GIGY MONEY -"HUU NDIO UKWELI wa PENZI LANGU na PATRICK KANUMBA, NIFFER ANAFEKI MAISHA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 сен 2024
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 113

  • @AminaMno
    @AminaMno 10 дней назад

    Jamani nampenda sana gigy mwenzen

  • @msbeckie4693
    @msbeckie4693 Год назад +32

    Gigy is real,,anachosema ni kweli kabisa,,wengi wanafanya biashara kuficha hizo mambo mkubali mkatae👌

  • @juneclaudia8897
    @juneclaudia8897 Год назад +11

    Masha love kazi yake kwa hii interview ilikuwa gani haswa

    • @ashaali7154
      @ashaali7154 Год назад

      Kazi yake ilikuwa mpambe wa Gigy kwani hawa wasanii uchwara lazima watafute wajinga wenzao wa kuwaunga mkono na kuchamba. Ndiyo kazi iliyobaki na waliokuwa na akili zao wanapiga buti wanakwenda mbele hawa mataahira wanabaki kutukana na roho zao chafu. Kama kudanga kuna pesa mbona yeye kandanga TZ kaenda Nigeria karudi Kenya mbona hakuweza kupata hizo pesa. Kalale huko acha mdomo mchafu.

    • @graceian2155
      @graceian2155 Год назад

      Ilikuwa ni kumtuliza gigy

    • @lareineminah1353
      @lareineminah1353 Год назад +1

      kukubaliiiii kinacho ongelewa🤣🤣🤣🤣

    • @misungwikids563
      @misungwikids563 Год назад

      alikua kama obsever 😂😂😂😂

    • @user-uc8ei8kn3l
      @user-uc8ei8kn3l Год назад

      😂😂😂😂😂😂

  • @cdeleo9336
    @cdeleo9336 Год назад +30

    Gigy mimi nakupenda ila acha wivu

  • @nassorseluma9106
    @nassorseluma9106 Год назад +3

    wasafi mnajishusha sana mambo gani hayo yakijinga

  • @anthonyjoseph4979
    @anthonyjoseph4979 Год назад +5

    Gigy money very romantic

  • @jenniferstanley9584
    @jenniferstanley9584 Год назад +21

    Gigy fanya kazi acha upumbavu wew ni mama tena wa mtoto wakike nivibaya san kuatack wanawake wenzako ‘em kuwa mfano wa kuingwa na jamii

    • @teddylameck3355
      @teddylameck3355 Год назад +1

      Mkiambiwaga ukwel mnajifanya amtak uyu dada muelewee utasonga ingawa unamuona auelewi

  • @ShomarSalum
    @ShomarSalum 3 месяца назад

    Unamjua vzur et simjuw

  • @magrethsanga942
    @magrethsanga942 Год назад +12

    Dah wivu mbaya sana

  • @marymsuko7919
    @marymsuko7919 Год назад +2

    Si kwa ubaya nampenda Gigy ela kwa wivu, hata sura inakunjana mwili na miaka hailingani. Kiki punguza wivu basi kila mtu ni mbaya wako

  • @tinnobobu3404
    @tinnobobu3404 Год назад +8

    Gigy is well said woman

  • @faithmsanya8078
    @faithmsanya8078 Год назад +22

    uyu gigy ashazoea kuchafua watu.....alianza na nandy saiv kaja kwa niffer wetu.....mweeee mweee acha roho mbaya dada....niffer anapambana na tunapenda

  • @florakaaya4559
    @florakaaya4559 Год назад +10

    Mnajua Gigy kasema UKWELI KABSAAA.kwani watoto wetu wanaweza acha shule wakakimbilia biashara.kumbe sio biashara Kuna vitu kati yake.tuwafundishe watoto mapema

  • @agnesshonga7570
    @agnesshonga7570 Год назад +8

    Naenda kumfollow niffer wangu

  • @jenifadenis7321
    @jenifadenis7321 Год назад +1

    Gigy anawivu sana alafu amekosa hekma kama mwanamke

  • @youngsachafurniture5482
    @youngsachafurniture5482 Год назад +6

    Hii redio ya kichoko mnooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo

  • @peridamtweve7152
    @peridamtweve7152 Год назад

    Uko vizuri gigy

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Год назад +10

    Eti niffa mahusiano na Patrick kanumba🤣🤣🤣🤣🤣ladies tuanze kujichek basi;kwani kutoka na vijana wadogo ni trend??lol

  • @paskalinapa6177
    @paskalinapa6177 Год назад +11

    Acheni uongo mnamchukia niffa kwa nn? Jennifer ako na heshima zke na anapambana, acha wivu , Jennifer na Patrick nawapenda xna

  • @perpsgiovanna1933
    @perpsgiovanna1933 Год назад +40

    Niffer is already a star she has more than half a million followers, she doesn't have to look for someone like gigy to promote her business, jamani wacha gigy Wacha wivu, tunampenda niffer....actually you are the one most of us don't like because of your envy and jealousy....STOP PULLING DOWN OTHER HASSLING WOMEN

    • @faithmsanya8078
      @faithmsanya8078 Год назад +2

      nataman ningekupa likes kama 1000000 ivi...

    • @c.e.o_abdiroush
      @c.e.o_abdiroush Год назад +6

      Unamtetea malaya mwenzako 😅 😂😂
      Namjua nipher A to Z kazi kuvuta bangi na kufirwa na wasanii 😂 au kile kiduka Cha mwananyamala ndo kinakufanya umuamini ni hustler 😂

    • @perpsgiovanna1933
      @perpsgiovanna1933 Год назад +1

      @@faithmsanya8078 thanks boo

    • @ashaali7154
      @ashaali7154 Год назад +3

      @@c.e.o_abdiroush Roho zenu za korosho hazitawafikisha popote. Kazeni buti muhangaike acheni wivu.

    • @ashaali7154
      @ashaali7154 Год назад +1

      @@c.e.o_abdiroush Acha matusi wewe malaya hapo ni nani? Huyo Gigy unaemtetea kila siku kubadili wanaume, mdomo mchafu kwa wenzie kupigana hadharani ndio
      umeona sawa? Labda wewe ndio mwenzako mnadanga wote. Wasiokuwa na haya wana mji wao.

  • @RayyanRayyan-rt9cg
    @RayyanRayyan-rt9cg Год назад +16

    😂😂😂😂😂😂 Aya maisha Bana kila mtu ale kwa urefu wa kamba

  • @serafinamalecela4728
    @serafinamalecela4728 Год назад +6

    Nipher Lakini anakasura kazitooo🤣🤣🤣

  • @salmakwayu3951
    @salmakwayu3951 Год назад +4

    Namkubali gigy jaman🌹😂

  • @diva_chocolate1757
    @diva_chocolate1757 Год назад +2

    anachoongelea gigy nikitu sahih watu wana igiz maisha aisee

  • @priscaphedrick5970
    @priscaphedrick5970 Год назад

    Muongee mmoja mmoja

  • @habisnasalum-nz4zo
    @habisnasalum-nz4zo 10 месяцев назад

    Muongo tunampenda nifa anajua kipambaba sio wew mkaa uchi

  • @jeniferjenn1733
    @jeniferjenn1733 Год назад

    I love you masha

  • @jacquilinemakundi1841
    @jacquilinemakundi1841 Год назад

    Gigy ana wivu Sana Mungu amponye

  • @musiccaentertainment100k8
    @musiccaentertainment100k8 Год назад +1

    Sasa hii redio gani jamani

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 Год назад +4

    Gigy utaendelea kufeli kutokana na roho yako mbaya. Badala ya kuhangaikia maisha yako unabaki na wivu na kufuatana na wajinga ambao hawakusaidii chochote. Una wivu na roho mbaya na hutafanikiwa hadi ubadilike la sivyo utaishia jalalani tu.

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 Год назад +5

    Dida pia anachuki na diva huwezi kumdis mtangazaji mwenzio kiasi hicho kwenye hiyo hiyo media its bad dida acha roho mbaya na uunproffessional kumdis mwenzio tena amesha olewa

    • @cherylcheryl7694
      @cherylcheryl7694 Год назад

      Huyo diva hujawai msikia anavyochokonoa watu hao wanajuana

  • @hashymharun9337
    @hashymharun9337 Год назад +1

    Kwa hiyo hicho ni kipindi

  • @vickykapama8386
    @vickykapama8386 Год назад +13

    Ndiyo Wivu ndiyo unaomsumbua khaaa hajielewi anachoongea wacha Bangi🤧🤧

  • @zahramohamud8313
    @zahramohamud8313 Год назад +4

    Wivu utakumaliza gigy

  • @zakiangumbe6739
    @zakiangumbe6739 Год назад +3

    Kwani huyo Gigi ndo Nani jamani

  • @tamamoman9454
    @tamamoman9454 Год назад

    Wivu tu

  • @mzuba8527
    @mzuba8527 Год назад +3

    Mapumziko ila wanaendelea kusutana🤣🤣🤣

  • @latifaomary
    @latifaomary Год назад

    Uyu na patrick jamani si bibi na mjukuu loh bora niffer mteke

  • @safiyatheonlything7848
    @safiyatheonlything7848 Год назад +3

    Mashallha ataki unafiki 🤣🤣🤣ata yeye kajilipua kama aliwai mtongoza mwanaume

    • @adelinaamosi9437
      @adelinaamosi9437 Год назад +1

      😂😂😂😂😂yy anatongoza af hatak wengine watongoze cjui ni akili gn hii jmn😂😂😂😂😂😂😂😂 nmecheka kama mjinga vile

  • @morinejoseressiriam4581
    @morinejoseressiriam4581 Год назад +1

    Me mashaaa tu..anavockiliza

  • @yulsinajonathan731
    @yulsinajonathan731 Год назад +3

    😂😂😂😂😂Masha anazunguka tu

  • @masalakulwa7601
    @masalakulwa7601 Год назад +10

    mbona naona gigi ni wivu

  • @shyllahnekesa216
    @shyllahnekesa216 Год назад +2

    Wivu tu huyu dem fala tuu

  • @KhadijaKhadija-ld6qk
    @KhadijaKhadija-ld6qk Год назад +7

    Muongo wew niffar anapendwa sana wew Acha chuki pambana na hali yako

  • @mwanjinzara8009
    @mwanjinzara8009 Год назад

    Eti mdogo sura imemparama hata hakikaa zaly wema sana yykazeeka bwana awaache waliojaliwa udongo mzuri watambe akina kajala buwana

  • @user-qz5yh1dl1n
    @user-qz5yh1dl1n 5 месяцев назад

    Mnahoji watu walioshindikana na wameota sugu

  • @subirajamson4658
    @subirajamson4658 Год назад +1

    Mmmmmh! Mfyuuu hajielewii hyoo

  • @marymanoni5536
    @marymanoni5536 Год назад +2

    Gigy wivu ndo unakusumbua sn

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 Год назад +2

    iv mm nashndwa elewa macho mda,wote soni miwani ni vip ih

  • @domitynerkokuwisee6899
    @domitynerkokuwisee6899 Год назад +1

    Wivu unamsumbua alitaka awe yeye anatangaza na niffer wivuu gigy hautakufikisha popote

  • @salmamakweta1198
    @salmamakweta1198 Год назад

    Kwani ku - DM ni kosa?

  • @salmamakweta1198
    @salmamakweta1198 Год назад +5

    humpendi wewe! mm nampenda niffer

  • @victoriagasper7054
    @victoriagasper7054 Год назад +1

    😂😂😂kwahyo Masha umekuja kununua ugomvi live cjaelewa maana yako kuingia studio na hukuitwa 😂😂😂uswahili Kaz

    • @furahnmsigwa3481
      @furahnmsigwa3481 Год назад

      Hahahah yaan mbk nimechekaa kwer maan amekaaa ka mdoliiii

  • @yusramadodo8269
    @yusramadodo8269 Год назад

    Hilo ni jini Maimuna hamuoni hata nywele lililo sukia kichwani pia na. Nguo alizo vaa. Sura kama paka shume anavuta bangi sana kichwa maji hata akihojiwa hana sitara majibu ya kibangi so ya kiuto uzima ajaribu kutuliza kichwa huyo dada

  • @jumakaboma3987
    @jumakaboma3987 Год назад

    Mnaoji Malaya aaoh awanajipya wanapoteza time tu wadangaji njoon na vitu vpya Kama masham sham hyo milupo inapoteza mida dida

  • @agnesspetro6695
    @agnesspetro6695 Год назад +1

    Dah! Acha wafu wazike wafu wao

  • @gracerobert5271
    @gracerobert5271 Год назад

    Gigy anawivu

  • @hamxochagaboy8816
    @hamxochagaboy8816 Год назад +1

    Na Giggy amekonda 🤔🤔 Kanaongea Sana Mdomo mwingi🤦

  • @zawaditamari9752
    @zawaditamari9752 Год назад

    We ni pumbafu sana

  • @Official83640
    @Official83640 Год назад +2

    Wahaya ndy zao bwana weee kutongoza wanaume

  • @mariahwayesu7312
    @mariahwayesu7312 Год назад +1

    LINA WIVU HILI LISICHANA

  • @vickykapama8386
    @vickykapama8386 Год назад +5

    Eti hakuna anayempenda, hebu tukuulize wewe Gigy mazero kwani unapendwa na nani??? km mpk aliyekuzalisha amekata hata kukudhamini🤷‍♂️🤷‍♂️🤐🤐

  • @njoroboihustla125
    @njoroboihustla125 Год назад +1

    Hadanganyii huyuu gigy na friji lake haligandishii😂😂😂

  • @mariamibrahim6738
    @mariamibrahim6738 Год назад

    Loooo.wivu

  • @hamimukunoga8641
    @hamimukunoga8641 Год назад

    Gigy hana adabu kabisa

  • @maimunaulotu2075
    @maimunaulotu2075 Год назад +1

    😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣mbon nachok kuelewa hiz mada🤣🤣🤣🤣em tufanye msitoboleane siri zetu kila mtu anafaike na utafutaj wake

  • @rahmahassan9584
    @rahmahassan9584 Год назад

    Aache makasirikooooo jamn 😂😂

  • @graceian2155
    @graceian2155 Год назад

    Uuazaji wa vitenge

  • @jacklinekigomba9429
    @jacklinekigomba9429 Год назад +9

    Wivu tuy na wewe si uigize hayo maisha acha wivu gigi kwanza unaongea kwa chuki

  • @saummohamedm435
    @saummohamedm435 Год назад +3

    Mhh hiki kipindi vipi hivi wasafi mko serious kweli mbona km kina dhalilisha watu hivi media kubwa km hii inaweza hao vichaa wanamzungunzia mtu vibaya hivyo .hii ndo entertainment duu kweli kuna ethics hapo

  • @nasirasalim9622
    @nasirasalim9622 Год назад

    jaman did mi Nina mdgo wangu ni msani ila Hana manager dida nakuomba msaada wako

  • @amriyalibent5900
    @amriyalibent5900 Год назад +1

    Gigi amepata cha arusha

  • @fauziakarama8581
    @fauziakarama8581 Год назад

    Gigi mnafiki sana ana hasad mbaya hasa akimchukia mtu, yote anaona mwenzie atatrend , anataka kumshusha, wote ni wivu na choyo, wanawake nyieeee.

  • @Wish_Tv
    @Wish_Tv Год назад +5

    Giggy ni bhang 😂

    • @ngwacahnyagwaswa9979
      @ngwacahnyagwaswa9979 Год назад

      Huyu Gigy si bure itakua anavuta maana akili zake mmmmhh!! Sizielew

  • @enjoomaliya1399
    @enjoomaliya1399 Год назад +4

    Wivu unakusumbua gigy acha chuki.

  • @definitelykoechy8726
    @definitelykoechy8726 Год назад

    Shida ya Gigi Ni Gani

    • @ashaali7154
      @ashaali7154 Год назад

      Shida ya Gigy ni wivu wanaume wanamkimbia kama ukoma hana rafiki mwenye akili na kila mwanamke mwenye maendeleo yeye ni adui zake. She is a failure 💯

  • @salmamakweta1198
    @salmamakweta1198 Год назад

    wazee nyie mmechoka

  • @lailaoman3856
    @lailaoman3856 Год назад +1

    Mimi mwenyewe simpendi nifa

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 Год назад

    PENZI au NGONO,..?

  • @gracejackson5031
    @gracejackson5031 Год назад

    Wivu tu