Part 21b_DALILI 14 ZA FAMILIA/MTU ALIYEFUNGWA NA MAAGANO YA LAANA|USHUHUDA WA MCH.AMIEL KATEKELLA
HTML-код
- Опубликовано: 23 май 2023
- JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.3878783
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV
Buana yesu apewe sifa mchungaji Mimi Niko Kenya nimekutana na ushuhuda wako sasa nimefutilia miezi mbili nimekua nikiomba kulingana navile unatufunza, kuanzia nianze kusikiza hushuhuda zako nimeamua kusimama Kwa yesu, Kwa ufupi nakuomba ukiona hi ujumbe wangu uniwieradhi unipee nafasi tuongee ili niweze kukusimulia hadithi ya familia ninayotoka, uniweke Mimi na familiar yangu Kwa maombi, familiar yangu Kwa maombi, yakufunguliwa, imagine mungu amemulinda mamangu Hadi sai ako na 86 years na Hana kiwanja ata nyumba iyo kitu inanisononesha moyoni kilasiku, na imagine tumezaliwa kumi na watatu ingwa wengine washa pumzika na kilamtu Amalia shida akuna awezae kusadia mwengine na masomo inaishiga njiani wenye wamefika kidato cha one akunakazi, ata sai wangu wawili moja aliachia darasa la tano akatoka mwengine akifika kidato cha tatu akatoroka sasaivi Niko namwenye ako kidato cha ine lakini afanyi vizuri na imagine amekua mwerevu akiwa primary ata ndio akifanya vizuri akaitwa kwenye anasomea naomba umuwdke Kwa maombi tafadhali mchungaji, na Mimi pia nakuombea mungu azidi kukutumia ili mungu yesu atufungue watu. wengi pamoja nawewe turned mbinguni AMEN 🙏
Nimejikuta nalia ase lkn yote hayo amesema jaribu halikuwapata ispokua kawaida bali yeye Mungu atafanya na mlango wa kutokea
Bwana atakutetea Kwa kwake funga hata siku tatu Yuko mtu anatumia nyota zenu funga ndugu yangu ufunguliwe mengine hayawezekani mpaka kufunga na kuomba.
Pole Sana mtumishi
Mawasliano yako ni yapi!
ASANTE SANA YESU KWA AJILI YA MTUMISHI WAKO,NIMEFUNGILIWA SAA HII,
YAANI MTUMISHI MAFUNDISHO YAKO KAMA YA MTUMISHI WETU MAHANAHIMU CHURCH.UBARIKIWE SIJAPOTEA❤❤❤
A blessed pastor,, you are a gift from heaven,, you designed to preach the secret of darkness kingdom,, don't dispise your way of teaching
Amina mtumishi wa Mungu unaeleweka vzr
Ahsante promover TV kwa kuletwa na MUNGU MBARIKIWE ninashukuru sana mtumishi wa BWANA kwa huduma hii
Mchungaji wa kweli kabisa.YESU ni BWANA.
Amen.maagano yote kwa maisha yangu yamevunjika kwa jina la Yesu...
Ni mambo ya kweli kabisa Mungu atusaidie sana .
Mungu akulinde Tena natena amieli katekela Asante kwakutu fungua macho yakilo Toka malawi
Nimemtukuza Mungu, kwamba utakuja kutueleza zile sura ya kitabu Cha kichawi. Asante Kristo Yesu kumuelekeza mtumishi wako Katekela aeleze yote kama ulivyo muagiza. Barikiweni sana
Amena Mutumishi wa Mungu tumepokeya zaidi na zaidi, ubarikiwe na team yote.
Mchungaji, you bless my life. Shukran sana from Kenya
Glory to God kwa upendo wake sisi wanadamu
Amen Amen Mungu akubariki sana mtumishi wa Bwana Asante sana kwa mafundisho mazuri
Asante yesu
Thank u so much mchungaji kutufunza maisha ya hii duniani
Ubarikiwe muchungaji am waching from oman be blessed katekera
Amen mtumishi wa MUNGU naimani kila kitu changu kimerudi🙏🙏
Ubarikiwe mtumish, watching from kenya.
Ni kwel kabisa mchungaji watu wengi wametoka makanisan Kwa maneno ya uongo kisa ndoto
Amen Asante pastor mafudisho masuri nabarikiwa sana
Mtumishi Amiel mungu akuinue daima
Ameen nimefunguliwa kwa damu ya yesu kristo
Bikira Maria ni mtakatifu na alikibeba kitakatifu amcaye ni Yesu mwokozi ndo maana wakatoliki wanamtumia kama mwombezi tu hawamwabudu kamwe ila tunamtumia kutuombea kwa sababu yeye ni chanzo cha kumleta mwokozi na kuna wanaomwomba awaombee na wanapata majibu.
Hakuna mkatoliki anamwamini bikira Maria ila ni mwombezi tu, Yesu ni kila kitu kwa wakatoliki ndo maana pasaka inakuwaga hot sana kwa wakatoliki so usichanfanye
Ubarikiwe san mtumishi kwa maombi ya kuniombea kukombollewa
Ujumbe wako unatuponya mch ubarikiwe sana karbu pia mkoa wa Simiyu ili nasi tuokolewe🙏
NAMBA6 NA7 NACHOMOKA KWA DAMU YA YESUKRISTO NA NENO LA USHUHUDA WANGU
KATEKELA KATEKELA UMEJUA KUNIWEKA WAZI NIKO HURU SASA NAKUSHUKURU SANA SANA NAKUITA CHUMA, LKN PIA KWA ALIYEKUELEWA KAMA MIMI HAWEZ KUMCHUKIA MUISLAM TENA LABDA KUWAOMBEA WAKAKUTANA NA NENO AMBAYE NI KRISTO
Kwani mtumishi, Roho ya Moses Kulola hii juu Yako, Kuna mda nasikia unazungumza kama yeye, harafu inakuwa na nguvu zaidi
Amen ubarikiwe Mtumishi, watching from Belgium
Amen thanks for this eye opening
ila huyu mjamaa🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️tupate wapi tena mtu km huyu????
Manabii wa mchongo km nawaona wanavohaha kummaliza maana anazd kutufungua akili ase mm binafsi ni muhanga
Napokea kufunguliwa
@@lydiamakenge5613 amen
Amina mtumishi WA MUNGU
Amen Mungu tusaidie
Yani na mie nipo humo kabla sijakoka, but tangu niokoke Namshukuru Mungu
MCH. Katekela nashukuru kwa mafundiisho mazuri sana lakini unapata wachungaji wengi sana hawana neema hii ,hawajui mambo haya.....so ombi langu ni kwamba unisaidie niweze kuvunja haya madhabahu ya familia...sijui kama yawezekana kama niko Nairobi wewe uko Tanzania?
Basi tufundishe kujitoa katika hizo laana ili tuwe salama mchungaji
Mungu akubariki kwa mafundisho mazuri mimi yamenigusa me nifanye nini ili watotongu wangu wakombolewe?watoto Watano hawana ajira na wamesoma mpaka chuo kikuu kila wakiomba hawafanikiwi sijui ni maagano ya kwa mume wangu au be mimi mama ?
Warundi tunakufuata 5/5. Ubarikiwe sana mchungaji
MUNGU akubariki sana
napenda caana kumsikiliza amieli katekela, maana napata mafundisho mazuri
Amen Amen 🙏 🙌 ni kweli kabisaa yale umesema
Kila maagano na laana zinazo fatilia zimeshindwa kwa jina la Yesu
MUNGU atusaidie na familia zetu zipone
Mungu azidi kukutumia
Amen 🙏 MUNGU Akutunze
Amen mtumishi
Amen sana
Sahihi kabisa mchungaji
Amen 🙏🙏🙏 glory glory glory hallelujah
Mimi mtumishi nasingiziwa uchawi na ndugu wa mume leo nimejua
Ameen
Kweli kabisa
Amen
Ameeeen Ameeeen Ameeeen
Amen 🙏
Amen 🙏🙏🇰🇪
Mbona mtumishi unanisema mm haya mambo yote?? Naomba nikutane na wewe nisiwe next victim
🙏🙏
Ukiwa wafu hawapumziki basi utaelezaje Muhibiri tisa?
Nilishavishwa mie
😢😢mi huota nawangiwa
Mafundisho haya ni kioo kwangu najiona wapi nipo ila tufundishe namna ya kujinasua
Sakramenti ya Ubatizo,Ekaristi na Kipaimara huondoa Laana za dhambi.Sakramenti ya Ekaristi ni Damu na Mwili wa Yesu Kristo.
Natumia aje sadaka yangu kupitia m-pesa nikiwa Kenya?
Kwani unachotaka ni sauti ya moses au kupona?
😢 Waombezi wengi wamechkua sadaka za family wakidai wanavunja madhabahu na hakuna mabadliko yoyote tunayo ipata
Poleni sana Mungu awatetee
Mmepigwa pole sana
@@kihilamasuke6976 unakutana na mtu anakwambia leta nywele za utosn na kucha naww kwaakili zako unapeleka😅😅😅😅😅😅😅Mungu atusaidie sana
@@gosbertmuta5421 Kule kwetu ni vikundi vya kina mama waombezi wanaomba alafu wanasema roho amewaonyesha tutoe sadaka ya kuvunja madhabahu
Baada mwezi wakija wengine kuomba pia wanaonyweshwa tutoe sadaka ya kuvunja madhabahu I say wajiuliza kwan madhabahu zavunjwa mara ngapi 😊
Caroline Deri waa sasa umeshajua njia shukru Mungu
Lakini hapo mchungaji sijakuelewa unapozungumzia dini manabii na mitume wengine kuwa nao ni wa Mungu. Mf. Uislamu, ukatoliki nk. Sidhani kama ni sahihi kwasababu kiimani tunaona maandiko yanatuasa kutokuwa shirika nao, sasa sijui kama sijakuelewa vizuri lakini nimeona kama unawazungumzia vyema. Na la pili ni pale umesema kwamba Yesu ni nabii/mtume mkuu - nadhani Yesu si mtume ila wanafunzi wake ndiyo mitume YESU NI MWANA WA MUNGU!!
Sasa nifanye nn mpaka vinitoke hivi mtumishi
Sasa una wambiya wamuombeye Muhammed iweje ?asamehewe aene mbinguni
Ndio mafundisho yako ni mazuri lakini Wacha kabisa kuongea lugha za kishetani siulishatoka huko??hizo lugha Zina bore sana
Naweza pata number ya huyu mchungaji?
Tafuta no za promova tv ndio akuunganishe nae
Mchungaji, kilingeni ndo nini sielewi
Kilinge/kilingeni ni chumba cha waganga wa Jadi/wachawi wanahifadhi tunguli zao na pia katika kilinge ndio wanatibia wanaotafuta usaidizi kwao, Chumba maalum cha waganga.Shrine in English
Mchungaji katekela Mungu akubariki sana sana.
Una ongeya vitu gani una Washauri wa Islam waendeleye kumu ombeya Muhammad;mbona una wadanganya hatuwezi kuombeya mutu ariye Kufa asamehewe.
Kaa chini utulie uelewe vizuri ❤
Kwani mtumishi, Roho ya Moses Kulola hii juu Yako, Kuna mda nasikia unazungumza kama yeye, harafu inakuwa na nguvu zaidi
Kwani mtumishi, Roho ya Moses Kulola hii juu Yako, Kuna mda nasikia unazungumza kama yeye, harafu inakuwa na nguvu zaidi