BABAYANGU KIPOFU Full episode/3/

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 сен 2024
  • #lovestory #school #love

Комментарии • 390

  • @MREZI-u9d
    @MREZI-u9d 3 месяца назад +28

    Nakukubali baba Joan movie unazo tupea coz zinamafundisho mengi xna Allah akuzidishie

  • @Damara-f1s
    @Damara-f1s 3 месяца назад +25

    From Kenya much love babajoan

  • @elisanteKombe
    @elisanteKombe 3 месяца назад +10

    Tuko pamoja mpaka tamati hongera sana kwa kazi nzur❤🎉🎉🎉❤

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 3 месяца назад +10

    Ila mama karobo ww😂 ati msomali alofilisika,aaaaweeeeh 🙌...all the best guys❤

    • @anthony_genge
      @anthony_genge 2 месяца назад +1

      😂😂😂😂 yaaan, na mwingine et kichwa kma boga la kiangazi

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 2 месяца назад

      @@anthony_genge 🤣🤣🤣

    • @ronaldafwata3447
      @ronaldafwata3447 Месяц назад +1

      😂😂😂

  • @LewisHamiltonGLD
    @LewisHamiltonGLD 3 месяца назад +7

    Karobo hongera sanaaa Kwa kumjali baba'ko ❤❤❤

  • @GaidiBeuchi
    @GaidiBeuchi 3 месяца назад +8

    Hamisi shabban from bro move zako zapendeza na zinafurahisha big up bro unaweza

  • @ZEPHANIAH.1588
    @ZEPHANIAH.1588 3 месяца назад +14

    Hii episode nlikua nikiingojea sana❤

  • @rohosafichumot4842
    @rohosafichumot4842 3 месяца назад +2

    Me too I'm from Kenya and I like the way this guy is acting endelea hivo baba Joan

  • @moonGirl-t1i
    @moonGirl-t1i 3 месяца назад +33

    Niko na nyinyi from Kenya tunachifunza mengi kutoka kwako

  • @BothainaBothaina-k6c
    @BothainaBothaina-k6c 3 месяца назад +6

    Baba joan hongereni sana mbona movie zako ziko nzuri sana anyways congratulations 👏 🎉🎉🎉🎉❤

  • @AyubuKamendu-w4o
    @AyubuKamendu-w4o 3 месяца назад +6

    Huyo Zuu ni mzuri sana nyie❤

  • @BabyeSaumu
    @BabyeSaumu 3 месяца назад +10

    Ila,mama KAROBO wewe Mungu anakuona😂😂😂

  • @IrakozeAisha-t3n
    @IrakozeAisha-t3n 3 месяца назад +8

    ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉ntababenda cana❤❤❤🎉🎉🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @AbelMtuku-w9f
    @AbelMtuku-w9f 3 месяца назад +7

    Baba joar napendezwa sana na kazi zako

  • @JanethKusaduka
    @JanethKusaduka 3 месяца назад +13

    Wa kwa za leo mimi

  • @jackiekhajiji3889
    @jackiekhajiji3889 3 месяца назад +6

    Kazi yenu Zuri sana 🎉❤

  • @mohammedgedow3456
    @mohammedgedow3456 3 месяца назад +7

    Baba joan hongera kakangu

  • @SilviaDirecto.
    @SilviaDirecto. 3 месяца назад +32

    likes kwa mpigo za baba Joan kwa kazi nzuri

  • @karembo7082
    @karembo7082 3 месяца назад +5

    Mungu namupenda baba joani😊😊

    • @AaBb-jg7di
      @AaBb-jg7di 3 месяца назад

      Vyukuri aLLah abahe ivyizaza
      🎉❤🎉❤

  • @MahamudBasas
    @MahamudBasas 3 месяца назад +2

    Dada hata masikini msomali hana pua kubwa kama la mume wako pole sana

  • @FelistusKimanzi-f2g
    @FelistusKimanzi-f2g 3 месяца назад +6

    Kazi njema

  • @Noella-p5u
    @Noella-p5u 3 месяца назад +12

    Nimechelea kama wtu waburundi munampenda papa Juani nipeni like ❤❤❤❤❤

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 3 месяца назад +5

    Tena kumbe unatembea na mkewamtuu jamani huyu jamaa bs muachee dadawawatuu

  • @IRENEIRENE871
    @IRENEIRENE871 3 месяца назад +5

    Ñakwambia sisi wanawake wembaba tunakazi ila wazuri nisalimie mama karobo😂😂😂😂

    • @sharleenrubby9214
      @sharleenrubby9214 3 месяца назад

      😂😂😂😂

    • @IRENEIRENE871
      @IRENEIRENE871 3 месяца назад

      @@sharleenrubby9214 kweli kabisa lakini tukipenda twakuwa kama kupe twabana vizuri yani hatuna HUKU na kule

  • @godfreyonderi5338
    @godfreyonderi5338 3 месяца назад +4

    Napenda sana ngoma za patronize❤❤

  • @aesha5468
    @aesha5468 3 месяца назад +6

    Puwa kama musomari arofirisk😂😂😂😂😂

  • @DanielAdam-ym5my
    @DanielAdam-ym5my 3 месяца назад +3

    Nakukubali sana baba joan 👍 tupo pamoja...

  • @MathewsMchabha
    @MathewsMchabha 3 месяца назад +6

    Johan muvi hii nzuri sana

  • @elvinakalu6991
    @elvinakalu6991 3 месяца назад +6

    Inamafunzo mazuri

  • @Amena-z5r
    @Amena-z5r 3 месяца назад +142

    Mimi hata sitaki like maan hata nikiomba hamnipi lakin chenye nataka ni patronaliz yuko wapi 😢😢

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 3 месяца назад +5

    Ongexaaa lingine alaa unalazimisha mapenzi

  • @challemartin
    @challemartin 3 месяца назад +5

    Kaz nzuri sanaa

  • @lucasbatwelly2623
    @lucasbatwelly2623 3 месяца назад +6

    Wa kwanzaa tz

  • @jkomedikaduli
    @jkomedikaduli 3 месяца назад +6

    Natamani siku moja niwe nanyi kwenye move

  • @fayojarso3777
    @fayojarso3777 3 месяца назад +2

    Mama kirobo wewe ni shetani kubwa sana,ata mwele yako unakaa ya shetani, huyu kipovu ni bwana yako ujue hivyo, hata kama yeye ni kipovu ingefa kuheshimu,kuwa na huruma plz,

  • @eunicemutua4513
    @eunicemutua4513 Месяц назад +1

    Mnaomba likes kama viwete...toeni mawaidha ..hongera baba kaquater😂

  • @TumainMbuba
    @TumainMbuba 3 месяца назад +3

    Hongera sana❤❤❤❤❤❤❤

  • @RajabuWangwala
    @RajabuWangwala 3 месяца назад +24

    Toeni comment za ushauri sio kuomba omba like ,,,,like sio ugali

  • @GladysNanjala-e7e
    @GladysNanjala-e7e 3 месяца назад +3

    Hongera sana❤❤❤

  • @Mimienoc
    @Mimienoc 3 месяца назад +5

    Jaman nampenda Zujat

  • @fredrickmgona
    @fredrickmgona 3 месяца назад +2

    Safiiii baba joani good perfomance

  • @NacirNaa
    @NacirNaa 2 месяца назад

    Fundi baba joannnnn sema Kuna changamoto moja Yani move za kichawi huwez Ani tafta stor flan pia za kutisha tishaaa aniiiik ❤❤❤❤ tuko pamoja

  • @EMMATHEBY-he3zi
    @EMMATHEBY-he3zi 3 месяца назад +5

    Duuh!!!!😴😴
    Niatar kwel
    Ila serious nzr

  • @wesleyoyunge5262
    @wesleyoyunge5262 3 месяца назад

    Napenda sana movie zako baba Joan... Zinaelimisha sana. Mungu akuzidishie ... Kutoka 🇰🇪 Kenya...

  • @ConstantineAkhura
    @ConstantineAkhura 3 месяца назад +2

    Mafunzo iko sawa snaaa

  • @SharonsidiBernardSharonsidi
    @SharonsidiBernardSharonsidi 3 месяца назад +6

    Wapili Leo nimewahi

  • @NacirNaa
    @NacirNaa 2 месяца назад

    Mama kazingua na director kapewa Hela karud kukaaa hajaokota mihogo Wala kideli kilichodondoka ......we haujui❤❤❤

  • @husseinkarisa9392
    @husseinkarisa9392 3 месяца назад +7

    Kwakweli hii kiboko

  • @SwabrinaSwabs
    @SwabrinaSwabs 2 месяца назад +1

    From kenya napemda movie zenu sana ❤❤❤❤

  • @Bolly-ff3ko
    @Bolly-ff3ko 3 месяца назад +7

    Wakwanza

  • @princebulas737
    @princebulas737 3 месяца назад +6

    Wakwanza leo nipeni likes zangu

  • @VeronicaMathias-ed5pw
    @VeronicaMathias-ed5pw 3 месяца назад +1

    Kaz nzur ba Joan

  • @SophiaMabula
    @SophiaMabula 3 месяца назад

    Jmn mpka nalia mwenyewe et daaah hii move imeniguxa xna mpka natoa machozi ay bn axant kwa Kaz zenu nzur😱😱

  • @Sharifahemedi-j2o
    @Sharifahemedi-j2o 3 месяца назад +1

    Izo fito za miguu ya mama karobo zinanichekesha😂😂

  • @timeonlinetv2516
    @timeonlinetv2516 3 месяца назад +4

    Wamwisho leo fans wa baba joan like hata 100

  • @MudyKaniki-xm2vw
    @MudyKaniki-xm2vw 3 месяца назад

    Ongeren sana bonge lakaz Ila uyo mama karobo akingia angazangu atakiona chamot

  • @SamuelGarçonsournois
    @SamuelGarçonsournois 2 месяца назад +2

    Safi sana🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @jengenimsuva377
    @jengenimsuva377 3 месяца назад +2

    kaz nxur

  • @AnthonyMmbaga-nm4ir
    @AnthonyMmbaga-nm4ir 3 месяца назад +5

    Nakuballi sana kaka

  • @YunucKhalid
    @YunucKhalid 6 дней назад

    Movie nzur 🎉🎉🎉 Ina mafunzo mengi

  • @wamboiwamboh
    @wamboiwamboh 3 месяца назад

    good job❤❤❤nakasirika na mama karobo anavyomfokea karobo na babake😢😢😢i feel so sad😢mama karobo be good

  • @PriscaMusavuli
    @PriscaMusavuli 3 месяца назад

    Napenda sana hiyi muvi kwani ina chauri we unasema anaona make hudja wayi ona kipofo anaoga mwenyewe

  • @AbdulkarimAlly-cp4zj
    @AbdulkarimAlly-cp4zj 2 месяца назад

    Pia yule dada anaemsaidia mara kwa mara ana moyo safiiii❤

  • @amossote9866
    @amossote9866 2 месяца назад

    nimeipenda sana iyo Tamthilia hongera sana 😍❤❤❤❤❤

  • @abednegomsomba8972
    @abednegomsomba8972 3 месяца назад +4

    Tunasubilia ya 5

  • @JacobSebastian-d1f
    @JacobSebastian-d1f Месяц назад

    Baba Joan hongera kwa movie zako nzuri ila huyo mtoto anakitu usimwache.

  • @marynguyo457
    @marynguyo457 Месяц назад

    Sijui mbna wanikumbusha steven kanumba,nimetoka tiktok adii apaaa juu ii filamu imenibamba😊

  • @JAENQUEMUNGUROMO
    @JAENQUEMUNGUROMO 3 месяца назад

    Safin sana tuna tchunga episodes 5

  • @HvgUgg-w1p
    @HvgUgg-w1p 3 месяца назад +1

    Tuleteeni patronize jamani nimemmiss

  • @AksantibiganikiroJoel
    @AksantibiganikiroJoel 2 месяца назад

    Souriant ni binti napenda sa 9:58 na kwa upendo anayo❤❤❤ asante Joël from congo

  • @mwalisuleih1164
    @mwalisuleih1164 3 месяца назад +1

    Mama karobo mission zako hazikamiliki etieee 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 ndo ukome xx

  • @AminasimonMyreshmi
    @AminasimonMyreshmi 3 месяца назад

    Mungu akubaliki sana karobo❤❤nahongela sana karobo

  • @suleimankipyego5143
    @suleimankipyego5143 3 месяца назад +1

    From Kenya 🇰🇪 mombasa ❤❤kina patronise wako wapi??????

  • @EliaMwambona
    @EliaMwambona 2 месяца назад

    Unaweza kaka mungu akupe uzima zaizi

  • @Haniphaziaka
    @Haniphaziaka 2 месяца назад

    Wenye roho mbaya kama mama karobo mungu anawaona inanifanya nikumbuke mengi niliyofanyiwa na wamama kama hawa

  • @samwelmathew1935
    @samwelmathew1935 3 месяца назад

    Nimefulahi kusikia saut ya patronazell❤❤❤

  • @Cutenaah
    @Cutenaah 3 месяца назад +3

    Twendenalo

  • @EdmondNiyonkuru-i6c
    @EdmondNiyonkuru-i6c 3 месяца назад

    Mama karobo mchawi mshenzi kabisa acha roho mbavi mbozi kasoro mkia bwege weeee

  • @AllyMwinyi-rx8gr
    @AllyMwinyi-rx8gr 3 месяца назад +2

    ila kuna sehem mumezingua wqkati kamwaga mihogo huyo dada kalipa lakini chakushangaza hakumkamata mkono na pia anatembea kama sio kipofu nipo makini sana wazee kama huamini muangaliaji mwezangu rudia hapo utaona

    • @Dareyoman
      @Dareyoman 3 месяца назад

      Wewe ndio umekua KIPOFU kweli,maana ameshikiwa fimbo ndio maana katembe,au huoni ka huyo dada kashika fimbo?

  • @JumaSalimoJuxSalimojux
    @JumaSalimoJuxSalimojux Месяц назад

    Safi sana zidi kupambana baba

  • @MunezeroCynthia-iw1cr
    @MunezeroCynthia-iw1cr 3 месяца назад

    Papa karobo unacheza vizuri na mtoto wako kalobo Mungu ababarik

  • @BensonYongo
    @BensonYongo 3 месяца назад

    Kongole sana ❤Baba Joani kwa kukuza kipaji

  • @ButoyiThierry-j8e
    @ButoyiThierry-j8e 2 месяца назад

    Kazi zuli sana tunakufatilia sana Bd. 🇧🇮🇧🇮

  • @SamyBoudan
    @SamyBoudan 3 месяца назад

    Kazi nzuri one love from Drc +243 🇨🇩

  • @FarjacanMnyama
    @FarjacanMnyama 3 месяца назад

    Baba Joan hongera umejitahidi😂😂

  • @OmarSalum-e7g
    @OmarSalum-e7g Месяц назад

    Mmeweza Kaz nzur

  • @Xhappy-TV
    @Xhappy-TV 3 месяца назад +1

    Napenda movies zako baba Joani, ila nauliza je movies za mwalimu mgeni zinaendelea ao ?

  • @MshamuKindamba
    @MshamuKindamba 3 месяца назад

    Uyu mdada anae mxaidia uyu kipofu nmempenda bure

  • @AminaRamadhan-p6b
    @AminaRamadhan-p6b Месяц назад

    Nakukubali sana baba joan😂😂❤❤

  • @zainabusabas7421
    @zainabusabas7421 Месяц назад

    Huyu mchepuko wa mamakarobo kama riziki 😂😂😂hata kuingea kwake ana kera 😂😂

  • @MarthaFocus-q8u
    @MarthaFocus-q8u 3 месяца назад +1

    Baba joan ❤❤🎉🎉

  • @mwalisuleih1164
    @mwalisuleih1164 3 месяца назад

    ❤❤❤❤❤❤Masha'Allah kaz nzur xan

  • @MonicaWilliam-qf3gp
    @MonicaWilliam-qf3gp 3 месяца назад +2

    Kazi kuomba likes

  • @BahatiKadenge-n5r
    @BahatiKadenge-n5r 3 месяца назад +1

    ❤❤❤❤❤❤

  • @ShukuruKimati-r3p
    @ShukuruKimati-r3p 3 месяца назад

    Asee mkuu poleni sana jamani 😅😅😅😅

  • @OdetteNITUNGA-qy3vk
    @OdetteNITUNGA-qy3vk 3 месяца назад

    Mnavifanya vizuri sana❤❤❤

  • @Costantino-xp5bu
    @Costantino-xp5bu 3 месяца назад

    Kaka unavyo igiza vipo kweli tena Tena ndugu yangu anateseka sana😭😭

  • @LatifaRashidi
    @LatifaRashidi 3 месяца назад +1

    Love you baba joan❤❤

  • @YuvessLeonard
    @YuvessLeonard 2 месяца назад

    Kaz nzur

  • @ChristineNjeri-q9p
    @ChristineNjeri-q9p 3 месяца назад

    From kenya najifunza mengi