HOUSE GIRL EP 39 || love story💞💕

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 окт 2024
  • #bongomovie #housegirl

Комментарии • 620

  • @busatitv
    @busatitv  2 месяца назад +83

    HOUSE GIRL FANS WHATSAPP
    chat.whatsapp.com/CssprKjGJcP3Xcwj3Jlusl

  • @FATMARAHMARahma
    @FATMARAHMARahma 2 месяца назад +101

    Wanao ona maman kendy na bibi niwatu muhimu sana kwenye team zuu gongeni like hapa

    • @ABIGAIL67-tria
      @ABIGAIL67-tria 2 месяца назад +1

      Alipata Long time ago already

    • @lucyrif-np8ik
      @lucyrif-np8ik 2 месяца назад

      Mm wa kwanza hapa🎉🎉🎉🎉🎉

  • @isabellahchuma
    @isabellahchuma 2 месяца назад +82

    Nilikuwa naingoja imagine hadi sai😅🎉🎉mnipee like hata moja sijai omba😅

  • @Rizikialiamechannel763
    @Rizikialiamechannel763 2 месяца назад +46

    Kweli macho yngu daaa nyie ctaki kusikia mm wa mwanzo weken like za kutosha kma uko macho 😂😂😂 from Oman 🇴🇲

    • @DevotaSamsohn
      @DevotaSamsohn 2 месяца назад +1

      Wana omani oyeeeeee me npo

    • @JanethMasima
      @JanethMasima 2 месяца назад

      Jamani naomba watoe haraka movie hii haraka wanatukosha??????😢🤗🤔

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 2 месяца назад +34

    Ila busatiiii umenipa moyo wa subira ila busatiiii nitashindwa vumilia 😢 # busati tv mpo vizuri 🎉🎉🎉🎉 👍

  • @NyotaWilondja-c4i
    @NyotaWilondja-c4i 2 месяца назад +23

    Wakwanza Leo Ni peni like nzangu from USA Leo ❤❤❤❤

  • @PeninaQueen
    @PeninaQueen 2 месяца назад +22

    😊jamani mimi Sipend ihi movie
    Ihishe mapema nani mwengin anakubaliana na mimi❤❤👍

  • @sumayyahmanyasi453
    @sumayyahmanyasi453 2 месяца назад +22

    Ila sania kama kaamua kubadilika abadilishe na mavazi kidog ❤❤❤

    • @REHEMANCHALIKA
      @REHEMANCHALIKA 2 месяца назад +1

      Nasona comment nataka kusema hvyo kumbe ushanitangulia point takken kwa wanabusat🇰🇪🇰🇪

  • @mohamedlopa8410
    @mohamedlopa8410 2 месяца назад +57

    Kama unahiman babake kai ata msamehe mwanae gonga like zakutosha,,,
    😂😂😂❤❤❤😂😂😂l

  • @mapesaomary-ip3vf
    @mapesaomary-ip3vf 2 месяца назад +19

    Wengine zam yenu ni kesho mungu akipenda tulio kubali kuwa macho ndio tumewai

  • @susana7645
    @susana7645 2 месяца назад +104

    Team strong number one mnipe like

    • @Husna-dj1zq
      @Husna-dj1zq 2 месяца назад +2

      Mambo

    • @zainabzwena3156
      @zainabzwena3156 2 месяца назад +1

      Sisi ndo tuko usijali❤❤❤😊

    • @Husna-dj1zq
      @Husna-dj1zq 2 месяца назад

      @@zainabzwena3156 mamb upo Omani mi nipo Iraqi

  • @OmbeniShendwaDaniel
    @OmbeniShendwaDaniel 2 месяца назад +31

    Leo wa kwanza toka Africa kisini nipeni basi hata likes 10 tuu

    • @JoyceAndrea-yt1vg
      @JoyceAndrea-yt1vg 2 месяца назад +1

      Zimeisha

    • @UmmyZakiah
      @UmmyZakiah 2 месяца назад

      kumbe ni afrika kisini 😂😂mm nikajua ni afrika kusini😂😂😂

  • @StevenMatimba
    @StevenMatimba 2 месяца назад +19

    Mi WA kwanza jomon like Zang mhimu sana

  • @Zainabu-xn3vd
    @Zainabu-xn3vd 2 месяца назад +10

    waaaah hyu ss anambia mzazi hivo ghaiii!!!! hayo yasinikute Mungu wangu anyway nipe likes msisahau ep 40 mapema please ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @Thebossmama254
    @Thebossmama254 2 месяца назад +23

    Nipeni like hebu sije nikapiga teke mfuko kama zuu halafu nikimbie Kwa kai 😊

  • @MawazoJustin-fw2ws
    @MawazoJustin-fw2ws 2 месяца назад +22

    Wakwanza jamani nahomba like zangu namimi

  • @KhamisJuma-ni1vk
    @KhamisJuma-ni1vk 2 месяца назад +8

    Big Up Mother Kendi Wewe Unabaya Na Mtu Ongera Kwa Ushujaa Wako... Shania Ongera Sanna Achatu Subiri Arusi Zenu Na Mimi Nataka Zichanganywe Pamoja Liwe Bongela Arusi ❤❤❤❤❤❤

  • @fammamourchy2164
    @fammamourchy2164 2 месяца назад +26

    Leo mnipe like jameni hâta 10
    Tunafika mwisho wa lala salama weeeeeh

  • @estherezzy136
    @estherezzy136 2 месяца назад +20

    Candy candy candy 😢😢😢 kuwanahofu yamungu hata kidogo tu hatakama nimaigizo ila daaa sikwahalihiyo 😢😢

    • @adelinaomani9012
      @adelinaomani9012 2 месяца назад +1

      Candy nadhani ni katabia a ako na dharau anazo

  • @LeonSerjio
    @LeonSerjio 2 месяца назад +2

    Kila mtu anaomba like like haaaa badal mtoe support kwa busati mnaomba like tuu au mnatak kuzinywea chai au izo like

  • @AishaHarunaNayigihugu
    @AishaHarunaNayigihugu 2 месяца назад +11

    Jaman dunia ina mengi kwl kumb kuna watoto wanao fany wazazi wao ivo

  • @lavenderokunani
    @lavenderokunani 2 месяца назад +18

    Kwanza jamani like zenu sije mkipita

  • @AkimanaVely-gq9cu
    @AkimanaVely-gq9cu 2 месяца назад +19

    Watatu leo jomn like kwangu

  • @zeynab7617
    @zeynab7617 2 месяца назад +9

    Jamani ni Mimi tu nayimwa like ama tupo wengi😢

  • @Precious-j3l
    @Precious-j3l 2 месяца назад +24

    Nimekaa kwanz Leo naomba like

  • @SaumuJumwa-u4v
    @SaumuJumwa-u4v 2 месяца назад +4

    Candy candy candy nimekuita mara ngapi mama ni mama hata iwe nn utakuja jiuta maishani huu ni mwanzo team Zuu twangoja harusi 😍😍💪💪💪💪

  • @jacklineshayo3962
    @jacklineshayo3962 2 месяца назад +23

    Wa2 a2lali jmn gonga like 2naoangalia movie kwa wakat 🎉🎉🎉

  • @NasraKingazi
    @NasraKingazi 2 месяца назад +12

    Inamaaana kosa la kubakwa nila mama au mbakaji jaman kina mama tunaonea kama naww unaungana namm gonga like

  • @FetrissJanni-lb5il
    @FetrissJanni-lb5il 2 месяца назад +13

    Nyie uyu candy nina wasiwasi nae ndo tabia ake kweli 😅😅 naombeni like zangu 😂😂

    • @adelinaomani9012
      @adelinaomani9012 2 месяца назад

      Kabisa hatakama nimaigizo lakini mmmmh

    • @HabibaMohd-f9o
      @HabibaMohd-f9o 2 месяца назад

      Yaan ukiach kaz hii tabia anayoo😂😂😂😂😂😂

    • @FraidSamata
      @FraidSamata 2 месяца назад +1

      😂😂😂😂kweli bhn siyo bure

  • @annayambayamba8614
    @annayambayamba8614 2 месяца назад +12

    Watu Qmllali kwelki Busati tv Mnajuwa kutufurahisha kweli sisi mafansi. Wenu Asanteni sana mim nishaabikieenu kutokea swiden Nawapeenda saan❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Marlenapilikitsao-gk9je
    @Marlenapilikitsao-gk9je 2 месяца назад +7

    Pole mama umetoa cri nzito mayoni wako .ndosabani kendi akaamua kukukataa jeiungeitoa mbimba hugeyapitia Haya polle sn❤❤❤❤❤❤❤ kend analana ataidhia kutafuna manyasi 😭😭😭😭😭

  • @ministerlightnessrobert5342
    @ministerlightnessrobert5342 2 месяца назад +52

    Mnao ona Cendy atapata laana za Mama like apa

  • @MwanaishaChileta
    @MwanaishaChileta 2 месяца назад +5

    Kai move yenu tamu sana na ina mafunzo na naipenda sana sitaki nipite mutafika mbali wapenzi 🎉🎉🎉

  • @RosejohnShayo
    @RosejohnShayo 2 месяца назад +11

    Lete next tafadhar 40

  • @saidyussuf-my8ew
    @saidyussuf-my8ew 2 месяца назад +6

    Nimeipenda sana sizoni namba 39 tafadhali naomba namba 40

  • @Jennysolange8989
    @Jennysolange8989 2 месяца назад +10

    Mapema sana kweli wa kwanza kweli jaman🎉❤❤

  • @mikidadihassan8307
    @mikidadihassan8307 2 месяца назад +10

    Wa kwanza mie nipen like zangu 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @FitinaWilondja-m7c
    @FitinaWilondja-m7c 2 месяца назад +5

    Nawapenda sana kbs amchelew umpo vizur 🎉🎉🎉🎉

  • @ZaituniSmati
    @ZaituniSmati 2 месяца назад +8

    🎉

  • @Nailaty564
    @Nailaty564 2 месяца назад +9

    Sasa kuna ulazima gani wa kwenda Kwa mama kendi mnaacha kwenda kumchukua zuu ndoa ipite

    • @Rsilk192
      @Rsilk192 2 месяца назад

      Acha halaka nawe chuzi bado halijakolea viungo

  • @IlhamShaban-vq3kx
    @IlhamShaban-vq3kx 2 месяца назад +2

    Mimi naona nimeletwa dunian kwaajili ya kai ❤wapi zuuu weweee apewe maua yake🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @GhUy-u7s
    @GhUy-u7s 2 месяца назад +2

    Asanten sana sasa siunaona mambo mazuri ndio hayo part mbili kwampigo kaz nzuri sana Mashallah 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @GloriaNahimana-x8p
    @GloriaNahimana-x8p 2 месяца назад +5

    Wamwicho naomba like 🎉❤🇧🇮

  • @Zilfarama
    @Zilfarama 2 месяца назад +16

    Asant nimekuw na subir San

  • @MariamSalim-vk6dw
    @MariamSalim-vk6dw 2 месяца назад +7

    Wakwanza leo ❤❤

  • @AminaMunga-g4z
    @AminaMunga-g4z 2 месяца назад +5

    Nawapend nyote ❤❤❤

  • @ahmedksa6442
    @ahmedksa6442 2 месяца назад +8

    🎉🎉

  • @reginaIssa-m2j
    @reginaIssa-m2j 2 месяца назад +3

    😢😢😢😢 ohoooo pole sana mama ake candy hiyo ndo mitihani ya Dunia ❤❤kazi nzuri sana zuu kakolea kwa Kai

  • @sifamaureen2792
    @sifamaureen2792 2 месяца назад +5

    Yani nimeangalia Peke angu hadi mwisho😂😂😂😂😂 mumeniachia movie ekeangu guys❤❤🎉🎉🎉

  • @mwanaidabeid8720
    @mwanaidabeid8720 2 месяца назад +1

    Maashaa Allah 🥰

  • @rinciakhasoah
    @rinciakhasoah 2 месяца назад +5

    Sijachelewa sana hau vipi wenzangu😊😊😊😊

  • @rosemarenga832
    @rosemarenga832 2 месяца назад +2

    Hongeren San Kwa Kaz nzur🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @estherezzy136
    @estherezzy136 2 месяца назад +4

    ❤❤❤❤❤mnawahi kweli nawakubali kinoma 🎉❤🎉❤🎉🎉🎉nawafwatlia kutoka lamu kenya 🇰🇪 ♥ ❤ 👌

  • @BahatiKadenge-n5r
    @BahatiKadenge-n5r 2 месяца назад +1

    Kai kimbia nyumbani zuu anakutafuta huko ❤❤❤❤❤😂na amekimbia mbio nyingi nawakubali sana nyie watu

  • @sumayyahmanyasi453
    @sumayyahmanyasi453 2 месяца назад +4

    Duuuh nimeidaka kwa juu Sio poa Hay twende nalo ❤❤❤🎉🎉😅

  • @SolangeBorndy
    @SolangeBorndy 2 месяца назад +2

    Jamani nawapenda sana munatuburudisha haraka iwezekanavyo nawapenda sana

  • @musomahomeland-ry9uo
    @musomahomeland-ry9uo 2 месяца назад +2

    Am the first ❤ & appreciate U guys big up
    Something to note We need moooo

  • @ZayNiyonzima
    @ZayNiyonzima 2 месяца назад +4

    😅😅😅😅😅nyie mko vizur nawapenda ❤❤❤❤❤ raha jaman

  • @MwanamisiMuna
    @MwanamisiMuna 2 месяца назад +3

    Asanten snaa n vyenye nlikua na jua mpka kesho but subra n njema,,hii movie n kma ndo kwanza mkoko walika maua,,,kazi nzur snaa

  • @AshaNzara
    @AshaNzara 2 месяца назад +4

    Wako wap wale wanga waliozea kuwanga najua mshapita nayo hii 😂😂😂❤❤❤

  • @daphinekemto3094
    @daphinekemto3094 2 месяца назад +4

    ❤😂woow thank you so much,nmengoja kwa hamu❤❤❤

  • @DamarisNyaboke254
    @DamarisNyaboke254 2 месяца назад +4

    Yaani watu awalali😂😂😂😂anyway hii movie ni tamu pia sijalala 😂😂🎉❤❤

  • @paulmohamed649
    @paulmohamed649 2 месяца назад +2

    Dah! Sema haka katamthilia kazur hadi raha nipeni like basi tuendelee kuifuatilia pamoja.

  • @BahatiKadenge-n5r
    @BahatiKadenge-n5r 2 месяца назад +1

    ❤❤❤❤hii yaleo naiona kama tela picha lenyewe ni part 40 🎉🎉😂😂😂😂kai zuu kakimbilia kwako

  • @MankaMeski-o5k
    @MankaMeski-o5k 2 месяца назад

    Hongera Mama WW nimama Bora hakika mungu akupee maisha mema Na marefu hata kama nimuvi ila umefany vizr San

  • @Zulfa-j1r
    @Zulfa-j1r 2 месяца назад +4

    Kazi nzuri Sana but pole Sana mama candy

  • @FurahaNishishikare-ks4zn
    @FurahaNishishikare-ks4zn 2 месяца назад +1

    Pôle mama kendy alakini na hawo marafiki hawafayi hâta kumshauri awe na adabu mbele ya mamake,kayi pole

  • @a7sasa7sas23
    @a7sasa7sas23 2 месяца назад +4

    Jamani ata mimi pia yaniliza vile mama analia

  • @UmaziMdzomba
    @UmaziMdzomba 2 месяца назад +3

    Hii movie mbon naipenda jamani

  • @tabithakamau7484
    @tabithakamau7484 2 месяца назад +5

    Wa kwaza nipeeni zangu❤❤❤❤

  • @DianaRumbanisa
    @DianaRumbanisa 2 месяца назад +7

    Wa kwanza leoo lkn cwaombi like hata siringiii 😂😂napenda hii series mnoo🎉🎉❤❤❤

  • @LovenessJames-j9o
    @LovenessJames-j9o 2 месяца назад +8

    Nimepambana mpaka nikawa wakwanza loe😂😂😂😂😂🎉🎉

  • @aishajuma6706
    @aishajuma6706 2 месяца назад +2

    Mashallah mama.mzuri

  • @Tumasalo99
    @Tumasalo99 2 месяца назад +3

    Haya wale wa kula viporo kesho mkija mnipe likes zang nimewahi😂😂😂

  • @UniceMsomi
    @UniceMsomi 2 месяца назад +1

    Ivi hii move nyiee mnailewa Kwan jaman 😢wanatuwekea matukio Yanajirudia kila mala dah😢😢

  • @EmmyNassor885
    @EmmyNassor885 2 месяца назад +4

    Alloooo i 🇧🇮 ♥️ ❤️ 💖 😍 🇹🇿

  • @NasraKingazi
    @NasraKingazi 2 месяца назад +1

    Leo nimechelewa jaman ila hivyo hivyo sio mbaya ila jaman mwanamke kama huyu cand tumueke kund gani mama azalilishw jmn

  • @saidmussa6052
    @saidmussa6052 2 месяца назад +4

    Cjachelewa sana jaman

  • @merinazyd0532
    @merinazyd0532 2 месяца назад +3

    Nimemuelewa rafiki yake kai hana mpango na Sania ila tu ana taka afanikishe mambo ya rafiki yake kai umepata rafiki Aiseeey

    • @Saada-g4j
      @Saada-g4j 2 месяца назад

      Sana ni wachache

  • @JanetRiziki-ut2is
    @JanetRiziki-ut2is 2 месяца назад

    Sasa movie imenoga mpaka imenoga tena ❤❤❤❤

  • @MalaikaBrighton
    @MalaikaBrighton 2 месяца назад

    Aise kaka kai weee na zuuuu nawakubari sana move nzuri mwaaa😍😍😍😍😍😍😍😍😍

  • @metrinenyakoe1764
    @metrinenyakoe1764 2 месяца назад +2

    Leo nimeangukia wa kwanza much love from 🇰🇪 🇰🇪 🇸🇦 tunawapenda sana 😊😊

  • @angelmauja1846
    @angelmauja1846 2 месяца назад +2

    Saa nane kamili ,mlijua tumelala alooooo

  • @LilijohariLilijohari
    @LilijohariLilijohari 2 месяца назад +3

    Nime mskia kocha aki elekeza. Sijapenda. 😅😅 na. kendi. Ni mtoto wawa baba wa 6. 😂😂😂😂😂

  • @jubaidamiss2409
    @jubaidamiss2409 2 месяца назад +3

    Next 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @LaizerChionda-de6ul
    @LaizerChionda-de6ul 2 месяца назад +1

    Oya weeeee jichengeeeee😂😂😂😂😂😂. Mnipe like bhasiiiii

  • @SamsonCharo-g1j
    @SamsonCharo-g1j 2 месяца назад

    Jamani busati tv nawaombeni muwe munatoa vipindi viwili Kwa siku kazi nzuri❤❤❤

  • @irenekaveta7117
    @irenekaveta7117 2 месяца назад +2

    Thank you for the update 😊😊

  • @SbsBts-g3v
    @SbsBts-g3v 2 месяца назад +5

    Next please

  • @MwanalimaAbdallahkea
    @MwanalimaAbdallahkea 2 месяца назад +4

    Sijachelewa sana naomba like 🎉🎉❤

  • @estheroscar4440
    @estheroscar4440 2 месяца назад +1

    Nawapenda sana timu zuu nipen like hata tano tu.

  • @Aishaawadhimsloki
    @Aishaawadhimsloki 2 месяца назад +2

    Ahsante mungu sijalala

  • @TantineZuzu
    @TantineZuzu 2 месяца назад

    Bibi zuuuu nakupenda mnoo bibi yangu ❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @carlynemgonja-2004
    @carlynemgonja-2004 2 месяца назад +4

    Jaman nimwewahi leo like zangu please

  • @ZAWADIIDDI
    @ZAWADIIDDI 2 месяца назад +1

    Mbon mpaka sauti ya director inasikika tena

  • @HusnaaAbdul-rahmaan-lu8uj
    @HusnaaAbdul-rahmaan-lu8uj 2 месяца назад +3

    am like 👏

  • @sundaymarwa9322
    @sundaymarwa9322 2 месяца назад

    Kazi nzuri endeleeni ivo ivo house girl on top 🔝🔥🔥🔥

  • @AyshaSalumu
    @AyshaSalumu 2 месяца назад +3

    Kichwani bibi cheupe akuna ata nywele nyeusi 😂😂😂

  • @MwajombeWitness
    @MwajombeWitness 2 месяца назад

    Hongereni Kwa kaz nzuri busati tv mna kitu mtafika mbali sana

  • @EviathaEdistedius
    @EviathaEdistedius 2 месяца назад +4

    Jmn nmechelew kdg nlienda kununua vochaaaa