MELISA EPISODE 2

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024
  • hellow!!!wellcome to my official youtube channel HEMEDY CHANNEL....HERE YOU WILL SEE ALL MY MOVIES,BONGO MOVIE TANZANIAN MOVIES....THANK YOU

Комментарии • 331

  • @hemedychande7956
    @hemedychande7956  14 часов назад +244

    asante sana kwa mapenzi yenu❤❤❤❤❤siku sio nyingi ntawaletea episode ya tatu

  • @Chinga-e6n
    @Chinga-e6n 15 часов назад +45

    Best actor in 🇹🇿🇹🇿Hemed chande. Kama unamkubali hemed chande like hapa❤❤

  • @Kingbyronlee
    @Kingbyronlee 15 часов назад +36

    Watching from Kenya 🇰🇪 wapi likes zangu

  • @emmanueljackson-e5s
    @emmanueljackson-e5s 15 часов назад +57

    Mimi ndio wakwanza kuona part hii apa jmn naombeni like zenu, Emmanuel from Mombasa Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @ThierryIgiraneza-n1r
    @ThierryIgiraneza-n1r 14 часов назад +36

    Kama we nishabiki wa move za chande nipe like zanguu🎉🎉❤

  • @OkriniAdamsoni
    @OkriniAdamsoni 13 часов назад +12

    safi sana sana haucheleweshi vipande nimekukubali hemedy🤸🤸🤸🤸🤸

  • @asuminisumbi5211
    @asuminisumbi5211 15 часов назад +20

    Kwa Mara yakwanza nami nimewah jaman..like zenu plzz

  • @SamouOman
    @SamouOman 15 часов назад +9

    wao nilikuw naisubil sana jaman kazi nzur 🌹🌹🌹🌹

  • @SuzanAyako
    @SuzanAyako 11 часов назад +8

    Mimi nimeipend san move hiyo ya Melisa hongera san hemed6 lam suzan from Kenya wakenya wenzany wapi like zanyu❤❤❤❤

  • @D7boyHb
    @D7boyHb 15 часов назад +15

    Me wakwanza naombeni like zang

  • @AisherJuma-d2q
    @AisherJuma-d2q 14 часов назад +11

    Sijachelewa leo chande forever ♥️

  • @hancemichael4979
    @hancemichael4979 15 часов назад +19

    Movie kali sana hii naomba like zenu

  • @Mauwa-z5n
    @Mauwa-z5n 14 часов назад +10

    Team hemedy mpooo Masha'Allah Nakupenda sana😘😘😘😘kazi ipo 💥 Mungu azidi kukubariki Kakaa

  • @Kimwana255
    @Kimwana255 14 часов назад +10

    Nawapenda san mungu awafanyie wepesi w kz yenu awape maarifa kila kukicha

  • @PrinceAmos-y8t
    @PrinceAmos-y8t 15 часов назад +22

    Nakubali sana hemedy unatoa movie nzuri kinyama❤❤❤❤😂😂😂😊😂😊😂😊😊😂😊😂😊😂😊😂😊😊😂😊🎉😊🎉😊🎉🎉🎉

  • @classicswahiliimage7496
    @classicswahiliimage7496 15 часов назад +15

    Khaaaaaa 😂😂😂😂 watu mke gadoooo

  • @RichardMwigah
    @RichardMwigah 15 часов назад +20

    Broo chande tunaomb upunguze mziki imekua mingi afu inachukua mda mlefu sana ✊🙏🙏

    • @okeymediatz1024
      @okeymediatz1024 14 часов назад

      Bila mzik sasa movie haikai poa lazma inanogesha

    • @SamooMongoo-gt9ll
      @SamooMongoo-gt9ll 13 часов назад

      Kwel mzki unasaut kubwa hii mov niyamapenz inatkiwa kasaut flan ivi kachin chin ingekuwa unyam San Ila mov kali🎉

  • @GeoffreyMpalakalilo
    @GeoffreyMpalakalilo 15 часов назад +21

    Leo naombeni like zenu jaman 🇹🇿 🇹🇿

  • @khadijaoshan6881
    @khadijaoshan6881 15 часов назад +10

    Wa. Kwanza 🎉🎉🎉

  • @yousoufabasi4713
    @yousoufabasi4713 15 часов назад +8

    mim nakukubali san hemed anajuwa bro pambana 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @AmisaZajru-hw5rp
    @AmisaZajru-hw5rp 15 часов назад +9

    Wa Kwanza ❤

  • @FredChacha-c5s
    @FredChacha-c5s 15 часов назад +4

    First one waoo

  • @Habib-p8o
    @Habib-p8o 7 часов назад +7

    Kama unamkuba hemed chande gonga like hapa

  • @BimdogoKhamissalim
    @BimdogoKhamissalim 14 часов назад +2

    Kazi nzurii sana mashallah jamani uyu kaka napenda sana mungu akubariki popote ulipo nipo ktk visiwa vya marashi ya karafuu pemba nikiwa nafuatilia tamthilia pendwaa ❤

  • @IkraFusi
    @IkraFusi 14 часов назад +9

    Mbona huwa mnachelewa kutoa vitu vikar kama hivi watu mnatuua na visukar vya subra

  • @LizzyJohnmussaJohnmussa
    @LizzyJohnmussaJohnmussa 7 часов назад +2

    Hua nikikutana na boy kwa mara yakwanza akaniambia habri ya kujenga family hua najua kabisa amna good man here

  • @ZephaniahSekwa-fl2go
    @ZephaniahSekwa-fl2go 14 часов назад +2

    Hii tamthilia nashindwa kabsa kuelewa itaoshiaj mwishoni,
    Hongereni sanaaa maaana tamthilia zingne unajua tu hatima yake .

  • @BekaBoss-jl9my
    @BekaBoss-jl9my 15 часов назад +8

    Mapenzi ❤❤❤❤❤❤❤

  • @ميميالصيعري
    @ميميالصيعري 11 часов назад +2

    Woow nimeipenda sana naomba muondelelezo

  • @majeedmbarouk2457
    @majeedmbarouk2457 14 часов назад +3

    Good job brother unajua sana me fan wako number one

  • @AshaWato
    @AshaWato 12 часов назад +3

    Watching from🇰🇪🇸🇦

  • @Salma-pd8uh
    @Salma-pd8uh 15 часов назад +6

    Nimewai leo wapi team chande❤❤❤

  • @JudithMeshack-b2q
    @JudithMeshack-b2q 12 часов назад +3

    napenda kazi yako kaka upo vzr

  • @SabinaSabinajoseph
    @SabinaSabinajoseph 14 часов назад +2

    Mimi wa mwisho🎉 🎉🎉 ila iyo nyimbo inaniacha hoi 🤗

  • @FarajiMahinya-t3s
    @FarajiMahinya-t3s 13 часов назад +2

    Kaka nami nataman kuwa kama wew kaka pia naomba kuonana na wew nina mazungumzo binafsi kaka

  • @manisobblowi8894
    @manisobblowi8894 15 часов назад +1

    Waaah karibu nichelewe ila nmewahi kidogo❤❤❤

  • @MMlin-bd2mi
    @MMlin-bd2mi 13 часов назад +4

    Chande punguza mziki tafadhali unajiharibia mwenyewe

  • @ZuhuraAbdallah-u9o
    @ZuhuraAbdallah-u9o 10 часов назад +2

    Kutoka oman kazi nzur🎉🎉

  • @Bukuruzeno-zq5ut
    @Bukuruzeno-zq5ut 15 часов назад +5

    Nampenda chande kutoka burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @UmukunziRamura-ur9zc
    @UmukunziRamura-ur9zc 13 часов назад +1

    Mashaa Allah blessings blessings to you nawa penda sana

  • @حليمه-ز1ق
    @حليمه-ز1ق 12 часов назад +1

    Kutoka Kenya na nilivyokuwa nasubiria sasa 😂❤❤❤

  • @zamaliabdulkarim5598
    @zamaliabdulkarim5598 13 часов назад +1

    Asant kwa kazi nzuri fanya wema nenda zako 🇨🇩

  • @MayalaJonh
    @MayalaJonh 13 часов назад +1

    Hongera sana kaka movie kali tupo pamoja

  • @clausmangula8077
    @clausmangula8077 13 часов назад +2

    Oiiii nipo na Esther tuna waangalia kalii sanaaa🎉💐🙌🥂

  • @user-eq7ve8py5n
    @user-eq7ve8py5n 13 часов назад +1

    Kitu kizuri hiki , tunasubiri sehemu ya tatu fasta 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @zainaburashidi8127
    @zainaburashidi8127 15 часов назад +5

    Wa kwanza jaman😂

  • @MasauShida
    @MasauShida 6 часов назад +1

    Kazi nzuri sana Mr. Hemedy🇹🇿

  • @CoolJey19
    @CoolJey19 13 часов назад +2

    sijachelewa leo..from kenya

  • @agnesmwema6396
    @agnesmwema6396 Час назад

    Kaziri sana kweli yaani hemedy unajuwa mpaka unakera jamani 🤔🫦🎉🎉🎉🎉🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤

  • @TimothyBeezjunior-sw5iy
    @TimothyBeezjunior-sw5iy 15 часов назад +7

    Wa pili leo

  • @AloyceVenance-z1i
    @AloyceVenance-z1i 14 часов назад +1

    Sema nyimbo kali sana naweza kuipata

  • @NgendakumanaAlain-o5w
    @NgendakumanaAlain-o5w 13 часов назад +2

    Unyama mwingi💯

  • @djbngudukwimba5682
    @djbngudukwimba5682 15 часов назад +8

    Kitambo sana

  • @luluhoney4622
    @luluhoney4622 11 часов назад

    Jamani filamu nzuri enye mafundisho bora,,,
    Hongera kaka🎉🎉🎉❤❤❤

  • @angelrichard899
    @angelrichard899 13 часов назад +1

    Kaz nzuri ongezeni dakika tafadhari

  • @user-ri8px4pu6c
    @user-ri8px4pu6c 14 часов назад +2

    Sawaa kaka tunaisubirii

  • @MilkaSumbati
    @MilkaSumbati 12 часов назад +1

    Napenda movie zako saana kaka🎉

  • @Mauwa-z5n
    @Mauwa-z5n 14 часов назад +1

    Usichelewe sana kutoa kazi mpenziii😊😊😊😊

  • @ARAFATVSHOW
    @ARAFATVSHOW 14 часов назад +2

    🇷🇼🇷🇼🇷🇼kazi nzuri

  • @mohammedmeja6211
    @mohammedmeja6211 13 часов назад +1

    Safi sana pongezi broo

  • @MwanapiliMlala
    @MwanapiliMlala 14 часов назад +2

    🥰🥰🥰 nmependa

  • @Fathma-fg3vq
    @Fathma-fg3vq 13 часов назад +1

    Chande hongera sana Kwa Dua za mama uyo❤

  • @UnrulyHope-e9j
    @UnrulyHope-e9j 11 часов назад

    Uko vizuri sana Hemed chande movie nzuri sana 🔥🥰

  • @JamilySamson
    @JamilySamson 13 часов назад +2

    Shukran sana tamthiria nzur🎉🎉🎉

  • @MrQuality-bx6qs
    @MrQuality-bx6qs 6 часов назад

    sema kwenye ichi kipande nawaogopa sana ma demu wa fupi!!! mamaaaa 😂😂😂

  • @ReemaSemburu
    @ReemaSemburu 5 часов назад

    Kaka unajuwa ongeza dozi itukoleee❤❤❤

  • @FredChacha-c5s
    @FredChacha-c5s 15 часов назад +2

    Good 👍👍👍 work hemedy

  • @JaylovePeter
    @JaylovePeter 7 часов назад

    Allah akuongoze uzidi kutoa movie nzuri zaidi Dua zangu zipo na ww❤❤

  • @sabrinakassimu
    @sabrinakassimu 14 часов назад +4

    ila kaka movie nyegine tafuta vidada vyenye sura nzur ujue wewe mzur sana Ina takiwa uwena mdafa unae endana nae😅

  • @MwanaidiMaulid-r5l
    @MwanaidiMaulid-r5l 3 часа назад

    Napenda sna movie zko❤❤❤❤

  • @Amadesalimosaide57
    @Amadesalimosaide57 9 часов назад

    From Mozambique 🇲🇿❤❤❤❤

  • @SULE.V
    @SULE.V 10 часов назад

    Mwanangu hemedy chande 🎉🎉 nakukubali sana

  • @LilyNashela
    @LilyNashela 10 часов назад

    Number 200 from Kenya nzuri sn❤❤❤❤

  • @OrnellaNgoyi-q1f
    @OrnellaNgoyi-q1f 14 часов назад +1

    Yani una juwa kutu furahi sha❤

  • @HoHo-l1r
    @HoHo-l1r 7 часов назад

    Mmmmh pole sana najua unateseka sana kwa mapenzi kaka ila Mungu atakupa alie kwa ajili yako tupe mwendlezo 3

  • @LoiceLoice-c1b
    @LoiceLoice-c1b 13 часов назад +1

    Melisa una mtesa mwenzio ujue hemed halalagi

  • @GraceDamas-g9p
    @GraceDamas-g9p 9 часов назад

    Pushapu bila kazi mnatpaga majaribu jamn tunaowapenda tanaotaman tuishi nao Wala hawanaga hata mawazo maisha haya tunakuja kuishi na watu wasio WA ndoto zetu kabisa mwisho wasiku hisia zinakutesa mpka kufa unaambiwa pumzika kwa aman jamn

  • @AsiaJasphone
    @AsiaJasphone 5 часов назад

    Leo ngoja kabra sija angalia mov yeyote naanja na ya chande 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @huseniadamu8395
    @huseniadamu8395 10 часов назад

    Jitahidi brood Ili moves lenyewe😂

  • @JonhBosco-z3o
    @JonhBosco-z3o 13 часов назад +1

    Apa ni vania kutoka mocambique🇲🇿🇲🇿 ❤❤Nakukubali sana hemed

  • @MarthaKatana
    @MarthaKatana 15 часов назад +1

    Wa kwanza from kenya

  • @VeroniccaAssa
    @VeroniccaAssa 6 часов назад +1

    Kwa Mara y kwanza nimewah uwiii like zwnu

  • @ZuhuraAbrahman
    @ZuhuraAbrahman 6 часов назад

    Leo nimekaa na kuvizia melisa ep 3 kumbe bado🥹🥹❤❤❤ tuleteeni ep mbili mbili😂😂😂mov ni nzuri sana MashaAllah ❤❤❤❤❤

  • @khidhryhilmy-tz3te
    @khidhryhilmy-tz3te 6 часов назад

    big up san chandeee we lov uuuu kaz nzur

  • @jumakinonono-jj4zy
    @jumakinonono-jj4zy 7 часов назад

    Move mzur Ila bado ombi langu nilile lile mzee matukio hua yanachelewa Sana sana yaan namaanisha sini moja hua inachukua mda Sana ilihali tukio linafanana

  • @husseinmagulati
    @husseinmagulati 10 часов назад +1

    melisa we ni pisi kali na endelea kukaa kwenye msimamo wako si kila mwanaume tajiri anamapenzi ya kweli me pia nimevutiwa na upendo wetu ukiwa na uyo lasta man

  • @aminakatana8721
    @aminakatana8721 9 часов назад

    ASÀNTE PIA NASI TWAKUPENDA BURE❤❤❤❤ FROM KENYAN

  • @sophiamgina7429
    @sophiamgina7429 13 часов назад +1

    Hemed upon vizur tatizo unachelewa

  • @NemaAli-zh6hr
    @NemaAli-zh6hr 12 часов назад +1

    Am here❤❤❤

  • @agnesmwema6396
    @agnesmwema6396 Час назад

    Hemedy kwenye mapenzi uwaupoivo kweli mana adiunakuwa unakera sasa 🤣😂😂🤣🤣😂

  • @Sundaymgandi
    @Sundaymgandi 12 часов назад +1

    Movie inazid kupamba moto. @kenya 🇰🇪

  • @salomembise4538
    @salomembise4538 13 часов назад

    Movie nzuri sana keep it up bro❤.. wa mwisho jaman wapi like zangu😊

  • @DorcasMuomba-gd3sw
    @DorcasMuomba-gd3sw 7 часов назад

    Congratulations bro kwakutuletea part2 shukrani tunakupenda zaidi 🌹🌹 Mungu akutiye nguvu

  • @nzeyimanaesperance8438
    @nzeyimanaesperance8438 12 часов назад +1

    Mauwa yenu jmn 🎉🎉🎉🎉

  • @rielbag
    @rielbag 14 часов назад +1

    ONGERA SANA, RIVA TOKA 🇨🇩🇨🇩

  • @kidydee5044
    @kidydee5044 12 часов назад +1

    Ola broo nakufatilia sana walai wewe ni mwamba kaka plz usituweke sana kwenye ep ya tatu mana utamu ndio umezidi🔥❤✌️

  • @MissKayela-u6o
    @MissKayela-u6o 12 часов назад +1

    Mimi nahs ndo nilikuwa wa kwanza sema nilikimbilia kuangalia kwanza maana siyo kwa kuwa na hamu ya kuangalia huko

  • @HanifaHanifa-yw4pl
    @HanifaHanifa-yw4pl 9 часов назад

    Nakukubar sana hemedy❤❤❤❤

  • @RYANMUGAMBI-i5d
    @RYANMUGAMBI-i5d 5 часов назад

    Yaani haoni unadevu kabisa dah , sa kumewaka brasa chande
    Nangoja ep 3 kwa mpigo🇰🇪

  • @GraceDamas-g9p
    @GraceDamas-g9p 9 часов назад

    Ngoja nichukue mistari hapa nikatongoze kijana wa mtu na ule wake anikatae namloga