MAKUBWA.! PATRICK KANUMBA AMTAJA MUHESHIMIWA ANAEMTAKA KIMAPENZI,AMKATAA EX WA BEKA "SIO TYPE ZANGU"
HTML-код
- Опубликовано: 23 сен 2021
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm Развлечения
Patrick uko vizuri umejibu na kuelezea kitu unachopenda bila kuingilia faragha ya mtu.
Shout out kwa mchaga OG na thisisaaliyaah na refresh kwa ujumla na wasafi media kwa kazi nzuri 🤝👏👏
Watoto wanakuwa Jaman si juzi tu Patric🙌
Wallah
Yan acha tu
Kbs
Ukiona wanakua ujue kuna wanao zeeka
Mtoto wa juzi tu leo anatak waheshimiwa duh
Hahaha,,,Patrick wa Uncle JJ
Umekuwa adi unataka waheshiwiwaa,,hatari sana
🤣
Patriki
Maisha yanaenda kasi sana leo hii Patrick uyu anaongea vitu vya kiutu uzima
🤣🤣🤣
Msimaanishe tofaut kasema mwanamke wake anataka awe namwanamke kama mh mh mwenyewe atakua joket
Kwelii
True! !
🔥🔥
🤩🤩
Muheshimiwa jokate etiiii😍😘🙈
hata mm nmewaza ivo yaani😆😆😆😅
Hakuna mwngne zaidi ya uyo
@@lifelivelive5165 tupo pa1
Joket
Hy
E bwana ee
nagupendasana
💪💪💪
Imani,upendo miujiza hadi huku😂😂
Hadi raha
🤣🤣🤣
Mtoto type yake mheshimiwa duuu....
Alya kanenepa
Joketi uyo 🙆♀️🙆♀️
Mh muache kupotosha watoto wajuzi bwana kwenye ngono
Umeshakuwa adi type yako ni muheshimiwa 😂😂😂
Jokate hahaaa
Jaman ametamam
@@sarahalfred6279 🤣🤣🤣🤣
Sema Dogo Wakati Unasema Uwe Unaeka Ngao Ya Maneno Yako
Uyu bado mtoto saaaana yani ata kwa kuongea anakaa bado analaziwa home kwao
Umejibu kisomi sana
Jokate uyoo😂😂😂
Mnasapoti uzinzi na uasherati baada muwaoe sapoti wasanii na nyimbo zao
Mac voice!!
55
Uyu Dogo juz2 to kinda
🥰
Ndio mnatakiwa sasa uchukue mbegu ya mnazi baada miaka kazaa unavuna waliopanda minazi kipnd cha Uncle JJ saa iv wenzenu tunauza Nazi
Nikimuona patirik ananikumbusha Sana kanumba kanumba roho inauma Sana na magufuli mpaka leosiwezi kuwasahau
Pole sana mamy
😂😂😂 Ss wtt wa cuba tushaelew, real definition ya huu msemo wa “Happysyotypeyang”
Nan mwengne kaelewa..!🤪
Oyaa umekua bisho Mpka Raha
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hair cute imebumaaa
Na Niffer je?🤣🤣
jojo huyo
Macvoice
Ndugu yangu ishi utakavyo na sio watu watakavyo itakukost binadamu haturidhk 😜😜😜😜
Mmmmmh
Da maponz mengi sana adi anabowa
Una taka kula na wakubwa 😂😁
Aaxee😁
Nice answer
Jamani kumbe tupowengi tunahompenda joket daa namm nampendasana joket
Sasa si mtokee mnasubiri mtongozewe
@@mwasoprince3459 nitamuonea WAP kaks
Binadam tunakua jmn
Uboyaaaaa
huyu mtoto kakua aisee mpaka ana vitu vyake 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😁😁😁
Dogo nae ameanza iyo michezo daaa
DOGO KAKUWA ANATAKA WAHESHIMIWA😀😀😀
😃😃😃
haaaaaaaa kwelii
Muheshimiwa gani jamani 😜
Jokate Mwegelo
Wasani bongo wengi wauza sura tu wanatafuta mngine
Ila wewe dogo wewe unajiona mkubwaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ww wako anaekufaa na mnaeenda ni Jenifa tu wengine kuruka ruka tu
Mh joketi huyoooo
Patrick mwanangu ww 😂
Dogo amekuwa
ata mm natakawaeshmiwa 😃
Dogo kakuwa
Mhhhhu
Joketiiiiii
Wabaya ndo type yangu🤣
Nimecheka kwa Nguvu🤣😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣
Huyu Ni joket🤣
Ungependza xna alfu yle mwenyew mnafanana balaa
Isije kuwa tu jokate 😂😂😂😂
Kidoti
Dogo Bishoooo Sana Hadhi ya Kanumba Wala Asijidanganye........
Mbna bosi wenu ana suka hamsem?
Nashangaa
Mnashangaa nini wakati Boby Marley na Lucky Dube walifanya ivo???
Jingaaaaa tyuuuu
Joket uyo xio mwngine
Joketi
Singeli inayotamba ruclips.net/video/wxfTfu0_S6U/видео.html
Duh hili litoto limekuwa
Yaani anakumudu
@@peterchipasula1527 sana tuuuu
Joketo
Ni jocate basi
Jokateee
Joket kidotii
Joket
Dogo kabalehe kakua
Naam Ata mimi uliniumiza katika iyo staili ya nywere
Mimi nahic Kama alishakataliwa ndomaana anasema siyo type yake Patrick ana ushamba mwingi Kwanza atampata wapi binti mrembo Kama huyu!
We nawe ndo haupo kabisaaa
Ana maanisha wanawake wasanii nima danga .madai yakesikuhizi maradhi mingi.ndio maana hailisi ya tuna Juana .dogo kweka wazi kilakitu
🥱
Dogo acha utoto bwana
Mtoto wa juzi unataka waheshimiwa kwenda tuachie wakubwa zako muone ushakuwa na kibesi sasa hivi unatamba mwenyewe tuachie wakubwa tufaidi wewe bado hangaika naakina Jenifa ndo type yako 😂
😂😂😂😂😂😂
Yametoka moyoni kabisa mwamba😂😂😂😂😂😂😂
@@stanslauschatata3483 dogo hana haya kabisa😂😂mjinga kajiona kakua
Dogo anataka kuruka steji
@@leskarmeikok8956 😂😂chizi kweli
Siuseme ww mtoto wa juzi tu jmn kama wamtaka jokate
🤣🤣🤣🤣
@@mbwanakhamis9634 maan kinajipeleka mbali wakati tushamuelewa
Mac voice kapata ajaliruclips.net/video/jdISDiWGE7g/видео.html
Alf wewe dogo akuna mwanamke mbaya lekebisha kauli yako
Wakubwa2 ruclips.net/video/UdbIiHJT9Aw/видео.html
Mbona kama huyu dogo bwabwa!!
Mbona wewe kama birian!!
dah aangalie sana dully sio mtu mzuri
Macvoice
🥰