Ubingwa wa Yanga na ahadi ya Kisugu kutoa heka nne za shamba....kulikoni??
HTML-код
- Опубликовано: 17 май 2024
- AHADI NI DENI | Ni ile ahadi aliyoitoa shabiki wa Simba, Kisugu Mikoi kwamba yanga akiwa bingwa wa #NBCPremierLeague msimu huu wa 2023/24, atatoa shamba la heka nne…… Dody ameamua kufuatilia ahadi hiyo na hiki ndicho alichoambulia…..
#Kisugu #Dody - Спорт
Ahadi ni deni alipe
Huna shamba acha uongo😂😂😂
Tatizooo wanaongea sana kama Msemaj waoooh 😮😮😮
Kisugu usiwe mlopokaji kama mlevi wakilabuni unaaidi vyanini kama huna
Bwana weyeee ushahidi unao kachukuwe hekari 4 za Shamba
Kisungu..ni..mjinga..sana..akupe..Hiro..shamba
Uyo kisugu bange nyingi sana ana shamba uyooo mbwa
Shamba halali yako
Muda unaahidi na kuapa mpe mtu ahadi zitimie thima hiyo
Jmn asa aliahid za nn
Huyo kisugu akupe make ahadi nideni
Mmmmmh eti eka 100
Alipe tu
Akupatie 😂😂😂 aache maneno ya kichawa
Hili kisugu ni taira la taifa...
Kisugu chizi aliahidi hii ahadi lazima aitekeleze chizi huyu
Ajifanya ajuwa kusema sana
Daah yani uyu jamaa bange nyingi sana yan
Akupeee
Huyu sio shabiki ila anapenda aonekane kwa mitandao
Mbagala sehemu gani kuna shakba heka 4?
Kwa mbagara hakuna iyo pengine kisarawe
Huyu 😂kisugu akili zilisha pitiliza toka 😂simba imefungwa 5 akili zake aziko vzr😂sema tuishi nae tu
Mtu akilii zake punguanii kisuguu
Akupe shamba aache mchezo!!
Mtu chawa shamba alitoe wap
Wa bongo wengi hawajui mpiraa ndio maana kuapaa
dah ila kisugu unadhambi
Kampe shamba iro
Huyo Kisugu mnampa airtime bure. Mtu hana akili na ninyi mmekazana kumhoji
Washamb nao atu akil ana mnamuoji sasa wa nn
Hawa muwemnaandikishana
Kichwa tenge analopoka sana
LIONGO HILO HATA SHAMBA HANA.
Mfate atekeleze maan anatowa mate Tu
Alafu Dodi mwambie mambo ya mpira si yakuapiaa
Ni kwenye Quran na hio ni maneno ya ALLAH (S.W) nyoosha maneno usiohofu kuitangaza Quran
Kisunguuu komediaaa mzuriiiii
Huyu mlevi akili hana😅😅😅😅
kisugu alishawahi kuahidi atatoa milioni moja lakini akaichinjia baharini
Anashamba wapi masikini mkubwa mjinga mkubwa
😂😂😂😂😂 hii simba itawaua
Kisugu unamkwara wewee
Toa shamba wewee acha maneno 🤣🤣🤣 !
Kamata Uyo Mpaka atoeee Shamba lopo lopo uyoooo 😅😁🤣😅
Kisugu ni dawa yao utopolo
Barikiwa Sana Tena Sana
Et dawa ya utopolo jifarji ww na yy😂 wote si maKoLo aka Nguruwe Fc
Dawa gani we mwehu
Huyu kichaa hawezi kuwa dawa ya Yanga,aache ujinga wa kuropoka kama mvuta bangi.
Mpumbavu sana wewe