UZINDUO WA UMEME KWENYE SHIRIKA LA RJDD/MBOKO. S/TANGANYIKA.T/FIZI.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024

Комментарии • 7

  • @FreddyAmelia
    @FreddyAmelia 11 месяцев назад +1

    Merci kwetu mboko

  • @delphinbyaombe3399
    @delphinbyaombe3399 11 месяцев назад +1

    Jambo ndugu Nitumie huu Wimbo tafadhali

  • @lukafbbwebelof3874
    @lukafbbwebelof3874 8 месяцев назад +1

    Mwami usikamate viwanja mbiyo mbiyo ujuwe kama kuko viwanja vya watu ambao wako Makambini ila uwezo wakujenga hawana mpaka warundi nyumbani ili wahanze kujenga. Ukichukuwa viwanja vya wakimbinzi ujuwe utakuwa unawaonea na kuwafukuza wasirundi nyumbani. Kwahiyo Mboko nikubwa . Kwahiyo unatakiwa umwambie Rais wa inchi awaite wakimbizi waje nyumbani vita inahisha.

    • @BulumbaTV
      @BulumbaTV  8 месяцев назад

      Ujumbe wako nitamfikishia mwami

    • @lukafbbwebelof3874
      @lukafbbwebelof3874 8 месяцев назад

      @@BulumbaTV
      Fikisha kabisaaa maana hayo mawazo yake hayaendani na hali halisi ya sasa. Serekali hupata muda wa miaka tatu 3 kwa mwenye lubango aonyeshe nia ya kujenga. Kisha miaka tatu 3 Serekali huamasisha wenye lupango kujenga na sio kuchukua lupango na kuhuzisha . Ajuwe watu wako kwenye makambi. Kama vita inakwisha waombe wakimbizi warudiye kwao ili wahanze kujenga viwanja vyao. Awe na umakini kwa viwanja vya watu