Rais Magufuli ataka wizara ya fedha kutazama uwezekano wa kupunguza kodi
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Rais John Magufuli ameitaka wizara ya fedha na mipango kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) kuandaa mkakati wa kuwezesha kupunguza kodi ili kuwawezesha watu wengi zaidi kulipa kodi badala ya kuendelea kuwabana watu wachache.
Mtangazaji namkubali kinyamaaa
NURDIN SELEMANI
Hongera Rais kwa hilo umeona mbali
Asante san raisi wetu kwa kuzidi kupanga safu ya uwongozi wa taifa retu mwenyez MUNGU yupo pamoja nawe raisi wetu