RICH MAVOKO ,KWA SASA NINAFURAHA NA MAISHA YANGU ,NIMEKUBALIANA NA HALI YANGU

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 115

  • @user-ry2th6rf9d
    @user-ry2th6rf9d 2 месяца назад +3

    Mavoko please😢😢😢 come back we still love you❤❤❤❤❤❤❤

  • @ernestgeorge8412
    @ernestgeorge8412 6 месяцев назад +3

    So sad rich Mungu akutie nguvu kunasiku utainuka Tena na chat yako kama Zaman ww ni mkali Sana... One love💥

  • @zedzoomextra
    @zedzoomextra 6 месяцев назад +2

    Maisha ndivyo yalivyo kuna kupanda na kushuka Yote sawa Sote Tunapitiaga Chamsingi uzima tuu Mambo Yote Yanawezekana ❤❤❤❤@Mavoko Namukubli sanaa ❤❤❤

  • @mrishoshabani8390
    @mrishoshabani8390 6 месяцев назад +7

    Dah life hii bwana noma sn broo nakupenda sn mavoko

  • @PrislyLigazz
    @PrislyLigazz Месяц назад +2

    Nakubali na mavoko kabisa mamuzi uliyoichukua ni sahihi

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Месяц назад +2

    Watu wabaya sana'lakini kuna siku mungu atakuludisha ktk mxiki tena.

  • @user-hf5sm4hv5h
    @user-hf5sm4hv5h 6 месяцев назад +1

    Much love to you rich mavoko

  • @DavalsonMarlony
    @DavalsonMarlony 6 месяцев назад +8

    mavoko bd ypo good tuu

  • @RehemaSalum-vp6rf
    @RehemaSalum-vp6rf 6 месяцев назад +7

    Mavoko bado unapedwa sana toa ngoma sapot utaipata

  • @willywilly3238
    @willywilly3238 6 месяцев назад

    I love this guy, I like listening to his songs

  • @mikutho9820
    @mikutho9820 3 месяца назад +1

    wow life changes

  • @lawlawisahadi9202
    @lawlawisahadi9202 6 месяцев назад +6

    Unyama mwingi ❤

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free 6 месяцев назад +9

    Daaah nimelia ni kama unaingia mjini kusaka pesa alfu umarudi kijijini bila pesa

  • @yasinapprosper7177
    @yasinapprosper7177 6 месяцев назад +1

    Mwamba kama mwamba amini wew bado fundi mashabiki bado tunakuitaji kwenye gm unyama mwingi ❤

  • @VashtChisongela
    @VashtChisongela 6 месяцев назад +1

    Usiku ukipiga simu huku unajiliza,even me mama aaaaa unaniumiza, rich is the best muziki halisia usobustiwa na mashetan

  • @amedeuskimario8895
    @amedeuskimario8895 6 месяцев назад +11

    Rich bado hujiamin fanya kazi seriously bro maisha yapo ivo ukiona aibu Leo ipo cku utajutia ata hizi chance

  • @silageorge1638
    @silageorge1638 6 месяцев назад +7

    Naona comment eti diamond kakosea kwani Simba kafanyaje

  • @WycliffeAbdulLigare
    @WycliffeAbdulLigare 6 месяцев назад +2

    Ww rich mavoko umefulia...kwa kweli laana ya baba ni mbaya...ungevumilia wcb utoke kwa utaratibu....sasahivi #ata dvoice amekupita

    • @user-gs1ef7rv6p
      @user-gs1ef7rv6p 6 месяцев назад +1

      We ndo una laana ya babako hivi alikua abaki Kwa u devil weeee Rizki anyopata ni ya halali

    • @WycliffeAbdulLigare
      @WycliffeAbdulLigare 6 месяцев назад

      @@user-gs1ef7rv6p akuna cha devil worshippers wasafi...simba anajituma tu kwa bidii...umewahi ona nani kwa familia yake akifa ama kutolewa kafara..ww endelea kufikiria ujinga na watu wanakesha wakifanya kazi ilihali ww na iyo akili yako mbovu unakesha ukila mkewo...fanya kazi na ujiamini kila kitu kitakuendea sawa....acha wivu kwa mafanikio ya watu wanaopeperesha bendera ya dunia mzima...ambia Richard ukweli..alikataa kulipa faini ya mukataba ndio maana account yke ilitolewa ikarudishwa wasafi...ata nyimbo mingi alitoa akiwa wasafi hapati hela....wasafi ndio wanapata hizo hela... so dnt judge someone who's overworking to make his family rich and happy ..

  • @elizabethnguma3379
    @elizabethnguma3379 6 месяцев назад +7

    😢 Yani rizki ya mutu ni rizki tuh,,,mond ungu anakuona

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 6 месяцев назад +11

    Bro ungana na mabro wako kafanye comedy 🤣

  • @EliasJohn-lc8nu
    @EliasJohn-lc8nu 6 месяцев назад +5

    Duh hapo hamna kt hatupo hapa kumtia mtu moyo afu mbn mashabiki hamuoneshi

  • @Reyneville-
    @Reyneville- 6 месяцев назад +5

    Yani mpaka huruma😢

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 6 месяцев назад +4

    Ni comedy au show

  • @AllysaidKarambo
    @AllysaidKarambo 6 месяцев назад

    Amini kaka mungu atakusimamia komaa

  • @shaqdizo7678
    @shaqdizo7678 6 месяцев назад +9

    Rich kaja ana anjaa😂 anakula sana Cake 🍰🎂😂

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 6 месяцев назад +2

    Jmn Richi mavoko kachakaa kama vile hajatoka kwa mondi du

  • @ramadanesaidesalimo5542
    @ramadanesaidesalimo5542 6 месяцев назад +2

    Tudo bem i lo❤e you

  • @mariamshabani7107
    @mariamshabani7107 6 месяцев назад +2

    ❤❤❤❤

  • @perpetuamagesa2305
    @perpetuamagesa2305 6 месяцев назад +5

    😂😂😂😂 rich umekuwa kama kuni umechoka 😂😂 kofia za buku buku dah mondi amekumalia dunia aina uluma hahahahaha

  • @nurunewz103
    @nurunewz103 5 месяцев назад

    Mavoko kaja na njaa jukwaani jukwaani, amekonda sana kamanda.

  • @user-gl7fu9lr5w
    @user-gl7fu9lr5w 6 месяцев назад +3

    ❤a

  • @user-hj4bc5uh2x
    @user-hj4bc5uh2x 6 месяцев назад +4

    Bola ugalidagaa kwenye amani kuliko muonekano wakiume kumbe ibada za mduara uchi

  • @omaryrazalo4302
    @omaryrazalo4302 6 месяцев назад +2

    Da mavoko umekonda sana nn shida kaka

  • @elizabethswai7777
    @elizabethswai7777 6 месяцев назад +2

    Mkojani anachezaje?mikono😂😂😂

  • @milliardere9177
    @milliardere9177 6 месяцев назад +2

    hamumsapoti kazi kuumusema

  • @hamisially2055
    @hamisially2055 6 месяцев назад +2

    Leo GOT MESS

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 6 месяцев назад +3

    Aliemroga MVK kafatayari 😢

  • @joezeno8
    @joezeno8 6 месяцев назад +3

    Jamaa afanye kilimo

  • @user-by3vo8wf7k
    @user-by3vo8wf7k 6 месяцев назад +1

    Yani Maisha Ya kupenda Ustar Some time Yani fraisha Sana🤣🤣🤣

  • @yonaroberth3745
    @yonaroberth3745 6 месяцев назад

    Ninaamini ipo siku tu aliyemshusha "mavoko" naye atashushwa, alafu usifurahi "richi" kuwa hvyo asume ungelikuwa ww..

  • @AbilahSalumu-qx1cb
    @AbilahSalumu-qx1cb Месяц назад

    Mavoko

  • @stephenmasha8623
    @stephenmasha8623 6 месяцев назад +2

    Na amekonda kweli, kavaa basi ili tusione daaah 😢

  • @victorcephas3618
    @victorcephas3618 6 месяцев назад +2

    Kaisha dah pambana utarudi tena

  • @djhajiztz
    @djhajiztz 6 месяцев назад +1

    mavoko kauze dagaa

  • @islamsadiki4747
    @islamsadiki4747 6 месяцев назад

    Huyu kweli

  • @Maggie824
    @Maggie824 6 месяцев назад +1

    I love you ❤❤❤❤RealMavocals

  • @usindemdamo5299
    @usindemdamo5299 11 дней назад

    ❤🎉🎉🎉

  • @nabillkhamis8188
    @nabillkhamis8188 6 месяцев назад +1

    Richi sio msaanii tena ni mchekeshaji kwa ss hiv

  • @faidhacute
    @faidhacute 6 месяцев назад +11

    Yan jamaa mpaka anatia huruma aisee rich mavoko unajipa furaha lakn moyon mwako una strees aisee pole sana mwenyezimungu akunyanyue😢

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 6 месяцев назад +2

    Mondi Mungu anakuona da!!

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 6 месяцев назад

      😂😂 umejuaje kama ni Mond mbona mmakonde yuko vizuri

  • @user-ig8wc8ye3k
    @user-ig8wc8ye3k 6 месяцев назад

    Nop mnamcingizia tuuh mond jmn hii Dunia tatizo wengi wetu elimu hatuna so tunaposign mikataba nawatu kidogo wenye upeo njaa huwa haitukumbushi kusoma vizur maelekezo namashart yake ukitaka kujitoa...

  • @ShomariShukuru-kh2uz
    @ShomariShukuru-kh2uz 6 месяцев назад

    Mungu azidi kuku simamia

  • @erasmimasharecharlesimboya6762
    @erasmimasharecharlesimboya6762 6 месяцев назад +2

    Dijy kazingua

  • @rosemutaki9730
    @rosemutaki9730 4 месяца назад +1

    Mbna rich kakonda ivo mgonjwa ama nn

  • @candidoderosa
    @candidoderosa 6 месяцев назад

    Bahada ya chaka 2 chaka, lusha ngoma moja na kiba twangalie game itakuwaje...

  • @jeofreymsomba7200
    @jeofreymsomba7200 6 месяцев назад +2

    Simba la masimba dangote ukishindana nae unachakaaa

    • @flova7022
      @flova7022 6 месяцев назад

      Acha kutaja huyo mjinga...kama ye mwamba mbna kamshindwa harmo na ali

  • @user-ig8wc8ye3k
    @user-ig8wc8ye3k 6 месяцев назад

    Kwahiyo hili nifunzo kwawengine jmn tukumbuke kusoma vizur mikataba tunapokuwa nanjaa tukishiba tutapike vizur sehemu Salam ndio ipo hivyo...

  • @khadidjaabdi-hd8py
    @khadidjaabdi-hd8py 6 месяцев назад +1

    Mond kamlomga mwenzie asifanikiwe tenaa😂😂😂❤❤

  • @kaltumahamid7892
    @kaltumahamid7892 6 месяцев назад

    Diamond anaroga wasani wakishatoka wasafi but hamo alishindikana chezea ww wakimakonde.

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 6 месяцев назад +3

    Mzee wa chaka tu chaka 😂

    • @faidhacute
      @faidhacute 6 месяцев назад

      😂😂😂😂😂

  • @user-tw1ve1mf8l
    @user-tw1ve1mf8l 6 месяцев назад

    Mondii ni shetani hatri sanaa ila rich utainuka tena

  • @nurunewz103
    @nurunewz103 5 месяцев назад

    Alikosea kutoka WCB.

  • @flova7022
    @flova7022 6 месяцев назад

    Tiny kituko

  • @user-px3po9lt8g
    @user-px3po9lt8g 6 месяцев назад

    Mavoko kachoka kweli kweli

  • @user-pd6hg8pn1e
    @user-pd6hg8pn1e 4 месяца назад

    Kwishaaaa

  • @dennisezakiel3380
    @dennisezakiel3380 6 месяцев назад

    Huyo jamaa nilishaga wahi kusema ipo siku atakiua kipaji chake hasa alipojiunga na wasafi. Ila usikate tamaa muda bado unao pambana

  • @mabenzimabenzi4348
    @mabenzimabenzi4348 6 месяцев назад

    Mavoco wa wasafi alikuwa hatar tuache utani sema alienda kuua kipaj sahv hana mvuto kapooza mno

  • @jastinedaudi-qi9vr
    @jastinedaudi-qi9vr 6 месяцев назад

    Daah Diamond mung anakuona lkn

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 6 месяцев назад

      Mmakonde mbona yuko good

    • @LatifaLazaro
      @LatifaLazaro 6 месяцев назад

      ​@@agnesjohn9382tatizo alikubari mashart uyu alikataa ndo maana wakampotez pia aliumwa sana we ushawah mshuhudia kavaa mapete mawili vidoleni mavoco?

  • @gombanirombalejames8958
    @gombanirombalejames8958 6 месяцев назад

    Basi ndugu MVK,piga moyo monde,nime furahi kuona uko tena,diniya ni game.(yule utakaye muacha ju msubiri) natumaini utatoka

  • @AllysaidKarambo
    @AllysaidKarambo 6 месяцев назад

    Mavoko badounaweza unyama mwingi

  • @RojazTz
    @RojazTz 6 месяцев назад

    Ludieni na konde kitu kingine

  • @fredricksabick-hi1fl
    @fredricksabick-hi1fl 6 месяцев назад

    Mi kama sielewi kwa nn mondi analaumiwa. Yeye anashika riziki ya mtu kwan?

  • @furahachuma9039
    @furahachuma9039 6 месяцев назад +2

    Hakuna msanii hapa

    • @servantofalmightygoddranth2511
      @servantofalmightygoddranth2511 6 месяцев назад +4

      Huna unalojua
      Jamaa alikataa kuunganishwa ufrimasoni na illuminat na domo kubwa diamond

    • @nittyswagger9091
      @nittyswagger9091 6 месяцев назад +2

      Kuna nini😢

    • @lucasmhagama8166
      @lucasmhagama8166 6 месяцев назад +1

      ​@@servantofalmightygoddranth2511una ushahidi? Ulikuwepo kwenye hicho kikao?

    • @DavalsonMarlony
      @DavalsonMarlony 6 месяцев назад

      ​@@servantofalmightygoddranth2511kuwa na ww msanii

    • @faidhacute
      @faidhacute 6 месяцев назад +1

      ​@@servantofalmightygoddranth2511acha uongo ww mamb hayo umetolea wap ww acha unafki

  • @HalimaAthuman-us8gi
    @HalimaAthuman-us8gi 6 месяцев назад

    Ududu mwingi

  • @flova7022
    @flova7022 6 месяцев назад

    Mbona mavoko kakonda hivyo Kuna nini...jmn tujitunze vijna

    • @nurunewz103
      @nurunewz103 5 месяцев назад

      Alidanganywa kutoka WCB.

  • @ismailchibonda5005
    @ismailchibonda5005 6 месяцев назад

    Huku kuporomoka ki mziki 😂😂😂

  • @nurumwenkale7278
    @nurumwenkale7278 6 месяцев назад +15

    Yaan mond mtu mbaya xana dah! Ila pambana xana mwanangu omba colabo na harmo tena

    • @nabillkhamis8188
      @nabillkhamis8188 6 месяцев назад

      Hana uwezo wa kuomba ata zaziba

    • @ramadhanbofu8262
      @ramadhanbofu8262 6 месяцев назад +1

      Sasa mondi kaingiaje hapo kamzuia kuimba au???

    • @eliuskamwelwe1018
      @eliuskamwelwe1018 6 месяцев назад +1

      Mondi anahusika nn na mtu kuchoka🤣🤣 maisha yamemchapa apambane anisimame tena

  • @TuaircachimoNantola-po7oo
    @TuaircachimoNantola-po7oo 6 месяцев назад

    Pambana mavoko tupo tunakuiitaji, usitufelishe Moçambique MUEDA

  • @RadaMic-sq6ld
    @RadaMic-sq6ld 6 месяцев назад +2

    Maisha yako ni jukumu lako usilaumu mtu

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 6 месяцев назад

    ❤❤❤❤