Jambo mtangazaji ushauri Ni Barbara mkato wa Barbara sio sawa nyumba ziko mbarabara kukata Barbara nilazima kutoka Barbara na nyumba Ni mita kumi lakini hapo no mita.moja mkato mbaya sana huo . Inastahili isihambatane na nyumba hiyo nimakosa sana. Asante ushauri huo
Barabara njo mujikaze na urbanisation sema vizuri Sanaa congratulations courage 👍👍❤tjr ce le Congo qui gagne💯
Vizuri saaana🥰
Tatizo mnaonyesha mijengo amuoneshi ni namna gani viwanja vinapatikana, utaratibu wakununua, Bei…..
Tafuta Dawda hewanora ku RUclips, anatoaga hizi taarifa.
@dawda hewabora
Ok
Wow!Amazing
ongera sana wa Congo
Mijengo mizuri sana
Wawe najitahidi kujenga nyumba za kisasa .
Kama marekani kabisa
😂
Jambo mtangazaji ushauri Ni Barbara mkato wa Barbara sio sawa nyumba ziko mbarabara kukata Barbara nilazima kutoka Barbara na nyumba Ni mita kumi lakini hapo no mita.moja mkato mbaya sana huo . Inastahili isihambatane na nyumba hiyo nimakosa sana. Asante ushauri huo
Shida Baraka viwanja viko bei sana
Kwa nini ? Ndio maana watu Wana Jenge tanzania viwanja bei rahisi.
Bro Nilikuwa Naomba Matangazo ya Viwanja vya Mashamba Makubwa kwaajili ya ukulima please
Nimependa sna
Baraka centre
It's GD
Wow Wow!
20/20 ya parcelle ni ngapi?
Good color
Asante sana 🔥 TANGANYIKA TV
wana jenga ovyo akuna mchoro
Byangene manga
Inapendeza xn
Fizi muna jenga bila urbanization akuna ku trace ma avenue. Bindovillle.
Hizo ndo video za Bien apana zile ku edit tunahiji video nyingi kama hizo zakushawishi wengine
Ngombe za kinyamulenge mumepora zinawapa nyumba hizo
Sisi tume iba ngombe ili tujenge. Nenda ulie Huko.
Mjinga sana ww nendeni Rwanda kwenu congo siyo yenu