Magoli | Azam FC 4-1 Namungo FC | CRDB Bank Federation Cup 03/05/2024

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 май 2024
  • Magoli matatu ndani ya dakika 20....lakini mwisho wa game ikawa ni 4-1, Azam FC wakiwatupa nje ya mashindano Namungo FC katika mchezo wa robo fainali Kombe la Shirikisho la CRDB Bank uliopigwa leo Azam Complex, Chamazi.
    Wafungaji kwenye mchezo huu ni Kipre Junior dakika ya 10, Iddy Nado dakika ya 15, Feisal Salum dakika ya 19 na Gibril Sillah dakika ya 52, huku goli la kufutia machozi likifungwa na Ayoub Semtawa dakika ya 45+2.
    Haya hapa magoli yote matano....
  • СпортСпорт

Комментарии • 27

  • @mossesgadiye2200
    @mossesgadiye2200 23 дня назад +3

    Aliyeona msindo alichomfanyia manyanya baada ya fei kufunga gonga likes hapa

  • @mwakdesign_45
    @mwakdesign_45 23 дня назад +2

    Hii ndiyo azam fc 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @saidkipalo4427
    @saidkipalo4427 23 дня назад +1

    Azam ni Moto 🔥🔥🔥

  • @jossalkwitega9810
    @jossalkwitega9810 23 дня назад +1

    Asa msindo ndo amefanya nn wakati fei alivofunga goli la tatu😂😂😂😂😂 football with emotions 🔥🔥

  • @joxamorekarisma
    @joxamorekarisma 23 дня назад +2

    Gibril sillah🎇🎇🎇🎇🎇🎇🎇🎇🎇🎇🎇🎇

  • @hvoicetz
    @hvoicetz 23 дня назад +1

    Kama unaitaji dube arudi azam weka like yako hapa❤

  • @user-mc2oy5zu2n
    @user-mc2oy5zu2n 23 дня назад +1

    Tumefurai wanaazam wa ushindi mnono na tumefurai zaid beki wetu Fuentes Mendoza kw Assit yake

  • @ferouzfernandes3162
    @ferouzfernandes3162 23 дня назад +1

    Wa kwanza

  • @nelsonkawina8809
    @nelsonkawina8809 23 дня назад +2

    Uyu kipa atakua dida shaibu sio dida munish

  • @user-mu8ok5sw3w
    @user-mu8ok5sw3w 23 дня назад

    Kipa wa namungo achunguzwe vizuri kuna shida kama sio bahasha

  • @user-hk2oz2eg4j
    @user-hk2oz2eg4j 23 дня назад

    Yanga no 1. Azam no 2. Simba 3. Kwa msimu huu.

  • @officialsalim3955
    @officialsalim3955 23 дня назад +2

    Azam Tv Sinema Zetu. Tunaomba Tamthilia za Kiswahili zioneshwe kwa mda wa lisali 1 na sio dakika 30

    • @mrh2812
      @mrh2812 23 дня назад

      Ukitaka hivyo tafta dstv

    • @jaybee3429
      @jaybee3429 23 дня назад +2

      Sas wew huu ni mpira wew umeanza mambo ya movie.. are you mentally fit??

  • @JUU-lw2je
    @JUU-lw2je 23 дня назад

    Huyu anayetangaza mechi ndo msemaji wa timu ya azam

  • @user-ey4tb1sq7p
    @user-ey4tb1sq7p 23 дня назад +2

    Pascal msind mchokoz

  • @Kingsunnymusic
    @Kingsunnymusic 23 дня назад

    Naiona talehe 9 zuwena anakufa kifo cha mende

  • @ZaidyMussa-cz6ok
    @ZaidyMussa-cz6ok 22 дня назад

    Wametumia nguvu nying mech ya Simba mbwa hao

  • @Munshid_Rajab
    @Munshid_Rajab 23 дня назад +1

    hivi kuna watu wanashabikia Namungo😃😃

  • @maxpesa8811
    @maxpesa8811 23 дня назад

    Azam admin wenu sijui kachoka namungo kapata gori moja lakn nashangaa kaandika 4-0😄😄😂

    • @MrTop-wj7no
      @MrTop-wj7no 23 дня назад +1

      Duuh au wew kipofu? Au utakuwa umechanganikiwa uingi wa magoli ya AZAM?😂😂 mbona limo tu? Tazama tena

  • @amonhussein670
    @amonhussein670 23 дня назад

    Halafu aalifungwa na makolo

    • @saidkipalo4427
      @saidkipalo4427 23 дня назад +1

      Siku Ile walipanga bwana Maana Azam hawakucheza kabisa mpira Siku Ile

  • @saalimnyange4901
    @saalimnyange4901 23 дня назад

    😂😂...msindo amefanyaje palee....😂👐kijana wa hovyo kabis huyu

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari 23 дня назад +1

      Daaah 😂😂😂😂 anacheza kwa madoido