MAISHA HALISI YA MZEE BONNE FETE NA FAMILIA YAKE | FIZI CENTRE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 сен 2024

Комментарии • 207

  • @nassermohamed6174
    @nassermohamed6174 2 года назад +11

    Inaonekana hii story ni nzuri sana ILA PRESENTER ndio tatizo...!

  • @user-ix1yb5di5x
    @user-ix1yb5di5x 5 месяцев назад

    Bien bien mi naishi mji wa kolwezi namshukuru sana uyo mzee kwa kaji ile eko nafanya merci.

  • @florianntulo5731
    @florianntulo5731 2 года назад +1

    Wakati naanza kuitazama hii vidio nilijua ni Tanzania, dada anaongea kiswahili kuzuri sana, hongera sana dada,, ni wakati mwafaka kuindeleza lugha yetu

  • @ik3934
    @ik3934 2 года назад +6

    This is a good material but the presenter need to be more active especially on his tone!!

  • @estermgata9617
    @estermgata9617 2 года назад +6

    Mr. Bonnie Fete, I think it will be beneficial for you to trace who your dad is or was. Then take that information to the embassy responsible (Is it Italian? France?). Ask for any type of assistance that they can offer to you and your family. Usually, these countries they don't let their citizens to suffer

  • @sidrasidra8616
    @sidrasidra8616 2 года назад +10

    Masha Allah ana binti mzuri🥰

  • @agnettakamugisha4984
    @agnettakamugisha4984 2 года назад +8

    Kweli "Kusaidiana ni upendo"❤❤❤

  • @nuruworldinsight2957
    @nuruworldinsight2957 2 года назад

    Asanteni sana Tanganyika TV kwa habari moto moto za kuelimisha ! Nimeku MFUASI WENU MZURI SANA !
    Salama kutoka Tanzania

  • @augustiyadi4085
    @augustiyadi4085 2 года назад

    If father was Italian, France it will be hard to coprate, because this story reflects to my grandfather land because there was fmly living in that country land earlys 1810to1945 befor my grandfather take over the place, and so the left their elder son behind because time was war around the world 🗺 actually it was hard to find his fmly back... Anyway his one he came back for him.. And this man God will bless him and if not him then through his children... Stay strong man... Blessed tag 📺.

  • @jolemerci2155
    @jolemerci2155 2 года назад +3

    Kazi nzuri sana Asante kwa bidii mutangazaji

  • @fatoumaahmed7670
    @fatoumaahmed7670 2 года назад +5

    Bravo Mr bon courage

  • @joelnondo7440
    @joelnondo7440 8 месяцев назад

    Uyu presenter haujui....kupresente vizuri

  • @balekelayiandre4735
    @balekelayiandre4735 7 месяцев назад

    mon ami boni fête courage

  • @matsarigi2986
    @matsarigi2986 2 года назад +4

    Mash Allah mama ni mrembo mno❤️

  • @tinaa6671
    @tinaa6671 2 года назад +7

    She is so beautiful lady ❤️🥰🥰🥰

  • @user-uh8bk5mj6e
    @user-uh8bk5mj6e 2 года назад +9

    Sasa mkichukua story hii mziki ndio tunaudkia kuliko sauti ya msimuliaji lirekebisheni hilo

  • @josephkenga5627
    @josephkenga5627 2 года назад +8

    Aende wapi hapo alipo ndio kwake na kwao, ardhi ndio utajiri mkubwa, na hao wako na mchanganyiko wa damu za mwaafrika;paradiso ni Africa, uzunguni hangepata hata kipande cha ardhi aite kwake;

  • @jolemerci2155
    @jolemerci2155 2 года назад +5

    Wewe kazi ni nzuri ku wa gunduwa watu hawa nakufata kutoka omani ila nami ni mu Congo mani bukavu

    • @johnkuma6867
      @johnkuma6867 2 года назад +1

      Kwa waarabu ni kuzuri na nasikia wanadharau mtu mweusi sana?

    • @jolemerci2155
      @jolemerci2155 2 года назад +1

      Basi nikuzuri sababu hawana tabia kama ya watu weusi hawanywi pombe haibi hawagombane hawatembeleane balabala nzuri hawana milima ao bondé ni nchi inatulia ina nyooka ila hawaesabu mutu mweusi kuwa ni mtu wa najuwa mtu mweusi ni nyama kati ya wa nyama ao ni mashine ao ni punda hawataki mutu aji teteye haki yake ikiwa ni mweusi wakifanya kosa hawataki ijulikane wa najuwa wawo niwatakatifu kuliko wote duniani

    • @johnkuma6867
      @johnkuma6867 2 года назад +2

      @@jolemerci2155 nakata ati ni watakatifu dununiani. Kama ni watakatifu Mbona wanadhulumu mtu mweusi na wamupati haki yake. Wanamtumia mtu mweusi kama mnyama. Hawa ni watu katili na siwatu wazuri wakuwafanyia kazi. Bahati yako nikuwa Oman iko watu wengi toka Zanzibar wanaongea kiswahili

    • @mamialsawafi8020
      @mamialsawafi8020 2 года назад

      @@jolemerci2155 rudi congo kale nyama ya nyani pumbavu ulitumwa uende maana weusi hawadhulum na hawauwani ngedere ww mnyamafu mla nyani ndio mana mmekaa kama majambazi

    • @seifseifmohamed7118
      @seifseifmohamed7118 2 года назад

      @@mamialsawafi8020 pole. Mami hapana kumjibu mjinga. Hawa walidanganyika kwa wafaransa na wabelgik sababu ya kifaransa sasa wako tu na mashida mingi na akili zimeenda. Je suis Zanzibari, biensûr je parle kiswahili, anglais,italian. Espanõl et français. Dont use your energy for such stupid Bayaka. Je sais bien Congo. Asil 60% wanazungumza kiswahili lakin ukiwa Kinshasa wanasema kiswahili sio cha congo na sasa wanataka kujiunga na sisi east africa. Polon sana kwa watu wajinga kama hawa.

  • @NgenaBiambo
    @NgenaBiambo 29 дней назад

    Asanteni sana

  • @zainabually2968
    @zainabually2968 2 года назад +1

    Mashaallah binti mrembo yupo uko maisha ya kijijin

    • @esthernaya6489
      @esthernaya6489 2 года назад

      Hahaha uamini warembo wako kijijini tu

  • @Japhet.B
    @Japhet.B 2 года назад

    Vieux nabiso, respect papa ✊🏾

  • @ramadhanmahongole5663
    @ramadhanmahongole5663 2 года назад +5

    huyu dada akienda ulaya na kuvaa vile vinguo vya asili yao anakuwa mzungu kabisa kama wa huko

  • @user-ts4zn1sx7h
    @user-ts4zn1sx7h Месяц назад +1

    Saf sana watangazaj watanganyika tv mnaupiga mwingi sana

  • @enochdavidtv8636
    @enochdavidtv8636 2 года назад +2

    #Felicitations, Timenel kedal

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 2 года назад +1

    Kkkkkkkkkk mtangazaji bn kkkk bado sana

  • @Mamiseti7
    @Mamiseti7 2 года назад +5

    Uyu dada mzuri jmn

  • @MoussaMoussa-hp4bs
    @MoussaMoussa-hp4bs 2 года назад +2

    Whoa she's so cute

  • @devothasimbi1055
    @devothasimbi1055 2 года назад +8

    Wewe mtangazaji tengua kauli yako huyo mzee sio Mzungu.safiri njoo Ulaya uone wazungu.

    • @auntmakochela4202
      @auntmakochela4202 2 года назад

      Ww nae punguza makasiliko ukiwaona ww uko inatosha asafiri kisa kuona hizo pua zao 😅😅😅🤣
      Ukirud tuletee mmoja tuwafananishe

  • @gerrardmmandama9418
    @gerrardmmandama9418 2 года назад

    Great job

  • @mamanetsesastuces690
    @mamanetsesastuces690 2 года назад +1

    Waou! Uyo mzee bonne fête siyo tena muzungu. Anakuwa mweusi tout fait

  • @juliethhouseofdesigns147
    @juliethhouseofdesigns147 2 года назад +1

    Wakishaamia africa wanakuwa waafrica kwetu hatuna rangi nyeupe wala nyeusi wote tuko sawa

  • @williamfelly7810
    @williamfelly7810 2 года назад +5

    Mtagazaji unafaa kazinzuri; lakini ujitaidi kuwa namutazamo ingine juya Peau noir na peau blash. Wazungu niwatu kama wewe; kuko ba intelligent naba moin intelligent. Kamavile ba noire kuko ba intelligent naba moins intelligent. Aussi ufanye utafiti juya question general na question personell wakati unafaa interview nawatu. Unafaa kazinjema kaka. Kwamazuri zaidi, fanya utafiti mingi juya maswali.

  • @kwibejanvier2140
    @kwibejanvier2140 2 года назад +6

    Yani bro una maswali yakijinga sana

  • @shamimhayat7637
    @shamimhayat7637 2 года назад

    Mzuri sana mashaaalah wapi huko mkoa gani

  • @abordecapester9086
    @abordecapester9086 Год назад

    Mwambie Demuzungu akuoneshe kwao Dieu au bienve aukami

  • @heraldloshi1864
    @heraldloshi1864 2 года назад +2

    Ah! Kumbe kaolewa!! Samahani sana.

  • @marlomerci5027
    @marlomerci5027 2 года назад +1

    Hongera sana kwa hiyo atuwa bwana journaliste

  • @jolemerci2155
    @jolemerci2155 2 года назад +9

    Bonne Fête shukuru ivo iulivo hakuna nchi nzuri kama Congo congo inakubali n'a kupokea wa geni sisi tuliko nchini hapa uarabuni tuna penda tuishi hapa ila hawataki iyo sheria haipo ila kazi kwako ni nzuri sana courage Bonne fête

    • @nitunda
      @nitunda 2 года назад +1

      Pole kabisa Ndugu Jole

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 2 года назад +2

      afrika hakuna ubaguzi

    • @nitunda
      @nitunda 2 года назад

      @@heyumi2340 Ndio

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 2 года назад +1

      @@nitunda naam nchi za wenzetu mtihan sana

    • @nitunda
      @nitunda 2 года назад

      @@heyumi2340 pole sana uko inchi gani?

  • @johnkuma6867
    @johnkuma6867 2 года назад +6

    Hapa kenya hata hakuna mtu anajali rangi ya mtu. Na sivizuri kuuliza maswali mengine unauliza dada kama journalist..Watu wa rangi za huyu dada wamejaa kenya kila corner na hata hakuna mtu huinua kichwa kuwatazama. Ni wananchi wa kawaida tuu na kitu cha kawaida

    • @uledimtumwa2406
      @uledimtumwa2406 2 года назад

      Nyie bado mnatawaliwa na Wazungu kama South Africa.

    • @nelsonlushasi2273
      @nelsonlushasi2273 2 года назад +1

      Hata dar wamejaa i think wacongo wana uhaba wa machotara!!!

    • @johnkuma6867
      @johnkuma6867 2 года назад

      @@uledimtumwa2406 kweli uko na opinion ya ajabu

    • @uledimtumwa2406
      @uledimtumwa2406 2 года назад

      @@johnkuma6867 mpaka lugha bado ya wakoloni. Hivyo hakuna cha ajabu

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 2 года назад +1

      Watu wa jinsi hiyo Kenya si wengi pahala walipo wengi ni Angola, South Africa , Cape verde, Mocambique Maputo , Seashells na Madagascar, Kenya na Tanzania waliowengi ni machotara ya kiarabu na mabaniani neyi neyi kalunga kushineyi

  • @victoriaritte8810
    @victoriaritte8810 2 года назад

    @Millard Ayo fuatilia hii story

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup68 2 года назад

    Congo nchi mzuri

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi1725 2 года назад

    Masha Allah kizuri kweli

  • @calimahad9274
    @calimahad9274 2 года назад +6

    Interview imejaa ujinga wa rangi... inasikitisha kuona Interview imetawala rangi za watu. Kwa hali hii Wazungu wataendelea kututawala mpaka dunia itakwisha.

    • @clarisssimpenzwe6298
      @clarisssimpenzwe6298 2 года назад

      Wale ata ni weusi… wazungu gani 😜😜😜😜

    • @williamfelly7810
      @williamfelly7810 2 года назад

      Try to write your comments respectfully. Uyu Journalist anafaa kazinzuri sana. Kama ungelimurekebishia, nivizuri umurekebishie indirectement; apana yawazi hivi >. Please, it's so genuines to think about others feelings and emotions because you don't know what's people are going through. Thanks.

    • @abordecapester9086
      @abordecapester9086 Год назад

      Unasema vibaya ulaya weusi wapo wengi , siyo mzungu ni chotara Yani minti

  • @J4UPro
    @J4UPro 2 года назад

    safi sana ,

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 года назад +2

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌

  • @wowo1546
    @wowo1546 2 года назад +1

    yeye mke wake na watoto wako wapi?🏡🎊🎉🇨🇩

  • @deejeydaev
    @deejeydaev 2 года назад +4

    Content mbovu mnoooo sasa ndio nini kutuwekea beat badala ya interview.. total waste of MB

    • @seifseifmohamed7118
      @seifseifmohamed7118 2 года назад

      Wacha ujinga. May be you dont understand kiswahil na français. Nous sommes tout çava pas de problém.

  • @jerryjuma1339
    @jerryjuma1339 2 года назад +1

    yaani ndugu zetu wang'@mbo yaani mkionaga mtu mweupe yaani sijui mnakuaje, hao ni watu wakawaida Kama wewe ivyo basi hiyo ngozi nyeupe isikutishe my friend

  • @lisaozokalonji7655
    @lisaozokalonji7655 2 года назад +3

    Journaliste émission yako iko sawa lakini uko kama unatete mekeya Mzungu sana eti Mzungu ni mtu waakali sana unamaanisha nini? kuna wazungu awajuwi kitu! Monsieur bonne fête iko très gentil na siyo kila mzungu

    • @noelashaoona
      @noelashaoona 2 года назад

      Kabisa

    • @devothasimbi1055
      @devothasimbi1055 2 года назад

      Yanis huyu mtangazaji huwa nachukia kweli kujilinganisha rangi eti rangi nyeusi ninaishi Ufaransa nawaona waliokimbia shule wanavyotaabîa mtaani.na huyo akirudi ulaya sio mzungu kabisa.

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 2 года назад

      @@devothasimbi1055 huyo ni mshamba pengine ni kwasababu mazingira aliyonayo hakuna watu wa jinsi ya aina hiyo sisi kwetu mocambique zipo baadhi ya koo zetu mababu zetu walikuwa watu weupe toka portugal so na watu hawashangai ata kidogo

    • @Joe-tr2vk
      @Joe-tr2vk 2 года назад

      @@Mpakauseme Nilifika Nampula na Montepuez mwaka 2017 ni kweli Moçambique imechanganyika na watu hawajali haya mambo ya rangi ya ngozi. Nilipapenda sana

  • @maombiecha3297
    @maombiecha3297 2 года назад +1

    Tuone video zake zamaubiri please

  • @marcominja8850
    @marcominja8850 2 года назад +1

    Mbona mtangazaji una maswali ya kipuuzi sana, yenye mwelekeo wa bullying?

  • @user-kr7ut7bj5x
    @user-kr7ut7bj5x 6 месяцев назад

    Mzee wa zamani huyo:Mkatolika wa damu..

  • @richardsaikong1138
    @richardsaikong1138 2 года назад

    Hii ni tanzania?

  • @embeteidi5023
    @embeteidi5023 2 года назад +2

    Pia mzee bonne fete anajulikana kama mmbembe ama mfulero?

    • @TanganyikaTV
      @TanganyikaTV  2 года назад +1

      TAZAMA SEHEM YA KWANZA
      ruclips.net/video/JdghEq8ei4M/видео.html

  • @abordecapester9086
    @abordecapester9086 Год назад

    Namfaam kabla nikingali mdogo nilimuonaga kabla sijaja Tanzania naona kazeeka sasa

  • @emoalembe4790
    @emoalembe4790 2 года назад +1

    Kuna ahina ya maswali mtangazaji anahuliza lakini yana leta baridi. Yale maswali ya kutaka kumu weka mzee bonne fête kuwa ni kumzungu.na kwamba inchi yake ni ufaransa. Hapana !

    • @devothasimbi1055
      @devothasimbi1055 2 года назад

      Hata mimi huwa ananishangaza akienda Ufaransa sio mzungu huyo.ninaishi Ufaransa waliochanganya rangi sio wazungu kabisa d’inuite ni kwa nini analazimisha huyo mzee ni mzungu

  • @audaceleroi1370
    @audaceleroi1370 2 года назад +3

    mtangazaji, kuwa na maadili ban, unataka kumchukuwa mke wa mwenzako?😃😃😃

  • @mussamlewa2178
    @mussamlewa2178 2 года назад

    Nchi gan hii

  • @zainabmwengela5987
    @zainabmwengela5987 2 года назад +1

    Jitahidi usitafune maneno unasikika kwa shida sana

  • @machibyajeremia9650
    @machibyajeremia9650 2 года назад

    nitumie namba yako anaitaji kukuona kwa projects

  • @agustinocharles2650
    @agustinocharles2650 2 года назад

    Swahili bora hiyo

  • @ramadhanmahongole5663
    @ramadhanmahongole5663 2 года назад +3

    nampenda huyo dada jamani kama hajaolewa nitumie namba yake nataka ikiwezekana nimuoe niko tanzanie🇹🇿🇹🇿🇹🇿

    • @mangofish9079
      @mangofish9079 2 года назад +3

      Lakini angekuwa mweusi uzuri usingeonekana au vipi?

    • @aminakipande5645
      @aminakipande5645 2 года назад

      Baadhi ya wanaume nikuwaacha tu na ulimbukeni wao😏😏😏

  • @yunusrnb5227
    @yunusrnb5227 2 года назад +1

    Hana watoto WENGINE jamani tuoe?mbna wazuri

  • @abordecapester9086
    @abordecapester9086 Год назад

    USA wabembe wamezaa nawazungu wengi2 nawanaogea kibembe acheni ushamb tz tunaishi n'a wengi amuja kua wajanjatu! Dunguzangu ?

  • @makondorshimora5017
    @makondorshimora5017 2 года назад

    Mama mcongomani na kazaliwa congo sasa anakuwaje mzungu? Huyo ni chotala wa kiafirka na kizungu na kwao ni congo

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup68 2 года назад

    Kiswahili muzuri

  • @martinbyamungu5539
    @martinbyamungu5539 2 года назад +3

    Jambo habari gani huko, mimi nimefata mazungmuzo mulifanya na muzee Bonne Fete, Anasema kama ako na watoto wengi mimi ningependelea kujuwa, kama angaliki na fille mwenye hajaolewa naomba kujuwa please.

    • @Joe-tr2vk
      @Joe-tr2vk 2 года назад

      Unataka umuowe?😅

  • @abordecapester9086
    @abordecapester9086 Год назад

    Wambiye Rama Rama kwa salimu

  • @hildegalda.malamoya.8328
    @hildegalda.malamoya.8328 2 года назад

    Wekeni Subtitles

  • @embeteidi5023
    @embeteidi5023 2 года назад +1

    Sasa mbona haujamuuliza magumu ya vizi?

  • @rizikiree20
    @rizikiree20 2 года назад

    Sijaona yake yakwanza mbona

  • @diti4899
    @diti4899 2 года назад +1

    Huyu mwandishi?????????

  • @buharimwanga284
    @buharimwanga284 2 года назад +1

    aisee jina zuri la kiswahili nimependa kiswahili chako,si kiswahili tu bro napenda sana kuona mtu anaongea lugha asili za africa

  • @ramadhanmahongole5663
    @ramadhanmahongole5663 2 года назад +1

    Madada wenye asili ya kizungu nawapenda

  • @g-africalyrics5857
    @g-africalyrics5857 2 года назад

    Improve your interviews.

  • @ngomafrancis1659
    @ngomafrancis1659 2 года назад

    Mtoto wa Bonneface anaolewa tiari aho bado pia wateja wamepatikana watatu kama yuko tiari kibarua nimeambiwa kiko

  • @butugaeve3300
    @butugaeve3300 2 года назад +3

    Mimi binafsi uwa napenda vipindi vyako ila kwahii moja nahisi kama umeniboa sana. Kuweni mnaandaa maswali ya kuwauliza mtu. Maswali mengine yanaleta aibu kwetu sisi watazamaji Sijapenda hivo kabisa.

    • @TanganyikaTV
      @TanganyikaTV  2 года назад

      Asante kwa kuwasiliana nasi ,tafadhali fahamu kwamba maoni yako yametufikia.

  • @dezasumailcostaricahamis5429
    @dezasumailcostaricahamis5429 6 месяцев назад

    ba métisse banakuaka ba muzuri sana

  • @devothasimbi1055
    @devothasimbi1055 2 года назад +1

    Eti mzungu na mnapongezana kutiana ujinga mzungu

  • @abordecapester9086
    @abordecapester9086 Год назад

    Nitembelee kwa kami nipembeni naapo unapo hoji

  • @zawadibushiri9394
    @zawadibushiri9394 2 года назад +1

    Nishahidiye number ya huhu dada

  • @victoriaritte8810
    @victoriaritte8810 2 года назад

    Huyu mwandishi anajua anachokifanya kweli?

  • @mangofish9079
    @mangofish9079 2 года назад

    Comments nyingi za kumsifu binti kuwa mtoto ni mzuri suala jee angekuwa mweusi uzuri wake ungewashtua wengi humu kama ilivyoonekana kupitia comments?

    • @DBrownstain
      @DBrownstain 2 года назад

      Acha tu nduguyangu, racism haijaiacha Africa salama bila sisi wenyewe kujua, kwanza ni ushamba wa hali ya juu. Adi mtangazaji ameshoboooka kwa uyo dada kisa ni mzungu, shame on him

  • @kennyrogers4734
    @kennyrogers4734 2 года назад +3

    Et mi nikija nikuoe nikupeleke mjini hilo swali lako limenichefua sana mfano hilo swali anaulizwa mke wako alafu wewe upo karibu hapo hapo utafurahi?alafu unasistiza kbs et nitarudi kukuona tena na umesisitiza zaidi nitakuwa na wewe mwanzo mwisho unataka habari au matamanio ya mke wa mtu?usitie doa kwenye mapenz ya watu muandishi tafakali hilo

    • @DBrownstain
      @DBrownstain 2 года назад

      Yaani kashindwa kabisa kujizuia😃

    • @kennyrogers4734
      @kennyrogers4734 2 года назад +1

      @@DBrownstain Mpumbavu sana yaan anachomaanisha kama mwanamke amekosea kuolewa na uyo jamaa alie nae sasa sababu hali ya chini amchukue yeye akampendezeshe mjini hovyo sana huyu mtangazaji

  • @TheConqueror__Yb
    @TheConqueror__Yb 2 года назад

    Presenter ajielewi hajui kupanga mada yupoyupo tu..

  • @merrydaniel9124
    @merrydaniel9124 2 года назад

    Kabambalee 😁

  • @noelashaoona
    @noelashaoona 2 года назад +4

    I swear this is not necessary at all, it full of nonsense

  • @nabosedward4836
    @nabosedward4836 2 года назад

    Hapo ni congo au nitanzania?

  • @ritagrace4882
    @ritagrace4882 2 года назад

    Mwambie atafute kuna jia anaweza kusaidika

  • @noelashaoona
    @noelashaoona 2 года назад +1

    Idk why this is necessary

  • @mangetz2835
    @mangetz2835 2 года назад +1

    Pay est malade… imeisha iyooo
    Youtubiiiii

  • @zinabal-dubae3551
    @zinabal-dubae3551 2 года назад

    Wajina Zainab

  • @musicheals1545
    @musicheals1545 2 года назад

    sauti haiko poaaaaaaaaa

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 2 года назад +1

    Eeeh, Mungu akuondoe hapo ulipo katika Jina la Yesu. Mi naona we umerogwa, au nyota yako imeibiwa.

    • @johnkuma6867
      @johnkuma6867 2 года назад

      Sasa wewe karne ya 21 unaongea mambo ya kichawi na ujinga wa nyota kuibwa? Sasa hiyo ni kitu gani unaingea watu wakiongea vile wataunda mitambo ya computer,electronics,sift ware designs ambazo zirafanya mausha ya binadamu kuwa meoesi wewe unaongea lugha ya mtu hajasoma. Huzuni sana. Toa mawazo kama hayo kwa akili zako kabisa. Mambo ya kiuchumi congo,na uongozi mbaya ndiyo umeadhiri hawa watu. Si uchawi. Mpe nafasi utashanga akibadilika kabisa🇰🇪

    • @Joe-tr2vk
      @Joe-tr2vk 2 года назад +1

      Nani aliyerogwa? Tumia akili yako vizuri

  • @inovetorshax7137
    @inovetorshax7137 2 года назад

    Mwanahabari huyu anataaluma finyu sana kwenye swala la mahojiano

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 2 года назад

    Kwani sauti imeenda wpi

  • @bennymochiwa4800
    @bennymochiwa4800 2 года назад

    We mtangazaji mbona unapenda sana ubaguzi???

  • @Jamie-zp7bb
    @Jamie-zp7bb 2 года назад +11

    Halafu we!! Mtangazaji wewe!! yaani unaweka hadi tege kabisa na sauti unaitolea puani. Unashindwa hata kuzificha hisia zako za kumtaka huyo mtoto na hali ya kuwa amekwambia ameolewa tayari. Mnapoenda kuwa interview watu zingatieni mipaka ya taaluma zenu😡😠😏mtakuja kutandikwa bure..

  • @heraldloshi1864
    @heraldloshi1864 2 года назад

    Naomba uchumba.

  • @DBrownstain
    @DBrownstain 2 года назад +1

    MTANGAZAJI UMEBOA KISHENZ, UNASHOBOOOKA NA RANGI, NA USHAAMBIWA KAOLEWA BADO UNAMGANDA DADA WA WATU. SHAME ON YOU. HUJAELIMIKA HATA KIDOGO KUHUSU RACISM. NONSENSE

    • @Joe-tr2vk
      @Joe-tr2vk 2 года назад

      Mimi pia sikujisikia vizuri. Naona dada naye hakupenda maswali ya namna ile