TURUFU ❤️《08》 I Wellu sengo I Riyama ally I Masha Love I Hidaya Njaidi IChriss

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 фев 2025

Комментарии • 33

  • @mwanausikkinoo2744
    @mwanausikkinoo2744 4 дня назад +13

    Anae soma comment hii
    Mungu ambariki katika utaftaji wake❤

  • @RukiaIssa-p1j
    @RukiaIssa-p1j 4 дня назад +5

    Kutoka gulf nipen like zang leo nmewahi 🎉🎉🎉❤❤

  • @HusseinTofikiJuma
    @HusseinTofikiJuma 3 дня назад +2

    Riyama ally, mimi nimezowea kumuita mama mateso, katika iyi series unanikosha sana, yani kama ukweli vile

  • @MariamMartonNtamubano
    @MariamMartonNtamubano 4 дня назад +1

    Nimemkubari Sada.

  • @OfficialMwijaku25
    @OfficialMwijaku25 4 дня назад +1

    Hatimae Leo nimekuwa wa kwanza from Msumbiji 🔥🔥🔥🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @hamisisalim
    @hamisisalim 3 дня назад

    Kazi nzuri sana ❤❤

  • @samiasalum9690
    @samiasalum9690 4 дня назад +1

    Badili nguo Sonia aaaah😂😂😂😂😂😂

  • @rizikimohamed2449
    @rizikimohamed2449 4 дня назад

    Hahahaha Aroooo yaitwa mahabaa

  • @UnrulyHope-e9j
    @UnrulyHope-e9j 2 дня назад

    Ila Sada n mrembo sanaa ila dada ake n eddy mmh Hana uzuri wowote bora Saloo abaki n Sada❤ Bi mauwa ana roho y nyeusi kweli anamfanyiaa mumewe mambo y ovyo kweli kaaa ambaye nyumba n yake nyoooo😒

  • @suleimanmohd.7197
    @suleimanmohd.7197 3 дня назад

    HUYU SONIA MBONA HABADILISHAGI NGUO

  • @KHADIJAHMKUCH
    @KHADIJAHMKUCH 4 дня назад

    Nawapenda sana

  • @KulsumAhmed-l2w
    @KulsumAhmed-l2w 4 дня назад +1

    Utasema jini

  • @monysanga7516
    @monysanga7516 2 дня назад

  • @INNOSENSIALIWEWA
    @INNOSENSIALIWEWA 4 дня назад +2

    Kwani sonia hanaga nguo nyingine 😂😂

  • @ZuenaChabani
    @ZuenaChabani 4 дня назад

    Pole sana mama tunu

  • @Hanan-bc6ps
    @Hanan-bc6ps 4 дня назад

    Next ni nzur sana nawapenda

  • @LucyElias-zf3tl
    @LucyElias-zf3tl 3 дня назад

    Salu umeachwa vibaya mbwa ww hospital ukome tabia mbaya

  • @LovenessJamesi
    @LovenessJamesi 4 дня назад

    Tuko na nyie mpaka kiwarambe😂

  • @EliminataJusitiniani
    @EliminataJusitiniani 3 дня назад

    Move tamu lkn huyo Tina hamna haise simpendi

  • @NaimaRama
    @NaimaRama 4 дня назад

    Mikope milenzi shedo hata halijapendeza

  • @MussaRasul
    @MussaRasul 4 дня назад

    Kope jamani

  • @mishiabdul2834
    @mishiabdul2834 4 дня назад

    Next plzz ya 9

  • @NaimaRama
    @NaimaRama 4 дня назад

    Ivi hili litina hayo macho yake kama mdudu yaan nimekuwa baya

  • @LovenessJamesi
    @LovenessJamesi 4 дня назад

    ❤❤❤❤

  • @najmaally7454
    @najmaally7454 4 дня назад

    Maskin Eddie 😢

  • @AsmaAsma-og6ul
    @AsmaAsma-og6ul 4 часа назад

    Ten salu kime kulamba

  • @dhahabudeche926
    @dhahabudeche926 4 дня назад

    Wee salo kwani wakati unalala na tunu hadi unameka mimba hukujua kua kuna sada mwenye mlikua mmepanga kuoana acha zako salo lea mimba yako

  • @BibieRamadhaniSaidi
    @BibieRamadhaniSaidi 4 дня назад

    ❤❤❤