#LIVE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 сен 2024
  • Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE RUclips Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

Комментарии • 19

  • @macmillanmakawia1542
    @macmillanmakawia1542 2 месяца назад +3

    Ndio TLS hiyo,hao wanaotafuta kura,kwanza wangetangaza kususia uchaguzi,hiyo ingeonyesha Nia ya kuibadilisha TLS.

  • @cloudjulius-sf6nw
    @cloudjulius-sf6nw 2 месяца назад +2

    Hao wote sioni kama wanapointi zaana mbona hawatuambi watasimamia nn endapo serikar inakeuka

  • @binsherbal6089
    @binsherbal6089 2 месяца назад +3

    Kwa hivo Mawakili mmeamua bila Aibu kuendelea na mchakato wa Uchaguzi huku mkijua Kuna Haki imenyimwa Kwa mwenzenu?

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon9823 2 месяца назад +1

    Muga kiukweli huwezi kuomba kura za kutaka uongozi kwa kuwatweza waliokuwa Marais wa awali na wako palepale Ni KWELI umewakosea wenzako

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon9823 2 месяца назад

    Levocatus uko vizuri, utakuwa umeibaiba mawazo na stile ya Bon M. Kajunjumele.

  • @georgeanyosisye2182
    @georgeanyosisye2182 Месяц назад

    Uchaguzi wa tielos huu basi tuu tunawasubiri kwenye sanduku la kura.

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fg 2 месяца назад +1

    Acheni umamluki wenzenzenu wanaenguliwa nyie mnaendelea na uchaguzi,

  • @FloridaAdelinus
    @FloridaAdelinus 2 месяца назад

    Huyo wa ICC alishindwa kututetea katika kesi zinazotukumba hadi tunapigwa faini, huyo hafai.

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon9823 2 месяца назад +1

    Mzee ameleta story tu, hajaeleza atafanya nini kwa mawakili, na wananchi kisheria.

  • @FloridaAdelinus
    @FloridaAdelinus 2 месяца назад

    Rais wa TLS akitenda haki na kuwafanya wanachama watimize wajibu kama inavyotakiwa. Je atajiepusha vipi na kamati ya maadili itakayomhukumu nje ya vifungu? atashangaa anaburutwa katika kamati ya maadili na kufutiwa uwakili kama Shangazi. Ukitenda haki katika Kisiwa cha Amani utaambiwa hauna maadili.

  • @FloridaAdelinus
    @FloridaAdelinus 2 месяца назад

    Hawa ni wale wale wazee wa kujipendekeza, haki sawa hawana ndiyo maana wameamua kuendelea kujinadi wakati wakijua wenzao hawajatendewa haki yawezekana hawa ni mojawapo ya kamati ya rufaa.

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Месяц назад

    Anatakiwa Mwambukusi na Fatuma nyie wengine waoga kuwatetea wanyonge maskini walalahoi wazee wamachinga

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon9823 2 месяца назад

    Ya Kale ni dhahabu, sikutegemea Mzee ataweza kujibu maswali yoteee aliyoulizwa kwa umakini, yuko vizuri. Wameuliza maswali mengii ya kumchanganya but ameweza kuyajibu .

  • @leodgardotmar7198
    @leodgardotmar7198 2 месяца назад +1

    You talk nonsense, how do you rate teachers ? Total ba

  • @mossessimon2493
    @mossessimon2493 2 месяца назад

    Huyo mzee katokea wapi

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 2 месяца назад +1

    Madeleka umeenda Hapo ingali Mwabukusi hayupo.

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon9823 2 месяца назад +1

    Nashangaa hata Peter Madeleka ameshiriki kwenye uchaguzi huo ambao Boniface Mwambukusi amefanyiwa figisu za hovyo. Nimeshindwa kukuelewa wewe Peter Madeleka

  • @Kwelihukuwekahuru
    @Kwelihukuwekahuru 2 месяца назад +1

    Huyu hafai kwani ni mroho tu wa madaraka wakati anajua kuna mwenzao analalamikia mchakato