Zuchu baby na Selengo kimewaka English yamzalilisha mtu mzima utacheka

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 159

  • @armandoleonardo6966
    @armandoleonardo6966 21 день назад

    Selengo gosto dele desde no tempo do falecido Max. Big up Brow Ben🇲🇿🇲🇿

  • @imanidaraja8275
    @imanidaraja8275 Год назад +4

    Hahaaa😂😂😂kingereza cha zuchu kafundishwa na mtu asiyejua naye kakiwakilisha kama kilivyo😂😂

  • @hlimaa5182
    @hlimaa5182 Год назад +5

    Hahaha 😂😂😂🤣😂🤣🤣 selengo nime cheka mno hahaha 😂😂😂 kizungu shikamoo

  • @jovithakawimbe7472
    @jovithakawimbe7472 11 месяцев назад +1

    😂😂😂😂😂😅 jàmani Eee ngoja nikasome kidogo Ili nijenmsaidie selengoo😂😂😂😂😂

  • @VeronicaHerman-sg2vk
    @VeronicaHerman-sg2vk Год назад +2

    Serengo upo vizuri na uigizaji hasa na watoto❤

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Год назад +10

    🤣🤣😂😂😂Ben na mpenda tangu big daddy 😂😂😂selengo

  • @tamarablack254
    @tamarablack254 Год назад +3

    Weee 😂😂😂 English is slapping you hard Baby Zuchu... yani kizungu kinakunyorosha vibaya sana ... 😂😂😂 ,Anyway thats awesome my girl... You put smiles on people's face little angel... Love you from Kenya ❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @mymuhnabdallahshaban7763
    @mymuhnabdallahshaban7763 Год назад +5

    Yaan kwa serengo kutanoga San ❤❤😅

  • @EliabApeli-un4th
    @EliabApeli-un4th Год назад +3

    Serengo huwa yuko funny sana na watoto 😂

  • @hagaimadonda9145
    @hagaimadonda9145 Год назад +5

    😁😁😁😁Serengo talented san

  • @joyce2635
    @joyce2635 Год назад +3

    😂😂😂😂😂 kusoma nimuhimu bana eee acha aibu selengo

  • @phoebena4ty
    @phoebena4ty Год назад +8

    She speak English very well but pronounce let me rate you 5/10

  • @aishalovesidibeaisha9156
    @aishalovesidibeaisha9156 Год назад +2

    Zuchu mutoto agiza vizuriashallah mutoto anakipaji mwezi mungu amuzidishiye Kira raheri katika ugizaji wake🥰🥰🥰🥰🇧🇮🇧🇮🇦🇪🇦🇪❤️

    • @KizaFelix
      @KizaFelix Год назад

      Very interesting bb zuchu 😂😂😂

  • @jumamkeya929
    @jumamkeya929 Год назад

    Hahahahahahaha daaaah selengo bana unajuaga kunifraisha brother😂😂😂😂😁😁😁

  • @winnyroda7558
    @winnyroda7558 Год назад +2

    Selengo kwakweli amenichekesha mno 🤣🤣🤣🤣

  • @user-ut5ns5nd7i
    @user-ut5ns5nd7i 4 месяца назад

    Zuchu kabisa Bado ukombali Kwa kizungu kabisa unatakiwa uongee kizungu kizuli wewe ni star

  • @happyqueenf
    @happyqueenf Год назад +2

    Nimeskiyat hapo kwenye police 😂😂😂mbavu zangu miieeee

  • @priscaneema6174
    @priscaneema6174 Год назад +17

    Broken English..hata huyu mtto hajui kuongea Vizuri mwenye alimpea hii part bado hakumfundisha Vizuri...

    • @brendakilimo4100
      @brendakilimo4100 Год назад +4

      Not bad considering that she comes from a Swahili speaking nation.

    • @lenoxbuhanza4926
      @lenoxbuhanza4926 Год назад

      Uko sahihi

    • @melkiadesmogella6402
      @melkiadesmogella6402 Год назад +3

      Haya mnaojua kiingereza ukitaka kuuliza wewe ni mtoto wa ngapi katika familia unasemaje vile kwa kiingereza?

    • @victormziray5358
      @victormziray5358 Год назад

      Mmm jamn wivu au nn

    • @officialfredrickjacobtz2111
      @officialfredrickjacobtz2111 Год назад +2

      Acha criticism za ajabu, most of people understand the language and they don't know it very well so ushajua wana act don't bother. Afu mbona sionagi mkowakosoa wakenya kwa kiswahili wanachoongea. Mpo busy tu na kingereza na si kiswahili, be proud of your native language. I even know the fact that English language across all over the world 🌎 but most of us use it for communication purposes only, the case of grammar is lagging behind and it is not bad; what matters a lot is to understand each other full stop.

  • @gracejoshua6519
    @gracejoshua6519 Год назад

    You wait, you wait hahahaa🤣🤣🤣

  • @daudiemmanuel451
    @daudiemmanuel451 Год назад

    Kingereza cha mtoto sio cha kumjaji kama anajua(broken) au laah, lkn message ilikuwa kutoelewana baina ya pande mbili.

  • @mwajumsleman9070
    @mwajumsleman9070 Год назад +1

    Zuchu kinajua english vzr t bt apo ndo iyo komed ndo mana kanaongea broken ivyo😅😅😅😅

  • @user-dt7sk3es1u
    @user-dt7sk3es1u 5 месяцев назад

    I wish you good performance but is very

  • @wazdanygao3118
    @wazdanygao3118 Год назад +1

    You a crazy🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌

  • @margaretmay5840
    @margaretmay5840 Год назад +2

    Nimekusikia kwenye polisi tu apo ndio nimekuskia 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣selengo bwana

  • @winnyroda7558
    @winnyroda7558 Год назад

    😅😅😅mtoto huyu kazingua kweli kweli selengo nae bana anachekesha🤣🤣🤣

  • @HillaryEliab
    @HillaryEliab 2 месяца назад

    Eeeh hako katoto pia hakajuwi English.....eeeh Tanzanians😂😂😂

  • @najmmohammed6643
    @najmmohammed6643 Год назад

    Jammmn zuu

  • @cittaboy
    @cittaboy Год назад +3

    Talented kid God bless

  • @annafrancis7313
    @annafrancis7313 11 месяцев назад

    Mmmmh baby Zuchu alikuandikia nani hicho kinge mweee aibu sana.

  • @Vboy255
    @Vboy255 Год назад

    Very talented girl but a little girl miss some pronunciation skills otherwise she is a very talented girl.... Good luck a little girl ❤❤

  • @yasodishonest9792
    @yasodishonest9792 Год назад

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣serengo upo unajificha sana mzee

  • @abellymwambwiga
    @abellymwambwiga Год назад

    Awesome

  • @vituspeles1553
    @vituspeles1553 Год назад

    🤣🤣et hiii crazy mbona unaing'ang'ania sanaaa litakuwa tusii njooo hukuu

  • @boythenuru4125
    @boythenuru4125 Год назад

    Selengo kuwa makin huyo anakufunika rudi katika ubiara wako wa jamira kanumba

  • @DogofaldoTz
    @DogofaldoTz 10 дней назад

    Good

  • @praxedaandrewkato7472
    @praxedaandrewkato7472 Год назад

    Zuchu baby you are good in him because people like that needed to chase them away. Police to you just run way

  • @masaimojaone8028
    @masaimojaone8028 Год назад

    Hiyo kirengeza ya sipika no noma sanaaaa

  • @JamalRamadhani-yi6st
    @JamalRamadhani-yi6st Год назад

    Kweli kabisa uko very

  • @enekeofficial4387
    @enekeofficial4387 Год назад

    hizi ndo mambo hapendagi ben 😂😂

  • @mejumaabaraza3989
    @mejumaabaraza3989 Год назад

    Serengo ru football😀😀😀🏃‍♀️

  • @monicaumazi7278
    @monicaumazi7278 Год назад +1

    Ata sikulaumu serengo maana icho kizungu chenyewe dah! Acha tu ila kanajaribu mashallah

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 Год назад +1

    Miriamu Odemba Baba Ako Hana Adabu atakwambiaje kuwa huyo mtu mzima ni chizi wakati mtu anakuzaa mbio na ndio kichwani.

  • @Rameck-lx8jg
    @Rameck-lx8jg Месяц назад

    Nakuku bali sana

  • @zulfasaeed7445
    @zulfasaeed7445 Год назад

    Nimecheka mm selengo 😂😂😂😂😘😘😘

  • @user-yj9hj8dc9q
    @user-yj9hj8dc9q 10 месяцев назад

    Selenho😂😂😂😂weeeeee

  • @albertmchopa4786
    @albertmchopa4786 Год назад +1

    Mtoto ana kipaji, lakini waongozaji nao wamefeli kumsadia kwenye kingereza....

  • @boythenuru4125
    @boythenuru4125 Год назад

    Itakua vyema zaidi mkitoa muvi itakua bomba sana

  • @OscarjonasMbughi
    @OscarjonasMbughi Год назад

    😅😅😅😅hahahaaaa daaaa jamani

  • @Gabonfreeman
    @Gabonfreeman 9 месяцев назад

    Are football 😂😂😂

  • @Chui_lama_chui
    @Chui_lama_chui Год назад

    Selengo Mbwa sana 😂😂😂

  • @bajakisonzo4935
    @bajakisonzo4935 Год назад

    kajitahid ingawaje vingine anapuyanga vya broken😂😂😂

  • @mkasysaidswalleh9222
    @mkasysaidswalleh9222 Год назад

    Serengo ww htr🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @upendoelia4160
    @upendoelia4160 Год назад

    Heheeee selengooo jibu bas

  • @farajimgunya6468
    @farajimgunya6468 Год назад

    Kingereza kizur but kuna breaks kidogo Sana mpka ugundue inakuhitaj usikiliza kwa umakin sana

  • @godfreyally-ps3fo
    @godfreyally-ps3fo Год назад

    Selengo 😂😂🔥

  • @adivi4447
    @adivi4447 Год назад

    Etibezi kufanya nini 🤣🤣🤣🤣

  • @KeziaIssaya-we8fe
    @KeziaIssaya-we8fe Год назад

    Jaman nisaidie nakuomba

  • @farajajosephat6022
    @farajajosephat6022 Год назад

    Dah ulikuwa wapi Kaka tulikumiss sana kaz zako,nakukubali Sana

  • @tinershayo6191
    @tinershayo6191 Год назад

    Mjukuu wa pwagu na upwaguzi upo kama babu yako

  • @frankhoffa8356
    @frankhoffa8356 Год назад

    Hahahahaaaa eti hili litakuwa tusi hili halafu mi sielewi

  • @faridaabdallah7424
    @faridaabdallah7424 Год назад

    🤣🤣🤣🤣🤣 crazy ndio

  • @winniembodze5378
    @winniembodze5378 Год назад

    🤣🤣🤣serengo akiwa mjusi

  • @timedysonmwakafwila870
    @timedysonmwakafwila870 Год назад

    Mbona mtoto mwenyew hajui

  • @wkjshsxbbsbs6392
    @wkjshsxbbsbs6392 Год назад +1

    We don't drink tea but we take but she's trying broken English to no more keep on

  • @magrethephlaim-xr1px
    @magrethephlaim-xr1px Год назад

    Hahahaha selengo bn

  • @ashahamisi2500
    @ashahamisi2500 Год назад +3

    😂😂😂😂😂😂😂😂Nimecheka sna serengo

  • @praxedaandrewkato7472
    @praxedaandrewkato7472 Год назад +2

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 why always your there and she is the last one. Ati bado wakumbuka the same with uncle JJ. WHY by Sophia kanumba.. wacha kwenda home ya watu every day.she say you are crazy and you repeat the same your crazy 🤪

  • @mligochanchan7014
    @mligochanchan7014 Год назад

    🎉❤

  • @efraziamedard7915
    @efraziamedard7915 Год назад

    Mmmmmh nawaona english inapanda kabisa😅😅😅😂😂😂

  • @paulchristian5071
    @paulchristian5071 Год назад

    Are you a Football 😂😂😂😂😂😂

  • @habakukiephes-ld8rd
    @habakukiephes-ld8rd Год назад

    Mwalimu kafeli

  • @rizikimasemo6553
    @rizikimasemo6553 Год назад

    Wabongo bwana mnatutia aibu navingereza vyenu Totally Broken

  • @benjaminkangolo2017
    @benjaminkangolo2017 Год назад

    Eti selengo shenzi sana

  • @zenfazemphyrin-fr1kr
    @zenfazemphyrin-fr1kr Год назад

    We 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 love u

  • @crownpress5512
    @crownpress5512 Год назад

    Kingereza cha mtoto nacho mtihani ...

  • @paulchristian5071
    @paulchristian5071 Год назад

    Etii mbezi siendi😜😜😜

  • @queendanisha8444
    @queendanisha8444 Год назад +2

    Hicho kingereza balaa, mnanivunja mbavu,,watanzania watu walijifunza kingereza mkiwa wapi 😂😂😂😂

    • @maryammdoe5801
      @maryammdoe5801 Год назад +1

      Kwani ulisikia sisi ni wazungu eti, hiyo ni lugha ya wazungu watu wasipoiyelewa sio mbaya, mbona wao hawajui kiswahili? hembu acheni zenu kama kwenu mwasoma kizungu ni nyie alaaa

    • @queendanisha8444
      @queendanisha8444 Год назад +1

      @@maryammdoe5801 sasa kama wajua ivyo mbona unalazimisha, sinwonge tu kiswahi, tuna elewa pia

    • @maryammdoe5801
      @maryammdoe5801 Год назад

      @@queendanisha8444 waache waongee hiyo hiyo broken english ndo kujifuza huko, hawakuzaliwa wanaongea kiingilishi wamesaliwa na kiswahili na nyie mliokwisha soma bas msitucheke sabbu hata nyie sio lugha yenu bali mmesoma, so jifunzeni kukubali lugha yenu ya kiafrica wa Africa ni watu awajabu sana mswahili akikosea kuongea kizungu anachekwa but mzungu akikose kiswahili anapongezwa na kumfurahia nakusema MashaAllah anajifunza kiswahili!! Your very stupid 😒 wallahi, badilikeni acheni ujinga.

    • @Mohabmts
      @Mohabmts Год назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @nyembomajid1262
      @nyembomajid1262 Год назад +1

      @@maryammdoe5801 ndio kila watu na lugha lao tumevurugika mpaka tumekuwa watumwa wa lugha za watu kwani kingereze Nia Kenya wafrica bhana ujinga wetu mpaka kaburini

  • @upendoelia4160
    @upendoelia4160 Год назад

    Nimeelewa

  • @hamidasaidy9871
    @hamidasaidy9871 Год назад

    😁😁😁😁😁

  • @jumaamartin7929
    @jumaamartin7929 Год назад

    tumpongeze huyu mtoto lugha anayo ongea sio lugha mama.anajitahid ndio mwanzo watanzania hata wazungu wanapo ongea kiswahili wanabondoga.badae mtu unajua vizuri.tuwe na utamaduni wakupongezana.zuchu anafanya vizur mno.natumai badae atafanya vizuri zaid.tukumbuke hamonai kwenye bongo ster alichekwa na kubezwa hajui kuimba.leo hamonaiz ansjua anajua anajua tena na nihabari ya mjini.tusipondane wanazengo.kuna wakubwa watu wazima hawawezi kuongea kingereza hata hicho anacho kiongea zuchu.

    • @manp.....7694
      @manp.....7694 21 день назад

      😂😂😂😂😂 badala ya kutoa comment unajibu swali bila kuulzwa😅😅😅😅😅😅

  • @joycesinkala225
    @joycesinkala225 Год назад

    Serengo 😅😅😅😅 kichaa

  • @rynemac99
    @rynemac99 Год назад

    Bhna uyu mtoto hana kipaji chakuigiza namfatilia sana naomba wazazi wake wamkazanie shule tution kidgo aje awe kiongozi mkubwa badae maswala yakuigiza haweza

  • @elispiuselias1339
    @elispiuselias1339 Год назад

    kingereza sio kuchekesha mzee hapo ni nyuma ya vidole pana nawa lakini hapali.

  • @lawijosephezekieli1078
    @lawijosephezekieli1078 Год назад

    Been anajuwa

  • @leoniekimpampa8689
    @leoniekimpampa8689 Год назад

    😄😄😄😄

  • @shadyahamy4681
    @shadyahamy4681 Год назад

    Baba na mwana

  • @michaelbaseke9894
    @michaelbaseke9894 Год назад

    Tusapotiane kwa kusubscribe

  • @noreenalbert9694
    @noreenalbert9694 Год назад +1

    Hahahahaha

  • @Mommy4147
    @Mommy4147 Год назад

    Mshenzi babake

  • @pelusiemanueli6926
    @pelusiemanueli6926 Год назад

    Na kukubal San selengo

  • @jumamkeya929
    @jumamkeya929 Год назад

    Yan kwanza nilimic vichekesho vyako brother mpaka sio poa

  • @PeterKanza-lp3zd
    @PeterKanza-lp3zd Год назад

    Sio yeye tu hata wewe najua unapgwa solo vizur

  • @purityneema218
    @purityneema218 Год назад

    Serengo wee acha kupotea jmn

  • @mbwanamtessa8607
    @mbwanamtessa8607 Год назад

    Dogo hujui ngeli

  • @candy9969
    @candy9969 Год назад

    Jamni fundishe watoto English vizuri

  • @ClarisThoya-xu3rg
    @ClarisThoya-xu3rg Год назад

    😂😂😂😂😂😂

  • @SandraAFmgaya
    @SandraAFmgaya Год назад

    Kingeresaaaaa

  • @hawaalbalushi6189
    @hawaalbalushi6189 Год назад

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @dorothystone1848
    @dorothystone1848 Год назад

    😆😆😆😆😆😅😅

  • @sakinasampamba705
    @sakinasampamba705 Год назад

    🤣🤣🤣