Weee 😂😂😂 English is slapping you hard Baby Zuchu... yani kizungu kinakunyorosha vibaya sana ... 😂😂😂 ,Anyway thats awesome my girl... You put smiles on people's face little angel... Love you from Kenya ❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Acha criticism za ajabu, most of people understand the language and they don't know it very well so ushajua wana act don't bother. Afu mbona sionagi mkowakosoa wakenya kwa kiswahili wanachoongea. Mpo busy tu na kingereza na si kiswahili, be proud of your native language. I even know the fact that English language across all over the world 🌎 but most of us use it for communication purposes only, the case of grammar is lagging behind and it is not bad; what matters a lot is to understand each other full stop.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 why always your there and she is the last one. Ati bado wakumbuka the same with uncle JJ. WHY by Sophia kanumba.. wacha kwenda home ya watu every day.she say you are crazy and you repeat the same your crazy 🤪
Kwani ulisikia sisi ni wazungu eti, hiyo ni lugha ya wazungu watu wasipoiyelewa sio mbaya, mbona wao hawajui kiswahili? hembu acheni zenu kama kwenu mwasoma kizungu ni nyie alaaa
@@queendanisha8444 waache waongee hiyo hiyo broken english ndo kujifuza huko, hawakuzaliwa wanaongea kiingilishi wamesaliwa na kiswahili na nyie mliokwisha soma bas msitucheke sabbu hata nyie sio lugha yenu bali mmesoma, so jifunzeni kukubali lugha yenu ya kiafrica wa Africa ni watu awajabu sana mswahili akikosea kuongea kizungu anachekwa but mzungu akikose kiswahili anapongezwa na kumfurahia nakusema MashaAllah anajifunza kiswahili!! Your very stupid 😒 wallahi, badilikeni acheni ujinga.
@@maryammdoe5801 ndio kila watu na lugha lao tumevurugika mpaka tumekuwa watumwa wa lugha za watu kwani kingereze Nia Kenya wafrica bhana ujinga wetu mpaka kaburini
tumpongeze huyu mtoto lugha anayo ongea sio lugha mama.anajitahid ndio mwanzo watanzania hata wazungu wanapo ongea kiswahili wanabondoga.badae mtu unajua vizuri.tuwe na utamaduni wakupongezana.zuchu anafanya vizur mno.natumai badae atafanya vizuri zaid.tukumbuke hamonai kwenye bongo ster alichekwa na kubezwa hajui kuimba.leo hamonaiz ansjua anajua anajua tena na nihabari ya mjini.tusipondane wanazengo.kuna wakubwa watu wazima hawawezi kuongea kingereza hata hicho anacho kiongea zuchu.
Bhna uyu mtoto hana kipaji chakuigiza namfatilia sana naomba wazazi wake wamkazanie shule tution kidgo aje awe kiongozi mkubwa badae maswala yakuigiza haweza
Selengo gosto dele desde no tempo do falecido Max. Big up Brow Ben🇲🇿🇲🇿
Hahaaa😂😂😂kingereza cha zuchu kafundishwa na mtu asiyejua naye kakiwakilisha kama kilivyo😂😂
Hahaha 😂😂😂🤣😂🤣🤣 selengo nime cheka mno hahaha 😂😂😂 kizungu shikamoo
😂😂😂😂😂😅 jàmani Eee ngoja nikasome kidogo Ili nijenmsaidie selengoo😂😂😂😂😂
Serengo upo vizuri na uigizaji hasa na watoto❤
🤣🤣😂😂😂Ben na mpenda tangu big daddy 😂😂😂selengo
Been anajuwa
Weee 😂😂😂 English is slapping you hard Baby Zuchu... yani kizungu kinakunyorosha vibaya sana ... 😂😂😂 ,Anyway thats awesome my girl... You put smiles on people's face little angel... Love you from Kenya ❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Yaan kwa serengo kutanoga San ❤❤😅
Serengo huwa yuko funny sana na watoto 😂
😁😁😁😁Serengo talented san
😂😂😂😂😂 kusoma nimuhimu bana eee acha aibu selengo
She speak English very well but pronounce let me rate you 5/10
Zuchu mutoto agiza vizuriashallah mutoto anakipaji mwezi mungu amuzidishiye Kira raheri katika ugizaji wake🥰🥰🥰🥰🇧🇮🇧🇮🇦🇪🇦🇪❤️
Very interesting bb zuchu 😂😂😂
Hahahahahahaha daaaah selengo bana unajuaga kunifraisha brother😂😂😂😂😁😁😁
Selengo kwakweli amenichekesha mno 🤣🤣🤣🤣
Zuchu kabisa Bado ukombali Kwa kizungu kabisa unatakiwa uongee kizungu kizuli wewe ni star
Nimeskiyat hapo kwenye police 😂😂😂mbavu zangu miieeee
Broken English..hata huyu mtto hajui kuongea Vizuri mwenye alimpea hii part bado hakumfundisha Vizuri...
Not bad considering that she comes from a Swahili speaking nation.
Uko sahihi
Haya mnaojua kiingereza ukitaka kuuliza wewe ni mtoto wa ngapi katika familia unasemaje vile kwa kiingereza?
Mmm jamn wivu au nn
Acha criticism za ajabu, most of people understand the language and they don't know it very well so ushajua wana act don't bother. Afu mbona sionagi mkowakosoa wakenya kwa kiswahili wanachoongea. Mpo busy tu na kingereza na si kiswahili, be proud of your native language. I even know the fact that English language across all over the world 🌎 but most of us use it for communication purposes only, the case of grammar is lagging behind and it is not bad; what matters a lot is to understand each other full stop.
You wait, you wait hahahaa🤣🤣🤣
Kingereza cha mtoto sio cha kumjaji kama anajua(broken) au laah, lkn message ilikuwa kutoelewana baina ya pande mbili.
Zuchu kinajua english vzr t bt apo ndo iyo komed ndo mana kanaongea broken ivyo😅😅😅😅
I wish you good performance but is very
You a crazy🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌
Nimekusikia kwenye polisi tu apo ndio nimekuskia 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣selengo bwana
😅😅😅mtoto huyu kazingua kweli kweli selengo nae bana anachekesha🤣🤣🤣
Eeeh hako katoto pia hakajuwi English.....eeeh Tanzanians😂😂😂
Jammmn zuu
Talented kid God bless
Mmmmh baby Zuchu alikuandikia nani hicho kinge mweee aibu sana.
Very talented girl but a little girl miss some pronunciation skills otherwise she is a very talented girl.... Good luck a little girl ❤❤
🤣🤣🤣🤣🤣🤣serengo upo unajificha sana mzee
Awesome
🤣🤣et hiii crazy mbona unaing'ang'ania sanaaa litakuwa tusii njooo hukuu
Selengo kuwa makin huyo anakufunika rudi katika ubiara wako wa jamira kanumba
Good
Zuchu baby you are good in him because people like that needed to chase them away. Police to you just run way
Hiyo kirengeza ya sipika no noma sanaaaa
Kweli kabisa uko very
hizi ndo mambo hapendagi ben 😂😂
Serengo ru football😀😀😀🏃♀️
Ata sikulaumu serengo maana icho kizungu chenyewe dah! Acha tu ila kanajaribu mashallah
😏😏😏
Uhhr cringing😅
Miriamu Odemba Baba Ako Hana Adabu atakwambiaje kuwa huyo mtu mzima ni chizi wakati mtu anakuzaa mbio na ndio kichwani.
Nakuku bali sana
Nimecheka mm selengo 😂😂😂😂😘😘😘
Selenho😂😂😂😂weeeeee
Mtoto ana kipaji, lakini waongozaji nao wamefeli kumsadia kwenye kingereza....
Itakua vyema zaidi mkitoa muvi itakua bomba sana
😅😅😅😅hahahaaaa daaaa jamani
Are football 😂😂😂
Selengo Mbwa sana 😂😂😂
kajitahid ingawaje vingine anapuyanga vya broken😂😂😂
Serengo ww htr🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Heheeee selengooo jibu bas
Kingereza kizur but kuna breaks kidogo Sana mpka ugundue inakuhitaj usikiliza kwa umakin sana
Selengo 😂😂🔥
Etibezi kufanya nini 🤣🤣🤣🤣
Jaman nisaidie nakuomba
Dah ulikuwa wapi Kaka tulikumiss sana kaz zako,nakukubali Sana
Mjukuu wa pwagu na upwaguzi upo kama babu yako
Hahahahaaaa eti hili litakuwa tusi hili halafu mi sielewi
🤣🤣🤣🤣🤣 crazy ndio
🤣🤣🤣serengo akiwa mjusi
Mbona mtoto mwenyew hajui
We don't drink tea but we take but she's trying broken English to no more keep on
Hahahaha selengo bn
😂😂😂😂😂😂😂😂Nimecheka sna serengo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 why always your there and she is the last one. Ati bado wakumbuka the same with uncle JJ. WHY by Sophia kanumba.. wacha kwenda home ya watu every day.she say you are crazy and you repeat the same your crazy 🤪
🎉❤
Mmmmmh nawaona english inapanda kabisa😅😅😅😂😂😂
Are you a Football 😂😂😂😂😂😂
Mwalimu kafeli
Wabongo bwana mnatutia aibu navingereza vyenu Totally Broken
Eti selengo shenzi sana
We 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 love u
Kingereza cha mtoto nacho mtihani ...
Etii mbezi siendi😜😜😜
Hicho kingereza balaa, mnanivunja mbavu,,watanzania watu walijifunza kingereza mkiwa wapi 😂😂😂😂
Kwani ulisikia sisi ni wazungu eti, hiyo ni lugha ya wazungu watu wasipoiyelewa sio mbaya, mbona wao hawajui kiswahili? hembu acheni zenu kama kwenu mwasoma kizungu ni nyie alaaa
@@maryammdoe5801 sasa kama wajua ivyo mbona unalazimisha, sinwonge tu kiswahi, tuna elewa pia
@@queendanisha8444 waache waongee hiyo hiyo broken english ndo kujifuza huko, hawakuzaliwa wanaongea kiingilishi wamesaliwa na kiswahili na nyie mliokwisha soma bas msitucheke sabbu hata nyie sio lugha yenu bali mmesoma, so jifunzeni kukubali lugha yenu ya kiafrica wa Africa ni watu awajabu sana mswahili akikosea kuongea kizungu anachekwa but mzungu akikose kiswahili anapongezwa na kumfurahia nakusema MashaAllah anajifunza kiswahili!! Your very stupid 😒 wallahi, badilikeni acheni ujinga.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@maryammdoe5801 ndio kila watu na lugha lao tumevurugika mpaka tumekuwa watumwa wa lugha za watu kwani kingereze Nia Kenya wafrica bhana ujinga wetu mpaka kaburini
Nimeelewa
😁😁😁😁😁
tumpongeze huyu mtoto lugha anayo ongea sio lugha mama.anajitahid ndio mwanzo watanzania hata wazungu wanapo ongea kiswahili wanabondoga.badae mtu unajua vizuri.tuwe na utamaduni wakupongezana.zuchu anafanya vizur mno.natumai badae atafanya vizuri zaid.tukumbuke hamonai kwenye bongo ster alichekwa na kubezwa hajui kuimba.leo hamonaiz ansjua anajua anajua tena na nihabari ya mjini.tusipondane wanazengo.kuna wakubwa watu wazima hawawezi kuongea kingereza hata hicho anacho kiongea zuchu.
😂😂😂😂😂 badala ya kutoa comment unajibu swali bila kuulzwa😅😅😅😅😅😅
Serengo 😅😅😅😅 kichaa
Bhna uyu mtoto hana kipaji chakuigiza namfatilia sana naomba wazazi wake wamkazanie shule tution kidgo aje awe kiongozi mkubwa badae maswala yakuigiza haweza
kingereza sio kuchekesha mzee hapo ni nyuma ya vidole pana nawa lakini hapali.
Been anajuwa
😄😄😄😄
Baba na mwana
Tusapotiane kwa kusubscribe
Hahahahaha
Mshenzi babake
Na kukubal San selengo
Yan kwanza nilimic vichekesho vyako brother mpaka sio poa
Sio yeye tu hata wewe najua unapgwa solo vizur
Serengo wee acha kupotea jmn
Dogo hujui ngeli
Jamni fundishe watoto English vizuri
😂😂😂😂😂😂
Kingeresaaaaa
🤣🤣🤣🤣🤣
😆😆😆😆😆😅😅
🤣🤣🤣