Rais Magufuli ataka wizara ya fedha kutazama uwezekano wa kupunguza kodi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Rais John Magufuli ameitaka wizara ya fedha na mipango kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) kuandaa mkakati wa kuwezesha kupunguza kodi ili kuwawezesha watu wengi zaidi kulipa kodi badala ya kuendelea kuwabana watu wachache.

Комментарии • 3

  • @godymobiletech3328
    @godymobiletech3328 Год назад

    Mtangazaji namkubali kinyamaaa
    NURDIN SELEMANI

  • @hamisiharuna3099
    @hamisiharuna3099 5 лет назад

    Hongera Rais kwa hilo umeona mbali

  • @athumanomary1438
    @athumanomary1438 5 лет назад

    Asante san raisi wetu kwa kuzidi kupanga safu ya uwongozi wa taifa retu mwenyez MUNGU yupo pamoja nawe raisi wetu