy na yule mwenzake yy mwenyewe alisema yale magari yalinunuliwa na jembe pamoja na chopa tena kwa kuwabembeleza? Je kwa nn kampuni ya konde gang ambako yy ni CEO y magari hayakununuliwa na kampuni hiyo? Jibu ni simple kampuni haina hela! Pia kwa mujibu wa wasani yy ndo alifukuza baada ya kuona hawaingizi hela? Swali iweje alikurupuka kuchukua wasani wakati hakuwa na mpango nao?? Yani yy ishu yke afanane na mondi mwisho wa cku wasani wanasanda? Juzi tuu mpiga picha wake anaitwa Sam cha upole ameacha kazi kisa hajalipwa mishahara yake miezi kibao huyo mmakonde hana hela

    • @Mtu_001
      @Mtu_001 Год назад

      Cheed alixema magari yote pale yalikuwa ya kampuni yote cyo ya jembe na choppa mpiga picha anaitw jabulant aliyeondoka, kweny biashara ume invest pesa unapata hasara bado unataka uendelee na hiyoo biashara itakuw hauna akili lazm uache kuepuk hasar ndo alichofany yeye kwamb hawaingizi faid kaamua kuwaacha

    • @svt3
      @svt3 Год назад

      ​@@lundaboytz4912kwani Range za S A ni sailings ngapi? Mbona kuna Toyota zinazidi izo Range za SA, bei Aliye na Range ya Gharama ni ZAMARADI

  • @ibrahimameir8063
    @ibrahimameir8063 Год назад +2

    UNAHISI KATUINESHA NINI SASA KATIKA HIKO KIPINDI CHAKO ? 😢😢 NAONA KILA KITU ANASEMA HAKUMBUKI BEI SO WHAT’s YOUR POINT TO POST THIS F**** VIDEO BRO ? 😅

  • @Aleckieofficial254
    @Aleckieofficial254 Год назад +1

    Uongo ni mbaya uwezi sahau kitu umenunua mwenyewe ungeendelea tu kudanganya vile umefanya kwa vingine 😂😂😂😂