Mama kirobo wewe ni shetani kubwa sana,ata mwele yako unakaa ya shetani, huyu kipovu ni bwana yako ujue hivyo, hata kama yeye ni kipovu ingefa kuheshimu,kuwa na huruma plz,
ila kuna sehem mumezingua wqkati kamwaga mihogo huyo dada kalipa lakini chakushangaza hakumkamata mkono na pia anatembea kama sio kipofu nipo makini sana wazee kama huamini muangaliaji mwezangu rudia hapo utaona
Nakukubali baba Joan movie unazo tupea coz zinamafundisho mengi xna Allah akuzidishie
Aendlee kukuza vipaji
From Kenya much love babajoan
Tuko pamoja mpaka tamati hongera sana kwa kazi nzur❤🎉🎉🎉❤
Ila mama karobo ww😂 ati msomali alofilisika,aaaaweeeeh 🙌...all the best guys❤
😂😂😂😂 yaaan, na mwingine et kichwa kma boga la kiangazi
@@anthony_genge 🤣🤣🤣
😂😂😂
Karobo hongera sanaaa Kwa kumjali baba'ko ❤❤❤
Hamisi shabban from bro move zako zapendeza na zinafurahisha big up bro unaweza
Hii episode nlikua nikiingojea sana❤
Me too I'm from Kenya and I like the way this guy is acting endelea hivo baba Joan
Niko na nyinyi from Kenya tunachifunza mengi kutoka kwako
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
254
Baba joan hongereni sana mbona movie zako ziko nzuri sana anyways congratulations 👏 🎉🎉🎉🎉❤
Huyo Zuu ni mzuri sana nyie❤
Ila,mama KAROBO wewe Mungu anakuona😂😂😂
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉ntababenda cana❤❤❤🎉🎉🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Baba joar napendezwa sana na kazi zako
Wa kwa za leo mimi
Kazi yenu Zuri sana 🎉❤
Baba joan hongera kakangu
likes kwa mpigo za baba Joan kwa kazi nzuri
❤😂🎉😢😮😅😊
🎉🎉
Mungu namupenda baba joani😊😊
Vyukuri aLLah abahe ivyizaza
🎉❤🎉❤
Dada hata masikini msomali hana pua kubwa kama la mume wako pole sana
Kazi njema
Nimechelea kama wtu waburundi munampenda papa Juani nipeni like ❤❤❤❤❤
Like my foot
❤❤❤❤❤
Tupo🇧🇮😊
Tena kumbe unatembea na mkewamtuu jamani huyu jamaa bs muachee dadawawatuu
Ñakwambia sisi wanawake wembaba tunakazi ila wazuri nisalimie mama karobo😂😂😂😂
😂😂😂😂
@@sharleenrubby9214 kweli kabisa lakini tukipenda twakuwa kama kupe twabana vizuri yani hatuna HUKU na kule
Napenda sana ngoma za patronize❤❤
Puwa kama musomari arofirisk😂😂😂😂😂
Nakukubali sana baba joan 👍 tupo pamoja...
Johan muvi hii nzuri sana
Inamafunzo mazuri
Mimi hata sitaki like maan hata nikiomba hamnipi lakin chenye nataka ni patronaliz yuko wapi 😢😢
Tz
Basi uclie leo utapata
Nammisi sana mchumba wangu patronaliz❤
😂😂😂😂
Patronaliz hii movie haimuhusu .......
Ongexaaa lingine alaa unalazimisha mapenzi
Kaz nzuri sanaa
Wa kwanzaa tz
Natamani siku moja niwe nanyi kwenye move
Mama kirobo wewe ni shetani kubwa sana,ata mwele yako unakaa ya shetani, huyu kipovu ni bwana yako ujue hivyo, hata kama yeye ni kipovu ingefa kuheshimu,kuwa na huruma plz,
Mnaomba likes kama viwete...toeni mawaidha ..hongera baba kaquater😂
Hongera sana❤❤❤❤❤❤❤
Toeni comment za ushauri sio kuomba omba like ,,,,like sio ugali
Aki
Waache waombe likes labda zinawaongezea nguvu za kiume
Kwan ebu niulize hizo like wanazifanyi nn
Utaeza Dhani watalipwa
Waambie
Hongera sana❤❤❤
Jaman nampenda Zujat
Umeona ee katulia kweli
Safiiii baba joani good perfomance
Pôle ule maman
Fundi baba joannnnn sema Kuna changamoto moja Yani move za kichawi huwez Ani tafta stor flan pia za kutisha tishaaa aniiiik ❤❤❤❤ tuko pamoja
Duuh!!!!😴😴
Niatar kwel
Ila serious nzr
Napenda sana movie zako baba Joan... Zinaelimisha sana. Mungu akuzidishie ... Kutoka 🇰🇪 Kenya...
Mafunzo iko sawa snaaa
Wapili Leo nimewahi
Mama kazingua na director kapewa Hela karud kukaaa hajaokota mihogo Wala kideli kilichodondoka ......we haujui❤❤❤
Kwakweli hii kiboko
From kenya napemda movie zenu sana ❤❤❤❤
Wakwanza
Wakwanza leo nipeni likes zangu
Kaz nzur ba Joan
Jmn mpka nalia mwenyewe et daaah hii move imeniguxa xna mpka natoa machozi ay bn axant kwa Kaz zenu nzur😱😱
Izo fito za miguu ya mama karobo zinanichekesha😂😂
Wamwisho leo fans wa baba joan like hata 100
Ongeren sana bonge lakaz Ila uyo mama karobo akingia angazangu atakiona chamot
Safi sana🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
kaz nxur
Nakuballi sana kaka
Movie nzur 🎉🎉🎉 Ina mafunzo mengi
good job❤❤❤nakasirika na mama karobo anavyomfokea karobo na babake😢😢😢i feel so sad😢mama karobo be good
Napenda sana hiyi muvi kwani ina chauri we unasema anaona make hudja wayi ona kipofo anaoga mwenyewe
Pia yule dada anaemsaidia mara kwa mara ana moyo safiiii❤
nimeipenda sana iyo Tamthilia hongera sana 😍❤❤❤❤❤
Tunasubilia ya 5
Baba Joan hongera kwa movie zako nzuri ila huyo mtoto anakitu usimwache.
Sijui mbna wanikumbusha steven kanumba,nimetoka tiktok adii apaaa juu ii filamu imenibamba😊
Safin sana tuna tchunga episodes 5
Tuleteeni patronize jamani nimemmiss
Souriant ni binti napenda sa 9:58 na kwa upendo anayo❤❤❤ asante Joël from congo
Mama karobo mission zako hazikamiliki etieee 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 ndo ukome xx
Mungu akubaliki sana karobo❤❤nahongela sana karobo
From Kenya 🇰🇪 mombasa ❤❤kina patronise wako wapi??????
Unaweza kaka mungu akupe uzima zaizi
Wenye roho mbaya kama mama karobo mungu anawaona inanifanya nikumbuke mengi niliyofanyiwa na wamama kama hawa
Nimefulahi kusikia saut ya patronazell❤❤❤
Twendenalo
Mama karobo mchawi mshenzi kabisa acha roho mbavi mbozi kasoro mkia bwege weeee
ila kuna sehem mumezingua wqkati kamwaga mihogo huyo dada kalipa lakini chakushangaza hakumkamata mkono na pia anatembea kama sio kipofu nipo makini sana wazee kama huamini muangaliaji mwezangu rudia hapo utaona
Wewe ndio umekua KIPOFU kweli,maana ameshikiwa fimbo ndio maana katembe,au huoni ka huyo dada kashika fimbo?
Safi sana zidi kupambana baba
Papa karobo unacheza vizuri na mtoto wako kalobo Mungu ababarik
Kongole sana ❤Baba Joani kwa kukuza kipaji
Kazi zuli sana tunakufatilia sana Bd. 🇧🇮🇧🇮
Kazi nzuri one love from Drc +243 🇨🇩
Baba Joan hongera umejitahidi😂😂
Mmeweza Kaz nzur
Napenda movies zako baba Joani, ila nauliza je movies za mwalimu mgeni zinaendelea ao ?
Uyu mdada anae mxaidia uyu kipofu nmempenda bure
Nakukubali sana baba joan😂😂❤❤
Huyu mchepuko wa mamakarobo kama riziki 😂😂😂hata kuingea kwake ana kera 😂😂
Baba joan ❤❤🎉🎉
❤❤❤❤❤❤Masha'Allah kaz nzur xan
Kazi kuomba likes
❤❤❤❤❤❤
Asee mkuu poleni sana jamani 😅😅😅😅
Mnavifanya vizuri sana❤❤❤
Kaka unavyo igiza vipo kweli tena Tena ndugu yangu anateseka sana😭😭
Love you baba joan❤❤
Kaz nzur
From kenya najifunza mengi