Chuo cha Uhasibu Arusha waanzisha kozi mpya ya Uhasibu na TEHAMA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Kutokana na uwepo wa mabadiliko ya matumizi ya teknolojia katika fani ya uhasibu duniani Chuo Cha Uhasibu Arusha kimeanzisha shahada mpya ya Uhasibu na Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Accountancy with IT) ili kuweza kuzalisha wataalamu ambao watakidhi mahitaji ya soko linalohitajika kwa Sasa.
    Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
    ► bit.ly/2wB6zmR
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►INSTAGRAM: / azamtvtz
    ►INSTAGRAM: / azamsports2
    ►TWITTER: / azamtvtz
    ►FACEBOOK: / azamtvtz
    ►WEBSITE: www.azamtv.co.tz

Комментарии • 2

  • @breezydee7545
    @breezydee7545 3 года назад +1

    hII NI LEVEL NYINGINE AISEE, TANGU NIHITIMU CHUO HIKI MWAKA 2016 NAONA KWELI SAIZI HAMTAKI MCHEZO,,,,HONGERENI

  • @joneskijah3778
    @joneskijah3778 3 года назад

    Nimeiona Papa Hall!!!
    Chuo Chetu