#EXCLUSIVE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • #EXCLUSIVE: PAULA AFICHUA ya UJAUZITO wa MARIOO - "SIWEZI KUJIFICHA - NAHISI NIMEKUA"....
    CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
    ========================
    Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PESA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 57

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  11 месяцев назад +2

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u6Dk3QxRsVCJ7kW2e

  • @JaymohItalia
    @JaymohItalia 11 месяцев назад +6

    Haya do maneno nandy aliyosema interview so she is prrgnant congraturations🎉🎉🎉

  • @JeandedieuMusava
    @JeandedieuMusava 3 месяца назад +1

    Paula we ni mzuri wakati wote❤❤❤

  • @claressahassan4264
    @claressahassan4264 2 месяца назад +1

    Kazul can❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @GodfreyChacha-p7c
    @GodfreyChacha-p7c 8 месяцев назад +2

    Wewe nimuzur Sana Paula ogera ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @kamarhelo
    @kamarhelo 11 месяцев назад +12

    Paura mzuri jamani fayma haoni ndani

  • @CarineMwimbi
    @CarineMwimbi 6 месяцев назад +2

    Nakupenda sana paul❤❤❤

  • @GeorgetteDouce
    @GeorgetteDouce 9 месяцев назад +1

    Paula nakupenda kinoma yani❤❤❤❤

  • @ZainabuRajab
    @ZainabuRajab 5 месяцев назад +1

    Favorite ♥️♥️♥️♥️♥️ I love you girl

  • @enjobw5682
    @enjobw5682 11 месяцев назад +3

    Da pau ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ ka pole sana

  • @Rehmathathman23
    @Rehmathathman23 11 месяцев назад +4

    Da Pau we mzuri bila make-up ukipaka make-up haupendez kwakwel😊

  • @girukwishakapechatte2800
    @girukwishakapechatte2800 10 месяцев назад +1

    Nakupenda paul❤

  • @monikavikota3010
    @monikavikota3010 7 месяцев назад +1

    Hongera sn bext

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 11 месяцев назад +7

    akiongea unajua kama ni mja mzito hajisikii vizuri unamuona

  • @JokhaJoko
    @JokhaJoko 11 месяцев назад +1

    Paula nakupenda sana

  • @BintGavuga
    @BintGavuga 11 месяцев назад

    Innalillah wainallilahi rajiiuun,wewe mbele ss nyuma,mungu ailaze roho yake mahali pema palipo na wema

  • @neemapraigory8832
    @neemapraigory8832 11 месяцев назад +1

    Nakupenda sana dada pau

  • @AngelMushi-ik7to
    @AngelMushi-ik7to 11 месяцев назад +1

    Hongera dear

  • @RuiyaPolo
    @RuiyaPolo 12 дней назад

    ❤❤❤🎉🎉🎉

  • @NahishakiyeMagnifique
    @NahishakiyeMagnifique 4 месяца назад

    ❤❤❤❤

  • @salima2658
    @salima2658 11 месяцев назад +5

    Ana akili sana huyu bint

  • @KelvinWilliam-h9f
    @KelvinWilliam-h9f 11 месяцев назад +6

    Mimba unayo mama karibu ukubwani
    😅😅😅😅😅

    • @WITYDijja
      @WITYDijja 11 месяцев назад +1

      Ndiy yaan ana mimba kabisa

  • @sashamotana3490
    @sashamotana3490 11 месяцев назад

    Hongera mumy

  • @LindaMbilinyi-p8s
    @LindaMbilinyi-p8s 11 месяцев назад +8

    Bas tutaambiwa hili duka la millioni 100😂😂😂😂😂limepwaya kbsaa khaaa😅

  • @phorahmahaza638
    @phorahmahaza638 11 месяцев назад +2

    Kama Yuko na mimba siniyakwake 😂ila kama ukonayo kweli mama karibu kwenye ulimwengu wa single mama😅

    • @miriamwinston9908
      @miriamwinston9908 11 месяцев назад

      Single mama wewe sio kuwaombea wengine watu wanatunzwa bwana pambana msyuuu roho mbayaa tu

  • @praisesteven7774
    @praisesteven7774 11 месяцев назад +1

    ety elf 50 kuendeleaaa 😂😂🤣

  • @lilianeerica3318
    @lilianeerica3318 11 месяцев назад

    Mtangazaji amekohoa akisikia hiyo bei ya kawaida😮😊😂😂😂😂😂

  • @hanifahkhamiss8485
    @hanifahkhamiss8485 11 месяцев назад

    Heeeee kuanzia elf50.....

  • @elizabethmwalo8424
    @elizabethmwalo8424 10 месяцев назад

    Na Leo mbona Leo si mweupe kama anavyokuwa wakati zingine, ama ni filter?

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th 11 месяцев назад +5

    kama bei ya kawaida 50000 mi niseme tu hizo nguo niwaachie tu watanzania wenzangu mie nabaki mwenge na kariakoo

  • @elizabethmwalo8424
    @elizabethmwalo8424 10 месяцев назад

    Mbona hakuna mimba?

  • @LindaMbilinyi-p8s
    @LindaMbilinyi-p8s 11 месяцев назад +3

    Katoto kazur Ila Bei punguza dear

  • @carolinemahenge1674
    @carolinemahenge1674 11 месяцев назад +1

    Tutakuja kwa bei ya kawaida 50000/😂

  • @barbarajoh316
    @barbarajoh316 10 месяцев назад

    kweli wigi ni kero kila saa kujiweka sawa

  • @NeemaLwoga-s4c
    @NeemaLwoga-s4c 9 месяцев назад

    Hana ata mimba ila pau ni mzr

  • @swissvany55
    @swissvany55 11 месяцев назад +1

    Kuanzia 50000 kuendelea!!!!sio kushuka chini!!???

  • @fatumakiwera7145
    @fatumakiwera7145 11 месяцев назад +2

    Aongeze nguo duka limepwaya

    • @stellahlinusi8215
      @stellahlinusi8215 11 месяцев назад

      sana duka lime pwaya

    • @fatumamahoiga3978
      @fatumamahoiga3978 11 месяцев назад +1

      Mwanzo Mugumu' Paul Mzuri jamani

    • @roseamon7906
      @roseamon7906 11 месяцев назад +1

      Kabisa mwanzo mgumu Raha ya Ngoma ingia ucheze

    • @upendoabraham2010
      @upendoabraham2010 11 месяцев назад

      Ni vizuri kaanza kidogo likimlipa ataongeza

    • @HappyAlufred
      @HappyAlufred 11 месяцев назад +1

      mmh lako limejaaaaa

  • @michelinemapendo6652
    @michelinemapendo6652 11 месяцев назад +1

    PILAU , WALI , 🤦‍♀️ Mimi sielewiiii

  • @carolinemahenge1674
    @carolinemahenge1674 11 месяцев назад +2

    Ndo 50000 bei ya kawaida😂