Daaaah,,,,,,,jamani mama Tasha wewe marafiki wa mwanao unawajua huyo ulimuona lini mpaka umwambie kila kitu kuhusu mwanao?? Na wewe chiko unahangaika tu umeshazidiwa
wooow nmewahi namba 1 watching in jeddah .... muwe na usku mwena nyte wnye mtatazama hii filamu . Mungu awaepushe na mahasdi wa kla aina ..🙏 may the blood ov lird cover u always🙏🙏🙏🙏
Chiko amejieleza kama yule shetani wa mzee tupatupa wa bahati bikuku kwa kweli hata mm nimeamini shetani anaweza kuzungumza maneno matamu.... Mr tasha and zatiti congratulations 🎉🎉🎊🎊🎊🥰
Sikuz vijana wameamua jaman wanaleta Kaz nzur zunzurtuu sawakuamukutuvuruga wote wanapost kwawakat mmoja ujamalihii imeibuka ingine mtu unachanganyiwa nimalizie au nihamie ingine😂😂😂
Alhamdulillah ndoa imepita xxa mpigane n chiko zatiti akiwa halali yako umenifurahisha sana bba zatiti maana hio ndoa haingekua rahis ivyo uko mbelen ila mila zenu ximetuokolea😂
Chiko we jisumbue tuu, huku Tasha na zatiti ndoa inaendelea, alfu mamake na Tasha haungeeleza mwanao alipoenda ulijua tuu mwanaonj haknaa rafikiye wa karbu asiyejua Tasha yupo kijijini, alfu afadhali hivyo babake na zatiti alivyo harakisha hyo ndoa maanake hiyo video Tasha angetymiwa kabla ya kumuoa zatiti hangemuoa kwa kuhofia uhai wa mamake
Aaah chiko acha kumchezea akili mama wawatu bhana,wanaokubaliana na mm like hapa
Nakwambia anamchezea sharubu tena😮😊
Busati tunaitaka hy nyimbo nimenogewa na huyu mpez tumeikubali pia 🌺🌹🌹🌺🪴🌷🥀🥀
Pia mm naitaka sana nimeipenda sana
Waliofurahia ndoa yake zatity❤❤❤❤❤❤mnipe likes
❤❤❤🎉🎉🎉🎉kweli kabisa
Mmmmh hapa kunamitihani napenda 🎉🎉🎉🎉lakini huyu alieachwa jamani 24:20
Jamani tangu nianze kuangalia sijapata hata like Moja mmmh jamani hebu nipeni na mim..
Afadhali Tasha kuozeshwa mana chiko anazidi kupanga mipango mipya huku💃💃
Muace atafeli 😂
Weeacha tu aki huyu sijui roho yakeikoje 24:20
Ucsahau pia kua, Tasha ana rafiki yake Kai. Nae sio mdogo. Atampambania tu. Huyo Chiko hatowaweza hawa. Marafi wa kiapo.😄😄
Turofrahi baba zatiti kuwaozeshwa haraka.gonga like hapa
Wenye tuniamini game ya chiko itafeli weka like. Ila harusi tunayo 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤
Jamani 😂😂 ndoa tunayo na tunatamba nayo like zangu wajamen🎉
Harusi tunayo na tunatamba nayo🎉🎉🎉🎉🎉 hongera tasha
Sasa tunangoja Satiti apate mimba ya Tasha sasa
@@mildredjuma4889atapata mungu yupo naye🎉🎉
@@mildredjuma4889kabisaa
Tenaqqaa
Tashaa arudi nyumbani na jiko😂😂congratulations Mr tasha
Chiko anaboa ningekua karibu ningempiga bonge la bao 😂
Tuliofurahi zatiti kuolewa msinipite mnipelike na Mimi kesho ninunue nyama 😅😅
Like sikuhizi zinanunuwa nyama??
Jmn na mm naomba like hata moja
Mungu amejalia ndoa imepita ila Chiko umeshashindwa naomba Mungu Chiko asifanikiwe kumzuru mr Tàsha ❤
Tunaosema mipango ya chiko haitokamilika tugonge like apa
Na mimi naombeni like nikanywee chai maana sijiui kazi yake
Nani tena kakata mawasiliano kakimbia kuangalia house girl like hata kama ni mbili tu 😂😂
❤❤❤❤😂😂😂😂Mimi huu hapa nimekata mawasiliano juu ya house grill
Wewe Mama Tasha wewe,,yaani ungejua wewe acha tu niombe like tu uku mm😂😂.
Mama tasha kajichaganya kwa Chikoo ila hutawez huyo Chikoo kabisa 😅😅😅😅😅
@@mwanamisikifogo869 chiko akili hana bhana.,,,,,angejua ndoa imetimia hahahaaa
😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂@@mwanamisikifogo869
😂😂😂😂😂😂😂kikulaco
Yan chiko utengeneze mwenyewe mchongo tena utoe msaada
Harusi 🎉🎉🎉 tunayo wangwana na tunatamba nayo🎉🎉❤
Hapo ni jiwe moja ndege wawili Tasha hongera
Siamini kama Leo nimewahi kwa comment ni 15 Asante kwakutu harakishiya maua yenu 🎉🎉🎉🎉 from burundi
Waooo❤ napenda jamn nimechelewa naomba like zang
Mama tasha usije ukajichanganya na huyo kidudu mtuu utakuja kulia siku si nyingi
Ndoa ya zatiti imenikumbusha yangu baba watoto alikuja kunifata kijijini 😂😂 alivyo fika Tu kafungishwa ndoa nbaka sasa miaka 15 alhamdulillah
Wow hongela sN San mung azd kiwp aman ktk familia yenu hakika sio rahis
Hahah ndoa za namna hii huwa hazivunjiki
Mashaallah ❤😂
Hongera sana 😂😂
Maa shaa Allah Allah awadumishe katika ndoa yenu
Daaaah,,,,,,,jamani mama Tasha wewe marafiki wa mwanao unawajua huyo ulimuona lini mpaka umwambie kila kitu kuhusu mwanao?? Na wewe chiko unahangaika tu umeshazidiwa
Mama Tasha angejua kasaidiwa na shetan wa mguu mmoja🙌🙌
Allah atamnusuru
Chiko w nimnafiki wew kwa maumivu uliyompa zatit yani hutompata zatit wew
Huyu mama tasha naye cjapenda,tasha alimwambia asiambie mtu kumuhusu,bt ndio hiyo ashasema
Usiku wakwanza katika ndoa jamani nimtam nyie uuuuuuuwiiii❤ hongera tasha na zatt enjoy ndoa km niwe mie vile😂😂
Usijali zatiti utafanye selmoni tuu mjini 😂ila ciko azikucukuwe tena ❤mimi naona baba yako kafanya vizuli kbx like zenu jamani kutoka canada 🇨🇦
Hello
wooow nmewahi namba 1 watching in jeddah .... muwe na usku mwena nyte wnye mtatazama hii filamu . Mungu awaepushe na mahasdi wa kla aina ..🙏 may the blood ov lird cover u always🙏🙏🙏🙏
Ukimaliza kuwoji upite nikupee khubus my sister ❤❤❤❤❤
Nko Jeddah pia
@@jacklineteresia2629 upande gniii
@@jacklineteresia2629 😅😅
Mtume tadhuyo chiko Katia msaada Ili aende akapajue kwao Tasha na ajue Yuko wapi zatiti na Tasha ni mchongo wake tu huo
Kwel
Bora harusi tunayo story za chiko hazituhusu😂😂
@DoreenWanyon-x8y kitamulamba tena muace ashugulike
Chiko endelea kujichanganya lkn sisi ndoa tunayo na tunatamba nayo wivu wako huo utaumbuka
Mama Tasha kiukwl umefeli sanaaaah usimuamini kla mtu, pia utakiwe kumwamini mtu kwa haraka hvyo, mbona mama hujifunzi ktu kutoka kwa Sania
Aki Sasa mama Tasha mambo gani haya aiiiiii utatekwa na huna mtu kwa nyumba
Nimenogewa na huyu mpenzii, nimenogewa kumuacha siwezi jaman hii nyimbo inapendeza sana
Nakwambia wàaà acha tu
Alhamdulilah ndoa ya Tasha na zatiti maashallah iwe ya kher 💕💕🎉
Nimenogewa kwa huyu mpenz kumuacha siwezi ila mwenzenu mii kwake ndio nimeshafika ila babaaaaa
Mama tasha huyo sio mtu mzuri jamani huwo ni mpango wake mama wanakuja kumteka tasha kuwa makini usijimalize
Mzee Mkoloni Ametisha Akutakaku Jua lolote. Ndoa faster Upesi 😂😂 Yamkeka
Mama tasha leo umeshindwa kusoma energy ya mtu kweli umeniangusha mama yetu😢😢
Alikuw kweny matatz nd maan
Chiku chiku chiku nimekuita mara ngapi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mungu Yuko atajibu maombi ya Mr Tasha na zatiti wake chiko na upuuzi wako kubali kilikuramba humpati tena zatiti iyoooo
Chiko hzo ngumi 😂😂🙌
🤣🤣🤣🤣🤣🏃
Za kipochi manyoyaaa😂😂😂
Hongera sana mr tasha umetimiza ndoto zetu❤❤❤
Weweeeeee❤❤❤ndoa.tunayo.tunybib,..haruituna.❤❤wenyew..zat
❤❤❤❤
Nimependa harusi ya araka ,,,Tasha haungeifanya mapema hii🎉
Chiko Na mamake TASHA MUMEUWA KABISA❤😂😂😂😂😂
Weweeeeeee ndoa tunayo tunay bib harusi tunay sis wenyew zatit n tash ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂💯💯💯💯💯💯💯 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🙏🙏🙏🙏Allah mwen jamn safo
🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 tunafuraiya sana ndoa ya zatiti na tasha
hongera brother
Mashaallah hongera Mr tasha❤❤❤
Aaha hapo kwenye mazungumzo ya Tasha na mkwe wake nmepapenda Yan kuna mafumbo hapo😁😁😁
Chiko amejieleza kama yule shetani wa mzee tupatupa wa bahati bikuku kwa kweli hata mm nimeamini shetani anaweza kuzungumza maneno matamu.... Mr tasha and zatiti congratulations 🎉🎉🎊🎊🎊🥰
Wakwanza Leo jamani 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🎉🎉🎉🎉
Jamani mama Tasha hujiongezi ,mtu umemuona leo wakubali kuchukuliwa video khaaaa
Sijapenda chiko anavojionyesha kuwa mtu mwema kumbe nunyoka shindwa usifanikiwe Kai msaidie mama Tasha jamani uwiiiiiiiiii
Hio harus ya kijijini ishafungwa
ahaaaa sasa sawa leo zatiti kiasali utoe huna sababu😂😂😂😂😂
Kiasali tena😂😂😂
@@aishaomar2287ndio ili akirudi aludi vzr Chiko ahemewe
Sikuz vijana wameamua jaman wanaleta Kaz nzur zunzurtuu sawakuamukutuvuruga wote wanapost kwawakat mmoja ujamalihii imeibuka ingine mtu unachanganyiwa nimalizie au nihamie ingine😂😂😂
Chiko unalet triki za ovyo wew hautifanikiwa kamwe n ndevu zako hizo kam majan ya shule ya mingi 😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂
Hap kwa mam tash jamn wapendw Kuna kitu tunajifuanza sio Kila mtu n WA kumuamin
Kaka angu chiko uko vzr sana ndugu yangu mungu azidi kukuinua kila uchwao jmn wanaompenda kaka angu chiko wekeni like apaaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Harusi tunayo 🎉🎉🎉🎉we chiko acha mambo Yako ww ata mungu hapend
Jameni kijiko unafanya vibaya kama satiti amekukata itika waja kufanya mambo ya kuraaniwa
Hiki kipande ni mmeua kbx bigup
Mama Tasha ,chunga saana na chiko,anataka kujua ukweli WA Maisha ya Tasha,anajifanya mizuri Kwako ila nyoka 🤣🤣🤣🤣
Alhamdulillah ndoa imepita xxa mpigane n chiko zatiti akiwa halali yako umenifurahisha sana bba zatiti maana hio ndoa haingekua rahis ivyo uko mbelen ila mila zenu ximetuokolea😂
Chiko mwaka uyu utayiramba maski mama Tasha iyo video niyakujitamba kwa tasha pole mama Tasha
Chiko ulijifunzia mafunzo kolombia😂😂😂🎉🎉
Sema unaumwa kwa roho
Wee mama hujui kitu hizo ni plani tu utaona baadae
Yan chiko ulinifuraisha Sana 🙆🙆🇿🇦🇿🇦🇨🇩🇨🇩
Achimwene chiko yakupanganya iyo yangambone. Mpilikene
Hongereni maharusi
Ujanja huo chiko,❤❤❤❤
❤❤❤
Chiko amechanganjikiwa
Huyu jiko na candy n kama akili zao zimesimama
Ndoa tayari Sasa twataka tumuoneshe chiko kuwa mimba tunauwezo wa kuibeba🤸🤸
Ni kweli
Mashallah ❤❤❤❤❤❤❤
Hadi mm leo naweka coment hongera tasha🎉🎉🎉
Chiko we jisumbue tuu, huku Tasha na zatiti ndoa inaendelea, alfu mamake na Tasha haungeeleza mwanao alipoenda ulijua tuu mwanaonj haknaa rafikiye wa karbu asiyejua Tasha yupo kijijini, alfu afadhali hivyo babake na zatiti alivyo harakisha hyo ndoa maanake hiyo video Tasha angetymiwa kabla ya kumuoa zatiti hangemuoa kwa kuhofia uhai wa mamake
Leo zatiti anashika mimba 😊😊😊😊
Tash hongera❤❤
563,jamani nimefurai sana Mr Tasha and Zatiti waooooo❤❤❤❤❤❤❤❤
Chiko mnafiki nyie
Mungu jalia usiku wandoa hii ulete baraka tupate watoto mapacha inshaallah 🤲
Huu unafiki wa chiko leo n kiwango cha SGR😂😂🤣🏃
Alooh😂😂
Alulululu,🔭 👰👳alhamdulillah kijambo chetu kimetimia 💞💞💞💞💃💃💃💃💃💃💃🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nakubali chiko❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Duhhhh kumbe chiko umepanga mpango😢😢😢😢
Mhuu jamani chiko ni mshenzi mungu mkubwa amsaidie mama yake Mr Tasha dhaaa
Kimekulamba chiko
😂😂😂😂 mama Tasha jaman 😭
Hivi chiko mnauelewa kwel jaman et nikimjua huyu chiko utasikia habar yake
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤Zatit na Tasha kazi nzur Sana busati TV ilove you wapenda wote jaman tulio furahia tujuan hap chin
Wauuuu nimefika leo kabisa yaani kinoma nikingojea zatiti na Tasha 😂😂😂😂😂
😅😅😅😅😅
Hongereni sana hakika tunajifunza mengi mno