Rais wa TLS akitenda haki na kuwafanya wanachama watimize wajibu kama inavyotakiwa. Je atajiepusha vipi na kamati ya maadili itakayomhukumu nje ya vifungu? atashangaa anaburutwa katika kamati ya maadili na kufutiwa uwakili kama Shangazi. Ukitenda haki katika Kisiwa cha Amani utaambiwa hauna maadili.
Hawa ni wale wale wazee wa kujipendekeza, haki sawa hawana ndiyo maana wameamua kuendelea kujinadi wakati wakijua wenzao hawajatendewa haki yawezekana hawa ni mojawapo ya kamati ya rufaa.
Ya Kale ni dhahabu, sikutegemea Mzee ataweza kujibu maswali yoteee aliyoulizwa kwa umakini, yuko vizuri. Wameuliza maswali mengii ya kumchanganya but ameweza kuyajibu .
Nashangaa hata Peter Madeleka ameshiriki kwenye uchaguzi huo ambao Boniface Mwambukusi amefanyiwa figisu za hovyo. Nimeshindwa kukuelewa wewe Peter Madeleka
Ndio TLS hiyo,hao wanaotafuta kura,kwanza wangetangaza kususia uchaguzi,hiyo ingeonyesha Nia ya kuibadilisha TLS.
Hao wote sioni kama wanapointi zaana mbona hawatuambi watasimamia nn endapo serikar inakeuka
Kwa hivo Mawakili mmeamua bila Aibu kuendelea na mchakato wa Uchaguzi huku mkijua Kuna Haki imenyimwa Kwa mwenzenu?
HAKI HUINUA TAIFA
Muga kiukweli huwezi kuomba kura za kutaka uongozi kwa kuwatweza waliokuwa Marais wa awali na wako palepale Ni KWELI umewakosea wenzako
Levocatus uko vizuri, utakuwa umeibaiba mawazo na stile ya Bon M. Kajunjumele.
Uchaguzi wa tielos huu basi tuu tunawasubiri kwenye sanduku la kura.
Acheni umamluki wenzenzenu wanaenguliwa nyie mnaendelea na uchaguzi,
Huyo wa ICC alishindwa kututetea katika kesi zinazotukumba hadi tunapigwa faini, huyo hafai.
Mzee ameleta story tu, hajaeleza atafanya nini kwa mawakili, na wananchi kisheria.
Rais wa TLS akitenda haki na kuwafanya wanachama watimize wajibu kama inavyotakiwa. Je atajiepusha vipi na kamati ya maadili itakayomhukumu nje ya vifungu? atashangaa anaburutwa katika kamati ya maadili na kufutiwa uwakili kama Shangazi. Ukitenda haki katika Kisiwa cha Amani utaambiwa hauna maadili.
Hawa ni wale wale wazee wa kujipendekeza, haki sawa hawana ndiyo maana wameamua kuendelea kujinadi wakati wakijua wenzao hawajatendewa haki yawezekana hawa ni mojawapo ya kamati ya rufaa.
Anatakiwa Mwambukusi na Fatuma nyie wengine waoga kuwatetea wanyonge maskini walalahoi wazee wamachinga
Ya Kale ni dhahabu, sikutegemea Mzee ataweza kujibu maswali yoteee aliyoulizwa kwa umakini, yuko vizuri. Wameuliza maswali mengii ya kumchanganya but ameweza kuyajibu .
You talk nonsense, how do you rate teachers ? Total ba
Huyo mzee katokea wapi
Madeleka umeenda Hapo ingali Mwabukusi hayupo.
Nashangaa hata Peter Madeleka ameshiriki kwenye uchaguzi huo ambao Boniface Mwambukusi amefanyiwa figisu za hovyo. Nimeshindwa kukuelewa wewe Peter Madeleka
Huyu hafai kwani ni mroho tu wa madaraka wakati anajua kuna mwenzao analalamikia mchakato