Do not accept his invitation. Yeye awatafute. They used to be too arrogant akiwa pamoja na wenzake like Kimani Ichungwa,Kimani Kuria, Oscar Sudi and others, so let them carry their on cross.
Jamani Ruto acha uraisi kwa sababu opposition pamoja na vijana hawakutaki .Kwa kifupi umejaribu kuisaidia Kenya lakini una maadui wengi.Wewe ni billionare achana na uraisi .Nenda kula maisha.Life is too short .Quit.please.
Na ndio maana huwa siendi kanisa. Nikienda kuhubiria watu huko nje kisha waniulize ninaenda kanisa gani, wanaweza kushangaa wakisikia siendi kanisa yoyote.
If they reached Parliament without leadership.then no need for leaders.GEN Z keep it that way.Ruto and his machinery are trying to track and finish you for it's sevival.And act fast and intelligently.
Genz hoyee😂😂 continue being tribeless, leaderless and tribeless let Ruto be trapped in your trap not you into his trap. I foresee a United kenya in future guys we want tribeless United Kenya in the near future fellow youths.
Gen-z wanataka kitu moja tu kutoka kwa ruto Aresign from office ndio sababu unaona its diffuculty to deal with them.and that their agenda and it will be diffucult to convince otherwise
Three things to also emphasise as must-execute list: 1) We need to also scrutinise the ethnic representation (or lack thereof) of those holding senior positions. Does it represent the ethnic composition of the Kenyan population? Remember we all pay taxes that pay salaries for all gvt positions in Kenya. 2) Ownership of our ancestral lands threarebed with take-over 3) Allowing KRA to access bank and mpesa accounts of citizens at will. They already intimidate wananchi without this waiver. It would pure terror if this is allowed, not to mention hackers taking advantage and transferring our hard-earned coins. If they did it to a whole Equity Bank, what about the small fish like us???
Gen Z should bear and keep in mind that despite all the hardships, difficulties, killings, torture, arrests etc have gone that far simply and sincerely because of your firm foundation plus your principles. You started all without leaders neither representatives ! I urge you to continue and go it all through to the end the same without leadership nor representatives kindly pls pls !
Do not accept his invitation. Yeye awatafute. They used to be too arrogant akiwa pamoja na wenzake like Kimani Ichungwa,Kimani Kuria, Oscar Sudi and others, so let them carry their on cross.
Please Gen Z be careful of this viper. He wants to contain you then destroy you from within .
Jamani Ruto acha uraisi kwa sababu opposition pamoja na vijana hawakutaki .Kwa kifupi umejaribu kuisaidia Kenya lakini una maadui wengi.Wewe ni billionare achana na uraisi .Nenda kula maisha.Life is too short .Quit.please.
Yaaani makanisa kweli kweli iyo ni kuuza kenya Mungu shuka 😢😢😢😢😢😢
Na ndio maana huwa siendi kanisa. Nikienda kuhubiria watu huko nje kisha waniulize ninaenda kanisa gani, wanaweza kushangaa wakisikia siendi kanisa yoyote.
Hatutapatana na hatuitaji mazungumzo chenye twaitaji kama Gen z tulisha wakilisha hivo masuala hayo yashughulikiwe kwanza
If they reached Parliament without leadership.then no need for leaders.GEN Z keep it that way.Ruto and his machinery are trying to track and finish you for it's sevival.And act fast and intelligently.
Churches you have gone astray to kenyans why going statehouse ,tomorrow-----------
Sisi kama Gen z hatuna kiongozi chochote the only thing that we want from zakayo is to resign only.
Remember Gen Zs are in Diaspora too.
Wasiyede statehouse musimamo niruto aede
Gen Z afadhali tubaki bila kiongozi wasijarbu kwenda state house
Gen z wasichague viongozi Yao wabaki TU bila viongozi ndiyo ruto atasikisa hao
Gen z wasichague viongozi Yao wabaki TU bila viongozi ndiyo ruto atasikisa hao
Genz hoyee😂😂 continue being tribeless, leaderless and tribeless let Ruto be trapped in your trap not you into his trap. I foresee a United kenya in future guys we want tribeless United Kenya in the near future fellow youths.
Gen z msijaribu kwanza hii date ya 7/7 inakuwanga blood shed
Gen-z wanataka kitu moja tu kutoka kwa ruto Aresign from office ndio sababu unaona its diffuculty to deal with them.and that their agenda and it will be diffucult to convince otherwise
Hi Waende Watu 5000 waonge na akuna Siri waweke Midia Genzs wote……wote wasike masiungumso mpaka waelewane Akuna Siri kila mutu asikia
Sisi hatuendi popote ruto atukujie road tukiandamana akiwa pekeyake ajeatuombe msamaha vizuri aje kuma yamamake twamusubiri road na hajui lini gen z tutaandamana kesho usubui ama kesho jioni sisituko twandamana hata srgod acome rutooo twakungoja jaribu kujua sirietu sisi twajua pin yako yakukutoa roho yako ruto nabado safari yaanza😂😂😂😂😂
Three things to also emphasise as must-execute list:
1) We need to also scrutinise the ethnic representation (or lack thereof) of those holding senior positions. Does it represent the ethnic composition of the Kenyan population? Remember we all pay taxes that pay salaries for all gvt positions in Kenya.
2) Ownership of our ancestral lands threarebed with take-over
3) Allowing KRA to access bank and mpesa accounts of citizens at will. They already intimidate wananchi without this waiver. It would pure terror if this is allowed, not to mention hackers taking advantage and transferring our hard-earned coins. If they did it to a whole Equity Bank, what about the small fish like us???
Aki ikibadilka hichukui muda ruto amego down at point anataka kuongelea na youth vile deni italipwa😂
Let them be the way they are, and focus
Apanah sisi tukiwa gen z atuendi state house atuite tuende kasarani stadium tuongeee sisi wote county 47
Genz wasikubali kuludi nyuma tuko nyuma Yao
Fufua walokufa kwanza ndo utafute walio hai ,ukatali ndo roho yako
Ati sio nini aki ruto wewe ni wazimu
Tubaki bila kiongozi sisi kma gen z ruto akitaka amani na sisi kwa kiti aondoke tu apo amani itakueko barida barafu
Gen z we are strong $ no tribalism we stay like brothers and sisters 💪💪💪💪💪💪💪
Waende state house na wabaki Bila kiongozi
Maandamano hayana viongozi vijana was taifa lote aongee nao
NO CONFIDENCE WITH ALL CHURCHES AND PREACHER'S ISAIAH 56:11
Apana wasijaribu ..... Hiyo n trup
Gen z let's not accept any invitation, no room for that, it has been long, it's time to clean the house,
Gen z wasiende state house sisi atuna kiongozi
Why leaders? Why representatives? NO NEED OF LEADES ! NO NEED OF REPRESENTATIVES !!
Aende huko alikua wapi kama hakujaungua
Please your excellency , you can not repent when you are dead
Mabishops wa siku hizi ni hatari sana.Wazungu used
A😢😢 bible
Sisi km gen z ruto lazima aende
Outdated analogue tactics. Reject.
Get lost we are not interested.....Ruto must Go
Waendee wote ikibidi kwenda
Wasiendee ikulu kabxa
We need ruto to resign no matter what.
Wasikubali kudaganya
Now Kenyan mmenda Haiti kulinda Amani sasa kinawalamba nyinyi .God bless you 🙏
Iyo nisawa kabisa
Bila kiongozi
Bila kiongozi
Plz plz this one goes direct to the GEN Z kenya , I dare you dont go kwa ruto . What I want you to do plz could you remove ruto pale state house.
No need
Wasikupali waidwe
Hao gen z .niwananchi unaposema kwamba viongozi wao wanaitajika unawachanganya kwanamna moja ama nyingine
Reject
Wabaki bila kiongozi
Gen zs wasiwe na kiongozi coz wakiweka kiongozi watakua wameisha
Wi nid no leadership.. mabadiliko iwepo!!
Gen -z hatuna haja ya kuonana na ruto na wala hakuna kiongozi yeyote wa wa Gen - z
No hakuna kwenda State House. We crossed this line a long time ago.
WE DONT HAVE A LEADER ,WE ARE ALL LEADERS ,WE ORGANIZE OURSELVES.WE ARE NOT READY TO BE CALLED IN STATEHOUSE TO BE GIVEN TEA .
Gen Z should bear and keep in mind that despite all the hardships, difficulties, killings, torture, arrests etc have gone that far simply and sincerely because of your firm foundation plus your principles. You started all without leaders neither representatives ! I urge you to continue and go it all through to the end the same without leadership nor representatives kindly pls pls !
#Rutomustgo
Wabaki bila kiongosi
To remain without leader
Wabaki bila kiongozi
Hatutaki kiongozi
Watafute wapi?.
I liked it.
Wasiende
Bila kiogozi