MAIMARTHA AMLIPUA DIVA WA WASAFI AFUNGUKA KUMPA DAWA BAADA YA KUMPIMA DIAMOND AHUSISHWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 окт 2024

Комментарии • 18

  • @LeticiaBukuku
    @LeticiaBukuku 2 дня назад

    Achana nae kipenz chang ❤️❤️

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 3 дня назад +3

    Wewe Maimatha unapenda kusema wengine ukisemwa wewe unalia nini sasa. Mungu anakuona endelea tu mwisho wake utauona na hautokuwa mzuri.. Unamuelimisha nani kila siku wewe na Juma Lokole ndio kazi yenu kudhalilisha wenzenu. Mungu atawalipa tu.

  • @Oliver_philemoni
    @Oliver_philemoni 3 дня назад +1

    May haya sio mambo yako achana nayo rudi ICU utupe mahanjumati❤

  • @upendommbaga6507
    @upendommbaga6507 2 дня назад

    Mimi nawapenda woteee😂

  • @Lucy-im9tv
    @Lucy-im9tv 2 дня назад

    Mbona hata wewe unamtukana..watu wazima mnagombana nini.mrudieni Mungu..maisha mafupi

  • @ShemsaKiobya
    @ShemsaKiobya 3 дня назад

    Nahisi mnataka nafasi ya Dida, sauti ya chiliku mtaiweza

  • @ShemsaKiobya
    @ShemsaKiobya 3 дня назад

    Mbona dawa ni kawaida je ukipata Cancer

  • @hemedyawadhi2935
    @hemedyawadhi2935 3 дня назад

    Dawa za usingizii ai zaumbea tulia hapo unavyochamba watu kuwafata adi uck unaonaj

  • @Naju645
    @Naju645 3 дня назад

    Didah wetu muache pambana nahuyo hayawahi

  • @Mina.15
    @Mina.15 3 дня назад

    Acha kubishana na tasa jamani

  • @NajmaAbdallah-d6r
    @NajmaAbdallah-d6r 3 дня назад +1

    Hauna akili nawewe siumempost mwenzio acha uchokonoa wenzio

  • @YusufuAbas
    @YusufuAbas 2 дня назад

    She look sick to her mouth lips😅

  • @MonalisaNdimbo-f8m
    @MonalisaNdimbo-f8m 3 дня назад

    Ni waz anataka nafas ya didah wasafi ila umekuja moto sana jmn

  • @KiringoMtemi
    @KiringoMtemi 3 дня назад

    May sasa hapo unamuingiza dida wanini ebu muacheni huyu binti apumzika kwa amani