DHIKRI NYUMBANI KWA FAHMI MAHFUDH SARIGOI MOMBASA 2022

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 14

  • @martymcfly9232
    @martymcfly9232 2 года назад +1

    Raha mashallah. Mungu anawirishe nyuso zenu

  • @huss668
    @huss668 2 года назад +2

    Ma shaa Allah

  • @fahimafahmy4660
    @fahimafahmy4660 2 года назад +2

    Mashallah

  • @suleimanngare6707
    @suleimanngare6707 2 года назад

    Tamasak ya muridu👌masha Allah

  • @aljabery.binruz
    @aljabery.binruz Год назад

    AbdulHafith ,kwani unaona wanafanya nn?

  • @hafidhamana325
    @hafidhamana325 Год назад

    Mambo haya hayafai kabisa
    Ndio Nini sasa mnafanya

    • @jakuabdull34
      @jakuabdull34 10 месяцев назад

      Ukiweza ww fantastic yanayofaa na wao kwao yanafaa watching mkutano kwa mungu ndo ataamua

  • @captainmajid6049
    @captainmajid6049 2 года назад +1

    شرك أكبر وبدعة والعياذ بالله

  • @hafidhamana325
    @hafidhamana325 Год назад

    Nini maana ya dhikri
    Jee mtume kafanya ?

    • @iddydaruwesh8650
      @iddydaruwesh8650 Год назад +1

      Kwan mtume alichati na kutumia sm

    • @omaralyan9658
      @omaralyan9658 Год назад +1

      Ikiwa lakukera Wala usijitie hamu kuangalia Wala kusikiza

    • @AbdulikarimuKaidi
      @AbdulikarimuKaidi Год назад

      Huja sikia mungu na mtume wanatajwa hapo au hapo haujui maana yake tukutafusirie

    • @tifu678
      @tifu678 Год назад

      @@AbdulikarimuKaidi Muhimu si pekee kuwa jina la mola na mtume latajwa isipokuwa ni jambo lenyewe lakubaliwa katika dini au ni uzushi ambao ni kinyume na mafunzo ya Quran na Hadith. Mtume Muhammad (S.A.W.) alipoambiwa kuwa dini imekamilishwa, haikumaanisha kuwa jambo jipya, japokuwa laonesha ni zuri, tuongeze juu ya dini iliyo tayari kamili. Ndio sababu hii hatuswali rakka 6 faradhi za adhuhuri tukisema rakaa sita ni bora kuliko rakaa nne. Angalieni mafunzo sahihi kabla kuipotoa dini ndugu zangu.