Napenda sana uchambuzi wa huyu mwamba. Kwanza huwa anaongea akiwa relaxed,hapanic na anaufahamu mkubwa wa mambo ya soka.Lakini pia anajua sana mambo mengine yasiyo ya soka hasa siasa.Pia anakipaji cha kuandika story na makala ,iwe kwa mzaaha( kuchekesha) au serious story. Hayuko bias siku zote huwa anajitahidi kuongea ukweli. Big up brother
Mpira wa miguu umeshuka kwa sababu vijana wengi siku hizi wana mambo mengi sana ya kufanya kuliko kucheza soka. Siku hizi kuna kazi ya bodaboda, kuendesha bajaji, na vijana wengi wamekimbilia shule ambako bahati mbaya hakuna michezo tena. Zamani hakukuwa na mambo mengi. Baada ya shule au shamba kitu kilichofuata ni kucheza mpira. Ndio maana vipaji vingi vilionekana.
Weweee leta Kiuno cha Ray C hapaaaaa, Ila Mwanaspoti nimelinunua sanaa sababu ya huyu. Namshauri awe anatengeneza jarida la uchambuzi angalau kwa mwezi mara moja atauza sanaaa.
Waoo nice kwakweli Salama nakukubal ningependa kumuona Ally kiba na Mr blue one day au kuna Jamaa watu wengi hawamjui ila inabid umualike kwan anafanya vitu vingi sana ambavyo vinahitaj maelezo zaid yake kuliko watu wanavyomsemea nae ni swahiba wako mie ni Swahiba wangu Anko Zanga Zenji stamina .ni mimi Hassan From Manchester Uk
ruclips.net/video/X7ONvSSKZLs/видео.html 👆👆👆👆👆👆👆 Tazama Kafara inavyotolewa hadharani 😭😭 dini hii imepigwa marufuku duniani nimekuwekea video Gusa link
Hii interview ni tamu sana, sema kama kichwa chako kimezoea tu maneno au sentence rahisi rahisi hautalewa vzuri. Kwanza km ww hujamjua mwandishi hata mmoja wa vitabu aliowataja Eddo, basi ww hii interview cyo level zako, labda usubiri kina Zuchu
Napenda sana uchambuzi wa huyu mwamba. Kwanza huwa anaongea akiwa relaxed,hapanic na anaufahamu mkubwa wa mambo ya soka.Lakini pia anajua sana mambo mengine yasiyo ya soka hasa siasa.Pia anakipaji cha kuandika story na makala ,iwe kwa mzaaha( kuchekesha) au serious story. Hayuko bias siku zote huwa anajitahidi kuongea ukweli. Big up brother
Abby Adams ni sahihi kabisa
SALAMA WE NI MTANGAZAJI BORA SANA.. I LIKE THAT
I always enjoy Edo Kumwembe akiwa anaongelea mpira. What a smart guy 👏
I wish ningemsikiliza Eddo mapema kusikia maneno yake...this is SOOOOO powerful......indeed,,Salama thank you kwa kumleta Eddo...lovely and insightful
Mpira wa miguu umeshuka kwa sababu vijana wengi siku hizi wana mambo mengi sana ya kufanya kuliko kucheza soka. Siku hizi kuna kazi ya bodaboda, kuendesha bajaji, na vijana wengi wamekimbilia shule ambako bahati mbaya hakuna michezo tena. Zamani hakukuwa na mambo mengi. Baada ya shule au shamba kitu kilichofuata ni kucheza mpira. Ndio maana vipaji vingi vilionekana.
SaLama unatukutanisha na watu makini siku izi edo namkubali sanA
Aisee mwamba amenifungua sana macho aisee
Weweee leta Kiuno cha Ray C hapaaaaa, Ila Mwanaspoti nimelinunua sanaa sababu ya huyu. Namshauri awe anatengeneza jarida la uchambuzi angalau kwa mwezi mara moja atauza sanaaa.
Salamaaa uwe na maisha marefu mbona ukintangulia kufa ntalia sana jaman ntaliaaaaaa nakupenda.
😂😂😂😂😂😂😂
😆😆😄😄😁
Waoo nice kwakweli Salama nakukubal ningependa kumuona Ally kiba na Mr blue one day au kuna Jamaa watu wengi hawamjui ila inabid umualike kwan anafanya vitu vingi sana ambavyo vinahitaj maelezo zaid yake kuliko watu wanavyomsemea nae ni swahiba wako mie ni Swahiba wangu Anko Zanga Zenji stamina .ni mimi Hassan From Manchester Uk
Nakukubali sana salama kutoka zenj mombasa
Mashallah, salama kwa maswali uko vizuri kwakweli, 🙌🏽
Tunashukuru Salama Kutuletea Edo The Legend
Broo wew n mnyamwezi sana...aisee
Nakukubali sana
Edo anatetemeka,I think Edo ni mzuri kiuandishi kuliko kuongea.
Acha uongo
Sure
@rodgers gregory ni kweli kabisa ulicho sema
Thats true
Very few of Eddo kind.. impressive
Kwaiyo umemwona Phil Jones tu 😂😂😂😂
Million dollar interview💥
Niuulizie hao akina dada mpira wao mikono (netball) umeishia wapi ?
Salama binafsi nakuomba umlete nguli Bw. Madebe Lidai
Wa kwanza kucoment
salama mi nafurahi nikikusikiliza ❤
perfect interview for edo by salama
Huyu mzee kaninunulisha sana mwanasport
Yani toka yupo Gazeti la Dimba
Same Man
mimi pia
interview yaki nyamwez sana
Edo Kumwembe ni zaidi ya mwandishj
EDO is super intelligent
Salama mimi binafsi nakuomba umlete nguli Bw. Madebe Lidai
Nimependa michanganuo yako broo.
Wanawake wamepungua jaman au ndo ile yakujibakiza nyumanyuma..
Kumwembe nna makala zako za nyuma ya panzia tangu 2012 sijawahi kukosa kununua gazeti la mwanaspoti
hello habari kaka .. nahitaji sana makala za Edo hizo kama uko nazo umetunza naomba tuwasiliane tafadhali 0753948158
Part 1 imekuwa part 2 na part 2 imekuwa 1 title imezingua
Kwel hata mim imenichanganya hapa naangalia ya kwanza ya pil tayar ,nafikir bahati mbaya 🙄
Kumbe anaetoa majina ya vyakula ni Carito mwambie alayeshubao
Asante kwa majina #calipto
Part1
Noma
nani kasikia Phil Jones hajui mpira hahahaha
Edo naku elewa sana
Edo fundi wa makala za michezo
Leo muhudumu mpya
Wameshaga badirisha kitambo tu !
@@kingbashar4293 duu siangalii ck hz
Nimemmis Jessica
ruclips.net/video/X7ONvSSKZLs/видео.html
👆👆👆👆👆👆👆
Tazama Kafara inavyotolewa hadharani 😭😭 dini hii imepigwa marufuku duniani nimekuwekea video Gusa link
kwa uyu jamaa nimeskia story tofauti tofauti....ila leo sijajifunza kitu toka kwake
Jamani mtuletee babra hassan
Hii interview ni tamu sana, sema kama kichwa chako kimezoea tu maneno au sentence rahisi rahisi hautalewa vzuri. Kwanza km ww hujamjua mwandishi hata mmoja wa vitabu aliowataja Eddo, basi ww hii interview cyo level zako, labda usubiri kina Zuchu
@@2116-n 😂😂😂😅😅
@@2116-n 😆😆😆👌
Ni Legend siyo Lijendi inatamkwa Lejend siyo Lijendi