MASAIBU YA SAFARI YA MPEKETONI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 сен 2024
  • Please consider subscribing to our Channel for more videos.

Комментарии • 49

  • @SaidMgeni
    @SaidMgeni 4 месяца назад +3

    In shaa Allah kila la kheir

  • @minhajsahal4467
    @minhajsahal4467 3 месяца назад +7

    Allah awajalie ikhlas kwa hiyo kazi mnaofanya. Tuwaombee ndugu zetu wa Palestine 🇵🇸🇵🇸

  • @smartwriter2544
    @smartwriter2544 4 месяца назад +3

    Allah awalinde

  • @kimzymamy6594
    @kimzymamy6594 3 месяца назад +2

    Allah awanusuru nkaz yenu nzuri

  • @MwanaidyMwambez
    @MwanaidyMwambez 3 месяца назад

    Mashallah Mola azidi kuwafungulia milango ya heri na awalindi kwa kilabaya amiin inshallah

  • @ARNOLDKARISA-fs3ht
    @ARNOLDKARISA-fs3ht 3 месяца назад +2

    wa aleikum salaam warahmatulillahi wabarakatuh

  • @mukandamaakbar599
    @mukandamaakbar599 4 месяца назад +3

    Allah awabariki kua kazi zenu
    na mfike salama

  • @rizikiali328
    @rizikiali328 3 месяца назад

    Mashallah masheikh wetu Allah awahifadhi na kila Shari na awalipe dua twawaombea

  • @AssdfAssd-g3y
    @AssdfAssd-g3y 3 месяца назад

    Allah awajaalie awaepushe na shari awafanyie wepesi katika kila hatua inshaallah one love mashkhe wetu mkono kwa mkono hadi peponi inshallah

    • @AssdfAssd-g3y
      @AssdfAssd-g3y 3 месяца назад

      Shekh Yusuf unanichekesha eti Kuna magovernor masenetor na yule Mama WA county 😂😂😂😂inahuzunisha lkn

  • @Fumokale
    @Fumokale 3 месяца назад

    Subhanalladhy sakkharalanaa hadha wamakunnaa lahu muqrinyn....Allah atujaalie IKHLAS...aaaaamiina

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 4 месяца назад +2

    🤲🏾🤲🏾

  • @Alinuribrahim1
    @Alinuribrahim1 3 месяца назад +1

    Poleni sana hio safari sio rahisi.

  • @habibasalim3092
    @habibasalim3092 3 месяца назад

    Maa shaa Allaah, sijawai mkisii muislamu

  • @zainabhussain4114
    @zainabhussain4114 3 месяца назад

    MashaaAllah Allah awafanyie wepes

  • @Shillingi
    @Shillingi 3 месяца назад +2

    Home town 🙏

  • @Nora-v1m3p
    @Nora-v1m3p 4 месяца назад +1

    Ma sha Allah tabaraka Rahman.umepitia apa kwetu uwe na safari njema

  • @martymcfly9232
    @martymcfly9232 3 месяца назад

    Mungu awafungulie na awafanikishe

  • @swahabahusein23
    @swahabahusein23 3 месяца назад +1

    Masha Allah pia upitie mavuno utupe dawa

  • @Kitwitwi
    @Kitwitwi 3 месяца назад

    Mwenyezimngu awapeleke salama na murudi salama!

  • @mwanamtotosaid702
    @mwanamtotosaid702 3 месяца назад

    Masha Allah ❤

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343 3 месяца назад

    Masha ALLAH ❤ ♥ 💖

  • @softymoha5484
    @softymoha5484 3 месяца назад

    assalam aleikuym...sheikh ...usikaribie mto...unaweza liwa na mamba....haaaa 。。。mwenyezi mungu awafanyie wepesi...kwa safari yenu

  • @josemu870
    @josemu870 3 месяца назад

    Barikiweni sana sana

  • @SinaHafidhi
    @SinaHafidhi 3 месяца назад

    ALLAH awape kheri

  • @salimbaasba6159
    @salimbaasba6159 4 месяца назад +1

    Karibu, huko Mpeketoni ndiko kwa biashara yangu

  • @omarmselem6407
    @omarmselem6407 3 месяца назад

    Alhamdulillah siku zote nilikua naomba one day ufikirie kutembelea mpeketoni na limetimia...

    • @omarmselem6407
      @omarmselem6407 3 месяца назад

      Mpeketoni wanaona waislamu kuwa ni watu wabaya sana Allah awape nguvu kuweza kuwalingania na kuelewa uislamu

  • @swahabahusein23
    @swahabahusein23 3 месяца назад +2

    Sheikh tuna furahi sana kukuona kwetu ila ufike mavuno utupe dawa

  • @maymunamakungu6265
    @maymunamakungu6265 3 месяца назад

    Subhanallah. Duu maji hayo wanakunywa?

  • @habibasalim3092
    @habibasalim3092 3 месяца назад

    Hao nao waarabu lakin waandika mosque, badala ya masjid

  • @Nora-v1m3p
    @Nora-v1m3p 4 месяца назад

    tanariver

  • @martymcfly9232
    @martymcfly9232 3 месяца назад

    Vitu viwili vita unganisha wakenya na kuitukuza Kenya: lugha ya kiswahili na dini ya kiislamu.

  • @Alinuribrahim1
    @Alinuribrahim1 3 месяца назад +1

    Allah awalinde

  • @andallaathman3856
    @andallaathman3856 4 месяца назад +4

    Sheikh ramadhan karibu lamu inshaa llah natamani ningekua nikuunge kwahio daawa hadi uregee

  • @lailahumaid2011
    @lailahumaid2011 3 месяца назад +2

    Poleni na safari Allah awalinde na kila baya

  • @zanzibar-hf7vh
    @zanzibar-hf7vh 3 месяца назад +1

    AllahhuAkbar

  • @maymunamakungu6265
    @maymunamakungu6265 3 месяца назад

    MAASHAALLAH. Sheikh Yussuf ulikuwa wapi

  • @muhamedibrahim8931
    @muhamedibrahim8931 3 месяца назад

    Ishekh siku moja mutembee madgo

  • @kennodhiambo
    @kennodhiambo 3 месяца назад

    Nawaulizeni enyi ndugu zangu waislamu yaani hakuna hata mmoja wenu ambaye anaona kasoro kuu iliyoko katika kile mnachoita imani? Hebu mjiulize maswali haya;
    1. Mbona shahada ikaandikwa kwenye bendera ya Saudi Arabia?
    2. Mbona nikisali lazima nielekeze uso wangu Mecca ambayo pia iko Saudi Arabia?
    3. Mbona nisali nikitumia lugha ya kiarabu ambayo ni lugha ya kitaifa ya Saudi Arabia?
    4. Mbona kuitimiza nguzo ya tano ya uislamu ni lazima niende Saudi Arabia?
    5. Mbona nijifunze lugha ya Kiarabu ili kuwasiliana na Mungu ( neno la Mungu na sala pia)
    Cha nyongeza ni kuwa majini nikitaka kuwasiliana nao ni lazima niwaongeleshe kiarabu
    Yesu wa Nazareti alitokea Israeli katika kabila ya kiyahudi lakini wakristo hawajalazimishwa kuwasilana na Mungu wakitazama Israeli, hawasali wakitumia lugha za wengine n.k

  • @Abdiidaawah
    @Abdiidaawah 3 месяца назад

    Nawapenda sana Ustadh Wangu Ramadhan na Yusuf

  • @rizikiali328
    @rizikiali328 3 месяца назад

    Twawapenda kwa ajili ya Allah

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214 4 месяца назад +2

    Ustadh umepita Witu

  • @AbdirahmangolloHalake
    @AbdirahmangolloHalake 3 месяца назад

    MASHAALLAH