@@user-gs1ef7rv6p akuna cha devil worshippers wasafi...simba anajituma tu kwa bidii...umewahi ona nani kwa familia yake akifa ama kutolewa kafara..ww endelea kufikiria ujinga na watu wanakesha wakifanya kazi ilihali ww na iyo akili yako mbovu unakesha ukila mkewo...fanya kazi na ujiamini kila kitu kitakuendea sawa....acha wivu kwa mafanikio ya watu wanaopeperesha bendera ya dunia mzima...ambia Richard ukweli..alikataa kulipa faini ya mukataba ndio maana account yke ilitolewa ikarudishwa wasafi...ata nyimbo mingi alitoa akiwa wasafi hapati hela....wasafi ndio wanapata hizo hela... so dnt judge someone who's overworking to make his family rich and happy ..
Nop mnamcingizia tuuh mond jmn hii Dunia tatizo wengi wetu elimu hatuna so tunaposign mikataba nawatu kidogo wenye upeo njaa huwa haitukumbushi kusoma vizur maelekezo namashart yake ukitaka kujitoa...
Mavoko please😢😢😢 come back we still love you❤❤❤❤❤❤❤
So sad rich Mungu akutie nguvu kunasiku utainuka Tena na chat yako kama Zaman ww ni mkali Sana... One love💥
Maisha ndivyo yalivyo kuna kupanda na kushuka Yote sawa Sote Tunapitiaga Chamsingi uzima tuu Mambo Yote Yanawezekana ❤❤❤❤@Mavoko Namukubli sanaa ❤❤❤
Dah life hii bwana noma sn broo nakupenda sn mavoko
Nakubali na mavoko kabisa mamuzi uliyoichukua ni sahihi
Watu wabaya sana'lakini kuna siku mungu atakuludisha ktk mxiki tena.
Much love to you rich mavoko
mavoko bd ypo good tuu
Mavoko bado unapedwa sana toa ngoma sapot utaipata
I love this guy, I like listening to his songs
wow life changes
Unyama mwingi ❤
Daaah nimelia ni kama unaingia mjini kusaka pesa alfu umarudi kijijini bila pesa
Ni life wala usishangae
Mwamba kama mwamba amini wew bado fundi mashabiki bado tunakuitaji kwenye gm unyama mwingi ❤
Usiku ukipiga simu huku unajiliza,even me mama aaaaa unaniumiza, rich is the best muziki halisia usobustiwa na mashetan
Rich bado hujiamin fanya kazi seriously bro maisha yapo ivo ukiona aibu Leo ipo cku utajutia ata hizi chance
au sio😂
Naona comment eti diamond kakosea kwani Simba kafanyaje
Na mimi nashangaa
Labda atakuwa alimpa mkono
Ala😂😂😂😂nimechekaaa
Simba took his stars⭐⭐ which is very bad👎
Ww rich mavoko umefulia...kwa kweli laana ya baba ni mbaya...ungevumilia wcb utoke kwa utaratibu....sasahivi #ata dvoice amekupita
We ndo una laana ya babako hivi alikua abaki Kwa u devil weeee Rizki anyopata ni ya halali
@@user-gs1ef7rv6p akuna cha devil worshippers wasafi...simba anajituma tu kwa bidii...umewahi ona nani kwa familia yake akifa ama kutolewa kafara..ww endelea kufikiria ujinga na watu wanakesha wakifanya kazi ilihali ww na iyo akili yako mbovu unakesha ukila mkewo...fanya kazi na ujiamini kila kitu kitakuendea sawa....acha wivu kwa mafanikio ya watu wanaopeperesha bendera ya dunia mzima...ambia Richard ukweli..alikataa kulipa faini ya mukataba ndio maana account yke ilitolewa ikarudishwa wasafi...ata nyimbo mingi alitoa akiwa wasafi hapati hela....wasafi ndio wanapata hizo hela... so dnt judge someone who's overworking to make his family rich and happy ..
😢 Yani rizki ya mutu ni rizki tuh,,,mond ungu anakuona
Bro ungana na mabro wako kafanye comedy 🤣
😂😂 hilo nalo neno
Duh hapo hamna kt hatupo hapa kumtia mtu moyo afu mbn mashabiki hamuoneshi
Yani mpaka huruma😢
Ni comedy au show
Amini kaka mungu atakusimamia komaa
Rich kaja ana anjaa😂 anakula sana Cake 🍰🎂😂
Jmn Richi mavoko kachakaa kama vile hajatoka kwa mondi du
Tudo bem i lo❤e you
❤❤❤❤
😂😂😂😂 rich umekuwa kama kuni umechoka 😂😂 kofia za buku buku dah mondi amekumalia dunia aina uluma hahahahaha
😅😅😅and
Mavoko kaja na njaa jukwaani jukwaani, amekonda sana kamanda.
❤a
Bola ugalidagaa kwenye amani kuliko muonekano wakiume kumbe ibada za mduara uchi
Da mavoko umekonda sana nn shida kaka
stress
Mkojani anachezaje?mikono😂😂😂
hamumsapoti kazi kuumusema
Leo GOT MESS
Aliemroga MVK kafatayari 😢
Jamaa afanye kilimo
Yani Maisha Ya kupenda Ustar Some time Yani fraisha Sana🤣🤣🤣
Ninaamini ipo siku tu aliyemshusha "mavoko" naye atashushwa, alafu usifurahi "richi" kuwa hvyo asume ungelikuwa ww..
Mavoko
Na amekonda kweli, kavaa basi ili tusione daaah 😢
Kaisha dah pambana utarudi tena
mavoko kauze dagaa
Huyu kweli
I love you ❤❤❤❤RealMavocals
❤🎉🎉🎉
Richi sio msaanii tena ni mchekeshaji kwa ss hiv
Yan jamaa mpaka anatia huruma aisee rich mavoko unajipa furaha lakn moyon mwako una strees aisee pole sana mwenyezimungu akunyanyue😢
dah😂
Kidogo anachokipata anaridhika.
Mondi Mungu anakuona da!!
😂😂 umejuaje kama ni Mond mbona mmakonde yuko vizuri
Nop mnamcingizia tuuh mond jmn hii Dunia tatizo wengi wetu elimu hatuna so tunaposign mikataba nawatu kidogo wenye upeo njaa huwa haitukumbushi kusoma vizur maelekezo namashart yake ukitaka kujitoa...
Mungu azidi kuku simamia
Dijy kazingua
Mbna rich kakonda ivo mgonjwa ama nn
Bahada ya chaka 2 chaka, lusha ngoma moja na kiba twangalie game itakuwaje...
Simba la masimba dangote ukishindana nae unachakaaa
Acha kutaja huyo mjinga...kama ye mwamba mbna kamshindwa harmo na ali
Kwahiyo hili nifunzo kwawengine jmn tukumbuke kusoma vizur mikataba tunapokuwa nanjaa tukishiba tutapike vizur sehemu Salam ndio ipo hivyo...
Mond kamlomga mwenzie asifanikiwe tenaa😂😂😂❤❤
Bado hamjasema,,
@@ChidiChidi-uh7ki natutasemaa tuuu
Simba lamasimba dangote,
Kabisaaaaa😢😢😢
Diamond anaroga wasani wakishatoka wasafi but hamo alishindikana chezea ww wakimakonde.
Mzee wa chaka tu chaka 😂
😂😂😂😂😂
Mondii ni shetani hatri sanaa ila rich utainuka tena
Alikosea kutoka WCB.
Tiny kituko
Mavoko kachoka kweli kweli
Kwishaaaa
Huyo jamaa nilishaga wahi kusema ipo siku atakiua kipaji chake hasa alipojiunga na wasafi. Ila usikate tamaa muda bado unao pambana
Mavoco wa wasafi alikuwa hatar tuache utani sema alienda kuua kipaj sahv hana mvuto kapooza mno
Daah Diamond mung anakuona lkn
Mmakonde mbona yuko good
@@agnesjohn9382tatizo alikubari mashart uyu alikataa ndo maana wakampotez pia aliumwa sana we ushawah mshuhudia kavaa mapete mawili vidoleni mavoco?
Basi ndugu MVK,piga moyo monde,nime furahi kuona uko tena,diniya ni game.(yule utakaye muacha ju msubiri) natumaini utatoka
Mavoko badounaweza unyama mwingi
Ludieni na konde kitu kingine
Mi kama sielewi kwa nn mondi analaumiwa. Yeye anashika riziki ya mtu kwan?
Hakuna msanii hapa
Huna unalojua
Jamaa alikataa kuunganishwa ufrimasoni na illuminat na domo kubwa diamond
Kuna nini😢
@@servantofalmightygoddranth2511una ushahidi? Ulikuwepo kwenye hicho kikao?
@@servantofalmightygoddranth2511kuwa na ww msanii
@@servantofalmightygoddranth2511acha uongo ww mamb hayo umetolea wap ww acha unafki
Ududu mwingi
Mbona mavoko kakonda hivyo Kuna nini...jmn tujitunze vijna
Alidanganywa kutoka WCB.
Huku kuporomoka ki mziki 😂😂😂
Yaan mond mtu mbaya xana dah! Ila pambana xana mwanangu omba colabo na harmo tena
Hana uwezo wa kuomba ata zaziba
Sasa mondi kaingiaje hapo kamzuia kuimba au???
Mondi anahusika nn na mtu kuchoka🤣🤣 maisha yamemchapa apambane anisimame tena
Pambana mavoko tupo tunakuiitaji, usitufelishe Moçambique MUEDA
Maisha yako ni jukumu lako usilaumu mtu
❤❤❤❤