MOSHI | Kilimanjaro the best drone footage ever captured 2024

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 39

  • @AziziMsuya
    @AziziMsuya  4 месяца назад +4

    Thankyou guys for watching , don't forget to subscribe🙏

  • @KamugishaGideon-kh8zi
    @KamugishaGideon-kh8zi 2 месяца назад +3

    Mji wa Moshi naupenda sanaaa❤❤❤

    • @AziziMsuya
      @AziziMsuya  2 месяца назад +2

      Hakika ni moja ya miji mizuri na misafi Tanzania

    • @KamugishaGideon-kh8zi
      @KamugishaGideon-kh8zi 2 месяца назад +1

      @@AziziMsuya Ni kwel ni mji msafi na panachangamka

  • @Jerie-q1c
    @Jerie-q1c Месяц назад +1

    Wow! The Motherland

  • @elinamilyatuu7337
    @elinamilyatuu7337 3 месяца назад +3

    Moshi pazuri sana

    • @AziziMsuya
      @AziziMsuya  3 месяца назад

      Kabisa, na ni moja ya miji misafi Afrika ya Mashariki pia.

  • @ayoubshoo
    @ayoubshoo 2 месяца назад +2

    Home town

  • @tarantaaran
    @tarantaaran 3 месяца назад +2

    Thank you Azizi, brings back a lot of beautiful memories. Left Moshi in 1966 🙏

  • @KamugishaGideon-kh8zi
    @KamugishaGideon-kh8zi 4 месяца назад +3

    Nami mwezi wa kumi na moja nitatembelea maeneo ya moshi

    • @AziziMsuya
      @AziziMsuya  4 месяца назад +2

      Karibu sana kwenye mji msafi Tanzania nzima. wenye watu wacheshi mno. Huku kama mawingu yakiwa vizuri utaweza kuona kilele cha mlima Kilimanajaro

    • @KamugishaGideon-kh8zi
      @KamugishaGideon-kh8zi 4 месяца назад +1

      @@AziziMsuya
      Thanx bro

  • @karimallymrisho1565
    @karimallymrisho1565 4 месяца назад +2

    Nice

  • @emperorwabugiri
    @emperorwabugiri 3 месяца назад

    I spent 2 weeks in Moshi,it was a beautiful venue to travel

    • @AziziMsuya
      @AziziMsuya  3 месяца назад

      For sure. Welcome again

  • @clintonshangali6909
    @clintonshangali6909 3 месяца назад +1

    Nice

  • @Curiodol
    @Curiodol 3 месяца назад

    This is nice 🥰

  • @KaziDepartment
    @KaziDepartment 3 месяца назад

    Bora kuliko Mbeya

    • @AziziMsuya
      @AziziMsuya  3 месяца назад

      Mbeya ni jiji angali moshi bado ni mji😅

  • @magazijuto7991
    @magazijuto7991 4 месяца назад +4

    huu mji mbona kama unastuck? Naona mabati yanakutu, maghorofa mengi yasioisha etc. Wachaga tufanye kitu

    • @AziziMsuya
      @AziziMsuya  4 месяца назад +1

      kwetu sijui kwanini hatushushi magorofa.. yewomi!!

    • @filamupictures9349
      @filamupictures9349 3 месяца назад

      kwahiyo moshi hapo kila mtu ni mchaga???

    • @AziziMsuya
      @AziziMsuya  3 месяца назад

      @filamupictures9349 hapana WAPO mpaka wazungu wageni na makabila yote Tanzania😅

  • @Steve-z6b1q
    @Steve-z6b1q 2 месяца назад +2

    Ivi kwanini moshi hawaitangazi kuitwa jiji mbona ni mji mkubwa sana kuliko mbeya city

    • @costamafie2588
      @costamafie2588 2 месяца назад +1

      Siasa ndugu yangu.

    • @AziziMsuya
      @AziziMsuya  2 месяца назад

      Hata sielewi. Mbeya bado sijafika. Nitakwenda nikachukue madhari pia ili tujionee wenyewe

    • @AziziMsuya
      @AziziMsuya  2 месяца назад

      😅😅😅

    • @Steve-z6b1q
      @Steve-z6b1q 2 месяца назад

      ​@@AziziMsuyaok bro nitasubili

  • @KamugishaGideon-kh8zi
    @KamugishaGideon-kh8zi 4 месяца назад +3

    Mji wa Moshi umebadilika jamn wa Tanzania sio Kam una astuck Bali ni mji mkubwa kwa wachaga OG

    • @AziziMsuya
      @AziziMsuya  2 месяца назад

      Kabisa mkuu. Na ni mji msafi mno kwa Tanzania

    • @KamugishaGideon-kh8zi
      @KamugishaGideon-kh8zi 2 месяца назад +1

      @@AziziMsuya Sawa mji yenye barid lkn Kuna joto kiasi

    • @AziziMsuya
      @AziziMsuya  2 месяца назад

      Kweli

    • @KamugishaGideon-kh8zi
      @KamugishaGideon-kh8zi 2 месяца назад

      @@AziziMsuya Vizur nitatembelea eneo la Moshi Kilimanjaro