Anita na slim hawana kosa,kosa ni la wazazi hata ningekuwa mimi ningeendelea tu kumpenda mume wangu Kwa sababu nilikuwa sijui Kam ni kaka yangu,ila kubwa ningeendelea kumuomba mungu ailinde ndoa yangu pamoja na watoto wangu❤❤❤❤
Ni ngumu sana kumeza wallah Bora hta wawegukua mabinamu lkn kwa kua Wana familia mungu mwenywe ndie ajue mm nigetaka ushauri wa viogozi wa dini pia niwekwe sawa kifikra pia Yani madakatar wa ushauri hilo jambo ni kubwa sana akil yaweza lipuka haswa kwa cc watoto wa kike inaumiza sana makosa ya wazazi wetu inakua adhabu kwetu pole maisha yaendelee
Katika simulizi zako zote anko jay hii imenigusa sana na imenipa funzo kubwa ❤Ubarikiwe anko jay ni Mimi mshabiki wako Emerance kutoka usa nakupenda sana pia na kukubali sana
Siwezi kuendelea nae kamwe,siwezi jaman,hata iweje...lkn pia inatufunza kusikiliza usia wa wazazi...laiti Anita angeshika usia wa mama yake kwa kutojiingiza kwenye mapenzi kabla ya ndoa mambo yangekua rahisi tu...na hata Kama sawa mama ake asingekwenda kwenye harusi Mungu angefanya tu muujiza kwa kuwa Anita angekua kaonesha uaminifu wakutokutana kimapenzi kabla ya ndoa.Tujifunze.
Kwanza nikushukuru ankoj watu wanaweza kusema hii NI simulizi tu haya yapo naninawashukuru hao watoto kwa ujasiri wao kwa ssb halikuwa kosa lao NI kosa la wazazi wao God bless you ankoj from zambia
Finally ❤❤❤❤, makosa n wazazi,, mm kwangu mm naona sasa yashaamwagika n kukubali tu n kujaribu kuenda mbele though mapenzi yatakuwa n mawazo endapo mtu ukumbuka
SubhanaLLah ni mtihan mzito ajab, kweli wazazi walifanya makosa sana tumejifunza na kuelimika sana. Hata hivyo story hii imenikumbusha wazazi wetu wa mwanzo yaani Adam Alaihi Salaam na mama yetu Hawa kwa kuwa walikuwa ndio wanaadamu wa mwanzo kabisa kuumbwa na kuwa katika hii dunia na walikuwa wakizaa pacha wa kike na WA kiume asubuhi na jioni so ALLah The ALMighty akawaamuru mtoto wa asubuhi WA kiume amuoe mtoto wa kike wa jioni kwa ufupi tu hapo ndipo vita vya Habil na Kabil zilianza. Lisa mwala Simulizi zako huwa ni moto🔥wa kuotea mbali halafu Msimulizi na Anko Jay Wacha tu hayasemeki otherwise shukran sana kwenu nyote
Asante sana Anko J na dda Lisa Mwala jwa smlz tamu nawaoenda sana 2❤❤❤ ngekuwa mm ata siachan na bwana ngu kwan makosa ni ya wazaz na maji yakushamwaika ayazolek kuamanisha lishakuwa tayar
Mh nizuli sana🎉
Anita na slim hawana kosa,kosa ni la wazazi hata ningekuwa mimi ningeendelea tu kumpenda mume wangu Kwa sababu nilikuwa sijui Kam ni kaka yangu,ila kubwa ningeendelea kumuomba mungu ailinde ndoa yangu pamoja na watoto wangu❤❤❤❤
Ni ngumu sana kumeza wallah Bora hta wawegukua mabinamu lkn kwa kua Wana familia mungu mwenywe ndie ajue mm nigetaka ushauri wa viogozi wa dini pia niwekwe sawa kifikra pia Yani madakatar wa ushauri hilo jambo ni kubwa sana akil yaweza lipuka haswa kwa cc watoto wa kike inaumiza sana makosa ya wazazi wetu inakua adhabu kwetu pole maisha yaendelee
Ningechukua maamuzi magumu niendelee na mpz wangu
Katika simulizi zako zote anko jay hii imenigusa sana na imenipa funzo kubwa ❤Ubarikiwe anko jay ni Mimi mshabiki wako Emerance kutoka usa nakupenda sana pia na kukubali sana
Ahsante sana 🙏🤝 kwa sapot unayo nipatia
🎉❤
Waooo ngoj tumskilize dada yet Anita anasemaj ❤❤❤
Huu mjengo unaleta mafundisho ya kila namna ktk maisha,asante saaaana kwa mtunzi wetu na msimuliaji wetu matata sana anko j
Kama una mpenda ank jay gonga like
Jamn wazaz mnapaswa kutokuficha vitu kwa watoto maana ni hatar baadae
bebeenen today haveme know if this to year we can talk
Upendo wa kweli huo kabisa wa toto wa zuri
Asante mwandishi wetu mahiri sana Lisa mwala na msimuliaji wetu kipenzi cha wasikilizaji wake wa kike na wa kiume wakubwa na wadogo Anko j
Big lesson learned amazing voice love it ❤❤❤❤
Ndoa ni ngumu ila maamuz ya ndoa ni ya mume na mke as long as Kuna upendo mambo mengine yapo tu❤❤❤
Poleni kwa magumu mliyo yapitaa sisi wasikilzaj nasi tumejifunza kitu namshkurh slimu kwa msimami wake
Uuuiiii nyieeee❤❤❤❤ this sound always make me go crazy.Anita wish you all the best❣💖💖
🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃mbio mbio nawahi simulizi ❤❤❤❤
Hongera dada anita kwa uamuzi wako na msimamo mamaa pamoja na mumeo Mungu awabariki na aitunze familia yenu lkn hao wazazi walifanya makosa sana isay
Siwezi kuendelea nae kamwe,siwezi jaman,hata iweje...lkn pia inatufunza kusikiliza usia wa wazazi...laiti Anita angeshika usia wa mama yake kwa kutojiingiza kwenye mapenzi kabla ya ndoa mambo yangekua rahisi tu...na hata Kama sawa mama ake asingekwenda kwenye harusi Mungu angefanya tu muujiza kwa kuwa Anita angekua kaonesha uaminifu wakutokutana kimapenzi kabla ya ndoa.Tujifunze.
Siachani naye tena sikubari ni kulaviana tu❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉😂😂chezea mapenzi nakupa big up ankoj.
Ongeren Anita na bwanako Mungu azdi kuwapa furaha katika mausha yenu
Kwanza nikushukuru ankoj watu wanaweza kusema hii NI simulizi tu haya yapo naninawashukuru hao watoto kwa ujasiri wao kwa ssb halikuwa kosa lao NI kosa la wazazi wao God bless you ankoj from zambia
Nime penda❤❤❤❤
Makose ni ya wazazi.Slim na Anita waendelee na maisha yao. Shukran kwa simulizi hii. Natumai imewafumbua macho watu wengi.
Anko unajua unajua tena
Safi sanaaa makosa yalifanywa nawazazi so watoto hawapaswi kupata adhabu
Jaman hisimulizi ni tamu jaman na ime nifundisha vingi sana asante Anko jay na kipenz changu lisa mwallah mungu awabaliki.❤💙💚
Aahaaaa!!!!Anita😋😋👍🎧🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hata kama dhambi zako ni nyekudu kama damu yesu Hana Safi she kabisa. Huskimbiliye kujihuwa hutapotea hutaona mungu
Kaz nzur Anko jay 🎉
Anita ame amuwa vizuri sana nampongeza kwa maamuzi yake ❤ 🎉
Mama anita ndochanzo chamatatizo
Mmmh my brother ankojay hata ningekuwa mm ningebaki ktk ndoa yangu maana sio kosa langu my dear brother
Anko j unajuanga kutufurahisha kweli🙏🙏🤣🙏🙏🙏🙏
Nam Ning kubal kuolew nae man namimi hap ndug Zang upand wababa siw jui🫢🫢😁😁🤣🤣🤣🤣
Finally ❤❤❤❤, makosa n wazazi,, mm kwangu mm naona sasa yashaamwagika n kukubali tu n kujaribu kuenda mbele though mapenzi yatakuwa n mawazo endapo mtu ukumbuka
Apa tunakumbushwa vikao vya familia nakoo zetu jamani haya yapo kweli 🤔🤔🤔 Asante Anko jay na madame Lissa kutukumbusha
Ninge achana nae tu kwakua din hairuhusu japo na mpenda sana na vile binadam tumeumbwa na sahau ningesahau ishallah
Sichezi mbali na kazi zako ase, zimenifungua akili na mawazo❤
Ila anko Jay wewe unajua sauti yako Ni balaaa ubarikiwe
Tumachi janihi ilawako na.msimamo maishayae.ndele.shuklan..anko..❤❤❤❤
SubhanaLLah ni mtihan mzito ajab, kweli wazazi walifanya makosa sana tumejifunza na kuelimika sana. Hata hivyo story hii imenikumbusha wazazi wetu wa mwanzo yaani Adam Alaihi Salaam na mama yetu Hawa kwa kuwa walikuwa ndio wanaadamu wa mwanzo kabisa kuumbwa na kuwa katika hii dunia na walikuwa wakizaa pacha wa kike na WA kiume asubuhi na jioni so ALLah The ALMighty akawaamuru mtoto wa asubuhi WA kiume amuoe mtoto wa kike wa jioni kwa ufupi tu hapo ndipo vita vya Habil na Kabil zilianza. Lisa mwala Simulizi zako huwa ni moto🔥wa kuotea mbali halafu Msimulizi na Anko Jay Wacha tu hayasemeki otherwise shukran sana kwenu nyote
Ww ndy umesem nn mbon ujaelewek
❤
Kiukweli ata mm cjamuelewa uyu
Kwangu mm uncle jj kwakua tayari nimezanae nisingekubari kumwacha me wangu
Asante sana Anko J na dda Lisa Mwala jwa smlz tamu nawaoenda sana 2❤❤❤ ngekuwa mm ata siachan na bwana ngu kwan makosa ni ya wazaz na maji yakushamwaika ayazolek kuamanisha lishakuwa tayar
Hiyooo Sauti yako Nakuubali san
Unasimulia vizuri San nimekupenda bure kak yangu
Hatari fire Ankojay 😊Much Love❤🎉
Thanks Anko Jay hakika unatumaliza na simulizi zako zuri na sauti yako ❤❤ ❤😂
Napenda sna simlizi zko unasimlizi tam
katk smuliz zote yaleo ...imenigusa mnooo ...thanks anc jay
Thanks anko jay kwa simulizi yako tamu ❤❤❤
Okay nimekuwa wa mwsh leo but tuendelee 🥰🥰🥰🥰 love you anko jay kea kuelimisha jamii
Heleeeelllooooo guys Now it's New stroy 💗💗💗🥰🥰🥰🥰 Anko l want go to church let's listen this letter seee you next time ❤❤❤❤
Hahahaa,,🤣🤣❤❤unamwambia enuka mke wangu achana na awa wazee
😂😂😂 umefanya nicheke kwa sauti
Dah tuyasike tu kwenye storry za anko jay usiombe yakukute aisee.asante kwa simulizi za mafunzo❤
Kabisa 😂😂😂😂
Kweli usiombe yakukute
Oooh shukran san kwa simulizi nzur...na ya kuhuzunish pia 😢😢...Allah akujalie nguvu ya kusimulia zaidi ya iyo 🤲🤲
Shukran sana Anko Jay uzidishiwe baraka,kuna mafunzo tele
Jamani nimechelewa miee haya huyu ANITA kafanyanini ankojay nasikiliza ili nijuwe halafu nijifunze kitu🥰🥰🥰
Ni ngumu sana kumeza wallah
❤ your simulizi Anita nakuoenda ni mimi kutoka Kenya
Sorry nakupenda
Mmm jamani mapenzi nimazito Anita pole tens nakupa ongera kwaujasiri kutoka Zambia
Hongereni sana kwa upande wangu ninge handelea na kaka tu
Daah hongeren kak na dad mung aidumish ndoa yen
Simulizi ni nzur sanaa
Baba nakubali ♥️
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Najifunza kupitia wew maana katika mapenzi sikuwahi jua mambo ya bi shuuu❤❤❤😅😅😅
Adi bili leo unamkumbusha bi bishuuu🤣🤣😂🤣
Mambo ya bi Shuu kweli ni motomoto
Ahsante sana Anko jay kwa kitu kipya ❤
Dah asante sana kwa simuliz nzuri
Shukran anko J mie sina jibu lingenifika ndio ningejua la kufanya ila ni mtihani mkubwa huu ❤❤❤
Shukurani san ❤❤❤
Duu hiyo Kali kweli hata kama ni mimi simuachi piya 🫣 inanuma kweli wow thanks Anko Jay simulizi nzuri kwele na ni tamu kweli
Asante Anko J kwa simulizi nzuri yenye mafunzo ningekua mimi ningeacha tuendelee mke mme aina jinsi.
Anko J barikiwa tunajifunza mengi Ila kwahili kunaumuhumu wakuwa muwazi jaman
Wa kwanza mie🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰👀
Me mwenyewe ntaendelea ku enjoy mapenz yangu kwakweli staki ata kusikia ❤ makosa ni ya kwao wazazi ..keep it up anko jay.
Naingiwa na ujasiri sasa wakufanya jambo katika maisha haya, asante anko
Simachi maana nikimuacha walimwengu watanisemanga vibaya heri uwamuzi mzuri wao mziri huwo walioufanya haowawili
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉ANT. LISA. ANKO. JEY. NAWAPENDA. SANA. STORY. NZURI. SANAAAAA🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 NAWAPENDA. SANAAAA. INAFUNZA. SANA❤❤❤🇮🇹🇹🇿🍒🔥🔥
Asante sana anko Jay kwa simulizi, umenipa ujasiri anko Mungu akupe maicha marefu
Daaah kwel ni mtian San bt ni makosa ya wazazi
nιce🥰🥰
Asante Sana anko tunajifunza sana 3:45
Dah simulz nzur Sanaa be blessed speaker
Ni Sahihi wabarikiwe tunaomba e9 10 11 yaani weka fuluiuiuu
Waah Anita haya wadau twende nalo
Asante san bro similizi zako dhuuu
Jmn msimuliaji apewe mauwa yake🙌🙌
Alaaaa🤭🤭🤭
Simulizi nzuri yenye mafunzo .......mmmh ...seriously maoni yangu, hata mm ningeendelea tuu ..mmmh ,mapenzi yanauma vibaya 😂😂😂na hata sijui kwanini😂
Daah hiii ni ngumu kumezaa mimi bora kuachna AFu watoto wakikua tunasemq wazazi went warifarik kwa ajari 😢😢japo daah
We ni fala
Hujakutana na nguvu ya mapenzi bado
Bora tuachane tuleee tu watoto 😢ila siwezi kumvulia nguo tena 😭bora hata tusingeambia km sisi ni ndugu ,,ila inauma sana aiseee ngumu kumeza bhana😊
😂😂😂😂umvulie nguo mara ngapi wakati keshaona kila Siri jamani😂😂😂😂😂
@@avelinabaluhya2804 kaona ni kweli ila nilikua sijajua kama ni kakaangu 🤣🤣🤣🤣
❤❤❤❤❤Ankoj mapesa tunakupenda xn walai
Mbona hamna Shida jaman kumbe sio baba mmoja me ningekua anita aka mimi na slim wangu mapenzi mubashara
asante sana kwa mafundisho yako anko jey
Weendelee na ndoa Yao tu
Mapenzi anaumiza sana mutu akupendae sana umuache ivoivo bila probleme
Mm shabiki wak nakufutalia kutoka msumbij Nakuubali san
Natulia kuzikiza kazi nzuri Anko jay nakubali sana ❤❤❤❤❤❤
Nimeipenda sana
Tuchukue somo la kuwasaidia wanetu,makosa ya wazazi maumivu kwa watoto
Ishatokea nabaki na mme wang wazazi watajua wenyew
Lakin inauma 😢😢😢 pole Anita mungu ni mwema
Story nzuri sana asante imetufunza ❤❤❤
Asante Anko kwa simulizi mpya be blessed ❤
Thanx that was a good simulizi
Hii simulizi pambe anko wakuache maika mia
Maisha jaman mungu atustir inshallah