Magoli | Azam FC 4-1 Namungo FC | CRDB Bank Federation Cup 03/05/2024
HTML-код
- Опубликовано: 2 май 2024
- Magoli matatu ndani ya dakika 20....lakini mwisho wa game ikawa ni 4-1, Azam FC wakiwatupa nje ya mashindano Namungo FC katika mchezo wa robo fainali Kombe la Shirikisho la CRDB Bank uliopigwa leo Azam Complex, Chamazi.
Wafungaji kwenye mchezo huu ni Kipre Junior dakika ya 10, Iddy Nado dakika ya 15, Feisal Salum dakika ya 19 na Gibril Sillah dakika ya 52, huku goli la kufutia machozi likifungwa na Ayoub Semtawa dakika ya 45+2.
Haya hapa magoli yote matano.... - Спорт
Aliyeona msindo alichomfanyia manyanya baada ya fei kufunga gonga likes hapa
Hii ndiyo azam fc 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Azam ni Moto 🔥🔥🔥
Azam ni Moto 🔥🔥🔥
Asa msindo ndo amefanya nn wakati fei alivofunga goli la tatu😂😂😂😂😂 football with emotions 🔥🔥
Gibril sillah🎇🎇🎇🎇🎇🎇🎇🎇🎇🎇🎇🎇
Kama unaitaji dube arudi azam weka like yako hapa❤
Tumefurai wanaazam wa ushindi mnono na tumefurai zaid beki wetu Fuentes Mendoza kw Assit yake
Wa kwanza
Uyu kipa atakua dida shaibu sio dida munish
Kipa wa namungo achunguzwe vizuri kuna shida kama sio bahasha
Yanga no 1. Azam no 2. Simba 3. Kwa msimu huu.
Azam Tv Sinema Zetu. Tunaomba Tamthilia za Kiswahili zioneshwe kwa mda wa lisali 1 na sio dakika 30
Ukitaka hivyo tafta dstv
Sas wew huu ni mpira wew umeanza mambo ya movie.. are you mentally fit??
Huyu anayetangaza mechi ndo msemaji wa timu ya azam
Pascal msind mchokoz
Naiona talehe 9 zuwena anakufa kifo cha mende
Wametumia nguvu nying mech ya Simba mbwa hao
hivi kuna watu wanashabikia Namungo😃😃
Nipo mm,umesikia😊😊😊
Azam admin wenu sijui kachoka namungo kapata gori moja lakn nashangaa kaandika 4-0😄😄😂
Duuh au wew kipofu? Au utakuwa umechanganikiwa uingi wa magoli ya AZAM?😂😂 mbona limo tu? Tazama tena
Halafu aalifungwa na makolo
Siku Ile walipanga bwana Maana Azam hawakucheza kabisa mpira Siku Ile
😂😂...msindo amefanyaje palee....😂👐kijana wa hovyo kabis huyu
Daaah 😂😂😂😂 anacheza kwa madoido