MANJONJO YA SKUDU WAKIWATESA MTIBWA SUGAR KWENYE UWANJA WA CHAMAZI - MBAGALA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • #DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi

Комментарии • 57

  • @KasokaWilliam-z7s
    @KasokaWilliam-z7s 10 месяцев назад +10

    Niipendasana yanga nipo hapa South Africa 🇿🇦

  • @JuniorShadrack-iw9ru
    @JuniorShadrack-iw9ru 10 месяцев назад +5

    Makolo .skudu ni mchezaj mzur sana ishu ni majeraha na stamina ndo vtu vinavomsumbua .

  • @husseinmejja8041
    @husseinmejja8041 10 месяцев назад +6

    Fantastic player

  • @nyaganyaga3876
    @nyaganyaga3876 10 месяцев назад +8

    Anaitaji kupata muda wa kutosha kucheza bado kuna shida nadhani pressure ya namba ila yuko vizuri hapotezi sana mpira japo kuna muda anachelewesha sana movements za kutengeneza nafasi za goli

    • @rogersiddy
      @rogersiddy 10 месяцев назад +1

      Uko sahihi kbs mdau anachelewesha sana mipila tungepata magoli mengi tu

  • @meshackmbwilo4948
    @meshackmbwilo4948 10 месяцев назад +21

    kama unaikubali yanga naomba like apa twende pamoja

  • @ShukurkollAngel
    @ShukurkollAngel 10 месяцев назад +10

    Skudu anaonekana kweli ni mchezaji mzuri Ni Mtaalam haswa. Ana maarifa makubwa sana ya kudhibiti mpira na kucheza. Akiongezewa nguvu ni hatari sana.

  • @MkungwaNgwarumbwa
    @MkungwaNgwarumbwa 10 месяцев назад +3

    Wanamwita waziri wa raha, scodu makudubela.

  • @ThomasElasto
    @ThomasElasto 10 месяцев назад +2

    Aaa kumbe nili subili 💪💚💚

  • @MobigoMobigo-e1q
    @MobigoMobigo-e1q 10 месяцев назад +15

    Inakuja hapo jaman me ndo nimefunga top3 ya watu tulio wahi naomba likes zangu

  • @elipidhugotesha1909
    @elipidhugotesha1909 10 месяцев назад

    Nafikir huyu skudu wasimwache ana talents sana

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing 10 месяцев назад +4

    Yanga Is Another Level Guys Please We Need To Support Our Best Team In Africa💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛

    • @HILDAMABENA
      @HILDAMABENA 10 месяцев назад

      Werhngkb🎉😂😢😅😅😊

  • @michaelstanley1592
    @michaelstanley1592 10 месяцев назад +3

    apewe nafasi zaidi

  • @mohdkhatib223
    @mohdkhatib223 9 месяцев назад

    Skudu ana vitu vya Anthony wa Man U, Neymar na Ronaldinho Gaucho

  • @officialErryboy
    @officialErryboy 10 месяцев назад +1

    Jamaa analijua bori😅

  • @AmirKamota-p8r
    @AmirKamota-p8r 10 месяцев назад

    Nzur xn

  • @shaibusaady2420
    @shaibusaady2420 10 месяцев назад +1

    Allaah Akbar

  • @MargeryHerbert-s9y
    @MargeryHerbert-s9y 27 дней назад

    Hilll Falls

  • @beatbyrich2891
    @beatbyrich2891 10 месяцев назад +1

    Mtibwa kala 4 duhhh Nahamia Yanga

  • @omaryluambano3495
    @omaryluambano3495 10 месяцев назад +1

    Skudu💥

  • @mohammedmohamed9969
    @mohammedmohamed9969 10 месяцев назад

    Sisi kama wanayanga tunaomba skudu abaki apewe mazoez ya kujenga stamina na maelekezo ya kutokuchelewesha mpira akiviweza hivyo hamna wa kumnyang'anya namba hapo kingine mechi ya jumatano aanze

  • @JacksonJohn-bg9py
    @JacksonJohn-bg9py 10 месяцев назад

    Haya

  • @allysunday9260
    @allysunday9260 10 месяцев назад

    Tumpe mda huyu jamaa atatusaidia

  • @AbuuMuddy55
    @AbuuMuddy55 10 месяцев назад

    amna mchezaj hapo yani mpka skudu kafunga unazan kunatimu hapo

  • @ThomasElasto
    @ThomasElasto 10 месяцев назад +1

    Mbona hamna

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 10 месяцев назад

    Skudu asiondoke jaman

  • @TheGreat-lq9tg
    @TheGreat-lq9tg 10 месяцев назад +4

    Skudu mrudisheni kwao, mpira anaocheza hautatusaidia

  • @JacksonMbewe-dq9zh
    @JacksonMbewe-dq9zh 10 месяцев назад +1

    hila skudu

  • @denisrukangula2227
    @denisrukangula2227 10 месяцев назад +1

    Skudu ni mchezaji mzuri sana apewe tu mda wa kucheza kutocheza uwa kunaharibu starmina ya mchezaji na inaweza kupiga na talent ya mchezaji.
    Ni mtu mwenye ball speed
    Ball control
    Ball starmina
    Ball nature
    Nk

    • @ahmedmsangi1653
      @ahmedmsangi1653 10 месяцев назад

      Na pia ukiangalia kama kuna mambo anayafanya ya kuchelewesha mpira angalia utaona hakuna mtu kwenye nafasi anazuga then mtu akiwa kwenye nafasi faster anampa boll bonge la mchezaji alafu hapo ndio hajacheza muda mrefu apewe nafasi anavitu muhim

  • @MahonaMahon-x4t
    @MahonaMahon-x4t 10 месяцев назад

    Hamna mchezaj hap ni mkwal

  • @NikolausCharles
    @NikolausCharles 5 месяцев назад

    PASOR 2:05

  • @LaurentAntony-y1d
    @LaurentAntony-y1d 7 месяцев назад

    Mve

  • @mealsbymana6561
    @mealsbymana6561 10 месяцев назад

    💚💚💛💛💛🔰🔰

  • @amanimustapha2089
    @amanimustapha2089 10 месяцев назад +1

    Amna mchezaji hapo

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 10 месяцев назад

      Bado hujasema

    • @stanny74
      @stanny74 10 месяцев назад +3

      Asante kwa kuangalia RUclips channel yetu ya Yanga 😂

    • @AzizaHussein-wq8ql
      @AzizaHussein-wq8ql 10 месяцев назад +1

      Etieeee Asante kwa kuangslia channel yetu ya Yanga 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 angalau umepew hongela ya kinafki uiiiiiii🙆🙆🙆🙆🙆🙅

    • @ElizaYanga
      @ElizaYanga 10 месяцев назад

      Acha kuteseka ww mwisho wa mwaka huu

    • @JoshuaJoseph-fb3iz
      @JoshuaJoseph-fb3iz 10 месяцев назад +1

      @@stanny74 ok

  • @patricklaiton8939
    @patricklaiton8939 10 месяцев назад

    SKUDU