MAMA ASIMULIA ALIVYOTAPELIWA LAKI 3 AMUONE WAZIRI WA ARDHI - WAZIRI SILAA AMREJESHEA LAKI 4...
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- MAMA ASIMULIA ALIVYOTAPELIWA LAKI 3 AMUONE WAZIRI WA ARDHI - WAZIRI SILAA AMREJESHEA LAKI 4...
Aneth Nkinda Mkazi wa kimara Baruti amerejeshewa kiasi cha laki 4 na Waziri wa Ardhi nyumba na maendeleo ya makazi Mhe. Jerry Silaa baada ya kudai kutapeliwa kiasi cha laki shilingi laki tatu na watu waliotaka kumkutanisha na waziri wa ardhi ili aweze kumsaidia shida yake.
Aidha Waziri Silaa ametia wito kwa wito kwa watanzania kwa kuwafahamisha kumuona waziri hakuna gharama yoyote na popote wamueleze changamoto zao kwani ndio maelekezo ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
Tungepata mawazili kumi kama jerry silaa hakika ccm ingefutiwa madhaifu yote ya huko nyuma, baba amejaliwa tabasam la haki pongezi kwa mama alie kuona keep it up ww ni hodari mucha mungu haswaaaaaaa.
Mimi sijawah comment huku ila hi ya leo imenigusa Mungu akubariki waziri
This guy is exceptional. You’re blessed bro … make sure these crooks are punished 🙏🏴
Mungu akulibde wee KIJANA Waziri
Mungu akubariki sana❤❤
Jerry anatosha hapo Mbeleni Mungu Amuweke na asibadilike
Unatoa funzo kubwa sana kwa viongozi wabinafsi wanaodhani wakifa wazikwa na mali
Njoo songwe
SILAA si mbaya jamani hana faya kazi ya haki kabisaa
Nani kasema ni mbaya? Watenda haki huchukiwa na wabadhirifu na wabinafsi
Mwenyezi Mungu akubariki na kukuzidishia pale ulipotoa. Tafadhali fuatilia hao watumishi wasio waaminifu katika Wizara unayoiongoza.
nimefanya kazi serikalini nawajua vzr hawa na hao inawezekana kabisa ni vishoka wa waziri Silaa ndiyo maana husikii waziri akisema atawachukulia hatua wausika
Wasajili wa arthi na wanasheriya wa serikali ni corrupt give them pink slip
Mh silaa kukulipa sisi kama binadam hatutoweza itoshe kusema mungu awe upande wako milele.
Na nitasema Tena kila mara na sitochoka,Mungu amlinde huyu waziri mzuri mpenda haki na watu ! Mungu ampe maisha marefu huyu waziri silaah pamoja nama waziri wengine wenye kuchapa kazi katika jamuhuri hii ya muungano wa jamuhuri ya Tanzania,Mama suluhu raisi wa wananchi Mungu akulinde na akuepushie kila la Shari! Akuzidishie kheri.. amiin ya Rabb 🤲🤲
Where hv u been before????Kuna mchwa hapo wizarani hatari. Hata shetani anaogopa Kuja kuhudumiwa hapo
Mungu akubariki Waziri Nani kama wewe
Mungu Daima akutangulie katika Majukumu yako
Mh waziri Jerry silaa sisi tuliombali unatusaidiaje kwe viwanja vyetu
Watumishi wa Serikali mnaopenda kazi zenu , familia zenu, na maisha yenu, kuweni waangalifu sana na tamaa zisizo na msingi. Zama zimebadilika, haswa kwenye Wizara hii 🙏🏽
Waziri kwanini usiwaite kama makonda waje wajib hapo?
@@emmanuelmlowe-ew7gx Watafuatiliwa. Hakuna haja ya kufanya adharani; sio ustaarabu
We need more ministers like I support you no matter how from inside my heart.we follow you even we are away from our home
Mungu akulinde Bwana Jerry
Angekuwa Mh Makonda anawaita hapo hapo wajibu
Waziri lini nikuone nikuweke mngogoni kama Mtoto yaani unanifurahisha
Hao jamaa warudishe kwanza hiyo hela, ngoma ipo mezani kwa waziri lazima kiwake.
Paka sasa namawiri wng 2 huyu na Uweso balaaa
Hapo napo hata hujui H.E anatapeliwa !
Hiri jembee baadaye raisi wetu huyuu
Ubarikiwe baba ,Mungu akuzidishie pale ulupopunguza.wewe ni mfano wa kuigwa wanasemaga wema hawa
Dada shikamoo pole dadaangu
Kam sio ww bas,makonda ndio rais wang
Waziri Mungu Aendelee Kukulinda Watu Wachache Kama Wewe
Kwa hii KAZI aibu Kwa lukuvi
Hao watumishi wafungwe jela na wafukuzwe kazi bila ya kupeleka mahakamani
Akubal mungu
Waziri nanusu
Kinachoniuma KWANINI hawafukuzwi KAZI
Hatua zitachukuliwa.
Namshukuru sana kaka Jerry uje na mafinga hapa
Tatizo lake mtatulie sio kumpa pesa
IV KAKA SLAA IV NAIBU WAKO AONI AIBU HEEEEEEE AWE NA UBINADAM AWE KUSAIDIA SIJUI KMA NALIONA IL
Mungu akulinde mh. Silaa.
Jamani kaka Mungu akubariki sana yani unatenda miujiza sana kweli atujawai kumuona waziri kama wewe.
VIVA MH. WAZIRI SILAA....MWENYEZI MUNGU MTUKUFU AKUBARIKI.
watu wanapenda kutembelea upepo hata huyu bibi wa watu wamemtapeli
Waziri ako busy na simu🤣🤣🤣 manina 🤣🤣🤣
MAMA SAMIA ENDELEA NA MOYO EAKO WOTE KUWASAIDIA WATANZANIA MUNGU NDIE MLIPAJI HAKIKA ATAKULIPA.
Basi tuone hao watu Wanachukuliwa hatua sio munaongea tu.
Dr Slaa una BUSARA NA HEKIMA YA HARI YA JUU UBARIKIWE
What I can say God bless you
Waziri Mungu akubariki sana
Mungu akubariki bro Jerry!!
Mungu akubariki brother Jerry
Allah awe nae I’m a speechless to you brother Slaa
Ccm oyee mungu akusadiee
Hii ndio Tz bana weee!!!
Watakomajerer😅
Serikali ya kifisadi
Mungu akubarik
❤❤❤ waziri
Waziri safi sana ww
Asante baba
My president Jerry ❤
Waziri Mungu akubariki.
Waziri Slaa sisi akina mama tunaonewa sana hasa wajane hatusikilizwi wanatuona kama hatuna maana kabisa.