PAMELA SIMULIZI FUPI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 фев 2025

Комментарии • 96

  • @RehemasiryaKabahasha
    @RehemasiryaKabahasha 5 месяцев назад +3

    Hii ndio inaitwa kua ndege wawili kwa jiwe moja😂😂😂, asante sana kaka lucas mungu akulinde kwa kila jambo😊😊

  • @avelinabaluhya2804
    @avelinabaluhya2804 5 месяцев назад +5

    😂😂😂😂ila huyu Pamela ataniuguza vichomi leo❤🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @furahangoty5059
    @furahangoty5059 5 месяцев назад +9

    Hakuna kulala huku Pamela huku Edna ni ss tu tushindwe wenyewe barikiwa sana 🎉🎉🎉

  • @christinahaule-p8i
    @christinahaule-p8i 5 месяцев назад +12

    simulizi ni ya kujifunza kwny hy maisha yetu siku zote mama ndio ndy mwenye kujua uchungu wa mtoto wake na unakulaje chakula kikakushuka na ujui mwanao anaendeleaje na anakula nn ? ndoa siyo chochote kwny maisha mwanaume anaweza kukutenda na kukuumiza na ata kukuacha lakini mwanao uwezi kukuacha maana iyo ndy azina yk kwnye hii dunia pongezi kwa ma singles mother wote wanao pambana na watoto wao wote ❤❤❤

  • @TeklaNdekeja
    @TeklaNdekeja 5 месяцев назад +12

    ❤️❤️Duu leo ni leo jamani asemae kesho adanganya yule aina leo kiupya like apa, asante kaka lucas ubarkiwe pamela ktu kpyaa kpyaaaa!💯🪑🎧🏃

  • @medinahsamita3981
    @medinahsamita3981 5 месяцев назад +5

    😂😂😂😂😂 wewe lucas 🎉🎉🎉❤❤

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 5 месяцев назад +4

    😢😢😢😢😢huyuu mamako kweli alikuzaaa😢😢 yani bora kilamtuu akukatae lkn sio mxaxi 😢😢😢mamako kweli chixi

  • @JescaMateseko
    @JescaMateseko 4 месяца назад

    Daah
    Story nzury san
    Hata mm asilimia 💯
    Nimepitia
    Mungu huwalinda wamliliao🙏🙏🙏

  • @christinahaule-p8i
    @christinahaule-p8i 5 месяцев назад +5

    mzigo bado wa motto Pamela ❤❤🔥🔥🔥

  • @SallyJemutai-w5r
    @SallyJemutai-w5r 5 месяцев назад +3

    Kazi nzuri mungu awe nawe pia

  • @ibn.hilaal
    @ibn.hilaal 3 месяца назад +1

    Sauti ya bibi 🤣🤣🤣🤣 inanipa raha

  • @HalimaPachu
    @HalimaPachu 5 месяцев назад +5

    Aww syo kwa suprise hii ngoja nianze na Pamela coz Edna inatakiwa umakini sana

  • @EstherMlai
    @EstherMlai 5 месяцев назад +7

    Asante kaka Lucas kwa kitu kipya tuko nazo zote hatuachi hata moja

  • @Athmanmasini
    @Athmanmasini 5 месяцев назад +1

    😢Ni kweli Pamela ni zam yao kuja kukuafuta na kukuomb msamh kila la. Kher kweny maish yko mapya😊❤

  • @NeliaDaniel-h9s
    @NeliaDaniel-h9s 5 месяцев назад +2

    Mungu siku zote huwa ni mwema japo kutuacha kwanza tupitie kikwazo mitihani na tunapo shindwa hujizihilisha kwa aina yake 🙏🙏🙏🙏

  • @RedmiA3-g8w
    @RedmiA3-g8w 5 месяцев назад +2

    Uwiiii❤❤❤🎉🎉🎉 mtoto Pamela

  • @SylviaBoisabi
    @SylviaBoisabi 5 месяцев назад +5

    Wakwanza ❤

  • @avelinabaluhya2804
    @avelinabaluhya2804 5 месяцев назад +9

    Ingawa watoto wanaopitia magumu kama hivi Mungu huwabariki sana wakati mwingine,mimi nawalaumu sana watu wanaotelekeza watoto wao kwaajili ya ndoa mpya,na ninawaheshimu sana wazazi wanaolea watoto wao wakiwa single parent kwaajili ya kuwatetea,wanaokimbilia ndoa mpya huwataka watoto wao wavumilie shida ambazo wao hawawezi kuvumilia,kiukweli ubinafsi wao unanishinda😢😢

    • @ZenaidaDaniel-r9d
      @ZenaidaDaniel-r9d 5 месяцев назад +1

      😅😅 nishasema ukinipenda nipende na mtoto wangu kama huwezi pita kushoto maana ukipita kulia tunaweza kutana🤣🤣

    • @avelinabaluhya2804
      @avelinabaluhya2804 5 месяцев назад

      ​@@ZenaidaDaniel-r9dhiyo ni sahihi kabisa,kweli mtoto anateswa na wazazi wake kama majambazi bila hata huruma,anauzwa kama mbuzi wa sadaka😭😭afadhali muwe mmekufa kuliko mnaishi

    • @TeklaNdekeja
      @TeklaNdekeja 5 месяцев назад

      Ata hvo Dunia ya sasa Haina mapenzi hasa ikiwa unafamilia iwe mwana mke au mwanaume

    • @TeklaNdekeja
      @TeklaNdekeja 5 месяцев назад +1

      Nakumbuka mamaangu alinambia babaaungu arifalik nikikwa na miezi nane😭 nae alkua bado numlmdogo alipata mwanaumee akaolewa nimekua bla kujua kua yey sibabaangu japo kua maisha yakua magum nimefaham hlo nikwa darasa la sita maana ata shule nilitumia Jna la baba angu wakambo tulikua wawili altupenda ote🙏🙏 leo mwanaume anakwambia watoto peleka kwandungzao ujetuoane

    • @avelinabaluhya2804
      @avelinabaluhya2804 5 месяцев назад

      @@TeklaNdekeja mshukuru Mungu sana kwaajili ya huyo babako mlezi ambae ni malaika,kama anaishi bado umheshimu na kumpenda kwa moyo wako wote,kwani wewe unapaswa kulia machozi ya furaha kwa kuwa na baba wazazi wawili

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 5 месяцев назад +2

    Kwann bibi anarohoo mbayaa hivyoo mpka chakula wanakunyima jamani 😢😢😢😢halafu wewe ndounapika loo

  • @Sss-b9w6f
    @Sss-b9w6f 5 месяцев назад +5

    Mashaal asant 44❤❤

  • @zenaathumani8144
    @zenaathumani8144 5 месяцев назад +4

    🙏🙏🙏🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️♥️ from Italy 🇮🇹 🇹🇿 ciao

    • @zenaathumani8144
      @zenaathumani8144 5 месяцев назад +2

      Lucas hiyo michezo ya kufunga majani njiani ilikua miaka ya 80 kwa sasa watoto Wa 2000 Wa toke wapi wajue mambo hayo 😂😂😂😂😂

    • @zenaathumani8144
      @zenaathumani8144 5 месяцев назад +2

      Yaani huyu bibi gani jamani khaaah 😗😗😗😗

    • @TeklaNdekeja
      @TeklaNdekeja 5 месяцев назад +2

      Mmetisha🤣🤣 majani yasasa ni sms

    • @zenaathumani8144
      @zenaathumani8144 5 месяцев назад

      @@TeklaNdekeja nikweli kabisaa majani ya sasa ni SMS 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @JosephineTantine
    @JosephineTantine 5 месяцев назад +2

    ninzuri sana ❤❤❤❤

  • @ostakiamgaya2045
    @ostakiamgaya2045 5 месяцев назад +2

    Pombiiii nyumbiiii tumefikwa😊

  • @nahimanahawa
    @nahimanahawa 5 месяцев назад +3

    Lucas yani unatowa edna na pamela kwa makusudi wallah acha mi nianze na Edna pamela badae

  • @avelinabaluhya2804
    @avelinabaluhya2804 5 месяцев назад +5

    😮♥️♥️♥️🌹🌹🌹🌹🌹🌹🙏 Thanks son

  • @habibanasoro9024
    @habibanasoro9024 5 месяцев назад +6

    Mambo vpLucas😊

    • @Lightkiboga
      @Lightkiboga 5 месяцев назад

      Poa vipi kaka

    • @habibanasoro9024
      @habibanasoro9024 5 месяцев назад

      @@Lightkiboga 😂😂mi Dada 👈

    • @Lightkiboga
      @Lightkiboga 5 месяцев назад

      @@habibanasoro9024 oooh am very sorry sorry jamaneh

    • @Lightkiboga
      @Lightkiboga 5 месяцев назад

      @@habibanasoro9024 tatzoo picha uliowekaaa🤣🤣😂

    • @habibanasoro9024
      @habibanasoro9024 5 месяцев назад

      @@Lightkiboga 😍😍

  • @Rehemaa-uz8rj
    @Rehemaa-uz8rj 5 месяцев назад +3

    Nzur sana

  • @WernerJunior-wc5uq
    @WernerJunior-wc5uq 5 месяцев назад +2

    Asante kaka lucas barikiwa sna umejuwakutufuraisha ❤

  • @SabrinaIsmail-c1h
    @SabrinaIsmail-c1h 5 месяцев назад +6

    Jamani leo wakwanza🎉😂😂

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 5 месяцев назад +1

    😢😢😢😢😢😢😢huyu shangazi na watoto wake Mungu atawaona yani matesoo bila chuki

  • @LeeYanOm
    @LeeYanOm 5 месяцев назад +5

    Mbona suprise sasa unatufanyia ok acha tutoe Comment turudi kwa Edna wetu kisha tutarudi kwa Pamela☺️

  • @michaelmbilinyi7442
    @michaelmbilinyi7442 5 месяцев назад +4

    I love you kaka Lucas

  • @hafsasaid9666
    @hafsasaid9666 5 месяцев назад +3

    Leo mambo matam

  • @DorcasJoseph-b2k
    @DorcasJoseph-b2k 5 месяцев назад

    Ameen mungu nionekanie mm

  • @tyroneduplooy9903
    @tyroneduplooy9903 5 месяцев назад +5

    Mnaomba like nawakati hata cku moja cjaona like yenu hap😂

  • @avelinabaluhya2804
    @avelinabaluhya2804 5 месяцев назад +3

    Wakomage tu kungangania mandoa na kuwafukuza watoto nyumbani,shenzi sana😩😩

  • @yussufadidja433
    @yussufadidja433 4 месяца назад +1

    Yani Mimi napenda simulizi zako kwa sababu azina sarakasi za namba2❤🎉

  • @gedizwamama
    @gedizwamama 5 месяцев назад +5

    Wakwanza

  • @ElizaSada
    @ElizaSada 5 месяцев назад +1

    Amen amen ❤❤❤❤🙏🙏🙏

  • @Rehema-co4xi
    @Rehema-co4xi 5 месяцев назад +3

    Pamela wapitia

  • @GraceBakari-wo8ly
    @GraceBakari-wo8ly 5 месяцев назад +2

    ❤❤❤😂🎉

  • @AnastasiaKilonzi
    @AnastasiaKilonzi 5 месяцев назад

    Asante psmela akuna laana walikukataa wenyewe

  • @fatumakama8760
    @fatumakama8760 5 месяцев назад +2

    Aya basi usi2bwange kesho kipenzi kwan leo ume2piga mbili za usoni 😂😂😂😂 cimchezo utamu mpaka kwenye chupaa

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 5 месяцев назад +1

    Duuuu wazaxi wote wawili wamekutelekezaa bibi nayee ndohuyoo anakusimanga mm hapo sikai yan bora nikaemtaani kuungana.namayatima yani uko mzima unakuchukia pole mwaya

  • @DevothaCharles-t5z
    @DevothaCharles-t5z 5 месяцев назад +3

  • @EsterSayi-s1q
    @EsterSayi-s1q 5 месяцев назад +2

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @MwanakomboMangwe
    @MwanakomboMangwe 5 месяцев назад +3

    Nimerud kwa Pamela leo umejua kutukomesha hadi raha

  • @هايلينل
    @هايلينل 5 месяцев назад +3

    Mm leo nimekimbia mbio na kiti ili nipate mahali pakukaa nikasikize Pamela akafanya nn, wacha 2 nienda nayo hadi mwisho ndio tutajua

  • @SaeedhSaeedh-f6i
    @SaeedhSaeedh-f6i 5 месяцев назад +2

    🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @candidekaneza8587
    @candidekaneza8587 5 месяцев назад +2

    ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @rizikih6898
    @rizikih6898 5 месяцев назад +1

    Kweli Kenya viko vikombe ivyo

  • @ReginaBenjamin-ij2ec
    @ReginaBenjamin-ij2ec 5 месяцев назад +4

    Iwiiiiiiii mzigo mpya tayar kak kaz nzur san

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 5 месяцев назад +1

    Yani baba hajakulea halafu anakuja kukuozeshaa jamani halafu huyu bibi na mwanae rohoo mbaya walivyojua baba anakuja wakampa chakula 😢😢😢😢😢😢 bibi naye hataki mjukuu aolewe awe maid wake .pamela miaka 18 ai bora ukimbie tuuu

  • @RehemasiryaKabahasha
    @RehemasiryaKabahasha 5 месяцев назад +3

    Kamchezo kazuri sana nakakumbuka 🇰🇪🇰🇪

  • @fetreshazKhamisi
    @fetreshazKhamisi 5 месяцев назад

    Daah hii simulizi tamu 🇴🇲🇴🇲

  • @PiliKhamis-mb6ty
    @PiliKhamis-mb6ty 4 месяца назад

    Duuh Pole sana pamela hadi nimelia hasa😢

  • @luluhoney4622
    @luluhoney4622 5 месяцев назад

    Ilah lucas mm nalipenda unavyo badilisha sauti

  • @Kellyperry947
    @Kellyperry947 5 месяцев назад +6

    ᴴⁱᶻⁱ ˢⁱᵐᵘˡⁱᶻⁱ ᶻⁱᵗᵃⁿⁱᵘᵃ 😅😅😅 ʰⁱⁱ ⁿᵃⁱʷᵉᵏᵃ

  • @jennytugara9470
    @jennytugara9470 5 месяцев назад +1

    Kwa kweli Wazazi wanatuleta duniani tunawashukuru lakini swala la upendo unapandikiza kwa Watoto ili iwe hazina baadae. Kama unapandikiza chuki kwa Watoto na fitina wakunbuke kwamba mavuno yapo. Sasa utapataje radhi ya Mama ambae hakutaki? Hata mbingu zina macho🙏🏾

  • @WwEe-qc7tc
    @WwEe-qc7tc 5 месяцев назад +1

    Duu ila kuna wanawake wengine hawakufaa kuwa wanawake kwa maana wanawake walio zaa hawawatesi watoto wao na kuwatelekeza labda vichaa

  • @Tabiasalum-gz4fv
    @Tabiasalum-gz4fv 5 месяцев назад

    🎉🎉🎉🎉

  • @GogoO-mb5fq
    @GogoO-mb5fq 5 месяцев назад +1

    😎😎😎

  • @SophiaSteven-d9m
    @SophiaSteven-d9m 5 месяцев назад +6

    Hello 👋 guys nimewaiii eeeh waoooo nipen like bas vipenziiii🎉

  • @AdamSabugo-sr4ds
    @AdamSabugo-sr4ds 5 месяцев назад +1

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @marthasonia5005
    @marthasonia5005 5 месяцев назад

    😢😢😢🤔

  • @scollamwanisisi2739
    @scollamwanisisi2739 4 месяца назад

    Pamela umechukiza wewe unamtu kakupa na cm kabsa yaan watu wengne bana

  • @mwanasiti83sete63
    @mwanasiti83sete63 5 месяцев назад

    ❤❤❤❤❤❤❤

  • @JohnyBaguma
    @JohnyBaguma 5 месяцев назад

    ❤❤❤❤

  • @AnastasiaKilonzi
    @AnastasiaKilonzi 5 месяцев назад

    Ukanen n mtoto wako kisa na maana mwanamume

  • @GogoO-mb5fq
    @GogoO-mb5fq 5 месяцев назад

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🌹🌹

  • @AnastasiaKilonzi
    @AnastasiaKilonzi 5 месяцев назад

    Wazasi wengine afathali kukaa bila

  • @sarafinahprince4265
    @sarafinahprince4265 5 месяцев назад +1

    Kwakweli hii story imeniumiza na kunikumbusha mbali juu hii ni story yangu mm kabisaaa yani nimejikuta nalia kweli

    • @RithaIsaya
      @RithaIsaya 5 месяцев назад +1

      😢pole sana dear

  • @faithndenge-cz8pe
    @faithndenge-cz8pe 5 месяцев назад +3

    🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @nyamvulafatuma5383
    @nyamvulafatuma5383 5 месяцев назад +2

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤

  • @FatimaRamadan-s4f
    @FatimaRamadan-s4f 5 месяцев назад

    ❤❤❤

  • @TERESIAYOHANA
    @TERESIAYOHANA 5 месяцев назад

    ❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @zuhramwavyoni8400
    @zuhramwavyoni8400 5 месяцев назад

    ❤❤

  • @ZenaZena-vx2ee
    @ZenaZena-vx2ee 4 месяца назад

    ❤❤❤❤