UTAJIRI HUU JAMANI: AKUTA WAZAZI WAKE WAKIWA HAI CHUMBANI KWA KAKA YAKE, WALIFARIKI MIAKA MINGI MORO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • #diamondplatnumz #dottomagari #wasafimedia #millardayo #mwijaku
    AKUTA WAZAZI WAKE WAKIWA HAI CHUMBANI KWA KAKA YAKE DAR ES SALAAM, WALISHAFARIKI MIAKA MINGI MKOANI MOROGORO NA WAKAZIKWA NA HUWA WANAKWENDA KUPALILIA MAKABURI YAO KILA MWAKA NA KUWASOMEA DUA.
    KAKA YAKE ANA PESA NYINGI SANA NA MAGARI YA KIFAHARI KAMA VOGUE SPORT, TOYOTA LAND CRUISER, V8 2.4L 326HP - KING OF SUV NK.
    USISAHAU KUSUBCRIBE NA KUSHARE TUKIO HILI KWA WATU WOTE ILI WAJIFUNZE KUMTEGEMEA MUNGU PEKEE SI MWANADAMU. SHARE, LIKE, COMMENT
    Maoni na ushauri wasiliana na chumba chetu cha Habar kwa simu no 0713 575718 ipo WhatsApp

Комментарии • 293

  • @MkoiTvTz
    @MkoiTvTz  14 часов назад

    Mwanafamilia wetu wa Mkoi Tv Kama unaguswa na habari za matukio yetu unaweza kutuachangia kiasi kuanzia TSH 500 Ili tuwafikie Watanzania wengi wenye uhitaji.
    No ya kutuma ni 0713 575718.

  • @augenmagabila3081
    @augenmagabila3081 Месяц назад +32

    AMEN AMEN Kaka yangu, Jina la Bwana YESU KRISTO LIHIMIDIWE. Yesu Kristo ni Yeye Yule,jana na leo na hata milele. Waebrania 13:8

    • @hamzaswaibu9470
      @hamzaswaibu9470 Месяц назад +1

      Yohana 20:17 soma na Luka 18:18 umsikie Yesu anachosema alaafu Muombe Mungu akupe nguvu ya kuelewa

    • @hafidhali3020
      @hafidhali3020 Месяц назад +1

      Uongo mtupu

    • @ArafaSuleiman-u4j
      @ArafaSuleiman-u4j 28 дней назад

      Tena waongo hswa

  • @nitwelesimon4303
    @nitwelesimon4303 Месяц назад +16

    Wow! God is good, kutegemea Mungu Kuna faida

  • @ttss7716
    @ttss7716 2 месяца назад +47

    We bala usitamani maisha ya mtu hujui nyuma ya pazia amepata aje hiyo mali subhanallah 😢

    • @janemuthoni723
      @janemuthoni723 Месяц назад +10

      Kabisa wengi ni utajiri wa kishetani

    • @joymkenya2359
      @joymkenya2359 Месяц назад

      @@ttss7716 ✅💯 kabisa,,, never admire anybody's Life,,, dunia Ina mambo mazito

    • @SwaumuRamadhani-rk1bv
      @SwaumuRamadhani-rk1bv Месяц назад +1

      Sio poa

    • @janerosempeta5662
      @janerosempeta5662 Месяц назад

      Kweli kabisa na kila siku huwa nasema hayo maneno hujui mpk hapo alipo huyo munye pesa anafanya nini ktk utajili wake!

    • @MarianaDugo
      @MarianaDugo 20 дней назад +1

      Pole sana

  • @user-uq9uy1fl6f
    @user-uq9uy1fl6f Месяц назад +13

    Amen Mungu anaweza,Sasa mimi hapa nawaza wale wazazi umesema walikuwa hai kule chumbani,Sasa mwisho wayote ww nakaka mlipopatana mkaombewa mkapona je Hawa wazazi uliosema walikuwa hai ila kwahali isioeleweka watakuwa wapi Sasa mmewachukua Sasa mnaishi nao au vp

    • @user-xd9ye7wk6c
      @user-xd9ye7wk6c Месяц назад

      Swali zuri ila hajatujibu

    • @EmmanuelMagadula-f1y
      @EmmanuelMagadula-f1y Месяц назад +2

      Tujibu

    • @anastaziamathias8861
      @anastaziamathias8861 Месяц назад

      Tatizo hayupo humu hii habari imerocodiwa na kuwekwa humu mngemuuliza Hilo swali Alopost ili amuulize

    • @celestinermantenga2463
      @celestinermantenga2463 28 дней назад

      Swali gan jaman?

    • @hafidhali3020
      @hafidhali3020 28 дней назад +1

      Hawa makafiri wanafanya kila njama kuwapoteza watu, lakini Nadhani watawapata wasiojielewa,yaani kama hamjuwi hapo target kubwa ni kutaka kuwaaminisha watu kwamba kweli ukristo ni Dini ya Mungu

  • @YusterVakolavene
    @YusterVakolavene 16 часов назад +1

    Ameen Mungu wetu ni mwema kila wakati sifa na utukufu tunamrudishia yeye

  • @DotoS12
    @DotoS12 Месяц назад +3

    Amina kaka yng nimesikia story Yako hakika Yesu ni Alfa na Omega kwa wanaomkiri wanakolewa Amina

  • @sporaisaya6771
    @sporaisaya6771 4 дня назад +1

    Hongera sana umechagua fungu lililo jema, ubarikiwe na Mungu azidi kukuimarisha zaid

  • @graceshayo5763
    @graceshayo5763 Месяц назад +7

    Yesu kristo wa Nazareth akubalik mtumishi wa Mungu uendelee kumtumikia Mungu

  • @ocgmazee4042
    @ocgmazee4042 Месяц назад +8

    Ushuhuda mzuri; Yesu Kristo ni Bwana wa Majeshi

  • @sarahruyembe4820
    @sarahruyembe4820 Месяц назад +7

    Amen 🙏
    Sasa Mimi napenda kujua kike chumba kilifunguliwa?! Na wale wazazi walienda wapi?!

  • @OtiliaPius-dr1be
    @OtiliaPius-dr1be Месяц назад +4

    Ameen Ameen kaka nimefufatilia mwanzo mwisho nikiwa nchin tailand bankok Hakika Yesu kristo ni Alfa na omega na hutakifa bali utaishi🙏🙏

    • @MkoiTvTz
      @MkoiTvTz  Месяц назад

      Karibu sana Otilia Pius

  • @vivianshalua2383
    @vivianshalua2383 Месяц назад +9

    Hakuna jambo gumu lolote linalomshida Mungu. Kinachotakiwa ni Imani tu. Mungu adumishe upendo kati yako wewe na kaka yako. Bwana Yesu asifiwe!!!

  • @beatricezayumba3708
    @beatricezayumba3708 Месяц назад +2

    Sio kila anaeombewa anapokea uponyaji hapo yawezekana Imani ya huyo anaeombewa inamashaka, napia inawezekana huyo kiwete sio kwamba Mungu Hana uwezo wa kumponya Bali Mungu anamuweka kwa kusudi lake.

  • @bahatadof5543
    @bahatadof5543 Месяц назад +5

    Amen,Asante sana kaka,Mungu ni mwema

  • @IreneDidace
    @IreneDidace Месяц назад +3

    Story nzuri sana amen...ubarikiwe sana...pole kwa matatizo.

  • @sarahruyembe4820
    @sarahruyembe4820 Месяц назад +3

    Damu ya Yesu yatosha 🙏

  • @celestinermantenga2463
    @celestinermantenga2463 Месяц назад +10

    Haya mambo yapo tembea uone. Usicheze na pesa.

  • @reachelchemtai2604
    @reachelchemtai2604 Месяц назад +4

    Amen mungu akubarike sana my dear brother

  • @marthafrancis9619
    @marthafrancis9619 Месяц назад +2

    Jina la Yesu no jona linalopita majina yoooote🙌🙌🙌

  • @mariahyera3737
    @mariahyera3737 Месяц назад +3

    A YESU ni BWANA hakuna kinachoshindikana mbele zake.

  • @annangowi5517
    @annangowi5517 Месяц назад +6

    Yesu ni Bwana wa maisha yetu

    • @hamzaswaibu9470
      @hamzaswaibu9470 28 дней назад

      @@annangowi5517 MUNGU NDIO KILA KITU SIYO YESU YOHANA 20:17 SOMA NA LUKA 18:18

  • @abrahamwaverlly8386
    @abrahamwaverlly8386 Месяц назад +5

    Hii kali ndg zangu.usitamani utajiri wa mtu pasina kujua kaupataje

  • @janemuthoni723
    @janemuthoni723 Месяц назад +9

    Yaani Sheikh wa maombi tena mganga 😂😂😂au umeshinda kusema ni sheikh mganga??maombi gani ilikuwa hapo kweli??so alikuwa anafanya uganga akitumia Qura’n??mtatuonyesha mambo waislamu,juu waganga wengi wa kiislamu udanganya kutibu kupitia Maandiko wanaogopa kujisema ni waganga,ona sasa mwisho pastor ndio alikuja kukuombea na kukuhubiria ukapona,Jesus is the only way to heaven

    • @MariamAlly-hk7io
      @MariamAlly-hk7io Месяц назад

      Uzushi huo

    • @MariamAlly-hk7io
      @MariamAlly-hk7io Месяц назад

      Uchawi hakuna dini inayoukubali

    • @NdelimbijohnSwai-k5s
      @NdelimbijohnSwai-k5s Месяц назад

      Mungu akubariki na watu wanajifunza kwa ushuhuda wako kaka yangu

    • @allymbarouk5362
      @allymbarouk5362 Месяц назад

      Hiyo story wenyew uwongo na bado unapayuka Kwa uwongo anaosimulia

    • @anastaziamathias8861
      @anastaziamathias8861 Месяц назад

      ​@@allymbarouk5362wewe umejuaje story ya uwongo? Au na wewe umewatoa msukule wazazi wako ndo maana unaona huu NI uwongo? Haya mambo yapo tena yapo sana

  • @janerosempeta5662
    @janerosempeta5662 Месяц назад +4

    Mmmmmm! jamani unyama wa aina gani hii?pesa no shetani mkubwa sana ktk maisha ya binadamu !

  • @MariaMsham-u5h
    @MariaMsham-u5h 10 дней назад +1

    Glory to God

  • @christinalunyilija
    @christinalunyilija Месяц назад +1

    Amina

  • @user-pw5kt1ki4m
    @user-pw5kt1ki4m 17 дней назад +1

    Duh Aisee Utukufu kwa Mungu,,
    Mungu atusaidie tuishi kama yeye apendavyo 🙏🧎

  • @ErastoMtega-yj2pg
    @ErastoMtega-yj2pg 9 дней назад +1

    Ameen Mungu.anatosha

  • @MonicaKaskaz
    @MonicaKaskaz Месяц назад +4

    Yanafanyika sana

  • @rachelmuhehe7789
    @rachelmuhehe7789 26 дней назад +3

    Utuwekee video za tukio maana mara nyingi maneno ya sauti tupu hayanogi sana

    • @MkoiTvTz
      @MkoiTvTz  26 дней назад

      Sawa boss Rachelmuhehe Og tutafanya hivyo next time, Sisi ni wafanyakazi wenu mkituelekeza kitu tuna tii chap kwa haraka🙏🏻

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 Месяц назад +5

    Nilitamani kujua baada ya kuokoka zile mali za kishirikina zilikuwaje?na je kile chumba mlikifungua?

  • @Kablizasekanabo-cd6xr
    @Kablizasekanabo-cd6xr Месяц назад +1

    Amen Amen. Kwa Mungu yote yawezekana

  • @EstherMinja-jv1qf
    @EstherMinja-jv1qf Месяц назад +3

    Wao ushuhuda mzur Wazazi wako na shemeg yako waliishiaje wao

  • @aishasalim6834
    @aishasalim6834 Месяц назад +7

    Huyo mcungaji anaishi wspi nahuyo shekh anaish wapi napmba unipatiie no. Zao km ni kweli

    • @ziadasadiki8196
      @ziadasadiki8196 Месяц назад +1

      Mbona Wazazi wenu hamkuwatoa sasa au walikufa mara ya 2 tena??!

  • @user-rj1ef6je8k
    @user-rj1ef6je8k Месяц назад +2

    Jina la Bwana libarikiwe,Bwana Yesu asifiwe

  • @RoseKatavo-kn3uj
    @RoseKatavo-kn3uj Месяц назад +4

    Amen hakika Mungu anaweza

    • @abduljuma7807
      @abduljuma7807 Месяц назад +1

      Ukristo unakuwa kama niutapeli hivi hiwezi kuwavita waumini kwa imani mpaka tengeneze uongo mnadanganya nani Sasa simnajinganya wenyewe

    • @anastaziamathias8861
      @anastaziamathias8861 Месяц назад

      ​@@abduljuma7807Kwani umelazimishwa kuingia kwenye hii account? C uwaache wakristu wasikilize? Yesu NI mambo yote ndani ya yote ukimpata yeye umepata vyote

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m Месяц назад +2

    Damu ya Yesu ni kiboko cha mapepo yote asante sana kwa ushuhuda huu

  • @rosemgaya6088
    @rosemgaya6088 21 день назад +1

    Haleluyah YESU ni MUNGU

    • @MkoiTvTz
      @MkoiTvTz  21 день назад

      @@rosemgaya6088 🙏🏻

  • @user-cf8wu5vd5p
    @user-cf8wu5vd5p Месяц назад +1

    Amen

  • @janetchinga695
    @janetchinga695 2 месяца назад +6

    I like your story ❤❤❤ amen Amen fundisho nzuri sana kaka

    • @MkoiTvTz
      @MkoiTvTz  2 месяца назад +1

      Karibu Boss Janeth, Share ili watu wengine wajifunze

  • @maureenmgeni
    @maureenmgeni Месяц назад +1

    Hakika Yesu ni Bwana. Amina.

  • @joymkenya2359
    @joymkenya2359 Месяц назад +2

    Story ya mafunzo mazuri🎉 Asante

    • @MkoiTvTz
      @MkoiTvTz  Месяц назад +1

      Barikiwa boss Joy karibu sana kwenye familia ya Mkoi Tv Online usisahu kushare na SUBCRIBE ili kuendelea kuipa uhai mkoi tv

    • @joymkenya2359
      @joymkenya2359 Месяц назад

      @@MkoiTvTzsubscribe ✅ done 🇰🇪 Kenya we love you TZ

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 6 дней назад +1

    Pole kaka

  • @Spark8Technoo
    @Spark8Technoo 27 дней назад +1

    Mungu asifiwe

  • @preciouslissahparis1352
    @preciouslissahparis1352 14 дней назад +1

    Mkiambia Kuna misukule Huwa mnabisha,SI makaburibyote yamebeba watu jamani,tunamhitaji MAARIFA YA MUNGU SAANA.NA MAOMBI

  • @kissabrown4349
    @kissabrown4349 Месяц назад +3

    Kwa mungu hakuna kinachoshindikana yeye ni Niko amae niko

  • @JoiyceManyika-uh2zm
    @JoiyceManyika-uh2zm 13 дней назад

    Hakika Mungu atabaki kuwa Mungu milele yote tumtumainie Mungu katika maisha yetu yote

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 Месяц назад +6

    Ujumbe huo haukupaswa kuishia hapo. Mchungaji alipaswa kufanya maombi ya kuwatoa wale misukule warudi uraiani na wao wamjue Mungu waokoke mpaka mwisho wa maisha yao. Misukule ni watu ambao hawajafa sasa kwanini Mchungaji aishie kuwaombea hao ndugu wawili tu? Kanisa lingefunga na kuomba na kwa kushirikiana na yule kaka Baba na Mama nao wangetolewa utumwani wakawa huru. Kama hili halijafanyika namsihi Mchungaji na Kanisa lake wasikubali kushindwa na shetani wakamilishe wito Mungu aliowaitia.

    • @MkoiTvTz
      @MkoiTvTz  Месяц назад

      @@charleskuyeko4400 Amen

    • @MbogaMula
      @MbogaMula Месяц назад

      Wore mnazo dini kwa nini mambo haya yanatokea ndiio mjue WOKOVU PEKEE ndiyo usalama wako na Mwabudu MUNGU ktk ROHo kWELI na kuacha dhambi zote kabiisa hakuna.mtu wa kukufanya wewe uwe msukule

    • @FaridaRamadhani-ng4ns
      @FaridaRamadhani-ng4ns 23 дня назад

      Mmmmh hamna kitu kama icho muongo uyo anatafuta tu kufurahisha watu mm ni uko motombo msalabani sijawahi kusikia mambo kama ayo

  • @BushurJoel
    @BushurJoel 20 дней назад

    daaa!!!isee pole sana ndg nimitihan ya dunia Mungu akusimamie

  • @magrethpaul2207
    @magrethpaul2207 2 месяца назад +10

    Aisee pole sana kiukweli utajiri unasiri nyuma yake ila ukitaka raha ufanikiwe katika KRISTO

    • @GracePatrick-zc2eb
      @GracePatrick-zc2eb Месяц назад +1

      Acha kuchekesha hakunaga mtu anatajirka bila kafara ila sio Kwa hyo kristo unaemsema hata wenye makanisa makubwa wametoa kafara.lakn huwez amin.huwez tajirka Kwa sadaka ya elf 5 au ya buku

    • @GracePatrick-zc2eb
      @GracePatrick-zc2eb Месяц назад

      We hujielewi.utakufa na umasikini wako.wenye makanisa asilimia kubwa wameua a ni matajir.ata Kwa waganga wa kienyeji kama hajakwambia utoe kafara sio mgànga.ni tapeli.na kafara ya damu sio mpka uue mtu.mimi nmektana na sehem kama hzo.nmepone chpchup.ukikuta anaemhubiri hyu yesu mwna wa mungu kanisa hlinaga watu.kama umesali sana kwnye makanisa hayajakkta ucbishane.tena MSHUKURU mungu upo salama.

    • @GracePatrick-zc2eb
      @GracePatrick-zc2eb Месяц назад

      @@magrethpaul2207 kafara karbu makanisa yote wanatoa waumini.mwngne ndgu wa damu.ukikuta mtu hatoi kafara hawez tajrka.wanaotuma kuku ni matapeli.

  • @kanezajoella6663
    @kanezajoella6663 9 дней назад +1

    MUNGU apewe sifa kwa jina la BWANA YESU CHRISTO ariye hai

  • @SmilingArcade-xj7zg
    @SmilingArcade-xj7zg Месяц назад +4

    Tumshukulu mungu kwa kila jambo kwamana mungu yeye ndiyo muweza wa yote akuna kinacho shindikana kwakee ushuhuda wako mzuli mungu atusaidie sana 🙏🙏

  • @Shalom2018
    @Shalom2018 Месяц назад

    Amina Mungu ni Mwema

  • @ramlaleila374
    @ramlaleila374 Месяц назад +3

    Alafu sauti ya huyu jamaa mpk kuongea kwake kama dokta Sule

  • @AdellaDaud
    @AdellaDaud Месяц назад +1

    Ameni mungu ametenda

  • @joycenose2356
    @joycenose2356 Месяц назад +3

    Jamani 😢😢

    • @monikajuma9012
      @monikajuma9012 Месяц назад

      MH jmn ashukuriwe mungu mamb mengi hp dunian

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3e Месяц назад +5

    Mungu wangu

  • @RebeccaFrancis-tb3we
    @RebeccaFrancis-tb3we Месяц назад

    Aminaa nmejifunza kitu mungu awabariki sana

  • @hamadsalimhamad2399
    @hamadsalimhamad2399 Месяц назад +4

    Lakini hayo usemayo washirikin wanayafanya sana

  • @user-cj9qz8cr9c
    @user-cj9qz8cr9c 13 дней назад

    Ahsante MUNGU 🙏🙏

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 2 месяца назад +6

    STORY YAKE SUPER 👌 👍 MAMUZI MAZURI KUTOLOKA KWA RAFIKI YAKE NJIA YA MKATO MATOKEO YAKE MABAYA 😂😂😂

  • @HappyAyubu
    @HappyAyubu 3 дня назад

    Matajiri Wana mengi sana nisiri za mioyo Yao tukazane kubeba nzege kunasiku tutamuona Mungu akifungua milango

  • @arafaally2895
    @arafaally2895 5 часов назад

    Dunia hii watu wamekuleta duniani unaenda kuwaangamiza ili uwe tajiri.unasahau kwamba haohao walikulea katika Hali yoyote ile

  • @LeticiaMwonge
    @LeticiaMwonge Месяц назад

    Pole sana na hongera kwa kuokoka

  • @PeterMagoye
    @PeterMagoye 14 дней назад +1

    YESU kristo ni mshindi kwa kila jambo

  • @munabalushi2964
    @munabalushi2964 2 месяца назад +9

    Unamzaa kwa wema kabisa anakuja kkulipa ubaya😢😢

  • @LoiseRogat12
    @LoiseRogat12 Месяц назад +1

    Pole ndugu

  • @Zubaiba
    @Zubaiba Месяц назад +2

    Innalillahi wainnalillah rajiun

  • @RoseMashulano
    @RoseMashulano Месяц назад +1

    JINA LA BWANA LIBARIWE SANA YESU ANAWEZA SANA

    • @hamzaswaibu9470
      @hamzaswaibu9470 28 дней назад

      @@RoseMashulano Anayeweza Ni MUNGU siyo Yesu Luka 18:18

  • @MARYNAGUJustin
    @MARYNAGUJustin Месяц назад +2

    Ushuhuda mhmhmh hatari ameni mungu awa bariki no ya mchungaji pls

    • @MkoiTvTz
      @MkoiTvTz  Месяц назад

      Barikiwa share tukio hili ili wengine wajifunze🙏🏻

    • @reginamhilu8123
      @reginamhilu8123 Месяц назад

      Mi naomba namba ya huyo mchungaji

  • @YohanaRichard-e6p
    @YohanaRichard-e6p Месяц назад +3

    Pole sana aisee , mkasa huo bila mungu huwezi kuituliza akili.

  • @Namaize-lc8sh
    @Namaize-lc8sh Месяц назад +4

    Wazaz wapo wapi

  • @wilbartmugheri8258
    @wilbartmugheri8258 14 дней назад

    Mwanakondoo ameshinda! Aleluyaaa.

  • @user-jk3tp6bc6f
    @user-jk3tp6bc6f Месяц назад +1

    pole sana kaka ya yangu

  • @MussaJafarAmur
    @MussaJafarAmur Месяц назад +3

    Safari ya maishi inahitaji umakin saana lasvyo unaweza uka kufuru

  • @johannesishengoma1232
    @johannesishengoma1232 Месяц назад +3

    Mbona hujaeleza hatima ya hao wazazi wenu waliokuwa ndondocha?

  • @user-rj1ef6je8k
    @user-rj1ef6je8k Месяц назад

    Pole sana mdogo wangu

  • @harrietajiambo229
    @harrietajiambo229 Месяц назад +4

    Hawa walikuwa wanewekwa kama misukule ndio maana mimi huambia watu hivi watu wengi sai hawafi wachukuliwa kimsukule

  • @K-go1qj
    @K-go1qj Месяц назад +2

    R Kelly alitaka kujitoa freemason wakamfungulia kesi

  • @RehemaNdewingia
    @RehemaNdewingia Месяц назад +1

    Tuombe sana Mungu

  • @EliakundaMolleli
    @EliakundaMolleli Месяц назад

    Mungu ni mungu tuu

  • @matanobaya619
    @matanobaya619 Месяц назад +2

    Anaelezea poa sana

  • @MerinaMihayo
    @MerinaMihayo Месяц назад +4

    Jmn 😢duh unakuta mtu amekufa kumbe ndgu yko ndio muuaji duh😢 dunia hii

  • @RirikGharib-rg9df
    @RirikGharib-rg9df 18 дней назад

    Dah!! Nyuma pazia kuna mengi pole sana na imani yako

  • @dorahy1579
    @dorahy1579 12 дней назад +1

    Na bado ulikuwa na pesa? Ultimate kilwa kurudi Dar Es Salaam?

  • @judithmwakibete3036
    @judithmwakibete3036 Месяц назад +3

    Duuuuh wasikilizaji wa simulizi hii, tusikie, tuelelwe, mapokeo ni tofauti, amini au usiamini ni wewe na moyo wako tu, hopely msimuliaji hicho kimemkuta, ni sisi tu wasikilizaji kuamini au kutoamini.

    • @josephmakunula9355
      @josephmakunula9355 Месяц назад

      Ni kweli ila hapo Mwanangu ukweli sio mwingi Sana 😂

  • @user-cx1xz2is5d
    @user-cx1xz2is5d 29 дней назад +1

    Utajiri ni kazi watu wana tamaa sana

  • @MariamRashid-sm5zw
    @MariamRashid-sm5zw Месяц назад

    pole sana mwanangu jamani uyo kaka yako mingu atamuhukumu inshaallah kawatanguliza wazazi wake yeye atakwenda wapi

  • @NiyurukundoThierive
    @NiyurukundoThierive Месяц назад

    Aah Habari kweli

  • @al-aminbaruan6167
    @al-aminbaruan6167 Месяц назад +1

    UMETAHINIWA BADALA YA KURUDI KWA ALLAAH AMBAYE NDIE MOLA WAKO WA HAKKI UMEKWENDA KWA WASHIRIKINA MATOKEO YAKE UMEDIDIMIZWA KWENYE SHIRK.
    SILIM UWE MUISLAAM UTASALIMIKA.

    • @anastaziamathias8861
      @anastaziamathias8861 Месяц назад

      Kusilimu ndo nini? Imani yake ilipo ndipo sehemu sahihi Sana kwake

    • @al-aminbaruan6167
      @al-aminbaruan6167 Месяц назад

      Wewe KIPOFU utayajuaje yanayoonekana kwenye LUNINGA?
      Tafakari kwanza juu ya siri kubwa iliyofichwa kwa kile unacho kiabudu, ukiielewa ndo uanze kusema au kuandika. Na kama huelewi uliza UELEWESHWE!! @@anastaziamathias8861

    • @witnessIzack
      @witnessIzack 11 дней назад

      Iyo Imani alikuwa nayo haikumsaidia mbona😢

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 24 дня назад +1

    WEWE MKAKA UNAUWA WAZAZI WAKO KWA AJILI YA MALI? KM NA WAO WANGEKUUWA UNGEKUWA WAPI?KUMBUKA AMRI YA MUNGU INASEMAJE?HIYO NI LAANA SANA KWAKO NA KWAUZAO WAKO WOTE

  • @rayahamisi118
    @rayahamisi118 2 месяца назад +2

    Mm nisingeenda kwa kaka we

  • @ToshMbaje12
    @ToshMbaje12 Месяц назад +1

    Haukujipanga vzr kudanganya 34:56 kwenda huko mpuuzww

    • @annajohn175
      @annajohn175 26 дней назад +1

      Why au weww ndiye kaka yake?wazaxi wako wapi?

    • @FabiDthree-ro1ms
      @FabiDthree-ro1ms 10 дней назад

      Kma uwamin bhs tulia

  • @user-pi4dv3oh1u
    @user-pi4dv3oh1u Месяц назад +2

    Tuache tamaa jamani!!!

  • @dorahy1579
    @dorahy1579 12 дней назад

    Yaani yule aliyekupa kijiti hakukuomba malipo yoyote? Au kukufanyia uchawi wa kukurinda?

  • @EDWINMAPUNDA-de4ds
    @EDWINMAPUNDA-de4ds Месяц назад +1

    YESU NI MWOKOZI

  • @LucknessPeter
    @LucknessPeter 12 дней назад

    duh jaman pesa hizi hatar

  • @ttss7716
    @ttss7716 2 месяца назад +28

    Mrongo hapo kwa kuombewa umetudanganya mbona viwete ni wengi hawaombewi wakatembea kwenda uko umeharibu mwisho ungesema mungu alikuokoa sio kwa maombi kwenda uko😂😂😂😂

    • @Teacher_01
      @Teacher_01 2 месяца назад +6

      Yote kwa yote yanawezekana Kama utamkabidh bwana maisha yako

    • @blessedlovedandfavoured4129
      @blessedlovedandfavoured4129 2 месяца назад +8

      Hayawezekani kwako sio kwake au sisi... Wa kwenda uko ni wewe

    • @Frosita
      @Frosita 2 месяца назад +5

      Unafahamu Mungu alikuumba.kwa mfano wake...wee hujui pata imani Mungu akakutendee.

    • @healingsschool4630
      @healingsschool4630 Месяц назад +2

      Amen

    • @festinamwakipale3919
      @festinamwakipale3919 Месяц назад +2

      Eti viwete wengi jamani unajua sababu za hao viwete hao kila aminie kama haamini.kama hataki kumtafuta Mungu jaman tum

  • @saraphinaSamweli-rv7bv
    @saraphinaSamweli-rv7bv Месяц назад +1

    Duh akika yesu ni bwana baba tuokoe sisi waja wako