SIMULIZI MPYA : ANITA, by Ankojay

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 31 янв 2025

Комментарии • 385

  • @WinnieIsaka
    @WinnieIsaka 23 дня назад +1

    Mh nizuli sana🎉

  • @eda_juma
    @eda_juma Год назад +12

    Anita na slim hawana kosa,kosa ni la wazazi hata ningekuwa mimi ningeendelea tu kumpenda mume wangu Kwa sababu nilikuwa sijui Kam ni kaka yangu,ila kubwa ningeendelea kumuomba mungu ailinde ndoa yangu pamoja na watoto wangu❤❤❤❤

  • @sumeiyamaddy95
    @sumeiyamaddy95 Год назад +17

    Ni ngumu sana kumeza wallah Bora hta wawegukua mabinamu lkn kwa kua Wana familia mungu mwenywe ndie ajue mm nigetaka ushauri wa viogozi wa dini pia niwekwe sawa kifikra pia Yani madakatar wa ushauri hilo jambo ni kubwa sana akil yaweza lipuka haswa kwa cc watoto wa kike inaumiza sana makosa ya wazazi wetu inakua adhabu kwetu pole maisha yaendelee

    • @StellaMalando
      @StellaMalando 2 месяца назад +1

      Ningechukua maamuzi magumu niendelee na mpz wangu

  • @evelinazaina2455
    @evelinazaina2455 Год назад +30

    Katika simulizi zako zote anko jay hii imenigusa sana na imenipa funzo kubwa ❤Ubarikiwe anko jay ni Mimi mshabiki wako Emerance kutoka usa nakupenda sana pia na kukubali sana

    • @ankojay_
      @ankojay_  Год назад +5

      Ahsante sana 🙏🤝 kwa sapot unayo nipatia

    • @MonicaIlomo
      @MonicaIlomo 5 месяцев назад +2

      🎉❤

  • @dalilaamiri
    @dalilaamiri Год назад +10

    Waooo ngoj tumskilize dada yet Anita anasemaj ❤❤❤

  • @RahelIbrahim-id2li
    @RahelIbrahim-id2li 10 месяцев назад +2

    Huu mjengo unaleta mafundisho ya kila namna ktk maisha,asante saaaana kwa mtunzi wetu na msimuliaji wetu matata sana anko j

  • @EpimackChami-g2f
    @EpimackChami-g2f 10 месяцев назад +47

    Kama una mpenda ank jay gonga like

    • @TumainiJakobo
      @TumainiJakobo 5 месяцев назад

      Jamn wazaz mnapaswa kutokuficha vitu kwa watoto maana ni hatar baadae

    • @CatherineJacob-u2t
      @CatherineJacob-u2t 3 месяца назад

      bebeenen today haveme know if this to year we can talk

  • @nabintuneema907
    @nabintuneema907 Год назад +2

    Upendo wa kweli huo kabisa wa toto wa zuri

  • @RahelIbrahim-id2li
    @RahelIbrahim-id2li 10 месяцев назад +2

    Asante mwandishi wetu mahiri sana Lisa mwala na msimuliaji wetu kipenzi cha wasikilizaji wake wa kike na wa kiume wakubwa na wadogo Anko j

  • @Winniequinepretty-wm7rr
    @Winniequinepretty-wm7rr Год назад +6

    Big lesson learned amazing voice love it ❤❤❤❤

  • @Rummy4871
    @Rummy4871 Год назад +4

    Ndoa ni ngumu ila maamuz ya ndoa ni ya mume na mke as long as Kuna upendo mambo mengine yapo tu❤❤❤

  • @PendoAmosi-sr6lw
    @PendoAmosi-sr6lw Месяц назад +1

    Poleni kwa magumu mliyo yapitaa sisi wasikilzaj nasi tumejifunza kitu namshkurh slimu kwa msimami wake

  • @ruthwaithera2650
    @ruthwaithera2650 Год назад +18

    Uuuiiii nyieeee❤❤❤❤ this sound always make me go crazy.Anita wish you all the best❣💖💖

  • @sarahhagai8191
    @sarahhagai8191 Год назад +6

    🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃mbio mbio nawahi simulizi ❤❤❤❤

  • @ChristinesifaRuwa-ix9iy
    @ChristinesifaRuwa-ix9iy Год назад +10

    Hongera dada anita kwa uamuzi wako na msimamo mamaa pamoja na mumeo Mungu awabariki na aitunze familia yenu lkn hao wazazi walifanya makosa sana isay

  • @lainacemmmwasote1862
    @lainacemmmwasote1862 8 месяцев назад +3

    Siwezi kuendelea nae kamwe,siwezi jaman,hata iweje...lkn pia inatufunza kusikiliza usia wa wazazi...laiti Anita angeshika usia wa mama yake kwa kutojiingiza kwenye mapenzi kabla ya ndoa mambo yangekua rahisi tu...na hata Kama sawa mama ake asingekwenda kwenye harusi Mungu angefanya tu muujiza kwa kuwa Anita angekua kaonesha uaminifu wakutokutana kimapenzi kabla ya ndoa.Tujifunze.

  • @ConsoSeba
    @ConsoSeba Год назад +5

    Siachani naye tena sikubari ni kulaviana tu❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉😂😂chezea mapenzi nakupa big up ankoj.

  • @rizkimw1301
    @rizkimw1301 Год назад +8

    Ongeren Anita na bwanako Mungu azdi kuwapa furaha katika mausha yenu

  • @alinaswemuziya876
    @alinaswemuziya876 Год назад +3

    Kwanza nikushukuru ankoj watu wanaweza kusema hii NI simulizi tu haya yapo naninawashukuru hao watoto kwa ujasiri wao kwa ssb halikuwa kosa lao NI kosa la wazazi wao God bless you ankoj from zambia

  • @FailaDunia
    @FailaDunia 2 месяца назад

    Nime penda❤❤❤❤

  • @judyauko8134
    @judyauko8134 Год назад +10

    Makose ni ya wazazi.Slim na Anita waendelee na maisha yao. Shukran kwa simulizi hii. Natumai imewafumbua macho watu wengi.

  • @fatumamusa6811
    @fatumamusa6811 Год назад +5

    Anko unajua unajua tena

  • @carlossirya5016
    @carlossirya5016 Год назад +5

    Safi sanaaa makosa yalifanywa nawazazi so watoto hawapaswi kupata adhabu

  • @queenlee9495
    @queenlee9495 Год назад +8

    Jaman hisimulizi ni tamu jaman na ime nifundisha vingi sana asante Anko jay na kipenz changu lisa mwallah mungu awabaliki.❤💙💚

  • @faizajumwa4696
    @faizajumwa4696 Год назад +4

    Aahaaaa!!!!Anita😋😋👍🎧🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @reachelchemtai2604
    @reachelchemtai2604 Год назад +4

    Hata kama dhambi zako ni nyekudu kama damu yesu Hana Safi she kabisa. Huskimbiliye kujihuwa hutapotea hutaona mungu

  • @EliaKornelio
    @EliaKornelio Месяц назад

    Kaz nzur Anko jay 🎉

  • @rehemanifasha5524
    @rehemanifasha5524 Год назад +12

    Anita ame amuwa vizuri sana nampongeza kwa maamuzi yake ❤ 🎉

  • @salmamohamedi5405
    @salmamohamedi5405 Год назад +5

    Mmmh my brother ankojay hata ningekuwa mm ningebaki ktk ndoa yangu maana sio kosa langu my dear brother

  • @NawMi121-lj8cf
    @NawMi121-lj8cf Год назад +6

    Anko j unajuanga kutufurahisha kweli🙏🙏🤣🙏🙏🙏🙏

  • @alisalim2145
    @alisalim2145 Год назад +5

    Nam Ning kubal kuolew nae man namimi hap ndug Zang upand wababa siw jui🫢🫢😁😁🤣🤣🤣🤣

  • @shantellekwamboka7444
    @shantellekwamboka7444 Год назад +3

    Finally ❤❤❤❤, makosa n wazazi,, mm kwangu mm naona sasa yashaamwagika n kukubali tu n kujaribu kuenda mbele though mapenzi yatakuwa n mawazo endapo mtu ukumbuka

  • @anastaziasanga
    @anastaziasanga Год назад +5

    Apa tunakumbushwa vikao vya familia nakoo zetu jamani haya yapo kweli 🤔🤔🤔 Asante Anko jay na madame Lissa kutukumbusha

  • @MbarikiwaFoundation-it5tm
    @MbarikiwaFoundation-it5tm Год назад +3

    Ninge achana nae tu kwakua din hairuhusu japo na mpenda sana na vile binadam tumeumbwa na sahau ningesahau ishallah

  • @sarahhagai8191
    @sarahhagai8191 Год назад +17

    Sichezi mbali na kazi zako ase, zimenifungua akili na mawazo❤

  • @KulotidaMihambo
    @KulotidaMihambo Год назад +1

    Ila anko Jay wewe unajua sauti yako Ni balaaa ubarikiwe

  • @FathelaFy-hj4jn
    @FathelaFy-hj4jn Год назад +2

    Tumachi janihi ilawako na.msimamo maishayae.ndele.shuklan..anko..❤❤❤❤

  • @mariamrashid6880
    @mariamrashid6880 Год назад +46

    SubhanaLLah ni mtihan mzito ajab, kweli wazazi walifanya makosa sana tumejifunza na kuelimika sana. Hata hivyo story hii imenikumbusha wazazi wetu wa mwanzo yaani Adam Alaihi Salaam na mama yetu Hawa kwa kuwa walikuwa ndio wanaadamu wa mwanzo kabisa kuumbwa na kuwa katika hii dunia na walikuwa wakizaa pacha wa kike na WA kiume asubuhi na jioni so ALLah The ALMighty akawaamuru mtoto wa asubuhi WA kiume amuoe mtoto wa kike wa jioni kwa ufupi tu hapo ndipo vita vya Habil na Kabil zilianza. Lisa mwala Simulizi zako huwa ni moto🔥wa kuotea mbali halafu Msimulizi na Anko Jay Wacha tu hayasemeki otherwise shukran sana kwenu nyote

  • @blessingrajabu2519
    @blessingrajabu2519 Год назад +4

    Kwangu mm uncle jj kwakua tayari nimezanae nisingekubari kumwacha me wangu

  • @rizkimw1301
    @rizkimw1301 Год назад +2

    Asante sana Anko J na dda Lisa Mwala jwa smlz tamu nawaoenda sana 2❤❤❤ ngekuwa mm ata siachan na bwana ngu kwan makosa ni ya wazaz na maji yakushamwaika ayazolek kuamanisha lishakuwa tayar

  • @SharifuAbdallah-u6i
    @SharifuAbdallah-u6i Месяц назад

    Hiyooo Sauti yako Nakuubali san

  • @JanethAssanga
    @JanethAssanga 6 месяцев назад +1

    Unasimulia vizuri San nimekupenda bure kak yangu

  • @LifeofSalmah
    @LifeofSalmah Год назад +7

    Hatari fire Ankojay 😊Much Love❤🎉

  • @maryworkman635
    @maryworkman635 Год назад +15

    Thanks Anko Jay hakika unatumaliza na simulizi zako zuri na sauti yako ❤❤ ❤😂

  • @NadiahLucas
    @NadiahLucas Год назад +1

    Napenda sna simlizi zko unasimlizi tam

  • @WardaNuru-ci9rx
    @WardaNuru-ci9rx Год назад +2

    katk smuliz zote yaleo ...imenigusa mnooo ...thanks anc jay

  • @wertqwe8326
    @wertqwe8326 Год назад +7

    Thanks anko jay kwa simulizi yako tamu ❤❤❤

  • @DalinaSamweli-ji3fc
    @DalinaSamweli-ji3fc Год назад +2

    Okay nimekuwa wa mwsh leo but tuendelee 🥰🥰🥰🥰 love you anko jay kea kuelimisha jamii

  • @jenniferlicko4736
    @jenniferlicko4736 Год назад +10

    Heleeeelllooooo guys Now it's New stroy 💗💗💗🥰🥰🥰🥰 Anko l want go to church let's listen this letter seee you next time ❤❤❤❤

  • @rizkimw1301
    @rizkimw1301 Год назад +4

    Hahahaa,,🤣🤣❤❤unamwambia enuka mke wangu achana na awa wazee

  • @nindymuruga4798
    @nindymuruga4798 Год назад +5

    Dah tuyasike tu kwenye storry za anko jay usiombe yakukute aisee.asante kwa simulizi za mafunzo❤

  • @ZainabIdrissa
    @ZainabIdrissa Год назад +3

    Oooh shukran san kwa simulizi nzur...na ya kuhuzunish pia 😢😢...Allah akujalie nguvu ya kusimulia zaidi ya iyo 🤲🤲

  • @salmakim557
    @salmakim557 Год назад +4

    Shukran sana Anko Jay uzidishiwe baraka,kuna mafunzo tele

  • @shadyasalum192
    @shadyasalum192 Год назад +14

    Jamani nimechelewa miee haya huyu ANITA kafanyanini ankojay nasikiliza ili nijuwe halafu nijifunze kitu🥰🥰🥰

  • @DortheaMaria-ti5er
    @DortheaMaria-ti5er 10 месяцев назад +7

    Ni ngumu sana kumeza wallah

  • @mildredalivitsa1186
    @mildredalivitsa1186 Год назад +2

    ❤ your simulizi Anita nakuoenda ni mimi kutoka Kenya

  • @matesomoci6376
    @matesomoci6376 Год назад +4

    Hongereni sana kwa upande wangu ninge handelea na kaka tu

  • @RahilAisha
    @RahilAisha Год назад +2

    Daah hongeren kak na dad mung aidumish ndoa yen

  • @JackMgaya-qo3qn
    @JackMgaya-qo3qn Год назад +4

    Simulizi ni nzur sanaa

  • @lucyjustin1388
    @lucyjustin1388 2 месяца назад +2

    Baba nakubali ♥️

    • @FailaDunia
      @FailaDunia 2 месяца назад +1

      ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @sarahhagai8191
    @sarahhagai8191 Год назад +8

    Najifunza kupitia wew maana katika mapenzi sikuwahi jua mambo ya bi shuuu❤❤❤😅😅😅

  • @binthassan9191
    @binthassan9191 Год назад +6

    Ahsante sana Anko jay kwa kitu kipya ❤

  • @JessicaDonson
    @JessicaDonson 6 месяцев назад

    Dah asante sana kwa simuliz nzuri

  • @ashaabdalla924
    @ashaabdalla924 Год назад +5

    Shukran anko J mie sina jibu lingenifika ndio ningejua la kufanya ila ni mtihani mkubwa huu ❤❤❤

  • @aseaaaa5812
    @aseaaaa5812 Год назад +2

    Shukurani san ❤❤❤

  • @maryworkman635
    @maryworkman635 Год назад +3

    Duu hiyo Kali kweli hata kama ni mimi simuachi piya 🫣 inanuma kweli wow thanks Anko Jay simulizi nzuri kwele na ni tamu kweli

  • @ziadamtebwa3712
    @ziadamtebwa3712 Год назад +3

    Asante Anko J kwa simulizi nzuri yenye mafunzo ningekua mimi ningeacha tuendelee mke mme aina jinsi.

  • @slyla2565
    @slyla2565 Год назад +3

    Anko J barikiwa tunajifunza mengi Ila kwahili kunaumuhumu wakuwa muwazi jaman

  • @zuhuranadahhinda1366
    @zuhuranadahhinda1366 Год назад +3

    Wa kwanza mie🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰👀

  • @Stephanie-mp1nn
    @Stephanie-mp1nn 11 месяцев назад +1

    Me mwenyewe ntaendelea ku enjoy mapenz yangu kwakweli staki ata kusikia ❤ makosa ni ya kwao wazazi ..keep it up anko jay.

  • @sarahhagai8191
    @sarahhagai8191 Год назад +13

    Naingiwa na ujasiri sasa wakufanya jambo katika maisha haya, asante anko

    • @joycemwangala
      @joycemwangala Год назад

      Simachi maana nikimuacha walimwengu watanisemanga vibaya heri uwamuzi mzuri wao mziri huwo walioufanya haowawili

  • @zenahasan7603
    @zenahasan7603 Месяц назад

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉ANT. LISA. ANKO. JEY. NAWAPENDA. SANA. STORY. NZURI. SANAAAAA🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 NAWAPENDA. SANAAAA. INAFUNZA. SANA❤❤❤🇮🇹🇹🇿🍒🔥🔥

  • @deborahkavira2415
    @deborahkavira2415 Год назад +2

    Asante sana anko Jay kwa simulizi, umenipa ujasiri anko Mungu akupe maicha marefu

  • @JuliusKope
    @JuliusKope Год назад +1

    Daaah kwel ni mtian San bt ni makosa ya wazazi

  • @AnithaMbwilo-p9d
    @AnithaMbwilo-p9d Год назад +1

    nιce🥰🥰

  • @PendoCharles-c8f
    @PendoCharles-c8f Год назад +3

    Asante Sana anko tunajifunza sana 3:45

  • @ponsianomwakisunga899
    @ponsianomwakisunga899 7 месяцев назад

    Dah simulz nzur Sanaa be blessed speaker

  • @speciozamikole2194
    @speciozamikole2194 Год назад +1

    Ni Sahihi wabarikiwe tunaomba e9 10 11 yaani weka fuluiuiuu

  • @ashamenza2212
    @ashamenza2212 Год назад +3

    Waah Anita haya wadau twende nalo

  • @AhadiDamiano
    @AhadiDamiano Год назад +1

    Asante san bro similizi zako dhuuu

  • @ZaiZainabu-o4p
    @ZaiZainabu-o4p 8 месяцев назад

    Jmn msimuliaji apewe mauwa yake🙌🙌

  • @fentafesh9790
    @fentafesh9790 Год назад +2

    Alaaaa🤭🤭🤭

  • @sophiahassan-kn7ov
    @sophiahassan-kn7ov Год назад +9

    Simulizi nzuri yenye mafunzo .......mmmh ...seriously maoni yangu, hata mm ningeendelea tuu ..mmmh ,mapenzi yanauma vibaya 😂😂😂na hata sijui kwanini😂

  • @EstherJoram-gt4lt
    @EstherJoram-gt4lt Год назад +2

    Daah hiii ni ngumu kumezaa mimi bora kuachna AFu watoto wakikua tunasemq wazazi went warifarik kwa ajari 😢😢japo daah

  • @binthassan9191
    @binthassan9191 Год назад +5

    Bora tuachane tuleee tu watoto 😢ila siwezi kumvulia nguo tena 😭bora hata tusingeambia km sisi ni ndugu ,,ila inauma sana aiseee ngumu kumeza bhana😊

    • @avelinabaluhya2804
      @avelinabaluhya2804 Год назад

      😂😂😂😂umvulie nguo mara ngapi wakati keshaona kila Siri jamani😂😂😂😂😂

    • @binthassan9191
      @binthassan9191 Год назад

      @@avelinabaluhya2804 kaona ni kweli ila nilikua sijajua kama ni kakaangu 🤣🤣🤣🤣

  • @agnesagnes5288
    @agnesagnes5288 Год назад +1

    ❤❤❤❤❤Ankoj mapesa tunakupenda xn walai

  • @Josephine-h7u6b
    @Josephine-h7u6b 26 дней назад

    Mbona hamna Shida jaman kumbe sio baba mmoja me ningekua anita aka mimi na slim wangu mapenzi mubashara

  • @Elizakilisipinilikolika1996
    @Elizakilisipinilikolika1996 Год назад +1

    asante sana kwa mafundisho yako anko jey

  • @Happy-gi9tq
    @Happy-gi9tq Год назад +3

    Weendelee na ndoa Yao tu

  • @celestincelestin7371
    @celestincelestin7371 11 месяцев назад

    Mapenzi anaumiza sana mutu akupendae sana umuache ivoivo bila probleme

  • @SharifuAbdallah-u6i
    @SharifuAbdallah-u6i Месяц назад

    Mm shabiki wak nakufutalia kutoka msumbij Nakuubali san

  • @brigdk
    @brigdk Год назад +10

    Natulia kuzikiza kazi nzuri Anko jay nakubali sana ❤❤❤❤❤❤

  • @ChristopherMangi
    @ChristopherMangi Год назад +3

    Nimeipenda sana

    • @RahelIbrahim-id2li
      @RahelIbrahim-id2li 10 месяцев назад

      Tuchukue somo la kuwasaidia wanetu,makosa ya wazazi maumivu kwa watoto

  • @LindaRobson-qn1br
    @LindaRobson-qn1br Год назад +3

    Ishatokea nabaki na mme wang wazazi watajua wenyew

  • @gracezawadi2937
    @gracezawadi2937 Год назад +1

    Lakin inauma 😢😢😢 pole Anita mungu ni mwema

  • @nellylewa4457
    @nellylewa4457 Год назад

    Story nzuri sana asante imetufunza ❤❤❤

  • @beatriceonsongo9915
    @beatriceonsongo9915 Год назад +3

    Asante Anko kwa simulizi mpya be blessed ❤

  • @bibizainab-fk4bt
    @bibizainab-fk4bt Год назад +1

    Thanx that was a good simulizi

  • @ZinaTanzani
    @ZinaTanzani Год назад +2

    Hii simulizi pambe anko wakuache maika mia

  • @ftimaramadan4748
    @ftimaramadan4748 Год назад +2

    Maisha jaman mungu atustir inshallah