Salama Na EDO KUMWEMBE Ep 42| MWENYE SHOKA HAKOSI KUNI Part 1

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 окт 2024

Комментарии • 63

  • @abbyadams8691
    @abbyadams8691 3 года назад +11

    Napenda sana uchambuzi wa huyu mwamba. Kwanza huwa anaongea akiwa relaxed,hapanic na anaufahamu mkubwa wa mambo ya soka.Lakini pia anajua sana mambo mengine yasiyo ya soka hasa siasa.Pia anakipaji cha kuandika story na makala ,iwe kwa mzaaha( kuchekesha) au serious story. Hayuko bias siku zote huwa anajitahidi kuongea ukweli. Big up brother

  • @mahmoudomary6600
    @mahmoudomary6600 3 года назад +3

    SALAMA WE NI MTANGAZAJI BORA SANA.. I LIKE THAT

  • @ansijl
    @ansijl 3 года назад +1

    I always enjoy Edo Kumwembe akiwa anaongelea mpira. What a smart guy 👏

  • @vevo3130
    @vevo3130 3 года назад +1

    I wish ningemsikiliza Eddo mapema kusikia maneno yake...this is SOOOOO powerful......indeed,,Salama thank you kwa kumleta Eddo...lovely and insightful

  • @abbyadams8691
    @abbyadams8691 3 года назад +5

    Mpira wa miguu umeshuka kwa sababu vijana wengi siku hizi wana mambo mengi sana ya kufanya kuliko kucheza soka. Siku hizi kuna kazi ya bodaboda, kuendesha bajaji, na vijana wengi wamekimbilia shule ambako bahati mbaya hakuna michezo tena. Zamani hakukuwa na mambo mengi. Baada ya shule au shamba kitu kilichofuata ni kucheza mpira. Ndio maana vipaji vingi vilionekana.

  • @victorialucumay1467
    @victorialucumay1467 3 года назад +3

    SaLama unatukutanisha na watu makini siku izi edo namkubali sanA

  • @joelndowo
    @joelndowo 2 года назад +1

    Aisee mwamba amenifungua sana macho aisee

  • @slimsan3859
    @slimsan3859 3 года назад +2

    Weweee leta Kiuno cha Ray C hapaaaaa, Ila Mwanaspoti nimelinunua sanaa sababu ya huyu. Namshauri awe anatengeneza jarida la uchambuzi angalau kwa mwezi mara moja atauza sanaaa.

  • @nurukhalifa9413
    @nurukhalifa9413 3 года назад +4

    Salamaaa uwe na maisha marefu mbona ukintangulia kufa ntalia sana jaman ntaliaaaaaa nakupenda.

  • @HassanMalik-cd9yz
    @HassanMalik-cd9yz 3 года назад

    Waoo nice kwakweli Salama nakukubal ningependa kumuona Ally kiba na Mr blue one day au kuna Jamaa watu wengi hawamjui ila inabid umualike kwan anafanya vitu vingi sana ambavyo vinahitaj maelezo zaid yake kuliko watu wanavyomsemea nae ni swahiba wako mie ni Swahiba wangu Anko Zanga Zenji stamina .ni mimi Hassan From Manchester Uk

  • @salumrashidzam9926
    @salumrashidzam9926 3 года назад +2

    Nakukubali sana salama kutoka zenj mombasa

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 года назад

    Mashallah, salama kwa maswali uko vizuri kwakweli, 🙌🏽

  • @seifmeja6056
    @seifmeja6056 3 года назад +1

    Tunashukuru Salama Kutuletea Edo The Legend

  • @mr.graphics3213
    @mr.graphics3213 3 года назад

    Broo wew n mnyamwezi sana...aisee
    Nakukubali sana

  • @rodgersgregory7198
    @rodgersgregory7198 3 года назад +9

    Edo anatetemeka,I think Edo ni mzuri kiuandishi kuliko kuongea.

  • @chumayaoinvestment1647
    @chumayaoinvestment1647 3 года назад +3

    Very few of Eddo kind.. impressive

    • @peterassenga6169
      @peterassenga6169 3 года назад

      Kwaiyo umemwona Phil Jones tu 😂😂😂😂

  • @kelvinduper
    @kelvinduper 3 года назад +1

    Million dollar interview💥

  • @gabrielmwalwanda6170
    @gabrielmwalwanda6170 2 года назад

    Niuulizie hao akina dada mpira wao mikono (netball) umeishia wapi ?

  • @shabanjuma3569
    @shabanjuma3569 3 года назад +2

    Salama binafsi nakuomba umlete nguli Bw. Madebe Lidai

  • @salumrashidzam9926
    @salumrashidzam9926 3 года назад +2

    Wa kwanza kucoment

  • @dullahmzee8567
    @dullahmzee8567 3 года назад

    salama mi nafurahi nikikusikiliza ❤

  • @hadijaiddi9846
    @hadijaiddi9846 3 года назад

    perfect interview for edo by salama

  • @josephmwatebela28
    @josephmwatebela28 3 года назад +9

    Huyu mzee kaninunulisha sana mwanasport

  • @dajia4787
    @dajia4787 3 года назад +1

    interview yaki nyamwez sana

  • @asueddy1465
    @asueddy1465 3 года назад

    Edo Kumwembe ni zaidi ya mwandishj

  • @mwasakafyukasamson
    @mwasakafyukasamson 3 года назад +1

    EDO is super intelligent

    • @shabanjuma3569
      @shabanjuma3569 3 года назад

      Salama mimi binafsi nakuomba umlete nguli Bw. Madebe Lidai

  • @rosegideon336
    @rosegideon336 3 года назад

    Nimependa michanganuo yako broo.

  • @beatricetenywa4367
    @beatricetenywa4367 3 года назад

    Wanawake wamepungua jaman au ndo ile yakujibakiza nyumanyuma..

  • @pharergyramson5918
    @pharergyramson5918 3 года назад

    Kumwembe nna makala zako za nyuma ya panzia tangu 2012 sijawahi kukosa kununua gazeti la mwanaspoti

    • @petromzigu6565
      @petromzigu6565 3 года назад

      hello habari kaka .. nahitaji sana makala za Edo hizo kama uko nazo umetunza naomba tuwasiliane tafadhali 0753948158

  • @robartifabiani6572
    @robartifabiani6572 3 года назад +5

    Part 1 imekuwa part 2 na part 2 imekuwa 1 title imezingua

    • @beatricetenywa4367
      @beatricetenywa4367 3 года назад

      Kwel hata mim imenichanganya hapa naangalia ya kwanza ya pil tayar ,nafikir bahati mbaya 🙄

  • @princemujuni9803
    @princemujuni9803 3 года назад

    Kumbe anaetoa majina ya vyakula ni Carito mwambie alayeshubao

  • @BarakaKitale
    @BarakaKitale 3 года назад

    Asante kwa majina #calipto

  • @ramadhanishumbi5744
    @ramadhanishumbi5744 3 года назад +3

    Part1

  • @erickendrick3330
    @erickendrick3330 3 года назад

    Noma

  • @innocentmushi1550
    @innocentmushi1550 3 года назад

    nani kasikia Phil Jones hajui mpira hahahaha

  • @thegurnusgurnus7766
    @thegurnusgurnus7766 3 года назад

    Edo naku elewa sana

  • @mohamedidd3145
    @mohamedidd3145 3 года назад

    Edo fundi wa makala za michezo

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 3 года назад

    Leo muhudumu mpya

  • @kaskaziniansgang1288
    @kaskaziniansgang1288 3 года назад

    Nimemmis Jessica

  • @highthemetv7857
    @highthemetv7857 3 года назад

    ruclips.net/video/X7ONvSSKZLs/видео.html
    👆👆👆👆👆👆👆
    Tazama Kafara inavyotolewa hadharani 😭😭 dini hii imepigwa marufuku duniani nimekuwekea video Gusa link

  • @fareesfarees7634
    @fareesfarees7634 3 года назад +1

    kwa uyu jamaa nimeskia story tofauti tofauti....ila leo sijajifunza kitu toka kwake

    • @mwanaishaally2653
      @mwanaishaally2653 3 года назад

      Jamani mtuletee babra hassan

    • @2116-n
      @2116-n 3 года назад +4

      Hii interview ni tamu sana, sema kama kichwa chako kimezoea tu maneno au sentence rahisi rahisi hautalewa vzuri. Kwanza km ww hujamjua mwandishi hata mmoja wa vitabu aliowataja Eddo, basi ww hii interview cyo level zako, labda usubiri kina Zuchu

    • @kingbashar4293
      @kingbashar4293 3 года назад

      @@2116-n 😂😂😂😅😅

    • @maligeltabatholomeo8128
      @maligeltabatholomeo8128 3 года назад

      @@2116-n 😆😆😆👌

  • @mhinawarren6055
    @mhinawarren6055 3 года назад

    Ni Legend siyo Lijendi inatamkwa Lejend siyo Lijendi