PENZI LA KAKA |Love Story 💞DONTA TV

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 115

  • @SharifaOmary-f5c
    @SharifaOmary-f5c 3 месяца назад +5

    Hapo nasubiri like tu 🎉 very good

  • @MariamRiziki-o8x
    @MariamRiziki-o8x 3 месяца назад +18

    Nipeni likes zangu wana donta family wakwanza❤❤❤❤from kenya

    • @JosephatiJumanne
      @JosephatiJumanne 3 месяца назад

      ❤❤❤umetisha san mrembo

    • @SaidaAli-kr3bi
      @SaidaAli-kr3bi 3 месяца назад +2

      So what

    • @BeatriceNanjira-u8x
      @BeatriceNanjira-u8x 2 месяца назад

      Ufanyia Nini like zawatu wewe siupongeze kama muvi ni nzuri na kusema ulicho ona kizuri, kuliko kuomba like ,,zako Huwa munanishagaza sana kwakuomba like, ovyoooo😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @MariamRiziki-o8x
      @MariamRiziki-o8x 2 месяца назад

      @@BeatriceNanjira-u8x ovyooooo ni wewe na watu wa kwenu

    • @LightnessUrio-fo7mq
      @LightnessUrio-fo7mq 2 месяца назад

      Kwan wakenya nao waangaliaga move za kiswahili😂😂😂😂

  • @XavyFdon-li6rc
    @XavyFdon-li6rc 3 месяца назад +6

    Hatutaki mapenzi tuu donta Kuna vingi vya kufanya na sio ushirikina Kuna story ukitunga utakuwa mbali mara 4 ya hapo

  • @LucienNdereyimana
    @LucienNdereyimana Месяц назад +1

    Hii nayo haiwezekani kabisa kaka na dada apana😮😮😮

  • @HalimaBakari-so8dp
    @HalimaBakari-so8dp 3 месяца назад +6

    Mlete na idea nyngn sasa so leo penzi la kaka,kesho Penz la mapacha ,mara penzi la Malaya mnabadil character tu but good job😂

  • @MayengDulu
    @MayengDulu 2 месяца назад +3

    Hahaha kaka na dada kazi nzuli sana napenda❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @KaviraKamathesinthian
    @KaviraKamathesinthian 2 месяца назад +1

    ❤❤❤❤❤❤ napenda muvi zenu zote nandazidi kuzitafuta

  • @NishaMussa-os4np
    @NishaMussa-os4np 2 месяца назад

    We Mr Brown unasema alikubaka kivipi Sasa naalijuaje kuwa weww nifundi huoufundiuliotoa jenikibakwa au kuhiari

  • @ZeinabBakar-je4nr
    @ZeinabBakar-je4nr 3 месяца назад +1

    Kazi nzuri jamani mungu wabariki

  • @cliffordluanda
    @cliffordluanda 3 месяца назад

    Donta tv nawapenda Sanaa mnastories nzuri sana

  • @Barnizeboy
    @Barnizeboy 3 месяца назад +2

    Kali Sanaaa 🔥👍

  • @zenaboi3294
    @zenaboi3294 3 месяца назад +3

    Brown buana😅😅eti kabakwa😂😂😂

  • @AshrafLaurent
    @AshrafLaurent 3 месяца назад +6

    M ntakuwa wa tisa npen likes zenu

  • @MaA-kn9ty
    @MaA-kn9ty 3 месяца назад +1

    Wa2 leo kutoka kenya mumetisha sana Wana donta family na wapenda ❤❤❤❤ bure😂😂😂😂 chukueni maua 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉yenu

  • @WARDARAJABU-d9v
    @WARDARAJABU-d9v 3 месяца назад +6

    Wa mwisho like hata mbil plz❤😂

  • @goodluckmapunda5900
    @goodluckmapunda5900 2 месяца назад

    Amen kaka kumbe uwaga unamkumbuka namungu

  • @malikahiribae
    @malikahiribae Месяц назад

    Donta family nyie nizaidi ya nihatari aisei mapenzi yatawauwa😂😂😂majogoo ya donta kazi mnayo,alafu nyie wanawake wa donta mwapenda sana lollo 😂

  • @joycemuenimutua4506
    @joycemuenimutua4506 3 месяца назад +2

    😂😂😂😂 brown amebakwa 😂😂😂😂😂jamani hii ni Kali 🔥🔥 much love kwa Wana Donta TV wote maali popote mlipo Mungu awape nguvu kazi zuri sana 🎉🎉🎉 🇰🇪

  • @RebeckAunt
    @RebeckAunt 2 месяца назад

    😂😂😂nafurai sana brown umekataa sambusa ya nyama

  • @NancyGatwiri-c7n
    @NancyGatwiri-c7n 2 месяца назад

    Ila iyo kingereza ya neli wah..😅😅😅

  • @josephabel7654
    @josephabel7654 2 месяца назад

    Kunambi boya boya tu muda wote unalalamika sana😂😂 hata kama dada sijapenda alivyosema

  • @EstherMulindwa-fp3ml
    @EstherMulindwa-fp3ml 3 месяца назад +3

    Iwe na part 2 unaona je?❤😂

  • @bettyjuma2013a
    @bettyjuma2013a 2 месяца назад

    C mnipee nel Aki Nampenda huyu mkaka wa watu

  • @MemoryKamutandi
    @MemoryKamutandi 3 месяца назад +1

    Kazi nizuri sana ❤❤❤

  • @reginashija-l2m
    @reginashija-l2m 2 месяца назад

    nawapenda xan❤

  • @EstherMulindwa-fp3ml
    @EstherMulindwa-fp3ml 3 месяца назад +1

    Mdogo wa ivi, namuuza kwa Kelvin n'a lovenesse nawapiya😂😂😂😂😂

  • @JoynessMshaija
    @JoynessMshaija 3 месяца назад +2

    Wa 11 naomba like 11

    • @saleemadhiyabalkhatri7800
      @saleemadhiyabalkhatri7800 3 месяца назад

      Hizo like mnataka mpew nini mkitaka like nendeni vunadaily kule mkashindene kule kuna tv kuna boda nazawadi kibao huko kuna like zenu😂😂😂

    • @zindunabachir1371
      @zindunabachir1371 3 месяца назад

      😂😅😂😅mimi wa 200 naomba lk200😂😅😂😅

  • @DianaDiana-ej6fn
    @DianaDiana-ej6fn 3 месяца назад

    Kazi nzuri sana wanadonta family ❤❤

  • @AnnaCosmass
    @AnnaCosmass Месяц назад

    Amazing

  • @RobertSamwel-h9z
    @RobertSamwel-h9z 2 месяца назад

    nzuri jmn kazi zenu tuendelee kuenjoy tuu

  • @AghHh-v3f
    @AghHh-v3f 2 месяца назад

    Brown pore sana kaka 😂😂😂❤❤❤🎉🎉

  • @TantineZuzu
    @TantineZuzu 3 месяца назад

    Brown bwana apo jipya ni lipi sasa kwako 😂😂😂❤❤❤🇧🇮🇧🇮

  • @KassimKhalaid
    @KassimKhalaid 2 месяца назад

    Yani uyo Kenndy alivo ata kama ni dadangu mm namla kimya kimya ni mtamu

  • @ClementineMwendo
    @ClementineMwendo 3 месяца назад +1

    Mnaigiza vzr but naomba mbadili content so kila kitu,,,penzi la

  • @narutonaruto4303
    @narutonaruto4303 2 месяца назад

    kaz nzur mashallah

  • @ReginaDunia
    @ReginaDunia 3 месяца назад +2

    Mimi wasaba jamani🎉❤❤❤❤

  • @بيتيكينيا-س1و
    @بيتيكينيا-س1و 3 месяца назад

    Waaah hii kali❤❤

  • @AgnesAa-b3z
    @AgnesAa-b3z 2 месяца назад

    😂😂😂😂 waaah ak brown pole

  • @abedyabwe6017
    @abedyabwe6017 2 месяца назад

    Iyo ni lahana kufanya mapenzi na dada Yako.

  • @JoyceZawadi-ny3rl
    @JoyceZawadi-ny3rl 2 месяца назад

    Kwenye hii movie nyote mmechemka haijnivutia kbxa

  • @Tesocomedian
    @Tesocomedian 3 месяца назад +2

    Very nice 😮😮😮😮🎉🎉❤❤

  • @damariskemuntoorina6018
    @damariskemuntoorina6018 3 месяца назад

    ❤❤❤❤ very nice mmmwaaah 💯 % be blessed watunzi watanzania🎉🎉

  • @khamiskhamis1205
    @khamiskhamis1205 2 месяца назад

    😂😂😂 Yaaan brown ishuu yako haisikiliziki ni mtihani mzito

  • @franxdeux8112
    @franxdeux8112 3 месяца назад

    😂😂😂 brown kubakwa 😅

  • @FailaKisubi-h3l
    @FailaKisubi-h3l 3 месяца назад

    😂😂😂 Atari 😢😢Ahiwezekani iyo .

  • @sophianyamvula7080
    @sophianyamvula7080 2 месяца назад

    Nice ❤❤❤❤❤

  • @reginashija-l2m
    @reginashija-l2m 2 месяца назад

    nawapenda xan

  • @jaafarabeid
    @jaafarabeid 2 месяца назад

    Canada nawafuatilia wanangu

  • @MarthaMkulo
    @MarthaMkulo 3 месяца назад +1

    Good job🎉🎉🎉🎉❤

  • @NaomiSanga-p5y
    @NaomiSanga-p5y 2 месяца назад

    Kunambi eti nimebakwa 😂😂😂😂

  • @STANLEYKINYILI
    @STANLEYKINYILI 2 месяца назад

    Kenya Watching

  • @zuenakhassim
    @zuenakhassim 2 месяца назад

    Jamn candi kafanana na shamsa food kama ndg vile

  • @HudhaimaYussuf
    @HudhaimaYussuf 3 месяца назад

    Leo nimewahi etii😅😅😅

  • @ShabaniMustafa-n8h
    @ShabaniMustafa-n8h 3 месяца назад +1

    The best one

  • @juliettv6626
    @juliettv6626 3 месяца назад

    😂😂😂😂 ihi movie inachekeshe ivi nani aliyetambua gisi byenye Nelly alimcheka mkunambi baada yakusema amebakwa na mdogo yangu 😂😂😂😂😂

  • @ZaytoonMohammed
    @ZaytoonMohammed 3 месяца назад

    Ila kendi 😂😂😂😂😂😂

  • @juliettv6626
    @juliettv6626 3 месяца назад

    Kendy ni kahaba ata kwao ndomana izo sini anaziwezaka😅😅😂

  • @AminaMohammed-u7j
    @AminaMohammed-u7j 3 месяца назад

    Ety kubakwa kisha utamu yy ndio alikuwa anaek ndani 😔😂😂😂

  • @AndreConstancio
    @AndreConstancio 3 месяца назад

    Kendy umezidy

  • @GasterJoster
    @GasterJoster 3 месяца назад

    Da hatar sana

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki 3 месяца назад

    😂😂😂 jamani broun amebakwa hahaha nimecela kwa sauti

  • @appsplay4324
    @appsplay4324 3 месяца назад

    Much love ❤❤

  • @Phoebenafula
    @Phoebenafula 3 месяца назад +1

    Kunambi 😂😂😂

  • @NgumbuLucy-y1k
    @NgumbuLucy-y1k 2 месяца назад

    Ienderee tyu

  • @MOMENTS-STORIES
    @MOMENTS-STORIES 3 месяца назад +1

    english ilikuwa na ulazima lkn😂😂😂😂😂😂

    • @josephabel7654
      @josephabel7654 2 месяца назад

      😁😁😁😁😁 hatari sana jamaa alitaka kubadilisha ladha

  • @GreatOman-vg4qu
    @GreatOman-vg4qu Месяц назад

    Atari..dada..kadata..nakaka..yake

  • @ZeinabBakar-je4nr
    @ZeinabBakar-je4nr 3 месяца назад

    Naeda kazi zenu

  • @juliettv6626
    @juliettv6626 3 месяца назад

    Vick anaigizaka na hisia

  • @bettyjuma2013a
    @bettyjuma2013a 2 месяца назад

    Hizi likes mnapeleka wapi hata mm nadai kupeleka huko

  • @MercyWafula-x1x
    @MercyWafula-x1x 2 месяца назад

    🔥🔥

  • @MosesLukas-x5v
    @MosesLukas-x5v 2 месяца назад

    😅😅😅😂kkkkkk

  • @cartoonpati2914
    @cartoonpati2914 3 месяца назад

    Shaniza alipotelea wapi

  • @glorymanga3650
    @glorymanga3650 2 месяца назад +1

    🥰

  • @EmmyPankras
    @EmmyPankras 2 месяца назад

    Sio kwel

  • @RukiaKhamis-pu9zv
    @RukiaKhamis-pu9zv 3 месяца назад

    Duuuh hatar

  • @Philo279
    @Philo279 3 месяца назад

    Very nice😢😢😢😢😮😮😮😮😮🎉🎉😂😂😂😅😅😊😊

  • @ABUUUTHEYMINMADEGHE
    @ABUUUTHEYMINMADEGHE 3 месяца назад

    Mmetisha

  • @AminaKhalfani-ib7sh
    @AminaKhalfani-ib7sh 3 месяца назад +1

    Waoo

  • @AyishaOman-cw4xs
    @AyishaOman-cw4xs 11 дней назад

    ❤❤❤🎉🎉🎉

  • @Adangane
    @Adangane 20 дней назад

    ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @DawaGalecha
    @DawaGalecha 3 месяца назад

    hii ni
    kali walai

  • @HermanMartin-tr3cw
    @HermanMartin-tr3cw 2 месяца назад

    Hongeran

  • @ChadrackIrankunda-d6n
    @ChadrackIrankunda-d6n 3 месяца назад +1

    Nipe maua yangu shedrack Bujumbura nipo nanyi

  • @Clris.2
    @Clris.2 3 месяца назад

    ❤❤❤❤

  • @AminKanefu
    @AminKanefu 3 месяца назад

    😂😂😂...by Mr okay 1time

  • @collethamtomalele4477
    @collethamtomalele4477 3 месяца назад

    Nimecheka kubakwa

  • @cartoonpati2914
    @cartoonpati2914 3 месяца назад

    Kendi Malaya wewe

  • @JosephWambi-g9p
    @JosephWambi-g9p 3 месяца назад

    Brown you love

  • @saumuchai9620
    @saumuchai9620 3 месяца назад

    ❤❤❤🎉

  • @Husna-uu9oc
    @Husna-uu9oc 3 месяца назад

    ❤❤❤

  • @FrankShilingi
    @FrankShilingi 3 месяца назад

    Duhh

  • @EspoirKahanya-sx4ox
    @EspoirKahanya-sx4ox 3 месяца назад

    😂😂😂😂

  • @MagdalenapMashauli
    @MagdalenapMashauli 3 месяца назад

  • @KhalidAshjaie-cz7vg
    @KhalidAshjaie-cz7vg 3 месяца назад

    🎉🎉🎉❤❤❤😂

  • @HappyFlower-xv7co
    @HappyFlower-xv7co 3 месяца назад

    Wakeana

  • @AnisaRamadhan-m6g
    @AnisaRamadhan-m6g 3 месяца назад

    N

  • @AnisaRamadhan-m6g
    @AnisaRamadhan-m6g 3 месяца назад +1

    ❤🎉

  • @SamouOman
    @SamouOman 3 месяца назад

    ❤🎉❤🎉❤

  • @Danieldanny-l7f
    @Danieldanny-l7f 3 месяца назад

    😂