Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

SIMULIZI MPYA : ANITA, by Ankojay

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 июн 2023
  • Kwa jina naitwa Anita ni mzaliwa Dodoma, nimetokea ktk familia ya watoto watatu mm nikiwa ndo wakwanza nina wadogo zngu wawili wote wakike joyce na salome.

Комментарии • 351

  • @user-yk6dg4kl3s
    @user-yk6dg4kl3s 4 месяца назад +22

    Kama una mpenda ank jay gonga like

  • @evelinazaina2455
    @evelinazaina2455 Год назад +24

    Katika simulizi zako zote anko jay hii imenigusa sana na imenipa funzo kubwa ❤Ubarikiwe anko jay ni Mimi mshabiki wako Emerance kutoka usa nakupenda sana pia na kukubali sana

    • @ankojay_
      @ankojay_  Год назад +4

      Ahsante sana 🙏🤝 kwa sapot unayo nipatia

    • @MonicaIlomo
      @MonicaIlomo 7 дней назад +1

      🎉❤

  • @sumeiyamaddy95
    @sumeiyamaddy95 Год назад +7

    Ni ngumu sana kumeza wallah Bora hta wawegukua mabinamu lkn kwa kua Wana familia mungu mwenywe ndie ajue mm nigetaka ushauri wa viogozi wa dini pia niwekwe sawa kifikra pia Yani madakatar wa ushauri hilo jambo ni kubwa sana akil yaweza lipuka haswa kwa cc watoto wa kike inaumiza sana makosa ya wazazi wetu inakua adhabu kwetu pole maisha yaendelee

  • @eda_juma
    @eda_juma Год назад +5

    Anita na slim hawana kosa,kosa ni la wazazi hata ningekuwa mimi ningeendelea tu kumpenda mume wangu Kwa sababu nilikuwa sijui Kam ni kaka yangu,ila kubwa ningeendelea kumuomba mungu ailinde ndoa yangu pamoja na watoto wangu❤❤❤❤

  • @ruthwaithera2650
    @ruthwaithera2650 Год назад +17

    Uuuiiii nyieeee❤❤❤❤ this sound always make me go crazy.Anita wish you all the best❣💖💖

  • @shadyasalum192
    @shadyasalum192 Год назад +14

    Jamani nimechelewa miee haya huyu ANITA kafanyanini ankojay nasikiliza ili nijuwe halafu nijifunze kitu🥰🥰🥰

  • @mariamrashid6880
    @mariamrashid6880 Год назад +41

    SubhanaLLah ni mtihan mzito ajab, kweli wazazi walifanya makosa sana tumejifunza na kuelimika sana. Hata hivyo story hii imenikumbusha wazazi wetu wa mwanzo yaani Adam Alaihi Salaam na mama yetu Hawa kwa kuwa walikuwa ndio wanaadamu wa mwanzo kabisa kuumbwa na kuwa katika hii dunia na walikuwa wakizaa pacha wa kike na WA kiume asubuhi na jioni so ALLah The ALMighty akawaamuru mtoto wa asubuhi WA kiume amuoe mtoto wa kike wa jioni kwa ufupi tu hapo ndipo vita vya Habil na Kabil zilianza. Lisa mwala Simulizi zako huwa ni moto🔥wa kuotea mbali halafu Msimulizi na Anko Jay Wacha tu hayasemeki otherwise shukran sana kwenu nyote

  • @ChristinesifaRuwa-ix9iy
    @ChristinesifaRuwa-ix9iy Год назад +8

    Hongera dada anita kwa uamuzi wako na msimamo mamaa pamoja na mumeo Mungu awabariki na aitunze familia yenu lkn hao wazazi walifanya makosa sana isay

  • @DortheaMaria-ti5er
    @DortheaMaria-ti5er 4 месяца назад +6

    Ni ngumu sana kumeza wallah

  • @queenlee9495
    @queenlee9495 Год назад +6

    Jaman hisimulizi ni tamu jaman na ime nifundisha vingi sana asante Anko jay na kipenz changu lisa mwallah mungu awabaliki.❤💙💚

  • @dalilaamiri
    @dalilaamiri Год назад +7

    Waooo ngoj tumskilize dada yet Anita anasemaj ❤❤❤

  • @alinaswemuziya876
    @alinaswemuziya876 Год назад +2

    Kwanza nikushukuru ankoj watu wanaweza kusema hii NI simulizi tu haya yapo naninawashukuru hao watoto kwa ujasiri wao kwa ssb halikuwa kosa lao NI kosa la wazazi wao God bless you ankoj from zambia

  • @rehemanifasha5524
    @rehemanifasha5524 Год назад +11

    Anita ame amuwa vizuri sana nampongeza kwa maamuzi yake ❤ 🎉

  • @Winniequinepretty-wm7rr
    @Winniequinepretty-wm7rr 7 месяцев назад +5

    Big lesson learned amazing voice love it ❤❤❤❤

  • @salmamohamedi5405
    @salmamohamedi5405 Год назад +4

    Mmmh my brother ankojay hata ningekuwa mm ningebaki ktk ndoa yangu maana sio kosa langu my dear brother

  • @rizkimw1301
    @rizkimw1301 Год назад +6

    Ongeren Anita na bwanako Mungu azdi kuwapa furaha katika mausha yenu

  • @sarahhagai8191
    @sarahhagai8191 Год назад +15

    Sichezi mbali na kazi zako ase, zimenifungua akili na mawazo❤

  • @nashaldy1804
    @nashaldy1804 Год назад +10

    Kma ni mm pia ningetwaa uamuzi kma huo wa Anita.tena ukizingatia hyo ni first luv wke.aa weh! Udugu ukaepembeni.

  • @NawMi121-lj8cf
    @NawMi121-lj8cf Год назад +5

    Anko j unajuanga kutufurahisha kweli🙏🙏🤣🙏🙏🙏🙏

  • @jenniferlicko4736
    @jenniferlicko4736 Год назад +9

    Heleeeelllooooo guys Now it's New stroy 💗💗💗🥰🥰🥰🥰 Anko l want go to church let's listen this letter seee you next time ❤❤❤❤

  • @RahelIbrahim-id2li
    @RahelIbrahim-id2li 4 месяца назад +1

    Asante mwandishi wetu mahiri sana Lisa mwala na msimuliaji wetu kipenzi cha wasikilizaji wake wa kike na wa kiume wakubwa na wadogo Anko j

  • @maryworkman635
    @maryworkman635 Год назад +14

    Thanks Anko Jay hakika unatumaliza na simulizi zako zuri na sauti yako ❤❤ ❤😂

  • @sarahhagai8191
    @sarahhagai8191 Год назад +11

    Naingiwa na ujasiri sasa wakufanya jambo katika maisha haya, asante anko

    • @joycemwangala
      @joycemwangala Год назад

      Simachi maana nikimuacha walimwengu watanisemanga vibaya heri uwamuzi mzuri wao mziri huwo walioufanya haowawili

  • @carlossirya5016
    @carlossirya5016 Год назад +4

    Safi sanaaa makosa yalifanywa nawazazi so watoto hawapaswi kupata adhabu

  • @judyauko8134
    @judyauko8134 Год назад +7

    Makose ni ya wazazi.Slim na Anita waendelee na maisha yao. Shukran kwa simulizi hii. Natumai imewafumbua macho watu wengi.

  • @sarahhagai8191
    @sarahhagai8191 Год назад +4

    🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃mbio mbio nawahi simulizi ❤❤❤❤

  • @ponsianomwakisunga899
    @ponsianomwakisunga899 Месяц назад

    Dah simulz nzur Sanaa be blessed speaker

  • @reachelchemtai2604
    @reachelchemtai2604 Год назад +3

    Hata kama dhambi zako ni nyekudu kama damu yesu Hana Safi she kabisa. Huskimbiliye kujihuwa hutapotea hutaona mungu

  • @MbarikiwaFoundation-it5tm
    @MbarikiwaFoundation-it5tm Год назад +2

    Ninge achana nae tu kwakua din hairuhusu japo na mpenda sana na vile binadam tumeumbwa na sahau ningesahau ishallah

  • @alisalim2145
    @alisalim2145 Год назад +4

    Nam Ning kubal kuolew nae man namimi hap ndug Zang upand wababa siw jui🫢🫢😁😁🤣🤣🤣🤣

  • @user-nt5ds1cp4s
    @user-nt5ds1cp4s 9 месяцев назад +2

    Sauti nzuri sana yani tamu kweli nakupenda bure kakangu❤😂

    • @user-yz5zn4tr6i
      @user-yz5zn4tr6i 9 месяцев назад

      😂😂😂😂😂❤❤❤tamuuu Haswaaaaaa❤❤❤😂😂😂

  • @nindymuruga4798
    @nindymuruga4798 Год назад +4

    Dah tuyasike tu kwenye storry za anko jay usiombe yakukute aisee.asante kwa simulizi za mafunzo❤

  • @user-ly6we7ig1x
    @user-ly6we7ig1x 7 месяцев назад +3

    Siachani naye tena sikubari ni kulaviana tu❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉😂😂chezea mapenzi nakupa big up ankoj.

  • @anastaziasanga
    @anastaziasanga Год назад +4

    Apa tunakumbushwa vikao vya familia nakoo zetu jamani haya yapo kweli 🤔🤔🤔 Asante Anko jay na madame Lissa kutukumbusha

  • @binthassan9191
    @binthassan9191 Год назад +4

    Bora tuachane tuleee tu watoto 😢ila siwezi kumvulia nguo tena 😭bora hata tusingeambia km sisi ni ndugu ,,ila inauma sana aiseee ngumu kumeza bhana😊

    • @avelinabaluhya2804
      @avelinabaluhya2804 Год назад

      😂😂😂😂umvulie nguo mara ngapi wakati keshaona kila Siri jamani😂😂😂😂😂

    • @binthassan9191
      @binthassan9191 Год назад

      @@avelinabaluhya2804 kaona ni kweli ila nilikua sijajua kama ni kakaangu 🤣🤣🤣🤣

  • @sarahhagai8191
    @sarahhagai8191 Год назад +7

    Najifunza kupitia wew maana katika mapenzi sikuwahi jua mambo ya bi shuuu❤❤❤😅😅😅

  • @LifeofSalmah
    @LifeofSalmah Год назад +6

    Hatari fire Ankojay 😊Much Love❤🎉

  • @rukiawaziri4871
    @rukiawaziri4871 7 месяцев назад +2

    Ndoa ni ngumu ila maamuz ya ndoa ni ya mume na mke as long as Kuna upendo mambo mengine yapo tu❤❤❤

  • @JessicaDonson
    @JessicaDonson 21 день назад

    Dah asante sana kwa simuliz nzuri

  • @raiyaanyusufyusuf17
    @raiyaanyusufyusuf17 Год назад +8

    Hii simulizi ina mafunzo mazuri sana jamani na inaskitisha na inaogopesha....ingekuwa mimi tungeachana Nikahama mji na watoto tukakata mawasiliano kabsaa na baba watoto maana kuendelea na ndugu yangu tena kwa mama ni ngumu ....kwa maelewano lakini

  • @JanethAssanga
    @JanethAssanga 28 дней назад

    Unasimulia vizuri San nimekupenda bure kak yangu

  • @faizajumwa4696
    @faizajumwa4696 Год назад +2

    Aahaaaa!!!!Anita😋😋👍🎧🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @ZuzanaShindika
    @ZuzanaShindika 17 дней назад +1

    Nimeipenda hii

  • @salmakim557
    @salmakim557 Год назад +3

    Shukran sana Anko Jay uzidishiwe baraka,kuna mafunzo tele

  • @Stephanie-mp1nn
    @Stephanie-mp1nn 5 месяцев назад +1

    Me mwenyewe ntaendelea ku enjoy mapenz yangu kwakweli staki ata kusikia ❤ makosa ni ya kwao wazazi ..keep it up anko jay.

  • @binthassan9191
    @binthassan9191 Год назад +5

    Ahsante sana Anko jay kwa kitu kipya ❤

  • @blessingrajabu2519
    @blessingrajabu2519 Год назад +3

    Kwangu mm uncle jj kwakua tayari nimezanae nisingekubari kumwacha me wangu

  • @soldd-xz5ue
    @soldd-xz5ue 7 месяцев назад +2

    Asante jamani nimeipenda. Runge wachana tu tukalea watoto

  • @user-kz7xq7ej9v
    @user-kz7xq7ej9v Год назад +2

    Oooh shukran san kwa simulizi nzur...na ya kuhuzunish pia 😢😢...Allah akujalie nguvu ya kusimulia zaidi ya iyo 🤲🤲

  • @rizkimw1301
    @rizkimw1301 Год назад +3

    Hahahaa,,🤣🤣❤❤unamwambia enuka mke wangu achana na awa wazee

  • @wertqwe8326
    @wertqwe8326 Год назад +6

    Thanks anko jay kwa simulizi yako tamu ❤❤❤

  • @shantellekwamboka7444
    @shantellekwamboka7444 Год назад +1

    Finally ❤❤❤❤, makosa n wazazi,, mm kwangu mm naona sasa yashaamwagika n kukubali tu n kujaribu kuenda mbele though mapenzi yatakuwa n mawazo endapo mtu ukumbuka

  • @matesomoci6376
    @matesomoci6376 Год назад +3

    Hongereni sana kwa upande wangu ninge handelea na kaka tu

  • @ashaabdalla924
    @ashaabdalla924 Год назад +4

    Shukran anko J mie sina jibu lingenifika ndio ningejua la kufanya ila ni mtihani mkubwa huu ❤❤❤

  • @user-qw6zq2ve4t
    @user-qw6zq2ve4t Год назад +1

    Daah hongeren kak na dad mung aidumish ndoa yen

  • @ziadamtebwa3712
    @ziadamtebwa3712 Год назад +2

    Asante Anko J kwa simulizi nzuri yenye mafunzo ningekua mimi ningeacha tuendelee mke mme aina jinsi.

  • @rizkimw1301
    @rizkimw1301 Год назад +1

    Asante sana Anko J na dda Lisa Mwala jwa smlz tamu nawaoenda sana 2❤❤❤ ngekuwa mm ata siachan na bwana ngu kwan makosa ni ya wazaz na maji yakushamwaika ayazolek kuamanisha lishakuwa tayar

  • @mildredalivitsa1186
    @mildredalivitsa1186 Год назад +2

    ❤ your simulizi Anita nakuoenda ni mimi kutoka Kenya

    • @mildredalivitsa1186
      @mildredalivitsa1186 Год назад

      Sorry nakupenda

    • @HappinessMilambo
      @HappinessMilambo 11 месяцев назад

      Mmm jamani mapenzi nimazito Anita pole tens nakupa ongera kwaujasiri kutoka Zambia

  • @nabintuneema907
    @nabintuneema907 8 месяцев назад +1

    Upendo wa kweli huo kabisa wa toto wa zuri

  • @maryworkman635
    @maryworkman635 Год назад +2

    Duu hiyo Kali kweli hata kama ni mimi simuachi piya 🫣 inanuma kweli wow thanks Anko Jay simulizi nzuri kwele na ni tamu kweli

  • @RahelIbrahim-id2li
    @RahelIbrahim-id2li 4 месяца назад

    Huu mjengo unaleta mafundisho ya kila namna ktk maisha,asante saaaana kwa mtunzi wetu na msimuliaji wetu matata sana anko j

  • @brigdk
    @brigdk Год назад +9

    Natulia kuzikiza kazi nzuri Anko jay nakubali sana ❤❤❤❤❤❤

  • @slyla2565
    @slyla2565 Год назад +2

    Anko J barikiwa tunajifunza mengi Ila kwahili kunaumuhumu wakuwa muwazi jaman

  • @fatumamusa6811
    @fatumamusa6811 Год назад +3

    Anko unajua unajua tena

  • @JackMgaya-qo3qn
    @JackMgaya-qo3qn Год назад +4

    Simulizi ni nzur sanaa

  • @user-vo4rc1vd4d
    @user-vo4rc1vd4d 7 месяцев назад +1

    Napenda sna simlizi zko unasimlizi tam

  • @DalinaSamweli-ji3fc
    @DalinaSamweli-ji3fc Год назад +1

    Okay nimekuwa wa mwsh leo but tuendelee 🥰🥰🥰🥰 love you anko jay kea kuelimisha jamii

  • @user-ml4kv4ty4b
    @user-ml4kv4ty4b 7 месяцев назад +1

    Daaah kwel ni mtian San bt ni makosa ya wazazi

  • @EstherJoram-gt4lt
    @EstherJoram-gt4lt Год назад +2

    Daah hiii ni ngumu kumezaa mimi bora kuachna AFu watoto wakikua tunasemq wazazi went warifarik kwa ajari 😢😢japo daah

  • @sophiahassan-kn7ov
    @sophiahassan-kn7ov Год назад +7

    Simulizi nzuri yenye mafunzo .......mmmh ...seriously maoni yangu, hata mm ningeendelea tuu ..mmmh ,mapenzi yanauma vibaya 😂😂😂na hata sijui kwanini😂

  • @WardaNuru-ci9rx
    @WardaNuru-ci9rx Год назад +1

    katk smuliz zote yaleo ...imenigusa mnooo ...thanks anc jay

  • @FathelaFy-hj4jn
    @FathelaFy-hj4jn Год назад +1

    Tumachi janihi ilawako na.msimamo maishayae.ndele.shuklan..anko..❤❤❤❤

  • @ashamenza2212
    @ashamenza2212 Год назад +3

    Waah Anita haya wadau twende nalo

  • @ChristopherMangi
    @ChristopherMangi Год назад +3

    Nimeipenda sana

    • @RahelIbrahim-id2li
      @RahelIbrahim-id2li 4 месяца назад

      Tuchukue somo la kuwasaidia wanetu,makosa ya wazazi maumivu kwa watoto

  • @deborahkavira2415
    @deborahkavira2415 Год назад +1

    Asante sana anko Jay kwa simulizi, umenipa ujasiri anko Mungu akupe maicha marefu

  • @user-ym9du6uq7j
    @user-ym9du6uq7j Год назад +3

    Asante Sana anko tunajifunza sana 3:45

  • @aseaaaa5812
    @aseaaaa5812 Год назад +2

    Shukurani san ❤❤❤

  • @user-bo9kk5ds9i
    @user-bo9kk5ds9i 7 месяцев назад +1

    Ila anko Jay wewe unajua sauti yako Ni balaaa ubarikiwe

  • @saraasatenisanasimlizimixc9232

    Hapo kunamtihani sana bora binam Dada na kaka m asate sana ako j

  • @Zizzah2707
    @Zizzah2707 Год назад +3

    Chungu kutafun ngumu kutema mweeeeeeeee

  • @sarahhagai8191
    @sarahhagai8191 Год назад +6

    Mungu akubariki sana 🙏 kwa kazi nzuri, elimu tosha ya inazidi University ukweli 😂😂😂

  • @speciozamikole2194
    @speciozamikole2194 8 месяцев назад +1

    Ni Sahihi wabarikiwe tunaomba e9 10 11 yaani weka fuluiuiuu

  • @Elizakilisipinilikolika1996
    @Elizakilisipinilikolika1996 Год назад +1

    asante sana kwa mafundisho yako anko jey

  • @JacksonJohannes-gr7mz
    @JacksonJohannes-gr7mz Год назад +1

    anko j mm ningechagua kumpenda mke wangu tu maana makosa sio yetu

  • @LindaRobson-qn1br
    @LindaRobson-qn1br Год назад +3

    Ishatokea nabaki na mme wang wazazi watajua wenyew

  • @tegemeamhimba832
    @tegemeamhimba832 Год назад +4

    Mmm balaaa ila hii Tania ya kutelekeza watoto haifai kabisa

  • @user-qw7un1nf2f
    @user-qw7un1nf2f Год назад +2

    Hii simulizi pambe anko wakuache maika mia

  • @beatriceonsongo9915
    @beatriceonsongo9915 Год назад +3

    Asante Anko kwa simulizi mpya be blessed ❤

  • @halimahaji3856
    @halimahaji3856 Год назад

    Anko jay mapesa ndani ya mjengo,

  • @user-mu4oh7rm3j
    @user-mu4oh7rm3j 12 дней назад

    Uamuzi aliochukua Anita na slimu nisawa kabisa hivo basi mungu awajalie heri tu na mungu azidi kuwakumbuka.maana ktk dun8a hii hakuna aliae kama mungu au muamin8afu sote niwakosajo tuu

  • @ftimaramadan4748
    @ftimaramadan4748 Год назад +2

    Maisha jaman mungu atustir inshallah

  • @aminapili2978
    @aminapili2978 Год назад +4

    Kama nmm hapo siachan nae coz hapo sisi hatuna makosa walokosea wazazi sisi wala juu sku hizi nmoja kwa mia mwenye upendo wadhat wote wamekua wasalit

  • @lidiajephter7564
    @lidiajephter7564 Год назад +4

    Jamani narudi acha nisikilize kwanza

  • @hudumampyahalisi4846
    @hudumampyahalisi4846 Год назад +4

    Inatufundisha wazazi kiukwel 😢😢

  • @agnesagnes5288
    @agnesagnes5288 Год назад +1

    ❤❤❤❤❤Ankoj mapesa tunakupenda xn walai

  • @selfamitche3530
    @selfamitche3530 Год назад +13

    Big lesson learned. Love it ❤❤

  • @naomibitakara7972
    @naomibitakara7972 Год назад +6

    God bless u Anko jay and have a nice day 😊

  • @lainacemmmwasote1862
    @lainacemmmwasote1862 2 месяца назад

    Siwezi kuendelea nae kamwe,siwezi jaman,hata iweje...lkn pia inatufunza kusikiliza usia wa wazazi...laiti Anita angeshika usia wa mama yake kwa kutojiingiza kwenye mapenzi kabla ya ndoa mambo yangekua rahisi tu...na hata Kama sawa mama ake asingekwenda kwenye harusi Mungu angefanya tu muujiza kwa kuwa Anita angekua kaonesha uaminifu wakutokutana kimapenzi kabla ya ndoa.Tujifunze.

  • @salmaebrahim2058
    @salmaebrahim2058 Год назад +1

    Lissa umetisha Sana hila kaka na dada ni noma Sana hila sio makosa Yao bb na mm ndio wenye makosa ivyo naweza vipi kumuacha na wakati tealiya tu
    Watoto maji ya kimwagika uwezi kuyazoya ivyo maisha yaendelee tu umetisha Sana Lissa na Ankojay ngumu azidi kuwasimamia kwenye safari yenu fanyeni kazi bilb kuchuka

    • @ankojay_
      @ankojay_  Год назад

      Thank you so much 🙏

  • @Happy-gi9tq
    @Happy-gi9tq Год назад +3

    Weendelee na ndoa Yao tu