Part 21b_DALILI 14 ZA FAMILIA/MTU ALIYEFUNGWA NA MAAGANO YA LAANA|USHUHUDA WA MCH.AMIEL KATEKELLA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 май 2023
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
    M-pesa Lipa Namba.5634017
    AirtelMoney Lipa No.3878783
    Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
    Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
    PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
    1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
    2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
    #ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV

Комментарии • 94

  • @maryojiema4591
    @maryojiema4591 Год назад +8

    Buana yesu apewe sifa mchungaji Mimi Niko Kenya nimekutana na ushuhuda wako sasa nimefutilia miezi mbili nimekua nikiomba kulingana navile unatufunza, kuanzia nianze kusikiza hushuhuda zako nimeamua kusimama Kwa yesu, Kwa ufupi nakuomba ukiona hi ujumbe wangu uniwieradhi unipee nafasi tuongee ili niweze kukusimulia hadithi ya familia ninayotoka, uniweke Mimi na familiar yangu Kwa maombi, familiar yangu Kwa maombi, yakufunguliwa, imagine mungu amemulinda mamangu Hadi sai ako na 86 years na Hana kiwanja ata nyumba iyo kitu inanisononesha moyoni kilasiku, na imagine tumezaliwa kumi na watatu ingwa wengine washa pumzika na kilamtu Amalia shida akuna awezae kusadia mwengine na masomo inaishiga njiani wenye wamefika kidato cha one akunakazi, ata sai wangu wawili moja aliachia darasa la tano akatoka mwengine akifika kidato cha tatu akatoroka sasaivi Niko namwenye ako kidato cha ine lakini afanyi vizuri na imagine amekua mwerevu akiwa primary ata ndio akifanya vizuri akaitwa kwenye anasomea naomba umuwdke Kwa maombi tafadhali mchungaji, na Mimi pia nakuombea mungu azidi kukutumia ili mungu yesu atufungue watu. wengi pamoja nawewe turned mbinguni AMEN 🙏

    • @gosbertmuta5421
      @gosbertmuta5421 Год назад +1

      Nimejikuta nalia ase lkn yote hayo amesema jaribu halikuwapata ispokua kawaida bali yeye Mungu atafanya na mlango wa kutokea

    • @floramongi1410
      @floramongi1410 Год назад +1

      Bwana atakutetea Kwa kwake funga hata siku tatu Yuko mtu anatumia nyota zenu funga ndugu yangu ufunguliwe mengine hayawezekani mpaka kufunga na kuomba.

    • @stephanomaduhu5426
      @stephanomaduhu5426 Год назад

      Pole Sana mtumishi

    • @francisshekifu8020
      @francisshekifu8020 5 месяцев назад

      Mawasliano yako ni yapi!

  • @suzanakiwele1832
    @suzanakiwele1832 9 месяцев назад +2

    ASANTE SANA YESU KWA AJILI YA MTUMISHI WAKO,NIMEFUNGILIWA SAA HII,

  • @happinessmwenda2773
    @happinessmwenda2773 Год назад +5

    YAANI MTUMISHI MAFUNDISHO YAKO KAMA YA MTUMISHI WETU MAHANAHIMU CHURCH.UBARIKIWE SIJAPOTEA❤❤❤

  • @stephanomakoye6936
    @stephanomakoye6936 Год назад +5

    A blessed pastor,, you are a gift from heaven,, you designed to preach the secret of darkness kingdom,, don't dispise your way of teaching

  • @daudigabriel9860
    @daudigabriel9860 7 месяцев назад +2

    Amina mtumishi wa Mungu unaeleweka vzr

  • @mabulapaul
    @mabulapaul Год назад +2

    Ahsante promover TV kwa kuletwa na MUNGU MBARIKIWE ninashukuru sana mtumishi wa BWANA kwa huduma hii

  • @owenomwanawayesu6961
    @owenomwanawayesu6961 Год назад +3

    Mchungaji wa kweli kabisa.YESU ni BWANA.

  • @anneokari3184
    @anneokari3184 Год назад +3

    Amen.maagano yote kwa maisha yangu yamevunjika kwa jina la Yesu...

  • @marthaumazi2197
    @marthaumazi2197 Год назад +4

    Ni mambo ya kweli kabisa Mungu atusaidie sana .

  • @JaneKuyokwa
    @JaneKuyokwa 10 месяцев назад +1

    Mungu akulinde Tena natena amieli katekela Asante kwakutu fungua macho yakilo Toka malawi

  • @jerusalemsuccess4562
    @jerusalemsuccess4562 Год назад +1

    Nimemtukuza Mungu, kwamba utakuja kutueleza zile sura ya kitabu Cha kichawi. Asante Kristo Yesu kumuelekeza mtumishi wako Katekela aeleze yote kama ulivyo muagiza. Barikiweni sana

  • @Priska247
    @Priska247 Год назад +2

    Amena Mutumishi wa Mungu tumepokeya zaidi na zaidi, ubarikiwe na team yote.

  • @auntyjossycounsels
    @auntyjossycounsels Год назад +4

    Mchungaji, you bless my life. Shukran sana from Kenya

  • @victorianchimbi8640
    @victorianchimbi8640 4 месяца назад +1

    Glory to God kwa upendo wake sisi wanadamu

  • @user-nu9ww9ly6q
    @user-nu9ww9ly6q Год назад +2

    Amen Amen Mungu akubariki sana mtumishi wa Bwana Asante sana kwa mafundisho mazuri

  • @DoreenMwakibinga
    @DoreenMwakibinga 7 месяцев назад +1

    Asante yesu

  • @silyvianekesa4689
    @silyvianekesa4689 Год назад +3

    Thank u so much mchungaji kutufunza maisha ya hii duniani

  • @emelivaly1720
    @emelivaly1720 Год назад +2

    Ubarikiwe muchungaji am waching from oman be blessed katekera

  • @user-hp3zx5lu5b
    @user-hp3zx5lu5b 5 месяцев назад

    Amen mtumishi wa MUNGU naimani kila kitu changu kimerudi🙏🙏

  • @rachaelmuema2052
    @rachaelmuema2052 Год назад +3

    Ubarikiwe mtumish, watching from kenya.

  • @letisiabudabya4030
    @letisiabudabya4030 Год назад +2

    Ni kwel kabisa mchungaji watu wengi wametoka makanisan Kwa maneno ya uongo kisa ndoto

  • @gracemutono5023
    @gracemutono5023 Год назад +2

    Amen Asante pastor mafudisho masuri nabarikiwa sana

  • @estheraruba1828
    @estheraruba1828 Год назад +2

    Mtumishi Amiel mungu akuinue daima

  • @annjohn194
    @annjohn194 9 месяцев назад +1

    Ameen nimefunguliwa kwa damu ya yesu kristo

  • @neemataris3273
    @neemataris3273 7 дней назад

    Bikira Maria ni mtakatifu na alikibeba kitakatifu amcaye ni Yesu mwokozi ndo maana wakatoliki wanamtumia kama mwombezi tu hawamwabudu kamwe ila tunamtumia kutuombea kwa sababu yeye ni chanzo cha kumleta mwokozi na kuna wanaomwomba awaombee na wanapata majibu.

  • @neemataris3273
    @neemataris3273 7 дней назад

    Hakuna mkatoliki anamwamini bikira Maria ila ni mwombezi tu, Yesu ni kila kitu kwa wakatoliki ndo maana pasaka inakuwaga hot sana kwa wakatoliki so usichanfanye

  • @AzAz-sy6zp
    @AzAz-sy6zp 10 месяцев назад

    Ubarikiwe san mtumishi kwa maombi ya kuniombea kukombollewa

  • @lucylyale7169
    @lucylyale7169 11 месяцев назад

    Ujumbe wako unatuponya mch ubarikiwe sana karbu pia mkoa wa Simiyu ili nasi tuokolewe🙏

  • @gosbertmuta5421
    @gosbertmuta5421 Год назад +1

    NAMBA6 NA7 NACHOMOKA KWA DAMU YA YESUKRISTO NA NENO LA USHUHUDA WANGU
    KATEKELA KATEKELA UMEJUA KUNIWEKA WAZI NIKO HURU SASA NAKUSHUKURU SANA SANA NAKUITA CHUMA, LKN PIA KWA ALIYEKUELEWA KAMA MIMI HAWEZ KUMCHUKIA MUISLAM TENA LABDA KUWAOMBEA WAKAKUTANA NA NENO AMBAYE NI KRISTO

  • @salvinahassan8778
    @salvinahassan8778 Год назад

    Kwani mtumishi, Roho ya Moses Kulola hii juu Yako, Kuna mda nasikia unazungumza kama yeye, harafu inakuwa na nguvu zaidi

  • @gilbertndayishimiye7808
    @gilbertndayishimiye7808 Год назад +1

    Amen ubarikiwe Mtumishi, watching from Belgium

  • @kwagalarebecca9858
    @kwagalarebecca9858 Год назад +2

    Amen thanks for this eye opening

  • @gosbertmuta5421
    @gosbertmuta5421 Год назад +2

    ila huyu mjamaa🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️tupate wapi tena mtu km huyu????
    Manabii wa mchongo km nawaona wanavohaha kummaliza maana anazd kutufungua akili ase mm binafsi ni muhanga

  • @liesharehema5193
    @liesharehema5193 Год назад +1

    Amina mtumishi WA MUNGU

  • @gladnesssomi6663
    @gladnesssomi6663 8 месяцев назад +1

    Amen Mungu tusaidie

  • @Reginajohnson19884
    @Reginajohnson19884 11 месяцев назад

    Yani na mie nipo humo kabla sijakoka, but tangu niokoke Namshukuru Mungu

  • @zadockmunala8778
    @zadockmunala8778 Месяц назад

    MCH. Katekela nashukuru kwa mafundiisho mazuri sana lakini unapata wachungaji wengi sana hawana neema hii ,hawajui mambo haya.....so ombi langu ni kwamba unisaidie niweze kuvunja haya madhabahu ya familia...sijui kama yawezekana kama niko Nairobi wewe uko Tanzania?

  • @juliuskalama2746
    @juliuskalama2746 Год назад +1

    Basi tufundishe kujitoa katika hizo laana ili tuwe salama mchungaji

  • @upendomhagama3236
    @upendomhagama3236 19 дней назад

    Mungu akubariki kwa mafundisho mazuri mimi yamenigusa me nifanye nini ili watotongu wangu wakombolewe?watoto Watano hawana ajira na wamesoma mpaka chuo kikuu kila wakiomba hawafanikiwi sijui ni maagano ya kwa mume wangu au be mimi mama ?

  • @fabricenindagiye1143
    @fabricenindagiye1143 8 месяцев назад

    Warundi tunakufuata 5/5. Ubarikiwe sana mchungaji

  • @HappyLubida-zm6tf
    @HappyLubida-zm6tf 7 месяцев назад +1

    MUNGU akubariki sana

  • @GraceRichard-fn3yk
    @GraceRichard-fn3yk 4 месяца назад +1

    napenda caana kumsikiliza amieli katekela, maana napata mafundisho mazuri

  • @Mjakazisafi8361
    @Mjakazisafi8361 Год назад +1

    Amen Amen 🙏 🙌 ni kweli kabisaa yale umesema

  • @janethmwihumbo1289
    @janethmwihumbo1289 Год назад

    Kila maagano na laana zinazo fatilia zimeshindwa kwa jina la Yesu

  • @user-nu5cx4ij3p
    @user-nu5cx4ij3p Год назад +1

    MUNGU atusaidie na familia zetu zipone

  • @jescaapolinary4858
    @jescaapolinary4858 Год назад +1

    Mungu azidi kukutumia

  • @amandaangie4806
    @amandaangie4806 Год назад +1

    Amen 🙏 MUNGU Akutunze

  • @letisiabudabya4030
    @letisiabudabya4030 Год назад +1

    Amen mtumishi

  • @FelixTangu
    @FelixTangu 9 месяцев назад +1

    Amen sana

  • @paulinakiswaga7505
    @paulinakiswaga7505 Год назад

    Sahihi kabisa mchungaji

  • @akothchristine4752
    @akothchristine4752 Год назад +3

    Amen 🙏🙏🙏 glory glory glory hallelujah

  • @user-tx2lu2ps9b
    @user-tx2lu2ps9b 8 месяцев назад

    Mimi mtumishi nasingiziwa uchawi na ndugu wa mume leo nimejua

  • @lydiamakenge5613
    @lydiamakenge5613 Год назад +1

    Ameen

  • @jameskotte-endtimegospel
    @jameskotte-endtimegospel 6 месяцев назад

    Kweli kabisa

  • @ProsperBinmedad
    @ProsperBinmedad Год назад +1

    Amen

  • @isabilaisabila8722
    @isabilaisabila8722 Год назад

    Ameeeen Ameeeen Ameeeen

  • @rizikingena1149
    @rizikingena1149 Год назад

    Amen 🙏

  • @joannekesa1835
    @joannekesa1835 Год назад

    Amen 🙏🙏🇰🇪

  • @RoselineNyachwaya
    @RoselineNyachwaya Месяц назад

    Mbona mtumishi unanisema mm haya mambo yote?? Naomba nikutane na wewe nisiwe next victim

  • @queenriziki5126
    @queenriziki5126 10 месяцев назад

    🙏🙏

  • @jackie4health
    @jackie4health 3 месяца назад

    Ukiwa wafu hawapumziki basi utaelezaje Muhibiri tisa?

  • @Reginajohnson19884
    @Reginajohnson19884 11 месяцев назад

    Nilishavishwa mie

  • @lifeinmiddleeast8179
    @lifeinmiddleeast8179 Год назад

    😢😢mi huota nawangiwa

  • @AgnesKalinga-if3uf
    @AgnesKalinga-if3uf Год назад

    Mafundisho haya ni kioo kwangu najiona wapi nipo ila tufundishe namna ya kujinasua

  • @thomasmmoka4884
    @thomasmmoka4884 Год назад

    Sakramenti ya Ubatizo,Ekaristi na Kipaimara huondoa Laana za dhambi.Sakramenti ya Ekaristi ni Damu na Mwili wa Yesu Kristo.

  • @dorcaswawira6096
    @dorcaswawira6096 11 месяцев назад

    Natumia aje sadaka yangu kupitia m-pesa nikiwa Kenya?

  • @floramongi1410
    @floramongi1410 Год назад

    Kwani unachotaka ni sauti ya moses au kupona?

  • @carolinederi5690
    @carolinederi5690 Год назад +2

    😢 Waombezi wengi wamechkua sadaka za family wakidai wanavunja madhabahu na hakuna mabadliko yoyote tunayo ipata

    • @gosbertmuta5421
      @gosbertmuta5421 Год назад

      Poleni sana Mungu awatetee

    • @kihilamasuke6976
      @kihilamasuke6976 Год назад

      Mmepigwa pole sana

    • @gosbertmuta5421
      @gosbertmuta5421 Год назад

      @@kihilamasuke6976 unakutana na mtu anakwambia leta nywele za utosn na kucha naww kwaakili zako unapeleka😅😅😅😅😅😅😅Mungu atusaidie sana

    • @carolinederi5690
      @carolinederi5690 Год назад

      ​@@gosbertmuta5421 Kule kwetu ni vikundi vya kina mama waombezi wanaomba alafu wanasema roho amewaonyesha tutoe sadaka ya kuvunja madhabahu
      Baada mwezi wakija wengine kuomba pia wanaonyweshwa tutoe sadaka ya kuvunja madhabahu I say wajiuliza kwan madhabahu zavunjwa mara ngapi 😊

    • @rerisamba
      @rerisamba Год назад

      Caroline Deri waa sasa umeshajua njia shukru Mungu

  • @jackswat
    @jackswat 6 месяцев назад

    Lakini hapo mchungaji sijakuelewa unapozungumzia dini manabii na mitume wengine kuwa nao ni wa Mungu. Mf. Uislamu, ukatoliki nk. Sidhani kama ni sahihi kwasababu kiimani tunaona maandiko yanatuasa kutokuwa shirika nao, sasa sijui kama sijakuelewa vizuri lakini nimeona kama unawazungumzia vyema. Na la pili ni pale umesema kwamba Yesu ni nabii/mtume mkuu - nadhani Yesu si mtume ila wanafunzi wake ndiyo mitume YESU NI MWANA WA MUNGU!!

  • @AzAz-sy6zp
    @AzAz-sy6zp Год назад

    Sasa nifanye nn mpaka vinitoke hivi mtumishi

  • @yvonnewitandaye1873
    @yvonnewitandaye1873 Год назад

    Sasa una wambiya wamuombeye Muhammed iweje ?asamehewe aene mbinguni

  • @mercykariithi7919
    @mercykariithi7919 Год назад

    Ndio mafundisho yako ni mazuri lakini Wacha kabisa kuongea lugha za kishetani siulishatoka huko??hizo lugha Zina bore sana

  • @estherwanjiku9278
    @estherwanjiku9278 Год назад

    Naweza pata number ya huyu mchungaji?

    • @neemamatiko3745
      @neemamatiko3745 Год назад

      Tafuta no za promova tv ndio akuunganishe nae

  • @AgnesKalinga-if3uf
    @AgnesKalinga-if3uf Год назад

    Mchungaji, kilingeni ndo nini sielewi

    • @joyprecious8822
      @joyprecious8822 Год назад

      Kilinge/kilingeni ni chumba cha waganga wa Jadi/wachawi wanahifadhi tunguli zao na pia katika kilinge ndio wanatibia wanaotafuta usaidizi kwao, Chumba maalum cha waganga.Shrine in English

    • @floramongi1410
      @floramongi1410 Год назад

      Mchungaji katekela Mungu akubariki sana sana.

  • @kersirukangika2440
    @kersirukangika2440 Год назад

    Una ongeya vitu gani una Washauri wa Islam waendeleye kumu ombeya Muhammad;mbona una wadanganya hatuwezi kuombeya mutu ariye Kufa asamehewe.

  • @salvinahassan8778
    @salvinahassan8778 Год назад

    Kwani mtumishi, Roho ya Moses Kulola hii juu Yako, Kuna mda nasikia unazungumza kama yeye, harafu inakuwa na nguvu zaidi

  • @salvinahassan8778
    @salvinahassan8778 Год назад

    Kwani mtumishi, Roho ya Moses Kulola hii juu Yako, Kuna mda nasikia unazungumza kama yeye, harafu inakuwa na nguvu zaidi