MAMA ASIMULIA ALIVYOTAPELIWA LAKI 3 AMUONE WAZIRI WA ARDHI - WAZIRI SILAA AMREJESHEA LAKI 4...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • MAMA ASIMULIA ALIVYOTAPELIWA LAKI 3 AMUONE WAZIRI WA ARDHI - WAZIRI SILAA AMREJESHEA LAKI 4...
    Aneth Nkinda Mkazi wa kimara Baruti amerejeshewa kiasi cha laki 4 na Waziri wa Ardhi nyumba na maendeleo ya makazi Mhe. Jerry Silaa baada ya kudai kutapeliwa kiasi cha laki shilingi laki tatu na watu waliotaka kumkutanisha na waziri wa ardhi ili aweze kumsaidia shida yake.
    Aidha Waziri Silaa ametia wito kwa wito kwa watanzania kwa kuwafahamisha kumuona waziri hakuna gharama yoyote na popote wamueleze changamoto zao kwani ndio maelekezo ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 67

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  6 месяцев назад +2

    ​​ JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

  • @SylasJacobo
    @SylasJacobo 6 месяцев назад +1

    Tungepata mawazili kumi kama jerry silaa hakika ccm ingefutiwa madhaifu yote ya huko nyuma, baba amejaliwa tabasam la haki pongezi kwa mama alie kuona keep it up ww ni hodari mucha mungu haswaaaaaaa.

  • @graficitv4412
    @graficitv4412 6 месяцев назад +1

    Mimi sijawah comment huku ila hi ya leo imenigusa Mungu akubariki waziri

  • @silverman6930
    @silverman6930 6 месяцев назад +3

    This guy is exceptional. You’re blessed bro … make sure these crooks are punished 🙏🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 4 месяца назад

    Mungu akulibde wee KIJANA Waziri

  • @kassimahmed1831
    @kassimahmed1831 6 месяцев назад

    Mungu akubariki sana❤❤

  • @humudalhashmiy1761
    @humudalhashmiy1761 6 месяцев назад

    Jerry anatosha hapo Mbeleni Mungu Amuweke na asibadilike

  • @PendaelMungure
    @PendaelMungure 6 месяцев назад +1

    Unatoa funzo kubwa sana kwa viongozi wabinafsi wanaodhani wakifa wazikwa na mali

  • @ConsalvaMumbara
    @ConsalvaMumbara 6 месяцев назад

    Njoo songwe

  • @swahilifoodtz6446
    @swahilifoodtz6446 6 месяцев назад

    SILAA si mbaya jamani hana faya kazi ya haki kabisaa

    • @joycekisamo4896
      @joycekisamo4896 6 месяцев назад

      Nani kasema ni mbaya? Watenda haki huchukiwa na wabadhirifu na wabinafsi

  • @josephmathayo5139
    @josephmathayo5139 6 месяцев назад +7

    Mwenyezi Mungu akubariki na kukuzidishia pale ulipotoa. Tafadhali fuatilia hao watumishi wasio waaminifu katika Wizara unayoiongoza.

    • @musa-v3f
      @musa-v3f 6 месяцев назад

      nimefanya kazi serikalini nawajua vzr hawa na hao inawezekana kabisa ni vishoka wa waziri Silaa ndiyo maana husikii waziri akisema atawachukulia hatua wausika

  • @mahamudali1453
    @mahamudali1453 6 месяцев назад +1

    Wasajili wa arthi na wanasheriya wa serikali ni corrupt give them pink slip

  • @SylasJacobo
    @SylasJacobo 6 месяцев назад +1

    Mh silaa kukulipa sisi kama binadam hatutoweza itoshe kusema mungu awe upande wako milele.

  • @saidgawawa8519
    @saidgawawa8519 4 месяца назад

    Na nitasema Tena kila mara na sitochoka,Mungu amlinde huyu waziri mzuri mpenda haki na watu ! Mungu ampe maisha marefu huyu waziri silaah pamoja nama waziri wengine wenye kuchapa kazi katika jamuhuri hii ya muungano wa jamuhuri ya Tanzania,Mama suluhu raisi wa wananchi Mungu akulinde na akuepushie kila la Shari! Akuzidishie kheri.. amiin ya Rabb 🤲🤲

  • @ChristopherKiwanga
    @ChristopherKiwanga 5 месяцев назад

    Where hv u been before????Kuna mchwa hapo wizarani hatari. Hata shetani anaogopa Kuja kuhudumiwa hapo

  • @jackmabirangacharles9398
    @jackmabirangacharles9398 6 месяцев назад +4

    Mungu akubariki Waziri Nani kama wewe
    Mungu Daima akutangulie katika Majukumu yako

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 2 месяца назад

    Mh waziri Jerry silaa sisi tuliombali unatusaidiaje kwe viwanja vyetu

  • @joycekisamo4896
    @joycekisamo4896 6 месяцев назад +5

    Watumishi wa Serikali mnaopenda kazi zenu , familia zenu, na maisha yenu, kuweni waangalifu sana na tamaa zisizo na msingi. Zama zimebadilika, haswa kwenye Wizara hii 🙏🏽

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx 6 месяцев назад

      Waziri kwanini usiwaite kama makonda waje wajib hapo?

    • @joycekisamo4896
      @joycekisamo4896 6 месяцев назад

      @@emmanuelmlowe-ew7gx Watafuatiliwa. Hakuna haja ya kufanya adharani; sio ustaarabu

  • @hassanmwallimu5767
    @hassanmwallimu5767 6 месяцев назад +4

    We need more ministers like I support you no matter how from inside my heart.we follow you even we are away from our home

  • @HusseinKalamba
    @HusseinKalamba 6 месяцев назад +3

    Mungu akulinde Bwana Jerry

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 2 месяца назад

    Angekuwa Mh Makonda anawaita hapo hapo wajibu

  • @estheroscar6520
    @estheroscar6520 6 месяцев назад

    Waziri lini nikuone nikuweke mngogoni kama Mtoto yaani unanifurahisha

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 6 месяцев назад +1

    Hao jamaa warudishe kwanza hiyo hela, ngoma ipo mezani kwa waziri lazima kiwake.

  • @deniskaguo4698
    @deniskaguo4698 6 месяцев назад

    Paka sasa namawiri wng 2 huyu na Uweso balaaa

  • @saifalrajhi5001
    @saifalrajhi5001 6 месяцев назад

    Hapo napo hata hujui H.E anatapeliwa !

  • @Abelsikaonga-p2v
    @Abelsikaonga-p2v 6 месяцев назад +1

    Hiri jembee baadaye raisi wetu huyuu

  • @royalahmed7024
    @royalahmed7024 6 месяцев назад +1

    Ubarikiwe baba ,Mungu akuzidishie pale ulupopunguza.wewe ni mfano wa kuigwa wanasemaga wema hawa

  • @MikidadiMahumbi
    @MikidadiMahumbi 4 месяца назад

    Dada shikamoo pole dadaangu

  • @KelvinJoseph-q1m
    @KelvinJoseph-q1m 6 месяцев назад

    Kam sio ww bas,makonda ndio rais wang

  • @kheriramadhan4603
    @kheriramadhan4603 6 месяцев назад +1

    Waziri Mungu Aendelee Kukulinda Watu Wachache Kama Wewe

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 6 месяцев назад +1

    Kwa hii KAZI aibu Kwa lukuvi

  • @user-sr9js6rj5v
    @user-sr9js6rj5v 6 месяцев назад

    Hao watumishi wafungwe jela na wafukuzwe kazi bila ya kupeleka mahakamani

  • @TomasMwakitalu
    @TomasMwakitalu 4 месяца назад

    Akubal mungu

  • @YusuphMchomvu
    @YusuphMchomvu 6 месяцев назад

    Waziri nanusu

  • @muzneali4747
    @muzneali4747 6 месяцев назад +1

    Kinachoniuma KWANINI hawafukuzwi KAZI

  • @obbybenitho5803
    @obbybenitho5803 6 месяцев назад +1

    Namshukuru sana kaka Jerry uje na mafinga hapa

  • @KimanguShemwaliko-ht2jr
    @KimanguShemwaliko-ht2jr 6 месяцев назад +1

    Tatizo lake mtatulie sio kumpa pesa

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 6 месяцев назад

    IV KAKA SLAA IV NAIBU WAKO AONI AIBU HEEEEEEE AWE NA UBINADAM AWE KUSAIDIA SIJUI KMA NALIONA IL

  • @BeullahBujah-lk3sx
    @BeullahBujah-lk3sx 6 месяцев назад +2

    Mungu akulinde mh. Silaa.

  • @BaloonMacheni
    @BaloonMacheni 6 месяцев назад

    Jamani kaka Mungu akubariki sana yani unatenda miujiza sana kweli atujawai kumuona waziri kama wewe.

  • @MiriamAziz-z5t
    @MiriamAziz-z5t 6 месяцев назад

    VIVA MH. WAZIRI SILAA....MWENYEZI MUNGU MTUKUFU AKUBARIKI.

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 6 месяцев назад

    watu wanapenda kutembelea upepo hata huyu bibi wa watu wamemtapeli

  • @adnanaljabry800
    @adnanaljabry800 6 месяцев назад

    Waziri ako busy na simu🤣🤣🤣 manina 🤣🤣🤣

  • @JaziraMustafa-g9p
    @JaziraMustafa-g9p 6 месяцев назад

    MAMA SAMIA ENDELEA NA MOYO EAKO WOTE KUWASAIDIA WATANZANIA MUNGU NDIE MLIPAJI HAKIKA ATAKULIPA.

  • @lordsm.k-db3wy
    @lordsm.k-db3wy 6 месяцев назад

    Basi tuone hao watu Wanachukuliwa hatua sio munaongea tu.

  • @MzeeKagambo
    @MzeeKagambo 6 месяцев назад

    Dr Slaa una BUSARA NA HEKIMA YA HARI YA JUU UBARIKIWE

  • @JohnMalengua-jh6ps
    @JohnMalengua-jh6ps 6 месяцев назад +1

    What I can say God bless you

  • @ayubumgeyekwa2554
    @ayubumgeyekwa2554 6 месяцев назад +1

    Waziri Mungu akubariki sana

  • @willydugilo3258
    @willydugilo3258 6 месяцев назад +1

    Mungu akubariki bro Jerry!!

  • @pattiemambosasa5420
    @pattiemambosasa5420 6 месяцев назад

    Mungu akubariki brother Jerry

  • @hassanmwallimu5767
    @hassanmwallimu5767 6 месяцев назад

    Allah awe nae I’m a speechless to you brother Slaa

  • @Yasmincurrusa
    @Yasmincurrusa 6 месяцев назад

    Ccm oyee mungu akusadiee

  • @MagrethMallya-we8ui
    @MagrethMallya-we8ui 6 месяцев назад

    Hii ndio Tz bana weee!!!

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 6 месяцев назад

    Watakomajerer😅

  • @OmbeniLuka
    @OmbeniLuka 6 месяцев назад

    Serikali ya kifisadi

  • @Lundege_Hips
    @Lundege_Hips 6 месяцев назад

    Mungu akubarik

  • @peacemwesiga
    @peacemwesiga 6 месяцев назад

    ❤❤❤ waziri

  • @mohddelo
    @mohddelo 6 месяцев назад

    Waziri safi sana ww

  • @aishatest4451
    @aishatest4451 6 месяцев назад

    Asante baba

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 6 месяцев назад

    My president Jerry ❤

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 6 месяцев назад +1

    Waziri Mungu akubariki.

  • @kayombotv9758
    @kayombotv9758 6 месяцев назад

    Waziri Slaa sisi akina mama tunaonewa sana hasa wajane hatusikilizwi wanatuona kama hatuna maana kabisa.