BREAKING! GEN-Z late night warning to Ruto ahead of next week MAANDAMANO |GEN-Z rejects Ruto trap

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024

Комментарии • 75

  • @AloiceOmondi-b3p
    @AloiceOmondi-b3p 3 месяца назад +6

    Do not accept his invitation. Yeye awatafute. They used to be too arrogant akiwa pamoja na wenzake like Kimani Ichungwa,Kimani Kuria, Oscar Sudi and others, so let them carry their on cross.

    • @victoriatubula7704
      @victoriatubula7704 3 месяца назад

      Please Gen Z be careful of this viper. He wants to contain you then destroy you from within .

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 3 месяца назад +4

    Jamani Ruto acha uraisi kwa sababu opposition pamoja na vijana hawakutaki .Kwa kifupi umejaribu kuisaidia Kenya lakini una maadui wengi.Wewe ni billionare achana na uraisi .Nenda kula maisha.Life is too short .Quit.please.

  • @VioletMakokha-ei4yt
    @VioletMakokha-ei4yt 3 месяца назад +4

    Yaaani makanisa kweli kweli iyo ni kuuza kenya Mungu shuka 😢😢😢😢😢😢

    • @humblemureithi
      @humblemureithi 3 месяца назад

      Na ndio maana huwa siendi kanisa. Nikienda kuhubiria watu huko nje kisha waniulize ninaenda kanisa gani, wanaweza kushangaa wakisikia siendi kanisa yoyote.

  • @Sofick-zg4kp
    @Sofick-zg4kp 3 месяца назад +2

    Hatutapatana na hatuitaji mazungumzo chenye twaitaji kama Gen z tulisha wakilisha hivo masuala hayo yashughulikiwe kwanza

  • @wanyamanamodi9750
    @wanyamanamodi9750 3 месяца назад +2

    If they reached Parliament without leadership.then no need for leaders.GEN Z keep it that way.Ruto and his machinery are trying to track and finish you for it's sevival.And act fast and intelligently.

  • @BarnabasOrare-iw8vj
    @BarnabasOrare-iw8vj 3 месяца назад +3

    Churches you have gone astray to kenyans why going statehouse ,tomorrow-----------

  • @ahmeddera0750
    @ahmeddera0750 3 месяца назад +2

    Sisi kama Gen z hatuna kiongozi chochote the only thing that we want from zakayo is to resign only.

  • @charitygithiomi3966
    @charitygithiomi3966 3 месяца назад +2

    Remember Gen Zs are in Diaspora too.

  • @edwardndengwa1243
    @edwardndengwa1243 3 месяца назад

    Wasiyede statehouse musimamo niruto aede

  • @ChristabelShumira
    @ChristabelShumira 3 месяца назад

    Gen Z afadhali tubaki bila kiongozi wasijarbu kwenda state house

  • @MathewOyaya-l6h
    @MathewOyaya-l6h 3 месяца назад

    Gen z wasichague viongozi Yao wabaki TU bila viongozi ndiyo ruto atasikisa hao

  • @MathewOyaya-l6h
    @MathewOyaya-l6h 3 месяца назад

    Gen z wasichague viongozi Yao wabaki TU bila viongozi ndiyo ruto atasikisa hao

  • @JosephatAngoli
    @JosephatAngoli 3 месяца назад +1

    Genz hoyee😂😂 continue being tribeless, leaderless and tribeless let Ruto be trapped in your trap not you into his trap. I foresee a United kenya in future guys we want tribeless United Kenya in the near future fellow youths.

  • @annndungu2974
    @annndungu2974 3 месяца назад

    Gen z msijaribu kwanza hii date ya 7/7 inakuwanga blood shed

  • @cosmaswambua7758
    @cosmaswambua7758 3 месяца назад

    Gen-z wanataka kitu moja tu kutoka kwa ruto Aresign from office ndio sababu unaona its diffuculty to deal with them.and that their agenda and it will be diffucult to convince otherwise

  • @lilianjepkoechlagat
    @lilianjepkoechlagat 3 месяца назад

    Hi Waende Watu 5000 waonge na akuna Siri waweke Midia Genzs wote……wote wasike masiungumso mpaka waelewane Akuna Siri kila mutu asikia

  • @JacksonVuga
    @JacksonVuga 3 месяца назад

    Sisi hatuendi popote ruto atukujie road tukiandamana akiwa pekeyake ajeatuombe msamaha vizuri aje kuma yamamake twamusubiri road na hajui lini gen z tutaandamana kesho usubui ama kesho jioni sisituko twandamana hata srgod acome rutooo twakungoja jaribu kujua sirietu sisi twajua pin yako yakukutoa roho yako ruto nabado safari yaanza😂😂😂😂😂

  • @kawangoagot5885
    @kawangoagot5885 3 месяца назад

    Three things to also emphasise as must-execute list:
    1) We need to also scrutinise the ethnic representation (or lack thereof) of those holding senior positions. Does it represent the ethnic composition of the Kenyan population? Remember we all pay taxes that pay salaries for all gvt positions in Kenya.
    2) Ownership of our ancestral lands threarebed with take-over
    3) Allowing KRA to access bank and mpesa accounts of citizens at will. They already intimidate wananchi without this waiver. It would pure terror if this is allowed, not to mention hackers taking advantage and transferring our hard-earned coins. If they did it to a whole Equity Bank, what about the small fish like us???

  • @catherinenjeri2211
    @catherinenjeri2211 3 месяца назад

    Aki ikibadilka hichukui muda ruto amego down at point anataka kuongelea na youth vile deni italipwa😂

  • @jamesowino-lq1wl
    @jamesowino-lq1wl 3 месяца назад +1

    Let them be the way they are, and focus

  • @IssaHusseinIshaq
    @IssaHusseinIshaq 3 месяца назад

    Apanah sisi tukiwa gen z atuendi state house atuite tuende kasarani stadium tuongeee sisi wote county 47

  • @MorrisMiringu
    @MorrisMiringu 3 месяца назад

    Genz wasikubali kuludi nyuma tuko nyuma Yao

  • @lilianongoro3249
    @lilianongoro3249 3 месяца назад

    Fufua walokufa kwanza ndo utafute walio hai ,ukatali ndo roho yako

  • @VioletMakokha-ei4yt
    @VioletMakokha-ei4yt 3 месяца назад +1

    Ati sio nini aki ruto wewe ni wazimu

  • @JacksonVuga
    @JacksonVuga 3 месяца назад

    Tubaki bila kiongozi sisi kma gen z ruto akitaka amani na sisi kwa kiti aondoke tu apo amani itakueko barida barafu

  • @kenmugambi3949
    @kenmugambi3949 3 месяца назад

    Gen z we are strong $ no tribalism we stay like brothers and sisters 💪💪💪💪💪💪💪

  • @evelynundisa1780
    @evelynundisa1780 3 месяца назад

    Waende state house na wabaki Bila kiongozi

  • @raphaelgitonga2401
    @raphaelgitonga2401 3 месяца назад

    Maandamano hayana viongozi vijana was taifa lote aongee nao

  • @shelmithjoller637
    @shelmithjoller637 3 месяца назад

    NO CONFIDENCE WITH ALL CHURCHES AND PREACHER'S ISAIAH 56:11

  • @MercyNjeri-zd8or
    @MercyNjeri-zd8or 3 месяца назад

    Apana wasijaribu ..... Hiyo n trup

  • @janykavindu5498
    @janykavindu5498 3 месяца назад

    Gen z let's not accept any invitation, no room for that, it has been long, it's time to clean the house,

  • @FelixOreny
    @FelixOreny 3 месяца назад

    Gen z wasiende state house sisi atuna kiongozi

  • @wanaruonachif80
    @wanaruonachif80 3 месяца назад +1

    Why leaders? Why representatives? NO NEED OF LEADES ! NO NEED OF REPRESENTATIVES !!

  • @EvansWanjala-ed9me
    @EvansWanjala-ed9me 3 месяца назад

    Aende huko alikua wapi kama hakujaungua

  • @wafulabengi
    @wafulabengi 3 месяца назад

    Please your excellency , you can not repent when you are dead

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 3 месяца назад

    Mabishops wa siku hizi ni hatari sana.Wazungu used
    A😢😢 bible

  • @JacksonVuga
    @JacksonVuga 3 месяца назад

    Sisi km gen z ruto lazima aende

  • @160501959
    @160501959 3 месяца назад

    Outdated analogue tactics. Reject.

  • @shambebro382
    @shambebro382 3 месяца назад +1

    Get lost we are not interested.....Ruto must Go

  • @MonicaRaila-tn5rb
    @MonicaRaila-tn5rb 3 месяца назад

    Waendee wote ikibidi kwenda

  • @RobertKitsao-o7s
    @RobertKitsao-o7s 3 месяца назад

    Wasiendee ikulu kabxa

  • @mosesmuiru-qq9sx
    @mosesmuiru-qq9sx 3 месяца назад

    We need ruto to resign no matter what.

  • @KithekaKyalo-w6l
    @KithekaKyalo-w6l 3 месяца назад

    Wasikubali kudaganya

  • @othmanmtambo661
    @othmanmtambo661 3 месяца назад

    Now Kenyan mmenda Haiti kulinda Amani sasa kinawalamba nyinyi .God bless you 🙏

  • @KombekombeKombe
    @KombekombeKombe 3 месяца назад

    Iyo nisawa kabisa

  • @FelistarSammy-h1k
    @FelistarSammy-h1k 3 месяца назад

    Bila kiongozi

  • @MutukuKilonzo-uy9sq
    @MutukuKilonzo-uy9sq 3 месяца назад

    Bila kiongozi

  • @maryachieng3923
    @maryachieng3923 3 месяца назад +1

    Plz plz this one goes direct to the GEN Z kenya , I dare you dont go kwa ruto . What I want you to do plz could you remove ruto pale state house.

  • @AllanMulweye
    @AllanMulweye 3 месяца назад

    No need

  • @Zablon-ut7kv
    @Zablon-ut7kv 3 месяца назад

    Wasikupali waidwe

  • @onesmomwakasege5215
    @onesmomwakasege5215 3 месяца назад

    Hao gen z .niwananchi unaposema kwamba viongozi wao wanaitajika unawachanganya kwanamna moja ama nyingine

  • @Connelllucy
    @Connelllucy 3 месяца назад

    Reject

  • @winnieNamusasi
    @winnieNamusasi 3 месяца назад +1

    Wabaki bila kiongozi

  • @amanimaluki
    @amanimaluki 3 месяца назад

    Gen zs wasiwe na kiongozi coz wakiweka kiongozi watakua wameisha

  • @FredGitonga-n5i
    @FredGitonga-n5i 3 месяца назад

    Wi nid no leadership.. mabadiliko iwepo!!

  • @albertdaluh1529
    @albertdaluh1529 3 месяца назад

    Gen -z hatuna haja ya kuonana na ruto na wala hakuna kiongozi yeyote wa wa Gen - z

  • @charitygithiomi3966
    @charitygithiomi3966 3 месяца назад

    No hakuna kwenda State House. We crossed this line a long time ago.

  • @davidkitui68
    @davidkitui68 3 месяца назад

    WE DONT HAVE A LEADER ,WE ARE ALL LEADERS ,WE ORGANIZE OURSELVES.WE ARE NOT READY TO BE CALLED IN STATEHOUSE TO BE GIVEN TEA .

  • @wanaruonachif80
    @wanaruonachif80 3 месяца назад

    Gen Z should bear and keep in mind that despite all the hardships, difficulties, killings, torture, arrests etc have gone that far simply and sincerely because of your firm foundation plus your principles. You started all without leaders neither representatives ! I urge you to continue and go it all through to the end the same without leadership nor representatives kindly pls pls !

  • @SalehOmar-q3b
    @SalehOmar-q3b 3 месяца назад

    #Rutomustgo

  • @SofiaSofia-x9z
    @SofiaSofia-x9z 3 месяца назад

    Wabaki bila kiongosi

  • @VincentMudigululi
    @VincentMudigululi 3 месяца назад

    To remain without leader

  • @Kishil-h1w
    @Kishil-h1w 3 месяца назад

    Wabaki bila kiongozi

  • @obedendayizeye6098
    @obedendayizeye6098 3 месяца назад

    Hatutaki kiongozi

  • @ruthajwang7355
    @ruthajwang7355 3 месяца назад

    Watafute wapi?.

  • @denissimiyu6072
    @denissimiyu6072 3 месяца назад

    I liked it.

  • @obedendayizeye6098
    @obedendayizeye6098 3 месяца назад

    Wasiende

  • @kareemkambetsa4983
    @kareemkambetsa4983 3 месяца назад

    Bila kiogozi