Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Anae soma comment hii Mungu ambariki katika utaftaji wake❤
Aamin kwa sote
Amen 🎉🎉
Kwetu sote In Shaa Allah ❤
Kutoka gulf nipen like zang leo nmewahi 🎉🎉🎉❤❤
Riyama ally, mimi nimezowea kumuita mama mateso, katika iyi series unanikosha sana, yani kama ukweli vile
Nimemkubari Sada.
Hatimae Leo nimekuwa wa kwanza from Msumbiji 🔥🔥🔥🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Kazi nzuri sana ❤❤
Badili nguo Sonia aaaah😂😂😂😂😂😂
Hahahaha Aroooo yaitwa mahabaa
Ila Sada n mrembo sanaa ila dada ake n eddy mmh Hana uzuri wowote bora Saloo abaki n Sada❤ Bi mauwa ana roho y nyeusi kweli anamfanyiaa mumewe mambo y ovyo kweli kaaa ambaye nyumba n yake nyoooo😒
HUYU SONIA MBONA HABADILISHAGI NGUO
Nawapenda sana
Utasema jini
❤
Kwani sonia hanaga nguo nyingine 😂😂
😂😂😂😂😂
Pole sana mama tunu
Next ni nzur sana nawapenda
Salu umeachwa vibaya mbwa ww hospital ukome tabia mbaya
Tuko na nyie mpaka kiwarambe😂
Move tamu lkn huyo Tina hamna haise simpendi
Mikope milenzi shedo hata halijapendeza
Kope jamani
Next plzz ya 9
Ivi hili litina hayo macho yake kama mdudu yaan nimekuwa baya
Wivuuuu mama wivuuu😂😂😂
❤❤❤❤
Maskin Eddie 😢
Ten salu kime kulamba
Wee salo kwani wakati unalala na tunu hadi unameka mimba hukujua kua kuna sada mwenye mlikua mmepanga kuoana acha zako salo lea mimba yako
❤❤❤
Anae soma comment hii
Mungu ambariki katika utaftaji wake❤
Aamin kwa sote
Amen 🎉🎉
Kwetu sote In Shaa Allah ❤
Kutoka gulf nipen like zang leo nmewahi 🎉🎉🎉❤❤
Riyama ally, mimi nimezowea kumuita mama mateso, katika iyi series unanikosha sana, yani kama ukweli vile
Nimemkubari Sada.
Hatimae Leo nimekuwa wa kwanza from Msumbiji 🔥🔥🔥🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Kazi nzuri sana ❤❤
Badili nguo Sonia aaaah😂😂😂😂😂😂
Hahahaha Aroooo yaitwa mahabaa
Ila Sada n mrembo sanaa ila dada ake n eddy mmh Hana uzuri wowote bora Saloo abaki n Sada❤ Bi mauwa ana roho y nyeusi kweli anamfanyiaa mumewe mambo y ovyo kweli kaaa ambaye nyumba n yake nyoooo😒
HUYU SONIA MBONA HABADILISHAGI NGUO
Nawapenda sana
Utasema jini
❤
Kwani sonia hanaga nguo nyingine 😂😂
😂😂😂😂😂
Pole sana mama tunu
Next ni nzur sana nawapenda
Salu umeachwa vibaya mbwa ww hospital ukome tabia mbaya
Tuko na nyie mpaka kiwarambe😂
Move tamu lkn huyo Tina hamna haise simpendi
Mikope milenzi shedo hata halijapendeza
Kope jamani
Next plzz ya 9
Ivi hili litina hayo macho yake kama mdudu yaan nimekuwa baya
Wivuuuu mama wivuuu😂😂😂
❤❤❤❤
Maskin Eddie 😢
Ten salu kime kulamba
Wee salo kwani wakati unalala na tunu hadi unameka mimba hukujua kua kuna sada mwenye mlikua mmepanga kuoana acha zako salo lea mimba yako
❤❤❤