Nawaulizeni enyi ndugu zangu waislamu yaani hakuna hata mmoja wenu ambaye anaona kasoro kuu iliyoko katika kile mnachoita imani? Hebu mjiulize maswali haya; 1. Mbona shahada ikaandikwa kwenye bendera ya Saudi Arabia? 2. Mbona nikisali lazima nielekeze uso wangu Mecca ambayo pia iko Saudi Arabia? 3. Mbona nisali nikitumia lugha ya kiarabu ambayo ni lugha ya kitaifa ya Saudi Arabia? 4. Mbona kuitimiza nguzo ya tano ya uislamu ni lazima niende Saudi Arabia? 5. Mbona nijifunze lugha ya Kiarabu ili kuwasiliana na Mungu ( neno la Mungu na sala pia) Cha nyongeza ni kuwa majini nikitaka kuwasiliana nao ni lazima niwaongeleshe kiarabu Yesu wa Nazareti alitokea Israeli katika kabila ya kiyahudi lakini wakristo hawajalazimishwa kuwasilana na Mungu wakitazama Israeli, hawasali wakitumia lugha za wengine n.k
In shaa Allah kila la kheir
Allah awajalie ikhlas kwa hiyo kazi mnaofanya. Tuwaombee ndugu zetu wa Palestine 🇵🇸🇵🇸
Allah awalinde
Allah awanusuru nkaz yenu nzuri
Mashallah Mola azidi kuwafungulia milango ya heri na awalindi kwa kilabaya amiin inshallah
wa aleikum salaam warahmatulillahi wabarakatuh
Allah awabariki kua kazi zenu
na mfike salama
Mashallah masheikh wetu Allah awahifadhi na kila Shari na awalipe dua twawaombea
Allah awajaalie awaepushe na shari awafanyie wepesi katika kila hatua inshaallah one love mashkhe wetu mkono kwa mkono hadi peponi inshallah
Shekh Yusuf unanichekesha eti Kuna magovernor masenetor na yule Mama WA county 😂😂😂😂inahuzunisha lkn
Subhanalladhy sakkharalanaa hadha wamakunnaa lahu muqrinyn....Allah atujaalie IKHLAS...aaaaamiina
🤲🏾🤲🏾
Poleni sana hio safari sio rahisi.
Maa shaa Allaah, sijawai mkisii muislamu
MashaaAllah Allah awafanyie wepes
Home town 🙏
Ma sha Allah tabaraka Rahman.umepitia apa kwetu uwe na safari njema
Kwenu ni wapi?
Garsen tana river
Mungu awafungulie na awafanikishe
Masha Allah pia upitie mavuno utupe dawa
Mwenyezimngu awapeleke salama na murudi salama!
Masha Allah ❤
Masha ALLAH ❤ ♥ 💖
assalam aleikuym...sheikh ...usikaribie mto...unaweza liwa na mamba....haaaa 。。。mwenyezi mungu awafanyie wepesi...kwa safari yenu
Barikiweni sana sana
ALLAH awape kheri
Karibu, huko Mpeketoni ndiko kwa biashara yangu
Shukran
Alhamdulillah siku zote nilikua naomba one day ufikirie kutembelea mpeketoni na limetimia...
Mpeketoni wanaona waislamu kuwa ni watu wabaya sana Allah awape nguvu kuweza kuwalingania na kuelewa uislamu
Sheikh tuna furahi sana kukuona kwetu ila ufike mavuno utupe dawa
Subhanallah. Duu maji hayo wanakunywa?
Hao nao waarabu lakin waandika mosque, badala ya masjid
tanariver
Vitu viwili vita unganisha wakenya na kuitukuza Kenya: lugha ya kiswahili na dini ya kiislamu.
Allah awalinde
Sheikh ramadhan karibu lamu inshaa llah natamani ningekua nikuunge kwahio daawa hadi uregee
Poleni na safari Allah awalinde na kila baya
AllahhuAkbar
MAASHAALLAH. Sheikh Yussuf ulikuwa wapi
Ishekh siku moja mutembee madgo
Nawaulizeni enyi ndugu zangu waislamu yaani hakuna hata mmoja wenu ambaye anaona kasoro kuu iliyoko katika kile mnachoita imani? Hebu mjiulize maswali haya;
1. Mbona shahada ikaandikwa kwenye bendera ya Saudi Arabia?
2. Mbona nikisali lazima nielekeze uso wangu Mecca ambayo pia iko Saudi Arabia?
3. Mbona nisali nikitumia lugha ya kiarabu ambayo ni lugha ya kitaifa ya Saudi Arabia?
4. Mbona kuitimiza nguzo ya tano ya uislamu ni lazima niende Saudi Arabia?
5. Mbona nijifunze lugha ya Kiarabu ili kuwasiliana na Mungu ( neno la Mungu na sala pia)
Cha nyongeza ni kuwa majini nikitaka kuwasiliana nao ni lazima niwaongeleshe kiarabu
Yesu wa Nazareti alitokea Israeli katika kabila ya kiyahudi lakini wakristo hawajalazimishwa kuwasilana na Mungu wakitazama Israeli, hawasali wakitumia lugha za wengine n.k
Nawapenda sana Ustadh Wangu Ramadhan na Yusuf
Twawapenda kwa ajili ya Allah
Ustadh umepita Witu
Naam
@@StraightPathDawah when are you coming back, I want to say hae
MASHAALLAH