UTAJIRI HUU JAMANI: AKUTA WAZAZI WAKE WAKIWA HAI CHUMBANI KWA KAKA YAKE, WALIFARIKI MIAKA MINGI MORO
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- #diamondplatnumz #dottomagari #wasafimedia #millardayo #mwijaku
AKUTA WAZAZI WAKE WAKIWA HAI CHUMBANI KWA KAKA YAKE DAR ES SALAAM, WALISHAFARIKI MIAKA MINGI MKOANI MOROGORO NA WAKAZIKWA NA HUWA WANAKWENDA KUPALILIA MAKABURI YAO KILA MWAKA NA KUWASOMEA DUA.
KAKA YAKE ANA PESA NYINGI SANA NA MAGARI YA KIFAHARI KAMA VOGUE SPORT, TOYOTA LAND CRUISER, V8 2.4L 326HP - KING OF SUV NK.
USISAHAU KUSUBCRIBE NA KUSHARE TUKIO HILI KWA WATU WOTE ILI WAJIFUNZE KUMTEGEMEA MUNGU PEKEE SI MWANADAMU. SHARE, LIKE, COMMENT
Maoni na ushauri wasiliana na chumba chetu cha Habar kwa simu no 0713 575718 ipo WhatsApp
Mwanafamilia wetu wa Mkoi Tv Kama unaguswa na habari za matukio yetu unaweza kutuachangia kiasi kuanzia TSH 500 Ili tuwafikie Watanzania wengi wenye uhitaji.
No ya kutuma ni 0713 575718.
AMEN AMEN Kaka yangu, Jina la Bwana YESU KRISTO LIHIMIDIWE. Yesu Kristo ni Yeye Yule,jana na leo na hata milele. Waebrania 13:8
Yohana 20:17 soma na Luka 18:18 umsikie Yesu anachosema alaafu Muombe Mungu akupe nguvu ya kuelewa
Uongo mtupu
Tena waongo hswa
Wow! God is good, kutegemea Mungu Kuna faida
We bala usitamani maisha ya mtu hujui nyuma ya pazia amepata aje hiyo mali subhanallah 😢
Kabisa wengi ni utajiri wa kishetani
@@ttss7716 ✅💯 kabisa,,, never admire anybody's Life,,, dunia Ina mambo mazito
Sio poa
Kweli kabisa na kila siku huwa nasema hayo maneno hujui mpk hapo alipo huyo munye pesa anafanya nini ktk utajili wake!
Pole sana
Amen Mungu anaweza,Sasa mimi hapa nawaza wale wazazi umesema walikuwa hai kule chumbani,Sasa mwisho wayote ww nakaka mlipopatana mkaombewa mkapona je Hawa wazazi uliosema walikuwa hai ila kwahali isioeleweka watakuwa wapi Sasa mmewachukua Sasa mnaishi nao au vp
Swali zuri ila hajatujibu
Tujibu
Tatizo hayupo humu hii habari imerocodiwa na kuwekwa humu mngemuuliza Hilo swali Alopost ili amuulize
Swali gan jaman?
Hawa makafiri wanafanya kila njama kuwapoteza watu, lakini Nadhani watawapata wasiojielewa,yaani kama hamjuwi hapo target kubwa ni kutaka kuwaaminisha watu kwamba kweli ukristo ni Dini ya Mungu
Ameen Mungu wetu ni mwema kila wakati sifa na utukufu tunamrudishia yeye
Amina kaka yng nimesikia story Yako hakika Yesu ni Alfa na Omega kwa wanaomkiri wanakolewa Amina
Hongera sana umechagua fungu lililo jema, ubarikiwe na Mungu azidi kukuimarisha zaid
Yesu kristo wa Nazareth akubalik mtumishi wa Mungu uendelee kumtumikia Mungu
Ushuhuda mzuri; Yesu Kristo ni Bwana wa Majeshi
🙏🏻
Amen 🙏
Sasa Mimi napenda kujua kike chumba kilifunguliwa?! Na wale wazazi walienda wapi?!
Ni kweli wazazi je?kawaombeeni watoke
Ameen Ameen kaka nimefufatilia mwanzo mwisho nikiwa nchin tailand bankok Hakika Yesu kristo ni Alfa na omega na hutakifa bali utaishi🙏🙏
Karibu sana Otilia Pius
Hakuna jambo gumu lolote linalomshida Mungu. Kinachotakiwa ni Imani tu. Mungu adumishe upendo kati yako wewe na kaka yako. Bwana Yesu asifiwe!!!
Bwana Apewe sifa
Huyo mch ni mzuri sana
Uongo mtupu
@@user-od1et5ii1k leta sasa ukweli wako
Yesu asifiwe sio Mungu asifiwe?
Sio kila anaeombewa anapokea uponyaji hapo yawezekana Imani ya huyo anaeombewa inamashaka, napia inawezekana huyo kiwete sio kwamba Mungu Hana uwezo wa kumponya Bali Mungu anamuweka kwa kusudi lake.
Amen,Asante sana kaka,Mungu ni mwema
Story nzuri sana amen...ubarikiwe sana...pole kwa matatizo.
Damu ya Yesu yatosha 🙏
Haya mambo yapo tembea uone. Usicheze na pesa.
Kabisa
Amen mungu akubarike sana my dear brother
Jina la Yesu no jona linalopita majina yoooote🙌🙌🙌
A YESU ni BWANA hakuna kinachoshindikana mbele zake.
Yesu ni Bwana wa maisha yetu
@@annangowi5517 MUNGU NDIO KILA KITU SIYO YESU YOHANA 20:17 SOMA NA LUKA 18:18
Hii kali ndg zangu.usitamani utajiri wa mtu pasina kujua kaupataje
Ni kweli Abraha
Yaani Sheikh wa maombi tena mganga 😂😂😂au umeshinda kusema ni sheikh mganga??maombi gani ilikuwa hapo kweli??so alikuwa anafanya uganga akitumia Qura’n??mtatuonyesha mambo waislamu,juu waganga wengi wa kiislamu udanganya kutibu kupitia Maandiko wanaogopa kujisema ni waganga,ona sasa mwisho pastor ndio alikuja kukuombea na kukuhubiria ukapona,Jesus is the only way to heaven
Uzushi huo
Uchawi hakuna dini inayoukubali
Mungu akubariki na watu wanajifunza kwa ushuhuda wako kaka yangu
Hiyo story wenyew uwongo na bado unapayuka Kwa uwongo anaosimulia
@@allymbarouk5362wewe umejuaje story ya uwongo? Au na wewe umewatoa msukule wazazi wako ndo maana unaona huu NI uwongo? Haya mambo yapo tena yapo sana
Mmmmmm! jamani unyama wa aina gani hii?pesa no shetani mkubwa sana ktk maisha ya binadamu !
Glory to God
Amina
Duh Aisee Utukufu kwa Mungu,,
Mungu atusaidie tuishi kama yeye apendavyo 🙏🧎
Amen
Ameen Mungu.anatosha
Yanafanyika sana
Utuwekee video za tukio maana mara nyingi maneno ya sauti tupu hayanogi sana
Sawa boss Rachelmuhehe Og tutafanya hivyo next time, Sisi ni wafanyakazi wenu mkituelekeza kitu tuna tii chap kwa haraka🙏🏻
Nilitamani kujua baada ya kuokoka zile mali za kishirikina zilikuwaje?na je kile chumba mlikifungua?
Amen Amen. Kwa Mungu yote yawezekana
Wao ushuhuda mzur Wazazi wako na shemeg yako waliishiaje wao
Huyo mcungaji anaishi wspi nahuyo shekh anaish wapi napmba unipatiie no. Zao km ni kweli
Mbona Wazazi wenu hamkuwatoa sasa au walikufa mara ya 2 tena??!
Jina la Bwana libarikiwe,Bwana Yesu asifiwe
Amen
Amen hakika Mungu anaweza
Ukristo unakuwa kama niutapeli hivi hiwezi kuwavita waumini kwa imani mpaka tengeneze uongo mnadanganya nani Sasa simnajinganya wenyewe
@@abduljuma7807Kwani umelazimishwa kuingia kwenye hii account? C uwaache wakristu wasikilize? Yesu NI mambo yote ndani ya yote ukimpata yeye umepata vyote
Damu ya Yesu ni kiboko cha mapepo yote asante sana kwa ushuhuda huu
Damu ya Yesu NI bahari?
@@jumajaffary9698mbona waislamu mnaumia mkisikia jina la Yesu?
Haleluyah YESU ni MUNGU
@@rosemgaya6088 🙏🏻
Amen
I like your story ❤❤❤ amen Amen fundisho nzuri sana kaka
Karibu Boss Janeth, Share ili watu wengine wajifunze
Hakika Yesu ni Bwana. Amina.
Story ya mafunzo mazuri🎉 Asante
Barikiwa boss Joy karibu sana kwenye familia ya Mkoi Tv Online usisahu kushare na SUBCRIBE ili kuendelea kuipa uhai mkoi tv
@@MkoiTvTzsubscribe ✅ done 🇰🇪 Kenya we love you TZ
Pole kaka
Mungu asifiwe
Mkiambia Kuna misukule Huwa mnabisha,SI makaburibyote yamebeba watu jamani,tunamhitaji MAARIFA YA MUNGU SAANA.NA MAOMBI
Kwa mungu hakuna kinachoshindikana yeye ni Niko amae niko
Hakika Mungu atabaki kuwa Mungu milele yote tumtumainie Mungu katika maisha yetu yote
Ujumbe huo haukupaswa kuishia hapo. Mchungaji alipaswa kufanya maombi ya kuwatoa wale misukule warudi uraiani na wao wamjue Mungu waokoke mpaka mwisho wa maisha yao. Misukule ni watu ambao hawajafa sasa kwanini Mchungaji aishie kuwaombea hao ndugu wawili tu? Kanisa lingefunga na kuomba na kwa kushirikiana na yule kaka Baba na Mama nao wangetolewa utumwani wakawa huru. Kama hili halijafanyika namsihi Mchungaji na Kanisa lake wasikubali kushindwa na shetani wakamilishe wito Mungu aliowaitia.
@@charleskuyeko4400 Amen
Wore mnazo dini kwa nini mambo haya yanatokea ndiio mjue WOKOVU PEKEE ndiyo usalama wako na Mwabudu MUNGU ktk ROHo kWELI na kuacha dhambi zote kabiisa hakuna.mtu wa kukufanya wewe uwe msukule
Mmmmh hamna kitu kama icho muongo uyo anatafuta tu kufurahisha watu mm ni uko motombo msalabani sijawahi kusikia mambo kama ayo
daaa!!!isee pole sana ndg nimitihan ya dunia Mungu akusimamie
Aisee pole sana kiukweli utajiri unasiri nyuma yake ila ukitaka raha ufanikiwe katika KRISTO
Acha kuchekesha hakunaga mtu anatajirka bila kafara ila sio Kwa hyo kristo unaemsema hata wenye makanisa makubwa wametoa kafara.lakn huwez amin.huwez tajirka Kwa sadaka ya elf 5 au ya buku
We hujielewi.utakufa na umasikini wako.wenye makanisa asilimia kubwa wameua a ni matajir.ata Kwa waganga wa kienyeji kama hajakwambia utoe kafara sio mgànga.ni tapeli.na kafara ya damu sio mpka uue mtu.mimi nmektana na sehem kama hzo.nmepone chpchup.ukikuta anaemhubiri hyu yesu mwna wa mungu kanisa hlinaga watu.kama umesali sana kwnye makanisa hayajakkta ucbishane.tena MSHUKURU mungu upo salama.
@@magrethpaul2207 kafara karbu makanisa yote wanatoa waumini.mwngne ndgu wa damu.ukikuta mtu hatoi kafara hawez tajrka.wanaotuma kuku ni matapeli.
MUNGU apewe sifa kwa jina la BWANA YESU CHRISTO ariye hai
Tumshukulu mungu kwa kila jambo kwamana mungu yeye ndiyo muweza wa yote akuna kinacho shindikana kwakee ushuhuda wako mzuli mungu atusaidie sana 🙏🙏
Amina Mungu ni Mwema
Alafu sauti ya huyu jamaa mpk kuongea kwake kama dokta Sule
Ameni mungu ametenda
Jamani 😢😢
MH jmn ashukuriwe mungu mamb mengi hp dunian
Mungu wangu
Aminaa nmejifunza kitu mungu awabariki sana
Lakini hayo usemayo washirikin wanayafanya sana
Ahsante MUNGU 🙏🙏
STORY YAKE SUPER 👌 👍 MAMUZI MAZURI KUTOLOKA KWA RAFIKI YAKE NJIA YA MKATO MATOKEO YAKE MABAYA 😂😂😂
Matajiri Wana mengi sana nisiri za mioyo Yao tukazane kubeba nzege kunasiku tutamuona Mungu akifungua milango
Dunia hii watu wamekuleta duniani unaenda kuwaangamiza ili uwe tajiri.unasahau kwamba haohao walikulea katika Hali yoyote ile
Pole sana na hongera kwa kuokoka
YESU kristo ni mshindi kwa kila jambo
Unamzaa kwa wema kabisa anakuja kkulipa ubaya😢😢
Umesha ona 😢😢
Na kumtunza kwa wema,kumlisha, kumpeleka hospitali akiumwa n.k
Pole ndugu
Innalillahi wainnalillah rajiun
JINA LA BWANA LIBARIWE SANA YESU ANAWEZA SANA
@@RoseMashulano Anayeweza Ni MUNGU siyo Yesu Luka 18:18
Ushuhuda mhmhmh hatari ameni mungu awa bariki no ya mchungaji pls
Barikiwa share tukio hili ili wengine wajifunze🙏🏻
Mi naomba namba ya huyo mchungaji
Pole sana aisee , mkasa huo bila mungu huwezi kuituliza akili.
Wazaz wapo wapi
Mwanakondoo ameshinda! Aleluyaaa.
pole sana kaka ya yangu
Safari ya maishi inahitaji umakin saana lasvyo unaweza uka kufuru
Mbona hujaeleza hatima ya hao wazazi wenu waliokuwa ndondocha?
Pole sana mdogo wangu
Hawa walikuwa wanewekwa kama misukule ndio maana mimi huambia watu hivi watu wengi sai hawafi wachukuliwa kimsukule
R Kelly alitaka kujitoa freemason wakamfungulia kesi
Tuombe sana Mungu
Mungu ni mungu tuu
Anaelezea poa sana
Jmn 😢duh unakuta mtu amekufa kumbe ndgu yko ndio muuaji duh😢 dunia hii
Dah!! Nyuma pazia kuna mengi pole sana na imani yako
Na bado ulikuwa na pesa? Ultimate kilwa kurudi Dar Es Salaam?
Duuuuh wasikilizaji wa simulizi hii, tusikie, tuelelwe, mapokeo ni tofauti, amini au usiamini ni wewe na moyo wako tu, hopely msimuliaji hicho kimemkuta, ni sisi tu wasikilizaji kuamini au kutoamini.
Ni kweli ila hapo Mwanangu ukweli sio mwingi Sana 😂
Utajiri ni kazi watu wana tamaa sana
pole sana mwanangu jamani uyo kaka yako mingu atamuhukumu inshaallah kawatanguliza wazazi wake yeye atakwenda wapi
Aah Habari kweli
UMETAHINIWA BADALA YA KURUDI KWA ALLAAH AMBAYE NDIE MOLA WAKO WA HAKKI UMEKWENDA KWA WASHIRIKINA MATOKEO YAKE UMEDIDIMIZWA KWENYE SHIRK.
SILIM UWE MUISLAAM UTASALIMIKA.
Kusilimu ndo nini? Imani yake ilipo ndipo sehemu sahihi Sana kwake
Wewe KIPOFU utayajuaje yanayoonekana kwenye LUNINGA?
Tafakari kwanza juu ya siri kubwa iliyofichwa kwa kile unacho kiabudu, ukiielewa ndo uanze kusema au kuandika. Na kama huelewi uliza UELEWESHWE!! @@anastaziamathias8861
Iyo Imani alikuwa nayo haikumsaidia mbona😢
WEWE MKAKA UNAUWA WAZAZI WAKO KWA AJILI YA MALI? KM NA WAO WANGEKUUWA UNGEKUWA WAPI?KUMBUKA AMRI YA MUNGU INASEMAJE?HIYO NI LAANA SANA KWAKO NA KWAUZAO WAKO WOTE
Mm nisingeenda kwa kaka we
Haukujipanga vzr kudanganya 34:56 kwenda huko mpuuzww
Why au weww ndiye kaka yake?wazaxi wako wapi?
Kma uwamin bhs tulia
Tuache tamaa jamani!!!
Yaani yule aliyekupa kijiti hakukuomba malipo yoyote? Au kukufanyia uchawi wa kukurinda?
YESU NI MWOKOZI
duh jaman pesa hizi hatar
Mrongo hapo kwa kuombewa umetudanganya mbona viwete ni wengi hawaombewi wakatembea kwenda uko umeharibu mwisho ungesema mungu alikuokoa sio kwa maombi kwenda uko😂😂😂😂
Yote kwa yote yanawezekana Kama utamkabidh bwana maisha yako
Hayawezekani kwako sio kwake au sisi... Wa kwenda uko ni wewe
Unafahamu Mungu alikuumba.kwa mfano wake...wee hujui pata imani Mungu akakutendee.
Amen
Eti viwete wengi jamani unajua sababu za hao viwete hao kila aminie kama haamini.kama hataki kumtafuta Mungu jaman tum
Duh akika yesu ni bwana baba tuokoe sisi waja wako