Machawa wachawi munaomuombea mabaya Harmonize mupo? Nyoo na hapo semeni hana pesa mjuwe imekula kwenu Harmonize mbele zaidi na nakuombea kwa mwenyezi mungu uwe salama wakati wote. Aamiin🙏😍
Hiyo ni kazi ya editor. Director yeye ni muongozaji tu wa video. Kuna camera man yeye kazi yake kushoot. Video ikiisha director anampelekea editor na kumuelekeza jinsi unavyotaka
Umeuwa sana broo umefanya video inahelewe sgory hatakama mtu hujaambiwa yenyewe inajieleza wewamotoo sana kumbe #harmonize msanii mkubwa lakini wanaosumbua nihawa ma director #kenny umeupiga mwingi sana #rahaaaaa
Mwanangu Harmonize upande wa pili watu wote taabani
kazi mzuri 😘💯🎉🎊
director kenny hii ngoma umeua sana , ngoma video imekuja na radha yake tofauti kbsa
Ladha na sio Radha point of correction next time utakuwa umejifunza
Hii ilikuwa Kali sana my Big brother 🇨🇩🇨🇩
One of the best director in EA
director kenny is one in a million.....big up
number one
Kwani aliama wasafi??
@@kbrown7233 mda sana upo dunia gan wewe😜 😁😁😂😂
Mziki mpya wa Mzee Yusufu wazua gumzo.
👇......
ruclips.net/video/z_YD7DoV6Gg/видео.html
@@sifatiiman eti dunia gani🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Director on steroids..uko juu sana mwana kazi safi umeachia🇰🇪🇰🇪🇰🇪
The best director Africa nzima,,,ubunifu wa kimataifa kwenye hii ngoma,,umetisha sana mzee baba
Tanzania nzima #Director ni mmoja tu #Kenny
Umetisha sana kenny good job jah blees u
Nikazi kubwa 😮😮😮😮💕💕🥰🥰
Machawa wachawi munaomuombea mabaya Harmonize mupo? Nyoo na hapo semeni hana pesa mjuwe imekula kwenu Harmonize mbele zaidi na nakuombea kwa mwenyezi mungu uwe salama wakati wote. Aamiin🙏😍
Mungu atazidi kumubariki mutoto wawatu hana ubaya na mutu waache wajichanganye wenyew
Umetisha mzeeebaba
big salute to you kenny you are making good magical moves.win till the end
Kazi nzur sana kenny hongera
Kazi nzuri
Ngoja tuone ya duniani🤳
Big up sana Mr Kenny🔥🔥
Uyo mzee bonge noma sana nakubal
Harmonize nakukubali sana pamoja na director Kenny hii Ngoma mmeua
Respect 👌👌👌👌👌 harmonize and Mabantu
Nakubali Sana Kenny unyamaaa mwingiii
Hongera sana kaka
Nakukubali Sana Kenny hope one day tutafanya kazi pamoja bro kwa nakuombea Sana uendelee
WOW nakubari saan kabisa,♥️♥️♥️♥️
Nakubal sana brother...
I like the chemistry
Mungu akubariki ...Kazi yako njema Sana bro Kenny
umekuja na utofauti mwingine,jambo zuri sana hili .......brother
Director wangu kazi nzur bt mi napenda upost jinsi ulivyo edit maana iyo editing nimeipenda sana.
Hiyo ni kazi ya editor. Director yeye ni muongozaji tu wa video. Kuna camera man yeye kazi yake kushoot. Video ikiisha director anampelekea editor na kumuelekeza jinsi unavyotaka
@@jumajuma6612 najua bt kuna director anaeshoot ana edit pia. Yani anafanya kazi zote tatu. Kuongoza kushut na kuedit
@@directormwarabu ndio lkn sio Kenny
@@jumajuma6612 other directors wanajua kuedit
Jeshii
Behind the scene ziwe ndefu bhnaa
KRNNY NAKUBALI WEWE MKALI🔝🔥🔥
harmonize nii fundi
👉🙏🙏👈🏻💥forever
Nakubali san kaka Director Kenny
Harmo is great
Super kibonge a.k.a kaka mkuuu, tumekumis Zanzibar 💪
Nmekubali🔥🔥
Mwenyewe unajijua ukiwa kwenye kazi zako. Great job bro
Kwa Angles nimekutiii
Uko-vizuli-jeshi-ongera-sanaaaà-kazi-mzuli
Mziki mpya wa Mzee Yusufu wazua gumzo.
👇......
ruclips.net/video/z_YD7DoV6Gg/видео.html
Nomaaaa kenny
Nakubali my brooh
Big Time🛑
Good work bro let's keep going🔥🔥😘
Amaizing
💛💛🧡🧡💛💛😍💚💚
DK baddest 🔥🥳🥳
Noma 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🫡
Kaka upo vixuri nakukubali toka umeondoka kwa Mondi yaani anatoa video mbovu sana
Kenny 🔥..na Jeshi
Umeuwa sana broo umefanya video inahelewe sgory hatakama mtu hujaambiwa yenyewe inajieleza wewamotoo sana kumbe #harmonize msanii mkubwa lakini wanaosumbua nihawa ma director #kenny umeupiga mwingi sana #rahaaaaa
Nakubariiiiiii director can
Wcb macho wazi
Director Kenny 💥💥💯
Forq sure Kenn your outstanding
Mbon hujaweka pti2
This os craY love
🔥🔥🔥🔥
Nimemuona mwanangu mgogo from Buguruni
Kazi safi
Top
Aminia kaka
Mungu abark kz yko broo Kenny
Diamond kapoteza vichwa vitatu pale wcf atajutia maisha hamo kenny reivani
Safi Sana keny director
Kenny tulia kwa tembo na uzidi kuongeza ubunifu kupitia uwezo wako ndg yangu..,ushauri tulia kwa harmonize
😂😂 atulie wap ? Kwel ww hupend kenny ase sas hy mjomba chumar atamfikish wap
Dragon man 🐉🔥
Naigiza nambie shingapiiio
Muda wa kuvua iy hatuna
Kuniposti shingapi broza
Kenny we ndo king wa ma drkt ote
Teacher konde uyo💪💪
Courage sana derecta kenny
Luckyvoice
Lucky😂
iko poa
Big up Kenny
🤳🤳👍👍👍👍
Gdwork director
Konde gang fc
🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥
Kwelii
director kenny ni level za tg omori hana mpinzani hapa bongo🔥🔥🔥
Mziki mpya wa Mzee Yusufu wazua gumzo.
👇......
ruclips.net/video/z_YD7DoV6Gg/видео.html
Nimemuona Ken
Good
Super director +255🇹🇿🇹🇿
U Kenny ww ni proffsional
🔥🔥🔥🔥🔥
Kenny kaza brother
Ayooooo keny
Bba kimbooo
Ok ok
Kenny 🔥🔥🔥
#LjayKitchen #FriedGoatIntestine #utumbowakukaanga #Ljaystunner
Salute.it’s not an easy job.
Wale walio kuwa nasema Range ni za uongo hivi kweli hawaibiki
Nice work bro Kenny wanted to work with you bro
Big up bro🦾♥️🏆💯
✊✊✊✊
Atar
mond ana nn adi kenny kasepa
Kunitangazia post shingap braza
Yawya