Jamani mimi nimeona eri tu chama kwenda yanga. Kwanza tunamshukuru sana kwa muda wote yeye kuwa kwetu simba. Kwa kifupi tumwache aende. Ilifikia muda mfurani chama alikuwa afanyi vyema simba na kuwa upande wa yanga. Kwa hiyo sawa tu. Mbona tutapata wachezaji bora Mbele ya Boss Kubwa Mo na Mgunda.
Bigup sana wananchi naipenda yanga😂😂😂😂😂😂😂😂. Maduduka😢😢😢😢😢😢😢
Asanteni sana kwa kumsajili chama
sanatu mwaka huu lazima Simba watasema tu by smart boy
Jamani mimi nimeona eri tu chama kwenda yanga. Kwanza tunamshukuru sana kwa muda wote yeye kuwa kwetu simba. Kwa kifupi tumwache aende. Ilifikia muda mfurani chama alikuwa afanyi vyema simba na kuwa upande wa yanga. Kwa hiyo sawa tu. Mbona tutapata wachezaji bora Mbele ya Boss Kubwa Mo na Mgunda.
Kama nawaona Simba msimu ujao mnatuongopa