Mawaidha mazuri lakini hatu enjoy hiyo back ground ya masikitiko mloitia inatukera sana. Kuna aya za Qur-an sheikh anazisoma lakini tunasikia Aaaaaaaa, aaaaaaa, aaaaaaa, aaaaaaa, sijui ndo nyimbo hiyo au nini. Wekeni aidha hiyo nyimbo au masikitiko sijui inavyoitwa au mawaidha bila tafrani hatujui tusikilize nini. Nimeshindwa kuyasikiliza mawaidha . Nahisi stress hiyo sauti mloiweka nyuma
Mbn mm naskiliza mawaidha hp na moyo wangu upo ktk mawaidha wala sisikiii io nashdi ingawa ipo ww concentrate ktk Ayo mawaidha na ukimskiliza uyo shehe wl hutosikii io nashdi
Mawaidha mazuri Sheikh Othman. MashaAllah. Tunafaidi sana. Ila naomba mafundi wako waboreshe sauti ya vyombo Inshallah. Kuna echo nyingi pamoja na background ingetolewa. Shukran kwa juhudi
MashaAllah 🙏 MashaAllah MashaAllah 🙏 shukran sheikh othman for your amazing sound and your timely to us
Hio sauti ingine ingekua chini. Mashallah mawaidha mazuri and am just starting tö listen
Wow mashalah
Allah akujaalie umr mref na mwisho uliokuwa mwema sheikh wetu
Mashallah kisa kizuri chenye mazingatio ila nashidi inakera
Mawaidha mazuri lakini hatu enjoy hiyo back ground ya masikitiko mloitia inatukera sana. Kuna aya za Qur-an sheikh anazisoma lakini tunasikia Aaaaaaaa, aaaaaaa, aaaaaaa, aaaaaaa, sijui ndo nyimbo hiyo au nini. Wekeni aidha hiyo nyimbo au masikitiko sijui inavyoitwa au mawaidha bila tafrani hatujui tusikilize nini. Nimeshindwa kuyasikiliza mawaidha . Nahisi stress hiyo sauti mloiweka nyuma
Mashallah Mungu akujaalie mwisho mwema
Mwenyezimungu atujalie minalladhina yastaming'una lkawla wayattabing'una ahsana
Izi sauti za nashid zinatuchanganya sauti haitoki vizuri
Mbn mm naskiliza mawaidha hp na moyo wangu upo ktk mawaidha wala sisikiii io nashdi ingawa ipo ww concentrate ktk Ayo mawaidha na ukimskiliza uyo shehe wl hutosikii io nashdi
MashaAllah MashaAllah
NAWAPENDA SANA SANA MA NABII NAOMBA KISA CHA SAHABA MUNTHR
Mawaidha mazuri Sheikh Othman. MashaAllah. Tunafaidi sana.
Ila naomba mafundi wako waboreshe sauti ya vyombo Inshallah. Kuna echo nyingi pamoja na background ingetolewa.
Shukran kwa juhudi
MashaAllah shukuran san
Mashallah
Masha Allah
Tatizo hy nakshi Ingezima ilu tusikie kea ufasaha
Bed nyuma ya sauti Haina haja sauti ya Sheikh Ochu yatosha na yatuvutia
Hicho kisauti kinakera sana sioni ikiwa na umuhimu wowote hapo
Hiyo sauti nyengine yasumbua
مساء الله
Kwani mtume avokua anaongea wengine walikua wanaimba iyo nashidi toeni ushamba uwo ahh mawaiza mazuri nashidi inakera hatujafata nashidi tumefata mawaidha mna keraaaaaaaaa
Ondoa nashid munaharibu. Mnaleta bida sasa
Ubidaa wa nashid ni upi tupe elimu
Hiyo anashid ipo sehemu sio yke
Background music imenisinya nikaenda channel ingine
Mnaharibu na hizo nashid zenu kwenye background hata hatusikii kisa vizuri
Ma Shaa Allah
Tabaraqallah
Kisa kizuri Chenye mazingatio
Ila hiyo background msingeiweka ingekuwa awla zaidi...
Jazakhallahu khaira
Alhamdulilah
Alieweka hii kelele background huku kuna Qur'an inasomwa humu kafanya upuuzi
🙏🙏🙏
Shukuran sana Riyadh Tv
afwan
faizaaaa uhaligani
@@RiyadhTvOnlineZnz f
Mashallah tunafaidika ila hio background ya sauti inatuconfuse.
Hio nashidi ya nn inatutoleaa umakini wakusikilizaa
Tena sana ata sakii vizuri
Wallah tena hamna makini kabiisa
Maiwaidha mazuri ila hiyo back ground sound umeharibu kila kitu yaani uchafu mtupu
Uchafu tena !?
Ramson MUGISHA yes back ground imeharibu dhima nzima imekuwa kero na uchafu
@@hanifmakame9405 sio uchafu ni Qur'an. Ungesema iondolewe tu
Hii nashid haina faida
Background music disturbing pls
Sheikh mashallah mawaidh yako mazur san tunayapnda mashallah Allah akup umr mref weny manufaa tuzid kunufaika sot
Kwa nini kwa backround mnaeka iyo nasheed inaudhi ata mtu haskii mawaidha vizuri😏😏
Io sauti vepe?
I like