MH WAZIRI NA DC WAKIIMBA ANAYO ALAMA NA SHARIF KOBA NYUMBANI KWAMH ULEGA DSM

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 фев 2025
  • Follow Us On:
    INSTAGRAM: / miladu_tv
    FACEBOOK: / babdeo miladu/
    TIKTOK: www.tiktok.com...
    RUclips: / @babdeomiladu

Комментарии • 11

  • @Zulfa-sc4bu
    @Zulfa-sc4bu 7 месяцев назад

    MaashaAllah, Tukopa1 tukimswifu Mtume Muhammad SAW,Nifikishie salamu kwa Alhaj naomba Dua zake Mimi naumwa na Mtoto wangu anataka kwenda University lakin Mambo yake yake hayendi vizuri Husda zimetuzunguka,Maadui wanatupiga vita Mtoto ili Asisomeshwe na Babaake na babaake anaendeshwa na Mwanamke na Ndugu zake wakike na wakiume na Babaake wa Mambo, Alhaji naomba Dua zao wote walioenda Hijja mwaka huu, Afwan

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid1171 7 месяцев назад

    Saaafi 👍👍👌

  • @ashachitemo7816
    @ashachitemo7816 7 месяцев назад

    Hayo ni mafuta ya Upako ya Mwamposa!! mambo kama hayo ndiyo yanayoleta matatizo na kuonekana jambo la maulidi ni bidaa😢

    • @nurdinmfamau3493
      @nurdinmfamau3493 7 месяцев назад

      Mmekuwa Kama Nzi Kujitokeza Kwenye Uchafu Navidonda Badala Yakuwa Nyuki Kutoa Asali Inayowafaa Nakuwasaidia Binadamu.

    • @ashachitemo7816
      @ashachitemo7816 7 месяцев назад

      @@nurdinmfamau3493 Hata asali unayokula na kujiona tamu inatokana na mavi anayokunya nyuki.

    • @nurdinmfamau3493
      @nurdinmfamau3493 7 месяцев назад

      @@ashachitemo7816 Sawa Na Nzi Kwenye Uchafu.

    • @nurdinmfamau3493
      @nurdinmfamau3493 7 месяцев назад

      @@ashachitemo7816 Bimaana Unatakiwa Unatakiwa Hata Uugeuze Uwe Nimsaada.

    • @AdamRajab-xd3zg
      @AdamRajab-xd3zg 7 месяцев назад

      We ndio tatizo

  • @UmmuJauzan
    @UmmuJauzan 7 месяцев назад

    Yani watu mnagombani mafuta watu wa bidaa bwana

    • @nurdinmfamau3493
      @nurdinmfamau3493 7 месяцев назад

      Sasa Ulitaka Wagombanie Mavi. Hasadi Imewajaa. Watu Wakitengeneza Furaha Nyie Mwachukia. Anasifiwa Nakutajwa Mtume Nyie Mwaumbia Turushie Jina La Babu Yako Basi Tuwe Tunalitajataja.

  • @UmmuJauzan
    @UmmuJauzan 7 месяцев назад

    Njaa mbaya