Kalianza vizuri kakatukana wakubwa kakapata laana😂 actualy nilikuw shabik yako sana bt kwa kumdisrespect King of hip hop bongo D Vina nmekushusha huna nidham ya kazi..
True say mzee..wasanii wengi wanaanguka hapo..staying humble na kujua kudeal na walimwengu ni nyenzo muhimu kusonga mbele,sasa bwanamdogo rapcha yupo kama chipukizi flan hvi🤓🤓🤓🤓🤓🤓
🤓🤓🤓uko sawa mzee alivomtaja tu bibi nikapause kwanza interview yenyew akawa kashanitoa mchezoni ndo nikaanza kupitia komenti,uko smart san we jamaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huyo hana maajabu arudi ty kwa dizasta apewe somo la rap na hii ikawe funzo kwa wengine na kwenu py media kuwa dizasta vina a.k.a black maradona ndiye king wa rap na kuwrite mashair kwa ustadi wa kipekee,so acheni kumbania na kuwapromote wasiojua kurap kisa amewaagiza or kusfia visivyofaa kijamii
😂😂familia wamekuchanganya....ukisoma hiyo habar ilivyoandikwa unaweza kusema km dogo ndo amesema...kumbe mwisho kuna alama ya kuuliza means yeye ndo kaulizwa
Rapcha Yuko Smart Sana Watu Wampe Sikio Tu Ni Artist Mzuri By The Way 🙌🙌🙌🙌🙌
Huyu jamaa angekuwa mtangazaji angeuwa sana icon voice tone ni wachache sana wenye vocal la nyau
Huyu jamaa akimaliza usanii awe mtangazaji wa redio vocal kali sana
Huyo Dizasta Kuna watu wamemfahamu sababu ya hiyo Diss tu
Alikosea kushindana nguvu na Dizasta. Look where he put him, down to his levels.
Blaza anajielewa, speaking facts
Nakubali mwanangu all good
Japo kuwa hawapatana dis vina lkn rapcha pia nakubali na very humble
Noma sana #tellaaxistz
natamani ningepewa nafasi ya kunisikiliza japo wimbo wangu mmoja 🤲🙏
Fact ..nakubali
Asikate tamaa, aachane na bifu za kishamba
Rapcha ulistahili tuzo bro Tma ya rapa bora
dizasta vina kashaua Hii Mende Kwa Bunduki😂😂 hatumsikii
Huyo Dizasta unamsikia???
Wew ndo humsikii@@mrfashion1687
@@mrfashion1687we unataka umsikie wap?
@mrfashion1687 simsikiii
@@SAIDNICO-p3o mtoto wa 99 huyo amefua amekuja kumwaga povu😄
Very smart
Ata uchane vip paleeeeeee coz ulkuwa umepaaa but ukaharb kumdis dizasta vina yule ni baba yako ( respect school is free)
Kalianza vizuri kakatukana wakubwa kakapata laana😂 actualy nilikuw shabik yako sana bt kwa kumdisrespect King of hip hop bongo D Vina nmekushusha huna nidham ya kazi..
That's hip-hop brother
True say mzee..wasanii wengi wanaanguka hapo..staying humble na kujua kudeal na walimwengu ni nyenzo muhimu kusonga mbele,sasa bwanamdogo rapcha yupo kama chipukizi flan hvi🤓🤓🤓🤓🤓🤓
Angalaukanenepa
Yah,true ni kama amestuck sehemu hivi
"Aaah men shave dred you whack l, yo not pretty" 😂😂😂 endeleeni kutupiana Diss na Dizasta namiss yale mapunch lines.
USIWAZE ONE DAY YES MWAMBA ✍🏾✍🏾✍🏾✍🏾✍🏾✍🏾
WAMBIE TUNA WACHORA TUU WE MKALII BHANA
Uyu jamaa nankubali saana❤️✊
...NINJAA wanae muogopa tuna RUKA nae
"Leo gangster kesho bishoo haueleweki" naona ulifanyia kazi maelekezo ya kaka yako
🔥🔥🔥
Kumbe Rapcha Ana Mbess 😂😂
Last king of 99 🔥
Ulitaka kuaribu interview uliopo anza kumtaja Bb samia😀😀
🤓🤓🤓uko sawa mzee alivomtaja tu bibi nikapause kwanza interview yenyew akawa kashanitoa mchezoni ndo nikaanza kupitia komenti,uko smart san we jamaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Upo Vizur we Muhuni
Hivi kwanini hizi mama mama kila sehemu?? Aiseeee
Tatizo nursery bars
First ❤
Enjoy Enjoy😂😂😂
Kaombee msamaha kwa dizasta
Aligusa busha wazee 😂😂😂
😂😂😂😂😂
Kawa mbaya apunguze minywele iyo
Ww demu wake?
Uyo dizasta wenu mbona hawi mkubw yeye kama rahis
Iv Dizasta vina atakuwepo?
Mimi namkubali Vina ila jamaa alisaidia kumleta Vina mahali pazuri kupitia diss
Cosmass😂🙌
BONGO NYOSO
Rapcha kubali tuu umeshuka
Hujui mziki
Rap Cha unajua kuchana kisasa pia una content
Na ustaa wote unaitwa cosmas
😂
Hajui cross multiplication ni BODMAS
Kwaiyo ulitaka aitwe dainel
Upuuz tyu
@@danielkenedy4357 😄😄 ameshatoa virasta bwana cosmas
Huyo hana maajabu arudi ty kwa dizasta apewe somo la rap na hii ikawe funzo kwa wengine na kwenu py media kuwa dizasta vina a.k.a black maradona ndiye king wa rap na kuwrite mashair kwa ustadi wa kipekee,so acheni kumbania na kuwapromote wasiojua kurap kisa amewaagiza or kusfia visivyofaa kijamii
...sio king wa rap . Pengine king wa rhymes
Ange nyoa ata izo nyele , zina Leta ifact cariere yake
Msanii kachoka minywele tu😅
Rapcha mkalii sanaa ndoman Mpk now anatuz uyo dizasta akauz tembele vikindu huko
Wenzio wanafuga kuku eapate hela weunafuga nywere? Nahela huna. Ebunyoa hizo nywere kaimbe Gospel utatoboa
anafuga sababu ana kichwa kidogo
@@Kingshamszhahahaha
wew inakuuma nin km anafuga nywele ? fuga na wew
Majibu smart yanayoeleweka@@aboudijaaboudija
Majibu smart yanayoeleweka@@aboudijaaboudija
mbona kilicho andikwa sio alicho ongea
😂😂familia wamekuchanganya....ukisoma hiyo habar ilivyoandikwa unaweza kusema km dogo ndo amesema...kumbe mwisho kuna alama ya kuuliza means yeye ndo kaulizwa