simulizi ni ya kujifunza kwny hy maisha yetu siku zote mama ndio ndy mwenye kujua uchungu wa mtoto wake na unakulaje chakula kikakushuka na ujui mwanao anaendeleaje na anakula nn ? ndoa siyo chochote kwny maisha mwanaume anaweza kukutenda na kukuumiza na ata kukuacha lakini mwanao uwezi kukuacha maana iyo ndy azina yk kwnye hii dunia pongezi kwa ma singles mother wote wanao pambana na watoto wao wote ❤❤❤
Ingawa watoto wanaopitia magumu kama hivi Mungu huwabariki sana wakati mwingine,mimi nawalaumu sana watu wanaotelekeza watoto wao kwaajili ya ndoa mpya,na ninawaheshimu sana wazazi wanaolea watoto wao wakiwa single parent kwaajili ya kuwatetea,wanaokimbilia ndoa mpya huwataka watoto wao wavumilie shida ambazo wao hawawezi kuvumilia,kiukweli ubinafsi wao unanishinda😢😢
@@ZenaidaDaniel-r9dhiyo ni sahihi kabisa,kweli mtoto anateswa na wazazi wake kama majambazi bila hata huruma,anauzwa kama mbuzi wa sadaka😭😭afadhali muwe mmekufa kuliko mnaishi
Nakumbuka mamaangu alinambia babaaungu arifalik nikikwa na miezi nane😭 nae alkua bado numlmdogo alipata mwanaumee akaolewa nimekua bla kujua kua yey sibabaangu japo kua maisha yakua magum nimefaham hlo nikwa darasa la sita maana ata shule nilitumia Jna la baba angu wakambo tulikua wawili altupenda ote🙏🙏 leo mwanaume anakwambia watoto peleka kwandungzao ujetuoane
@@TeklaNdekeja mshukuru Mungu sana kwaajili ya huyo babako mlezi ambae ni malaika,kama anaishi bado umheshimu na kumpenda kwa moyo wako wote,kwani wewe unapaswa kulia machozi ya furaha kwa kuwa na baba wazazi wawili
Duuuu wazaxi wote wawili wamekutelekezaa bibi nayee ndohuyoo anakusimanga mm hapo sikai yan bora nikaemtaani kuungana.namayatima yani uko mzima unakuchukia pole mwaya
Yani baba hajakulea halafu anakuja kukuozeshaa jamani halafu huyu bibi na mwanae rohoo mbaya walivyojua baba anakuja wakampa chakula 😢😢😢😢😢😢 bibi naye hataki mjukuu aolewe awe maid wake .pamela miaka 18 ai bora ukimbie tuuu
Kwa kweli Wazazi wanatuleta duniani tunawashukuru lakini swala la upendo unapandikiza kwa Watoto ili iwe hazina baadae. Kama unapandikiza chuki kwa Watoto na fitina wakunbuke kwamba mavuno yapo. Sasa utapataje radhi ya Mama ambae hakutaki? Hata mbingu zina macho🙏🏾
Hii ndio inaitwa kua ndege wawili kwa jiwe moja😂😂😂, asante sana kaka lucas mungu akulinde kwa kila jambo😊😊
😂😂😂😂ila huyu Pamela ataniuguza vichomi leo❤🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hakuna kulala huku Pamela huku Edna ni ss tu tushindwe wenyewe barikiwa sana 🎉🎉🎉
simulizi ni ya kujifunza kwny hy maisha yetu siku zote mama ndio ndy mwenye kujua uchungu wa mtoto wake na unakulaje chakula kikakushuka na ujui mwanao anaendeleaje na anakula nn ? ndoa siyo chochote kwny maisha mwanaume anaweza kukutenda na kukuumiza na ata kukuacha lakini mwanao uwezi kukuacha maana iyo ndy azina yk kwnye hii dunia pongezi kwa ma singles mother wote wanao pambana na watoto wao wote ❤❤❤
Asnt
Asante ❤❤❤❤
❤️❤️Duu leo ni leo jamani asemae kesho adanganya yule aina leo kiupya like apa, asante kaka lucas ubarkiwe pamela ktu kpyaa kpyaaaa!💯🪑🎧🏃
😂😂😂😂😂 wewe lucas 🎉🎉🎉❤❤
😢😢😢😢😢huyuu mamako kweli alikuzaaa😢😢 yani bora kilamtuu akukatae lkn sio mxaxi 😢😢😢mamako kweli chixi
Daah
Story nzury san
Hata mm asilimia 💯
Nimepitia
Mungu huwalinda wamliliao🙏🙏🙏
mzigo bado wa motto Pamela ❤❤🔥🔥🔥
Kazi nzuri mungu awe nawe pia
Sauti ya bibi 🤣🤣🤣🤣 inanipa raha
Aww syo kwa suprise hii ngoja nianze na Pamela coz Edna inatakiwa umakini sana
Asante kaka Lucas kwa kitu kipya tuko nazo zote hatuachi hata moja
😢Ni kweli Pamela ni zam yao kuja kukuafuta na kukuomb msamh kila la. Kher kweny maish yko mapya😊❤
Mungu siku zote huwa ni mwema japo kutuacha kwanza tupitie kikwazo mitihani na tunapo shindwa hujizihilisha kwa aina yake 🙏🙏🙏🙏
Uwiiii❤❤❤🎉🎉🎉 mtoto Pamela
Wakwanza ❤
Ingawa watoto wanaopitia magumu kama hivi Mungu huwabariki sana wakati mwingine,mimi nawalaumu sana watu wanaotelekeza watoto wao kwaajili ya ndoa mpya,na ninawaheshimu sana wazazi wanaolea watoto wao wakiwa single parent kwaajili ya kuwatetea,wanaokimbilia ndoa mpya huwataka watoto wao wavumilie shida ambazo wao hawawezi kuvumilia,kiukweli ubinafsi wao unanishinda😢😢
😅😅 nishasema ukinipenda nipende na mtoto wangu kama huwezi pita kushoto maana ukipita kulia tunaweza kutana🤣🤣
@@ZenaidaDaniel-r9dhiyo ni sahihi kabisa,kweli mtoto anateswa na wazazi wake kama majambazi bila hata huruma,anauzwa kama mbuzi wa sadaka😭😭afadhali muwe mmekufa kuliko mnaishi
Ata hvo Dunia ya sasa Haina mapenzi hasa ikiwa unafamilia iwe mwana mke au mwanaume
Nakumbuka mamaangu alinambia babaaungu arifalik nikikwa na miezi nane😭 nae alkua bado numlmdogo alipata mwanaumee akaolewa nimekua bla kujua kua yey sibabaangu japo kua maisha yakua magum nimefaham hlo nikwa darasa la sita maana ata shule nilitumia Jna la baba angu wakambo tulikua wawili altupenda ote🙏🙏 leo mwanaume anakwambia watoto peleka kwandungzao ujetuoane
@@TeklaNdekeja mshukuru Mungu sana kwaajili ya huyo babako mlezi ambae ni malaika,kama anaishi bado umheshimu na kumpenda kwa moyo wako wote,kwani wewe unapaswa kulia machozi ya furaha kwa kuwa na baba wazazi wawili
Kwann bibi anarohoo mbayaa hivyoo mpka chakula wanakunyima jamani 😢😢😢😢halafu wewe ndounapika loo
Mashaal asant 44❤❤
🙏🙏🙏🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️♥️ from Italy 🇮🇹 🇹🇿 ciao
Lucas hiyo michezo ya kufunga majani njiani ilikua miaka ya 80 kwa sasa watoto Wa 2000 Wa toke wapi wajue mambo hayo 😂😂😂😂😂
Yaani huyu bibi gani jamani khaaah 😗😗😗😗
Mmetisha🤣🤣 majani yasasa ni sms
@@TeklaNdekeja nikweli kabisaa majani ya sasa ni SMS 🤣🤣🤣🤣🤣
ninzuri sana ❤❤❤❤
Pombiiii nyumbiiii tumefikwa😊
Lucas yani unatowa edna na pamela kwa makusudi wallah acha mi nianze na Edna pamela badae
😮♥️♥️♥️🌹🌹🌹🌹🌹🌹🙏 Thanks son
Mambo vpLucas😊
Poa vipi kaka
@@Lightkiboga 😂😂mi Dada 👈
@@habibanasoro9024 oooh am very sorry sorry jamaneh
@@habibanasoro9024 tatzoo picha uliowekaaa🤣🤣😂
@@Lightkiboga 😍😍
Nzur sana
Asante kaka lucas barikiwa sna umejuwakutufuraisha ❤
Jamani leo wakwanza🎉😂😂
😢😢😢😢😢😢😢huyu shangazi na watoto wake Mungu atawaona yani matesoo bila chuki
Mbona suprise sasa unatufanyia ok acha tutoe Comment turudi kwa Edna wetu kisha tutarudi kwa Pamela☺️
I love you kaka Lucas
Leo mambo matam
Ameen mungu nionekanie mm
Mnaomba like nawakati hata cku moja cjaona like yenu hap😂
Wakomage tu kungangania mandoa na kuwafukuza watoto nyumbani,shenzi sana😩😩
Yani Mimi napenda simulizi zako kwa sababu azina sarakasi za namba2❤🎉
Wakwanza
Siyo harami dino inaruhusu
Amen amen ❤❤❤❤🙏🙏🙏
Pamela wapitia
❤❤❤😂🎉
Asante psmela akuna laana walikukataa wenyewe
Aya basi usi2bwange kesho kipenzi kwan leo ume2piga mbili za usoni 😂😂😂😂 cimchezo utamu mpaka kwenye chupaa
Duuuu wazaxi wote wawili wamekutelekezaa bibi nayee ndohuyoo anakusimanga mm hapo sikai yan bora nikaemtaani kuungana.namayatima yani uko mzima unakuchukia pole mwaya
❤
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Nimerud kwa Pamela leo umejua kutukomesha hadi raha
Mm leo nimekimbia mbio na kiti ili nipate mahali pakukaa nikasikize Pamela akafanya nn, wacha 2 nienda nayo hadi mwisho ndio tutajua
🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Kweli Kenya viko vikombe ivyo
Iwiiiiiiii mzigo mpya tayar kak kaz nzur san
Yani baba hajakulea halafu anakuja kukuozeshaa jamani halafu huyu bibi na mwanae rohoo mbaya walivyojua baba anakuja wakampa chakula 😢😢😢😢😢😢 bibi naye hataki mjukuu aolewe awe maid wake .pamela miaka 18 ai bora ukimbie tuuu
Kamchezo kazuri sana nakakumbuka 🇰🇪🇰🇪
Daah hii simulizi tamu 🇴🇲🇴🇲
Duuh Pole sana pamela hadi nimelia hasa😢
Ilah lucas mm nalipenda unavyo badilisha sauti
ᴴⁱᶻⁱ ˢⁱᵐᵘˡⁱᶻⁱ ᶻⁱᵗᵃⁿⁱᵘᵃ 😅😅😅 ʰⁱⁱ ⁿᵃⁱʷᵉᵏᵃ
Kwa kweli Wazazi wanatuleta duniani tunawashukuru lakini swala la upendo unapandikiza kwa Watoto ili iwe hazina baadae. Kama unapandikiza chuki kwa Watoto na fitina wakunbuke kwamba mavuno yapo. Sasa utapataje radhi ya Mama ambae hakutaki? Hata mbingu zina macho🙏🏾
Duu ila kuna wanawake wengine hawakufaa kuwa wanawake kwa maana wanawake walio zaa hawawatesi watoto wao na kuwatelekeza labda vichaa
🎉🎉🎉🎉
😎😎😎
Hello 👋 guys nimewaiii eeeh waoooo nipen like bas vipenziiii🎉
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
😢😢😢🤔
Pamela umechukiza wewe unamtu kakupa na cm kabsa yaan watu wengne bana
❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤
Ukanen n mtoto wako kisa na maana mwanamume
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🌹🌹
Wazasi wengine afathali kukaa bila
Kwakweli hii story imeniumiza na kunikumbusha mbali juu hii ni story yangu mm kabisaaa yani nimejikuta nalia kweli
😢pole sana dear
🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤
❤❤❤
❤❤❤❤🎉🎉🎉
❤❤
❤❤❤❤