Sheikh umeongea kwa fikra zako zaidi bila kuleta evidence yyt. Tuhuma za ugaidi kwa unaowaita mawahabi, ni uchochezi na ndio ugaidi wenyewe. Siamini unajitoa fahamu kuwa hujui itikadi ya hao mawahabi au salafi. Pole sana kwa jazba.
@@Mumewangu mimi nimsuf lakin huyujamaa kuna baadh yamambo siyakubal kwake mfano anatumia.hadith ambauyo haikuswih akisema muawiya ni fur.aun wa zama hizi hapo hajawatukana maswahaba
Amiin amiin amiin, inshaa llah, mungu amtie peponi, tuko pamoja sheikh wangu
Mungu atazidi kukutia nguvu sheikh wangu, umesema kweli, tena kweli isiyoyakini, kaza buti sheikh wangu
حفظك الله ، و بارك الله فيك ، وزد لك علما نافعا. عليك أخ الفاضل أن تفتح الدرسة العقيدة إذا رجعت في التنزانيا
Shekhe umesema kweli, na leo nimejua umakini wako, mungu akulipe kheri
Mhmm
Sheikh umeongea kwa fikra zako zaidi bila kuleta evidence yyt. Tuhuma za ugaidi kwa unaowaita mawahabi, ni uchochezi na ndio ugaidi wenyewe. Siamini unajitoa fahamu kuwa hujui itikadi ya hao mawahabi au salafi. Pole sana kwa jazba.
بارك الله فيك سنجتهد انشاء الله دعاءك الينا يا معلم
Watu wasiojua twariqa watamuita hutu shia , kumbe hawajui twarika barabara
Shia gollo
SWADAKTA
Nawewe gaidi mkubwa unatukana maswahaba
Wapi ametukana maswahaba?
@@Mumewangu mimi nimsuf lakin huyujamaa kuna baadh yamambo siyakubal kwake mfano anatumia.hadith ambauyo haikuswih akisema muawiya ni fur.aun wa zama hizi hapo hajawatukana maswahaba