Tue na umakinifu tunapowasikiliza Masheikh sio kupuruka na kucoments vitu zisizokua na kichwa wa miguu kisa na sababu Mikao.Sheikh Eid MashaLlahu nakupongeza sana kwa ufaswaha wa Darsa zako zote kwa jumla MashaLlahu.Allahu Baarik
Ajuwae na asojuwa hamuwezi kuwa sawa ...kwahivo zidisheni bidii kusoma dini yenu ...wala sio kukaa kutujadili mawlid na kututukana kila mwaka ...inukeni tuwe sote tumswifu Nabii ❤❤❤
Katika maulid mnayofanya mkikusanyika katika kundi zima nitafutie vijana kumi waliohifadhi qur an nzima ukiwapata tuletee feedback kama hutakuta maulid wanayajua na kupiga dufu kuliko qur an tunasema hayo kwa sababu tumeshapitia kwa mashehe wa dizain hiyo na tumeona hayo halafu shirki pia zimo kwenye maulid
Uzushi unatafutiwa njia ila bado haijapatikana kwa waliosoma wamekuelewa kua ulichokizungumza ni porojo na ni matakwa yako binafsi ila zidi kusoma Sheikh huenda Allah akukuongoa wewe na mimi pia
sijasikiliza mpaka mwisho lakin haina haja ya kusikiliza mpaka mwisho langu me ni hili Tu katika Uislam kuna mambo mengi saana mazury Lakin kama jambo hajalifanya mtume wetu muhamad (S.A.W) wala hajalifundisha basi halimo katika uislam kwan mtu ameefariki anasema Dini imekamilika ya Nini uengeze jambo ambalo mtume wala maswahaba zake hawajafanya Je Wewe kuna ibada gani iliyokuwa bora ababubakar ameisahau ukaja ukaifanya wewe Tuwe na Akili Jaman nimeskia umetaja neno hitma je mtume hajafiliwa yeye kwa nn asifanye hitma usipotoshwe wenzako Dini suo ya mchezo hii Tumieni akili jaman tusiburuzwe
Mahabasha walicheza na silaha yaani walifanya zoezi la kivita kwa panga na ngao, hakuchezesha viuono na zefe ,,mwapoteza watu kwa uzushi wa bidaa zenu potovu
Ushirikina ni m baya sana jamani mnauidhinisha ushirikina wenu wazi wazi Inshalla Allah Mwenyezi Mungu ni mkali wakuhukumu ya qawmu hakika nyinyi mnadhulumu nafsi zenu
MAASHALLLAAH ALLAH AKUPE UMRI MREFU UZIDI KUITUMIKIA DINI YAKE , UMETUTOA MBALI SANA KWA UFAFANUZI HUU HATUPINGI KUMB TULIKUWA WAJINGA TUNATUMIWA BILA KUJUA, TUNASHUKURU KWA USHAHIDI UNAOJITOSHELEZA .ALHAMDULILLAAH KWA ALLAH KUNIJALIA KUSKILIZA DARSA HILI NA NIMELIELEWA.
Ni hoja dhaifu mno sijawahi kuona mfano wake na aya hiyo suuratun yuunus ya 57-58 haijasema kuhusu kuzaliwa mtume ndio watu wafurahi Bali Nilikuwa zaongelea kuhusu kushushwa quran. Pia mwandishi wa kitabu kaitwa myemen na sio ukweli. Pia hakuna hadithi au aya hata kidogo inayotetea porojo za maulidi aliyoitoa ila katka falsafa tu ya anavyodhani. Kuenzi mababu masheikh kama anavyodai pia ni udhaifu ambao kiukweli sheikh wetu kateleza mno hapo. Maana Quran inamrudi moja kwa moja. "Na wanapoambiwa fuaten Yale aliyoyashusha Allah husema tunafuata Yale waliyoyafanya mababu zetu...." Na hapo sheikh anatetea hoja za mababu wasomao maulidi na ndio maana kimsingi hakuna hoja ya kielimu hata inayodhibitisha maulidi anayoitetea yeye. Mtume s.a.w alifunga jumatatu na hakuchemsha ubwabwa wa viungo na nyama. Ni wapi mnakwenda?? Nimeona ajabu mno kwa makosa yote yaliyomo humu ikidaiwa ni hoja. Mtume s.a.w ameusia ataeishi sana ataona khitilaf nyingi. Maswahaba Allah kawaridhia Wote na kasema katika albaqarah aya ya 137 na annisaai 115. kiwa tutaamini na tunafuata matendo kama waliyoyafanya mtume na maswahaba bado tumeongoka na pia atakayeenda kinyume na mwendo wa maswahaba baada ya kumjia haki akaiona akafanya maksudi Allah atamuelekeza huko kwenyewe mtu hiyo anakotaka. Tuwe makini na akhera yetu. Sisi tumetoka huko pia na tunamuomba kila mmoja Allah amuongoze asifanye ushabiki maana kila mtu na mzigo wake.
اللهم اغفرله ورحمه ورفع درجته في المهديين وخلفه في الغابرين وغفرلنا وله اللهم افسح له في قبره ونورله فيه يا رب العالمين اللهم يمن كتابه وهون حسابه ولين ترابه والهمه حسن الجواب وطيب ثراه وأكرم مثواه واجعل اللهم الجنة مستقره وماواه اللهم يا رب العرش العظيم. أطعمه من ثمار الجنان كل ماحسب وطاب واجعل اللهم ممن قلت فيهم ويطاف عليهم بانية من فضة واكواب من الذهب والملائكة يدخلون عليه من كل باب سلام عليكم بماصبرتم فنعم عقبى الدار اللهم اعنه على جواب منكر ونكير وعوض عن هذه الدنيا جنات النعيم اللهم كن له بعد الحبيب حبيبا ولدعاء من دعا اليه من المؤمنين مجيبا وكتب له في مواهب رحمتك حظا ونصيبا اللهم اجعل قبره خير منزلا اللهم يارب العرش العظيم انقله من ضيق اللحود والقبور في سدر مخضود وطلح منضود وظل ممدود وماء مسكوب وفاكهة كثيرة لا مقطوعة ولاممنوعة وفرش مرفوعة مع الذين انعمت عليهم من المؤمنين والصديقين والشهداء والصالحين وحسن أولئك رفيقا اللهم نور مرقده وعطر مشهده وطيب مضجعه وانس اللهم وحشته وارحم غربته اللهم يا قاضي الأمور وياشافي الصدور كما تجير بين البحور أجره من عذاب السعير ومن دعوة الثبور ومن فتنة القبور اللهم اجعل عمله صالحا مؤنسا له في خلوته اذا او حشه المكان وفارفه الاهل والجيران ان تكون له انسا وشفيعا وتشمله برحمتك الواسعة اللهم ان كان محسنا فزد في حسناته وان كان مسيء فتجاوز عنه ولقه برحمتك ورضاك وقه فتنة القبر وعذابه وافسح له قبره اللهم اجعل قبره روضة من رياض الجنة ولا تجعله حفره من حفر النيران برحمتك يا أرحم الراحمين يا الله انك قريب مجيب الدعوات يا رب العالمين ان الله يغفر الذنوب جميعا انه هو الغفور الرحيم
Dini ya kiislam mwalimuwake ni mtume muhammad s a w nakwavile hakuyafundisha hayo mnayoyatetea yatabakiakua ni uzushi unaopelekea motoni japo mnatafuta ushahidi wakulazimisha kilasiku wakatimwengine mpakauganga mnafanya kuwaroga watu wanaopinga uzushi
Ilahi yaa raab watetea bid'ah bila ithbati bil kitabi wa sunnah yanayosomwa hawaelewi watu ndio maana kuhifadhi Quraan na sunnah si muhimu kwao bali nyimbo ndio muhimu madrasa zao
Kwa faida tu huyo sheikh alie tunga kitabu sio myemen. Bali ni msiria dimashq ni sheikh wangu nasoma kwake mpaka sasa kwa sasa yupo hapa Uturuki anasomesha chuo kikuu Fatih sultan mahamet vakiv university istanbul.Asante
Wengi wenu mnaoona kuwa shekh kakosea jifanyia tathmini kuhusu elimu zenu maana naona hata katika sentensi zenu bado Kuna matatizo ya kisarufi kweli mnaweza kuogelea katika bahati hiyo
hakuona mtume umuhimu wa maulid waja kuona ww mzushi n mpotezaji watu,uisilamu ni dini imekamilika haiitaji kuongezwa jambo,kisha sheikh hata salamu yako ni yakizushi,kwenye salamu hakuna taalah
Mohamed Idd acha kupotosha watu. Kila ibada ina nguzo, masharti, na vitu vinavyobatilisha. Je nguzo za maulidi ni ngapi na masharti ya maulidi ni mangapi na ni vitu gani vinatengua ibada ya maulidi
Na kumswalia mtume hatumswalii kwa mwaka mara moja ....twamswalia mtume kila siku ...Na ikifika mwaka alipozaliwa ndio twazidi kuisherehekea kwa swala za mtume saw
abdulla abdulla hawa ndo wale wale waliosoma kwa kuinba imba tu wala hakuuliza kwann tunsimba na kupiga ngoms sasa leo ndıo wanahanya hanya! hawatupati tena hawa tumeshajua kumbe bidaaa tu ! tumeshajua ,
Napenda Mtu yoyote hapa anipe dalili tu tuache kwa maswahaba na tabiin wao wa mbali,Yaani anipe dalili tu kama Imam Shafi,Imam Malik,Imam Ahmad bin Hanbal walisoma Maulidi
usimtukane shekh anapo fafanua usilamu umekataza kumtukana muislm ni ufasik na kupigana nae no uksfir kua na hekim were ulomtukana shekh kwamba hana akili weee ndo huna elimu kasome tanga
Sheikh Maslahi na kujipendekeza na kutaka umaarufu,elimu ni ndogo,ni upotoshaji mkubwa,yote ni kutaka umaarufu,kitabu anachosoma ni cha kutungwa kwa uzaifu,la kustaajabu yeye huyu atamfuata sheikh wa yemen,sio kumfuata Mtume Muhammad au masahaba zake,ambao hawakuleta uzushi huu,Allah akuhidi, mkwala wake ni sheikh wa yemen na kiarabu, hajajuwa kwamba Wapo waarabu wapotoshaji,Wapo waarabu makafiri,wakristo na jamaa zao wa kishia,madruzi nakadhalika,yarabi tuongoze katika njia iliyonyooka.
Kumswalia mtume kwa wingi ni swala tano kila siku nakumsifu mtume ni kila baada ya swala sio mwezi mmoja kila mwaka. hizo ni nyimbo nisawa na kaswida za alpha blondy. TUBADILIKENI WAISLAMU TUFATENI SUNNA ZA BWANA MTUME HIZO NDIZO ALIZO TUACHIA.
2.sababu yako ya kwanza ya kusoma maulid ikusoma dua,kusoma quran.....nk. hii sababu waislam wenzetu wanafanya (kusoma quran, kusoma sira ya mtume s.a.w kwa mlañgo mmoja, kupeana mawaidha, kualikana çhakula nk)kwa mida tofauti sio zote kwa pamoja.na wao kwa mwaka watafanya sio mara 1 na ibada zenyewe ni burudani kwao bila kuhitaji qaswida, mashairi wala dufu ima mskitini/viwanjani
3.Sheikh Idd Muhammad, kama kweli Allah (s.w) ameturuhusu tufurahi kuzaliwa rehma, je kwanini maswahaba, taabi, taabi taabiin na imaam wote hakuna aliyesherehekea kuja kwa rrhma hiyo?je sisi tunawazidi wao kwa imaan na mapenzi ya rehma hiyo?
Mm kwa elimu yangu ndogo naona bora tufunge tu kama alivyotuambia ,kuliko kupiga migoma kama vidumbaki na kucheza kama wasanii wa mziki,halafu kuna hadithi inasema jambo ukiwa na shaka nalo usilifanye fanya lisilokupa shaka ,siku hizi kila madrasa ina staili yake ya kucheza ngoma kama wanakuziki..hamuwezi kufanya maulidi bila ya kupiga ngoma na kucheza,mbona mtume na maswahaba hawakulifanya tuje kulifanya sisi..
Maulid niibada ..ikiwa ucingizi niibada vp maulid kusifiwa mtume s.a.w..Allah awongoze wanao pinga maulid ..mtu haezi kutoka tanzania akaenda kenya kusoma maulid kwa sabb yakufuatia chakula..wanao pinga maulid mar nyingi wanawatukana wat wakusoma maulid at wanafuata chakula simaulid....
Sheikh Idd Muhammed wale wanaoiharamisha na kusema manaoisoma wataingia motoni/kupata dhambi hali ya kuwa masheikh au wazee waliisoma,najibu kwa kusema waliopita walifanya mambo kwa kuyajua/kutoyajua ukweli wake
Mimi ningelimuomba sheikh Mohammed ldi asijaribu kugara gara kwenye mchanga ila atoe dalili ya uhakika inayothibitisha kusoma maulid.na wala asitangulize kauli za watu wengine ila atangulize kauli ya Allah kwanza na ya pili ni kauli ya mtume (saw) kama ipo.Surat hujrat aya 1 arudi hapo atawaidhika.
Shekhe hakuna dalili yeyote ulotoa hapo . waislam tukubali kubadilika ikiwa ilmu yako yaufahamu ni ndogo omba mungu akufunulie. kwendakufata mpunga na pesa sio dini hiyo. mtaje mtume kwa utulivu na kumtaja Allah. kumjua mtume nikusoma sio ngoma za maulidi. mungu atwambia TUMEFARADHISHIWA KUSOMA DINI,, SIO MAULIDI.
Maulidi niyenu wacheni kupaka watu poda, jaribuni mututafsirie kitabu alokitunga barzanji, sio mtume wala swahaba wake, kwa kiswahili, kama haya tulio tafsiriwa 1.mimba ya mtume ilipoingia wanyama wote waiongea nak🎉uoeana habari🎉
5.Sababu nyiñgine ya kusoma maulid ni kuungana na mtume (s.a.w) kuadhimisha siku ya kuzaliwa kwake Sheikh Idd tusitake kushindana/kujifananisha na maswahaba/waja wema waliotangulia.kwani wakati mtume (s.a.w) anaadhimisha,waliokua mbele yake walimuungaje kuadhimisha nae? Au yeye mtume (s.a.w) aliwafikishiaje maswahaba ujumbe wa kuadhimisha siku ya kuzaliwa kwake
Chungeni sana nyinyi watu mnaosoma hayo maulidi,kwa hakika nyinyi ni kundi moja katika yale makundi 72 aliyotajaja mtume s,aw,maana kumbe mtume s,a,w alisherehekea kwa kufunga na akaacha utaratibu huo kwa maswahaba na tabiin na tabii tabiin na watu woote wema waliotangulia mpaka ilipokuja kuzushwa aina hii yenu unayoipigia debe Kule misri na mashia wa fatmiyuun katika karne ya saba, baada ya kufa mtume s,a,w,pia sheikh waeleze watu ukweli kwamba imamu suyutwii nae amemnukuu ibun hajari al askalaani,kabla ya maneno hayo unayofanya kuwa ni hoja,tayari ibni hajari alishatanguliza tahadhari kwa kusema .."Asli ya maulidi hayo mnayosherehekea kwa aina hiyo unayaitetea ni bidaa",na ki la bidaa ni upotovu na kila upotovu ni motoni
Kama maulid ni kumswalia mtume saw kwani sialifundisha kama watu wakitaka kumswalia wafanyaje . Nyie mmezidi uroho tu . Munaongezza vitu ambavyo kwenye dini havipo . Kama mnajitia ndo kumpenda mtume saw . Inamaana mume washinda maswahaba kwani wao hawakufanya . Munawaigia wakristo kusherekea kuzaliwa kwa yesu . Mpo katika mapambano yakulazimisha bid aa kuwa ni ibada subhanallah
We unasoma kwa kuadhimisha siku ya kuzaliwa rehema.kuna masheikh wenzako leo wanasema wanaadhimisha siku ya kuuliwa hussein kwani alikua mkarim nk.kaa çhini utafakari vizuri Angalieni!!
## Abdul Swamad Hakuna funga ambayo Mtume Muhammad s.a.w alifunga siku nyingi kama Ramadhan tu. Amesimulia Mama Aisha r.a Mtume alikua akifunga swaumu ya Ramadhan yote, na hizo funga nyengine kama Shaaban akifunga siku nyingi, na si zote. Nyingi maana ya siku hata 16, 17, 18, 19 hata 20. Ila hafungi Shaaban yote wala Rajab yote. Acheni kupotoshana nyie watu wa maulid. Maulid si ibada, haina faradhi wala sunna.
Hawatakagi kupima hapo we hapo ulipo utampenda mtume kuliko waliouawa kwa ajili yake au walikuwa tayari wafe kwa ajili yake sasa hao wote hawakufanya maulid halafu maulid zenyewe zasisitizwa kuliko swala wangapi wanahudhuria maulid na hawasali ni uislamu huo
maulid kwenye uislamu ni kama vile mbio za mwege, hayana umuhimu sheikh muhammad,tafaddhal acha kupotosha ummah wewe unafahamu vema lkn unataka kutumia ufasahawako kudanganya watu kwa maslahi yako madogo tu ya kidunia, shekhe acha, achakabisa.
Eti kuburudika kwa kuimbaaa mnaleta mambo ya unswala hadith ya 5590 ndani ya sahihi bukhari kasome NA unapigajee alaa za muziki NA wakati mtume amesema nililo kukatazeni liacheni
Hajji Hussein Ramadhan ingia kwenye OVI STORE kisha andika jina la hicho kitabu utapata APLICATION nzima ya hicho kitabu. au nenda ktk maduka ya kariakoo DAR ES SALAAM yanayo uza vitabu vya kiislam utavipata
فما بال الحديث عن الرسول صل الله عليه وسلم عن عائشه رضي الله عنها ان الرسول صل الله عليه وسلم أنه قال من حدث ما ليس في أمرنا هذا فهو رد. الحديث في البخار ومسلم.
Hujaijua mana yahii hadithi maalaysa ndio fahuaradduh ingekuwa nikilakitu asingesema mtume maalaysa bali ingekuja man ahdatha fi.amrina haadha fahuaradduh lakini iko maalaysa ukijua kaziyahii maa basi utaelewa ukitojua maa imekuja je kamwe hutoelewa
Hebu na wewe unaetoa sababu kwanini mnasoma maulid na kwenu ni ibada ili uonekane uwezo wako ungetumia kitabu chako ulichotunga kwakuwa nawewe pia unaitwa Sheikhe.
Sheikh Muhammad odd waislam hawakatai maulid ,watu wanahoji Zile Ngoma na ndani ya shereh za mazazi ya Mtume s,aw umevinukuu wapi ,...lakn pia mbona nyinyi màkhekh ,Aya za jihad hamsemi ,kaz kusema mamboo amboyo hayazndui waislam ,wapen watu aya hızı " sürat Al imran 169:173. Tawba 38_39 : 111: na14_15 na 123 na znginezoo Ebu andaeni masa hizoo uislamu inapiga Vita cku had cku ninyi kaz waislam hawakupata hayo waambie o kama ninyi kweli ni mashekh !!
Aslam alaykum sheikh Allah akujalie ufahamu mbona katka mada hii sijakusikia.ukisema Allah kasema ktk aya flan au mt. Muhammad kafanya au wale makhalifa wongofu wamefanya ila wasema sheikh alietunga kitabu kutunga kitabu siihoja wpo wliotunga vitabu wengi mpka Leo wamarekan wametunga msaafu wao wakupotosha jee wpo sahihi sisi tunataka utuambie mtume kafanya au khurafau rashiduna wamefanya kumsalia.mtume sii.ngoma
Huyu Jamaica hiragana hana hoja za msingi ila kupiga makelele na kugomba tu hivi kama ingekua kheri ingeibuka karne ya 3 bidaa hiyo? Yaani karne 1 ya 2 watu hawakujua umuhimu wake mpaka pale walivyokuja makafiri wanafiqi Shia kuanza nanyinyi ndio mnakumbatia kua kumswalia Mtume 's a w lo! ! Kweli mmepotea
Tue na umakinifu tunapowasikiliza Masheikh sio kupuruka na kucoments vitu zisizokua na kichwa wa miguu kisa na sababu Mikao.Sheikh Eid MashaLlahu nakupongeza sana kwa ufaswaha wa Darsa zako zote kwa jumla MashaLlahu.Allahu Baarik
Kuwa makin wewe na bidaa hapo kinachoelezwa ni bidaa haifai lazima tupinge umma utapotea
@@abaafarhat9191 wewe mwenyewe umepotea na uwahabi wako
Mawahabi wajinga sana nyinyi
Ajuwae na asojuwa hamuwezi kuwa sawa ...kwahivo zidisheni bidii kusoma dini yenu ...wala sio kukaa kutujadili mawlid na kututukana kila mwaka ...inukeni tuwe sote tumswifu Nabii ❤❤❤
Ooooooh. pole sana ujahili ulio nawo nimkubw zaid ya mno
Allaahumma swalli wasallim wabaarik alayhi
nasikitika sana elimu yako ndogo alaf hutak kuelimika
Katika maulid mnayofanya mkikusanyika katika kundi zima nitafutie vijana kumi waliohifadhi qur an nzima ukiwapata tuletee feedback kama hutakuta maulid wanayajua na kupiga dufu kuliko qur an tunasema hayo kwa sababu tumeshapitia kwa mashehe wa dizain hiyo na tumeona hayo halafu shirki pia zimo kwenye maulid
Mwanachuoni abuu iddy Muhammad iidy jishekhe lenye fasaha zake
maashaallah wasio kuwa Na elimu wanashindwa kutoa hoja Na vitabu kazi yao eti wanamtukana shekh
Masha Allah
Iddi mungu anakuona ,mtume mnswalia Siku moja tu yakula pilau,(ulafi tu)
جزاك الله خيرا وبارك الله فيك الأستاذ
Uzushi unatafutiwa njia ila bado haijapatikana kwa waliosoma wamekuelewa kua ulichokizungumza ni porojo na ni matakwa yako binafsi ila zidi kusoma Sheikh huenda Allah akukuongoa wewe na mimi pia
sijasikiliza mpaka mwisho lakin haina haja ya kusikiliza mpaka mwisho langu me ni hili Tu katika Uislam kuna mambo mengi saana mazury Lakin kama jambo hajalifanya mtume wetu muhamad (S.A.W) wala hajalifundisha basi halimo katika uislam kwan mtu ameefariki anasema Dini imekamilika ya Nini uengeze jambo ambalo mtume wala maswahaba zake hawajafanya Je Wewe kuna ibada gani iliyokuwa bora ababubakar ameisahau ukaja ukaifanya wewe Tuwe na Akili Jaman nimeskia umetaja neno hitma je mtume hajafiliwa yeye kwa nn asifanye hitma usipotoshwe wenzako Dini suo ya mchezo hii Tumieni akili jaman tusiburuzwe
mawlid tutasoma mpaka kufa kwetu ....Na tukicheza siajabu walicheza mahabasha msikiti wa habibu wakiterema na kushaha ❤
Hadya Haydar 👆 and down and
Mbona jihadi mashekhe huwa amzungumzii.
Mahabasha walicheza na silaha yaani walifanya zoezi la kivita kwa panga na ngao, hakuchezesha viuono na zefe ,,mwapoteza watu kwa uzushi wa bidaa zenu potovu
اللهم صل وسلم وبارك على سيدنا محمد وعلى آله وصحبه وسلم
sheikh napenda sana kuskiliza mawaidha yako lakiñ kwa hili sikuungi mkono
Salehe akil huna
Muunge mguu basi
sawa shekhe MUHAMMAD IDI
nimekuelewa.
Allah kareem
Ushirikina ni m baya sana jamani mnauidhinisha ushirikina wenu wazi wazi Inshalla Allah Mwenyezi Mungu ni mkali wakuhukumu ya qawmu hakika nyinyi mnadhulumu nafsi zenu
Fatma Alliy unajua shirki nn au ndo unavyosikia mashekhe wauongo wenye vikanzu kama wanataka kuruka
Subhana lah Hivii nyinyi Mawahabi Mbona mnaroho ngumu Hivi? kilakitu nyinyi Ni Bidaa Du
Eti ushirikina ni upi wew unaesema huu ni ushirikina?
MAASHALLLAAH ALLAH AKUPE UMRI MREFU UZIDI KUITUMIKIA DINI YAKE , UMETUTOA MBALI SANA KWA UFAFANUZI HUU HATUPINGI KUMB TULIKUWA WAJINGA TUNATUMIWA BILA KUJUA, TUNASHUKURU KWA USHAHIDI UNAOJITOSHELEZA .ALHAMDULILLAAH KWA ALLAH KUNIJALIA KUSKILIZA DARSA HILI NA NIMELIELEWA.
Mashaallah nakupenda sana mwalimu
Ndugu zangu waislamu matusi yann mbona tunakosa ustarabu uislamu sio kutukanana jamani
Kama we unauchukia uwahab kama Mimi ninavyouchukia like hapa
Uwahabi ndo nn
Ole wao wanaoandika kitabu kisha, wakasema hiki kutoka kwa Allah
Bado sababu hazina mashiko shekh wangu, umeshindwa kudhibitisha uhalali wa maulid, ni shekh kannena
Tutafsirie balanji shekhe Acha polojo
sheykhunaaa muhamd iddi usichoke endelea kutupa faida Na kuwapa faida wasio soma
Wew unabwabwaja nin mzushi wew
Huyu mjamaaa zuzuuuu sanaaaa na maskini maneno yake anayo toa kupoteza watu kesho ana mas aaul mbele ya ALLAH .....
Zuzuu ni ww xhkh wng uxojtambua
Msitusiane ndugu zangu katika Iman
kuachia ndevu nisuna wew umenyowa umemuiga Nani afu unaachia sharing mtume amekataz kuachia sharub
Usipoteshe waislamu
Ni hoja dhaifu mno sijawahi kuona mfano wake na aya hiyo suuratun yuunus ya 57-58 haijasema kuhusu kuzaliwa mtume ndio watu wafurahi Bali Nilikuwa zaongelea kuhusu kushushwa quran. Pia mwandishi wa kitabu kaitwa myemen na sio ukweli. Pia hakuna hadithi au aya hata kidogo inayotetea porojo za maulidi aliyoitoa ila katka falsafa tu ya anavyodhani. Kuenzi mababu masheikh kama anavyodai pia ni udhaifu ambao kiukweli sheikh wetu kateleza mno hapo. Maana Quran inamrudi moja kwa moja. "Na wanapoambiwa fuaten Yale aliyoyashusha Allah husema tunafuata Yale waliyoyafanya mababu zetu...." Na hapo sheikh anatetea hoja za mababu wasomao maulidi na ndio maana kimsingi hakuna hoja ya kielimu hata inayodhibitisha maulidi anayoitetea yeye. Mtume s.a.w alifunga jumatatu na hakuchemsha ubwabwa wa viungo na nyama. Ni wapi mnakwenda?? Nimeona ajabu mno kwa makosa yote yaliyomo humu ikidaiwa ni hoja. Mtume s.a.w ameusia ataeishi sana ataona khitilaf nyingi. Maswahaba Allah kawaridhia Wote na kasema katika albaqarah aya ya 137 na annisaai 115. kiwa tutaamini na tunafuata matendo kama waliyoyafanya mtume na maswahaba bado tumeongoka na pia atakayeenda kinyume na mwendo wa maswahaba baada ya kumjia haki akaiona akafanya maksudi Allah atamuelekeza huko kwenyewe mtu hiyo anakotaka. Tuwe makini na akhera yetu. Sisi tumetoka huko pia na tunamuomba kila mmoja Allah amuongoze asifanye ushabiki maana kila mtu na mzigo wake.
Huna akili ww
@@hassanchuxxe1804 wewe ni wahabi na mawahabi hawana mienendo ya kiislam Bali itikadi za kiwahabi ni sawa na itikadi za kikristo
Akili zko pia ni dhaifu km maneno yko
هبععحعل5ي55
Wewe jamaaa ufaham mawahabi hawajawahi kuwa na heshima na maneno yao ni waropokaji bila kujali vyeo vya mzazi wa wazazi
اللهم اغفرله ورحمه ورفع درجته في المهديين وخلفه في الغابرين وغفرلنا وله اللهم افسح له في قبره ونورله فيه يا رب العالمين اللهم يمن كتابه وهون حسابه ولين ترابه والهمه حسن الجواب وطيب ثراه وأكرم مثواه واجعل اللهم الجنة مستقره وماواه اللهم يا رب العرش العظيم. أطعمه من ثمار الجنان كل ماحسب وطاب واجعل اللهم ممن قلت فيهم ويطاف عليهم بانية من فضة واكواب من الذهب والملائكة يدخلون عليه من كل باب سلام عليكم بماصبرتم فنعم عقبى الدار اللهم اعنه على جواب منكر ونكير وعوض عن هذه الدنيا جنات النعيم اللهم كن له بعد الحبيب حبيبا ولدعاء من دعا اليه من المؤمنين مجيبا
وكتب له في مواهب رحمتك حظا ونصيبا اللهم اجعل قبره خير منزلا اللهم يارب العرش العظيم انقله من ضيق اللحود والقبور في سدر مخضود وطلح منضود وظل ممدود وماء مسكوب وفاكهة كثيرة لا مقطوعة ولاممنوعة وفرش مرفوعة مع الذين انعمت عليهم من المؤمنين والصديقين والشهداء والصالحين وحسن أولئك رفيقا اللهم نور مرقده وعطر مشهده وطيب مضجعه وانس اللهم وحشته وارحم غربته اللهم يا قاضي الأمور وياشافي الصدور كما تجير بين البحور أجره من عذاب السعير ومن دعوة الثبور ومن فتنة القبور اللهم اجعل عمله صالحا مؤنسا له في خلوته اذا او حشه المكان وفارفه الاهل والجيران ان تكون له انسا وشفيعا وتشمله برحمتك الواسعة اللهم ان كان محسنا فزد في حسناته وان كان مسيء فتجاوز عنه ولقه برحمتك ورضاك وقه فتنة القبر وعذابه وافسح له قبره اللهم اجعل قبره روضة من رياض الجنة ولا تجعله حفره من حفر النيران برحمتك يا أرحم الراحمين يا الله انك قريب مجيب الدعوات يا رب العالمين ان الله يغفر الذنوب جميعا انه هو الغفور الرحيم
Dini ya kiislam mwalimuwake ni mtume muhammad s a w nakwavile hakuyafundisha hayo mnayoyatetea yatabakiakua ni uzushi unaopelekea motoni japo mnatafuta ushahidi wakulazimisha kilasiku wakatimwengine mpakauganga mnafanya kuwaroga watu wanaopinga uzushi
kumswalia Mtume saw ni Amry kwwnye Dini❤❤❤
Ilahi yaa raab watetea bid'ah bila ithbati bil kitabi wa sunnah yanayosomwa hawaelewi watu ndio maana kuhifadhi Quraan na sunnah si muhimu kwao bali nyimbo ndio muhimu madrasa zao
Kwa faida tu
huyo sheikh alie tunga kitabu sio myemen.
Bali ni msiria dimashq ni sheikh wangu nasoma kwake mpaka sasa kwa sasa yupo hapa Uturuki anasomesha chuo kikuu Fatih sultan mahamet vakiv university istanbul.Asante
Dimashq hakubaliani na maulidi
Ww una kichaa??
hawa ndio wafujaji katika dini
Wengi wenu mnaoona kuwa shekh kakosea jifanyia tathmini kuhusu elimu zenu maana naona hata katika sentensi zenu bado Kuna matatizo ya kisarufi kweli mnaweza kuogelea katika bahati hiyo
Huyu jam ndio mpotoshaji halisi kama vile walivyo mayahudi wanaujua ukweli lakini wanaupa nyongo
Mimi wakinijibu kuwa hawajui hayo bac watakuwa hawasomi kweli lkn kama wanayajua basi wanasoma
hakuona mtume umuhimu wa maulid waja kuona ww mzushi n mpotezaji watu,uisilamu ni dini imekamilika haiitaji kuongezwa jambo,kisha sheikh hata salamu yako ni yakizushi,kwenye salamu hakuna taalah
Akili huna ww
Ipi maana ya bidaa kilugha na kisheria,ndg mustafa abdul!!
upo sahihi akhy
Weee ndoo muelekezaji bila hoj
Utakuwa kichaa ww
Mohamed Idd acha kupotosha watu.
Kila ibada ina nguzo, masharti, na vitu vinavyobatilisha.
Je nguzo za maulidi ni ngapi na masharti ya maulidi ni mangapi na ni vitu gani vinatengua ibada ya maulidi
Hujielewi
Kma maulidi ni bidaha Ata Qurani pia ni bidaha kwa kuwa mtume ajaunganisha Qurani
Na kumswalia mtume hatumswalii kwa mwaka mara moja ....twamswalia mtume kila siku ...Na ikifika mwaka alipozaliwa ndio twazidi kuisherehekea kwa swala za mtume saw
Swali liko hivi, wapi mtume kaamrisha kusherehekea mazazi yake au wapi maswahaba wake walikuwa wakisherehekea?
MAULID NI BID'AA IN CAPITAL LETTERS
Allah atuepushe na mawahab
kitabu cha mshia na hao ndio walioanzisha Maulidi na kwa mujibu Wa itikadi zao ni makafiri.
Hawa ndo wale masheikh ubwabwa
Nilikusikiliza kwa makini sana unaejita sheikhe lakini bado umeshindwa kuthibitisha kuwa maulidi ni ibada.Bado hayo ni ya kwako
Bila shaka ndugu yang u una kichaa
Kweli yako
abdulla abdulla apana
abdulla abdulla
hawa ndo wale wale waliosoma kwa kuinba imba tu wala hakuuliza kwann tunsimba na kupiga ngoms sasa leo ndıo wanahanya hanya!
hawatupati tena hawa tumeshajua kumbe bidaaa tu ! tumeshajua ,
Sasa wewe usie jiita shekhe kma wayajua maulidi si uyazungumzie @abdulla abdulla
Napenda Mtu yoyote hapa anipe dalili tu tuache kwa maswahaba na tabiin wao wa mbali,Yaani anipe dalili tu kama Imam Shafi,Imam Malik,Imam Ahmad bin Hanbal walisoma Maulidi
Huna akili ww
usimtukane shekh anapo fafanua usilamu umekataza kumtukana muislm ni ufasik na kupigana nae no uksfir kua na hekim were ulomtukana shekh kwamba hana akili weee ndo huna elimu kasome tanga
Dudu baya wautolee wapi ivi ndugu yangu yupo anaeweza kubadilisha maneno ya ALLAh
Sheikh Maslahi na kujipendekeza na kutaka umaarufu,elimu ni ndogo,ni upotoshaji mkubwa,yote ni kutaka umaarufu,kitabu anachosoma ni cha kutungwa kwa uzaifu,la kustaajabu yeye huyu atamfuata sheikh wa yemen,sio kumfuata Mtume Muhammad au masahaba zake,ambao hawakuleta uzushi huu,Allah akuhidi, mkwala wake ni sheikh wa yemen na kiarabu, hajajuwa kwamba Wapo waarabu wapotoshaji,Wapo waarabu makafiri,wakristo na jamaa zao wa kishia,madruzi nakadhalika,yarabi tuongoze katika njia iliyonyooka.
Kumswalia mtume kwa wingi ni swala tano kila siku nakumsifu mtume ni kila baada ya swala sio mwezi mmoja kila mwaka. hizo ni nyimbo nisawa na kaswida za alpha blondy. TUBADILIKENI WAISLAMU TUFATENI SUNNA ZA BWANA MTUME HIZO NDIZO ALIZO TUACHIA.
2.sababu yako ya kwanza ya kusoma maulid ikusoma dua,kusoma quran.....nk. hii sababu waislam wenzetu wanafanya (kusoma quran, kusoma sira ya mtume s.a.w kwa mlañgo mmoja, kupeana mawaidha, kualikana çhakula nk)kwa mida tofauti sio zote kwa pamoja.na wao kwa mwaka watafanya sio mara 1 na ibada zenyewe ni burudani kwao bila kuhitaji qaswida, mashairi wala dufu ima mskitini/viwanjani
Sikweli mkiacha kupika wali hao wanaokuja kucheza ngoma wataachakabisa maana hatawao wanavikundivyao vyangoma
Huyu Shekh Ni khulaafi mjinga
3.Sheikh Idd Muhammad, kama kweli Allah (s.w) ameturuhusu tufurahi kuzaliwa rehma, je kwanini maswahaba, taabi, taabi taabiin na imaam wote hakuna aliyesherehekea kuja kwa rrhma hiyo?je sisi tunawazidi wao kwa imaan na mapenzi ya rehma hiyo?
Pole xn ndugu unaonyexha bichwa lako gumu xn kuelewa
Bichwa gumu kama nazi
Myemen TWA fata mungu na mtume
Asslam alyqum mwenye nambaa ya shekhe idd naombaa anisaidie
Kapangusa ndevu zooote, kaachia misharubu tu. Nasi tumeambiwa nyoeni masharubu fugeni ndevu ili mpate kijitofautisha na mayahudi. Porojo tu hapo.
Yeye ni mtu wa kwenda kinyume na mafundisho, kanyoa kidevu bulb alafu unakaa mbele ya wanaume unazungumza porojo ikiwa ndevu tu zimemshinda
Mm kwa elimu yangu ndogo naona bora tufunge tu kama alivyotuambia ,kuliko kupiga migoma kama vidumbaki na kucheza kama wasanii wa mziki,halafu kuna hadithi inasema jambo ukiwa na shaka nalo usilifanye fanya lisilokupa shaka ,siku hizi kila madrasa ina staili yake ya kucheza ngoma kama wanakuziki..hamuwezi kufanya maulidi bila ya kupiga ngoma na kucheza,mbona mtume na maswahaba hawakulifanya tuje kulifanya sisi..
Unaijua ngoma wewe au unaropoka tu iv maziwa na tui la nazi unasema yote ni maziwa una akili kweli ww kisa vina fanana
Kwanzo kma wapenda.....fugaa ndevu utasikizwa zaidi
Maulid niibada ..ikiwa ucingizi niibada vp maulid kusifiwa mtume s.a.w..Allah awongoze wanao pinga maulid ..mtu haezi kutoka tanzania akaenda kenya kusoma maulid kwa sabb yakufuatia chakula..wanao pinga maulid mar nyingi wanawatukana wat wakusoma maulid at wanafuata chakula simaulid....
Ibada hiyo katoka kwa Nani ibada ya kuzaliwa mtume صلى الله عليه وسلم alifunga
Waambie hao mawahabi hao shida yako wanakaririshwa tu hawataki kusoma,
Sheikh Idd Muhammed wale wanaoiharamisha na kusema manaoisoma wataingia motoni/kupata dhambi hali ya kuwa masheikh au wazee waliisoma,najibu kwa kusema waliopita walifanya mambo kwa kuyajua/kutoyajua ukweli wake
Mimi ningelimuomba sheikh Mohammed ldi asijaribu kugara gara kwenye mchanga ila atoe dalili ya uhakika inayothibitisha kusoma maulid.na wala asitangulize kauli za watu wengine ila atangulize kauli ya Allah kwanza na ya pili ni kauli ya mtume (saw) kama ipo.Surat hujrat aya 1 arudi hapo atawaidhika.
Mnaopinga Maulid Je Kumsifu Mtume s.a.w ni vibaya?..
Katika mashehe walopitwa nawakati we namba moja
Shekhe hakuna dalili yeyote ulotoa hapo . waislam tukubali kubadilika ikiwa ilmu yako yaufahamu ni ndogo omba mungu akufunulie. kwendakufata mpunga na pesa sio dini hiyo. mtaje mtume kwa utulivu na kumtaja Allah. kumjua mtume nikusoma sio ngoma za maulidi. mungu atwambia TUMEFARADHISHIWA KUSOMA DINI,, SIO MAULIDI.
je sheikh ushahidi wa kufuga ndevu unao?
Shekhe nakukuabali kinyamaa
Sheikh kasome vizuri kisha urudi uongee vizuri.
MAULID NI BID'AA IN CAPITAL LETTERS.
Hizo aya unazotafsir je ndivo walivyozifaham maswahaba?????
Maulidi niyenu wacheni kupaka watu poda, jaribuni mututafsirie kitabu alokitunga barzanji, sio mtume wala swahaba wake, kwa kiswahili, kama haya tulio tafsiriwa 1.mimba ya mtume ilipoingia wanyama wote waiongea nak🎉uoeana habari🎉
Wallah dini iko wazi musipoteze watu mtume alisema nimewakamilshia uislam maulid haikuwa fanyeni istghfar
5.Sababu nyiñgine ya kusoma maulid ni kuungana na mtume (s.a.w) kuadhimisha siku ya kuzaliwa kwake
Sheikh Idd tusitake kushindana/kujifananisha na maswahaba/waja wema waliotangulia.kwani wakati mtume (s.a.w) anaadhimisha,waliokua mbele yake walimuungaje kuadhimisha nae?
Au yeye mtume (s.a.w) aliwafikishiaje maswahaba ujumbe wa kuadhimisha siku ya kuzaliwa kwake
Kazi kweli kweli, ile siku maulidi inasomwa ndio siku aliyo zaliwa Mtume (SAW) ??! hata kama ni Jumapili,??!! tehetehe!!
Chungeni sana nyinyi watu mnaosoma hayo maulidi,kwa hakika nyinyi ni kundi moja katika yale makundi 72 aliyotajaja mtume s,aw,maana kumbe mtume s,a,w alisherehekea kwa kufunga na akaacha utaratibu huo kwa maswahaba na tabiin na tabii tabiin na watu woote wema waliotangulia mpaka ilipokuja kuzushwa aina hii yenu unayoipigia debe Kule misri na mashia wa fatmiyuun katika karne ya saba, baada ya kufa mtume s,a,w,pia sheikh waeleze watu ukweli kwamba imamu suyutwii nae amemnukuu ibun hajari al askalaani,kabla ya maneno hayo unayofanya kuwa ni hoja,tayari ibni hajari alishatanguliza tahadhari kwa kusema .."Asli ya maulidi hayo mnayosherehekea kwa aina hiyo unayaitetea ni bidaa",na ki la bidaa ni upotovu na kila upotovu ni motoni
Shekhe upon sahihi maulidi siharam
Umekusanya watu hapo walipo unaendelea kuwapotosha.Endelea tu kwa sababu ukweli unaujua
kitabu chamasufi hiko siyo chawstu wasuna afu wew nimtu wanida namtume ametabir watu wanamna hio watatokea makazi yao nimotoni
Kama maulid ni kumswalia mtume saw kwani sialifundisha kama watu wakitaka kumswalia wafanyaje . Nyie mmezidi uroho tu . Munaongezza vitu ambavyo kwenye dini havipo . Kama mnajitia ndo kumpenda mtume saw . Inamaana mume washinda maswahaba kwani wao hawakufanya . Munawaigia wakristo kusherekea kuzaliwa kwa yesu . Mpo katika mapambano yakulazimisha bid aa kuwa ni ibada subhanallah
Wengine munataka kuongeza viewers, hamna hoja zozote za kisheria na kimsingi
Namuomba Allah Akujaalie kila la kheri. Hakika tumestafidi
Daaah eti mbwembwe za dufu??
Kwl shida ipo
Wewe shekh twakujuwa wewe nimtu wabiriyani huna elmu yoyote. Wawapoteza wenzako kasome mwanzo.
Maulid hayana usahihi wowote wewe Fanya ila usimzulie Allah na Mtume wake uwongo
Hata wao wanasoma maulid kwani wamepata wapi kujua mtume kazaliwa lini,na wapi na kazaliwa na nani?
nasikitika sana unaejiita eti sheikh hujui hata tasfir ya qur an/ usitafsir qur an kwa matakwa ya nafs yako au zenu
We unasoma kwa kuadhimisha siku ya kuzaliwa rehema.kuna masheikh wenzako leo wanasema wanaadhimisha siku ya kuuliwa hussein kwani alikua mkarim nk.kaa çhini utafakari vizuri
Angalieni!!
ndio tulikua tunasoma kwa sababu tulikua wajinga sasa Allah katuongoza sasa ww sema yaliyomo kwenye vitabu vya maulid wacha kupepesa maneno ww
tahira
Ikiwa yeye aliidhimisha kwa kufunga je sisi twataka mfumoupi naje? Kwanini tufanye tafauti na vile alivofanya yeye,sisi twamfuatanani?
@Abdul Swamad aha ha, ha,haaa, salaamu aleykum sheikh.
Umekariri ww kichaa
## Abdul Swamad
Hakuna funga ambayo Mtume Muhammad s.a.w alifunga siku nyingi kama Ramadhan tu.
Amesimulia Mama Aisha r.a Mtume alikua akifunga swaumu ya Ramadhan yote, na hizo funga nyengine kama Shaaban akifunga siku nyingi, na si zote.
Nyingi maana ya siku hata 16, 17, 18, 19 hata 20. Ila hafungi Shaaban yote wala Rajab yote.
Acheni kupotoshana nyie watu wa maulid. Maulid si ibada, haina faradhi wala sunna.
Kumbe tukonao shekhe mchele
Bidaa zinatetewa kwa nguvu zote jamani ili mradi zisitoweke
@Hassan Farid swahaba walitaja au wewe umetoa wapi bidaa hiyo
Kama kumsalia haina shida kuadhimisha mazazi waachie wakristo hiyo ndo waadhimisha mazaz ya Issa bin maryam
kwanini uchukuwe maneno ya Mtu tu kutoka yemen usichukue maneno ya mtume wendawazimu hakuna aina moja.
Kumuwita mwanda wazimu muislamu mwenzako wewe mwendawazimu zaidi
الباطل ﻻ يصير حقا بمرور الزمن
Mtume asifiwi Bali mtume anatakiwa kufuwatwa
Hiyoo Rehmaa hawakuiyonaa Maswahaba . Mwajaaiyonaa nyinyi Misufiiii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hawatakagi kupima hapo we hapo ulipo utampenda mtume kuliko waliouawa kwa ajili yake au walikuwa tayari wafe kwa ajili yake sasa hao wote hawakufanya maulid halafu maulid zenyewe zasisitizwa kuliko swala wangapi wanahudhuria maulid na hawasali ni uislamu huo
maulid kwenye uislamu ni kama vile mbio za mwege, hayana umuhimu sheikh muhammad,tafaddhal acha kupotosha ummah wewe unafahamu vema lkn unataka kutumia ufasahawako kudanganya watu kwa maslahi yako madogo tu ya kidunia, shekhe acha, achakabisa.
Mashaallah vizuri sana
acha kuzingua
Swadakta
INAFAIDA NENDA KASOME BABA EEE
Allahu massali alla Muhammad, Allah akulinde na akuzidishie Taqwa, imani,yakin
gogo anajigonga gongs sasa kwa mini uciadhimishe km yeye mwenyewe
Eti kuburudika kwa kuimbaaa mnaleta mambo ya unswala hadith ya 5590 ndani ya sahihi bukhari kasome NA unapigajee alaa za muziki NA wakati mtume amesema nililo kukatazeni liacheni
Hatababaako kamanimzushi atakwenda motoni maana mtume s a w hajawahikusema uongo
mawaidha mazuri sana, hicho kitabu nikitaka, nitakipaje? nitumieni jamani tafadhali, wanasumbua huku kwetu hao!
Hajji Hussein Ramadhan ingia kwenye OVI STORE
kisha andika jina la hicho kitabu utapata APLICATION nzima ya hicho kitabu.
au nenda ktk maduka ya kariakoo DAR ES SALAAM yanayo uza vitabu vya kiislam utavipata
فما بال الحديث عن الرسول صل الله عليه وسلم عن عائشه رضي الله عنها ان الرسول صل الله عليه وسلم أنه قال من حدث ما ليس في أمرنا هذا فهو رد. الحديث في البخار ومسلم.
Hujaijua mana yahii hadithi maalaysa ndio fahuaradduh ingekuwa nikilakitu asingesema mtume maalaysa bali ingekuja man ahdatha fi.amrina haadha fahuaradduh lakini iko maalaysa ukijua kaziyahii maa basi utaelewa ukitojua maa imekuja je kamwe hutoelewa
Hukujua mana yahii maalaysa imekujaje ukijua malaisa basi utaelewa
Hebu na wewe unaetoa sababu kwanini mnasoma maulid na kwenu ni ibada ili uonekane uwezo wako ungetumia kitabu chako ulichotunga kwakuwa nawewe pia unaitwa Sheikhe.
Khatib Mohd kombo kikweli ni vizur watu kusoma maulid pia tunayaenzi ambayo alio yaacha mtume mukhammad aley salam
Hili tabu feki sijui kalipata wapi,wacha kupotosha.
Sheikh Muhammad odd waislam hawakatai maulid ,watu wanahoji Zile Ngoma na ndani ya shereh za mazazi ya Mtume s,aw umevinukuu wapi ,...lakn pia mbona nyinyi màkhekh ,Aya za jihad hamsemi ,kaz kusema mamboo amboyo hayazndui waislam ,wapen watu aya hızı " sürat Al imran 169:173. Tawba 38_39 : 111: na14_15 na 123 na znginezoo Ebu andaeni masa hizoo uislamu inapiga Vita cku had cku ninyi kaz waislam hawakupata hayo waambie o kama ninyi kweli ni mashekh !!
Kılıç Özgür kwan kutangaza jihaad ndo uislam
Sahih al-Akhy
Aslam alaykum sheikh Allah akujalie ufahamu mbona katka mada hii sijakusikia.ukisema Allah kasema ktk aya flan au mt. Muhammad kafanya au wale makhalifa wongofu wamefanya ila wasema sheikh alietunga kitabu kutunga kitabu siihoja wpo wliotunga vitabu wengi mpka Leo wamarekan wametunga msaafu wao wakupotosha jee wpo sahihi sisi tunataka utuambie mtume kafanya au khurafau rashiduna wamefanya kumsalia.mtume sii.ngoma
Mashaaalah Allah Akuhufadhi Na Maaduwi Wa Mtume Wetu S A W
Maulidi ni asasi ya ushia na wapenda mlo
Shehk maulid inamaana yamkusanyiko sasa zilengoma zanini halafu wewe umesomea tanga tuambie ni aya gani
Kwaiyo Kama babako mwanga naww mwanga achaerimu za zamani we jahili
Huyu Jamaica hiragana hana hoja za msingi ila kupiga makelele na kugomba tu hivi kama ingekua kheri ingeibuka karne ya 3 bidaa hiyo?
Yaani karne 1 ya 2 watu hawakujua umuhimu wake mpaka pale walivyokuja makafiri wanafiqi Shia kuanza nanyinyi ndio mnakumbatia kua kumswalia Mtume 's a w lo! ! Kweli mmepotea
mtume amesoma maulidi au suhaba gani amesoma maulidi umekaa hapo kundanganya watu ww umeamuwa kupinga suna