Upatikanaji wa mbuzi aina ya Boer Tanzania
HTML-код
- Опубликовано: 31 июл 2020
- Katika makala hii tunazungumzia mada inayohusu upatikanaji wa mbuzi aina ya Boer hapa nchini Tanzania. Wafugaji wengi hapa nchini wamekuwa wakiulizia wapi wanaweza kupata mbuzi aina ya boer hapa nchini ili wanunue kwaajili ya mbegu. Makala hii inatoa maelezo hukusu hili.
Животные
Shukrani kwa darasa zuri sana umetuvungua wengi. Je hapo kwako naweza pata mbuzi Boer mwenye 70%-80%. Na tsh ngapi
Hongera kwa maelezo mazuri,mimi niko mkoa wa Pwani hapa kibaha,nawahitaji sana hawa mbuzi aina ya boer, na Red Kalahari, naomba mkiwa tayari unijulishe
This is a great business brother
Love you narrative and the aim of the farm is great
Greatly appreciate for your feedback.
Great job
Thanks boss!
Big up sana Beda! Barikiwa sana
Thank you!
nice job bro. keep up bro. exelent
Thanks so much.
Ok we will Subscribe
Greatly appreciated Joan. Keep well!
Big like brother..
Thanks brother
Your contacts please
+255788455234
Shukran kwa maelezo mazuri,ila kidogo umebana badala kurudia maelezo nafasi ilikuwepo kwa video hii ku brief process ikoje kununua na kuleta Tanzania breed ya boer 100% to South Africa ,badala yua kukusubiri mpaka utakapo kuwa tayari kuuza,usitupe samaki,tufundishe kuvua kwa maslahi mapana ya taifa letu.
Yasin Juma hii video ingekuwa ndefu sana kama ningeweka details zote hizo. Ila nitarekodi video nyingine itakayotoa hayo maelezo.
@@ShambaniFarmAny update on this please.
Habari. Mmeanza kuuza hao mbuzi?
Nahitaji hao mbuzi boar goat pure100
Great bro,nawahitaji hao ila ukitupa utaratibu wa jinsi ya kuagiza itakua poa sana,VP pia upatikanaji wa savannah na Kalahari red.
Daniel Wilbernard Mmary nitarekodi video nyingine kuhusu hilo suala karibuni. Tupo pamoja.
@@ShambaniFarm uko wapi ndg.
Ajabu. Latest Land Cruisers za VX zinapatikana hapa TZ lakini tunashindwa kuleta Boer Goats kutoka nje. Inaonesha bado hatupo serious.😢
Kwasasahivi kidogo kuna mabadiliko. Naona idadi imeongezeka walau. Hii video ilikuwa ya nyuma kidogo. Kama miaka mitatu hivi.
Namba
Mimi ninahitaji kufuga mbuzi Boer au chotara nitawapata wapi ? Shamba lenu lipo wapi ?
Naomba utusaidie utaratibu uwa kuagiza boer Kutoka SA hasa kuhusu vibali
ROBERT MAGIGE nitafanya video nyingine kwaajili ya hii.
Maelezo yalitakiwa yawe mafupi lakini huo mzunguko anaopita nao unaboa kwa kweli!
Nitamjuaje mbuzi boar?
Boer pure wapo wengi tu Iringa ASAS Farm....Nyang'oro farm
Wamekuja mda baada ya kutengeneza hii video.
Kwakweli sijui kwann TZ tunakuwa nyuma nyuma sana hata Uganda wanatushinda yani hao mbuzi TZ nzima hawazidi 60😳 dah!! Alafu eti kuna wizara ya mifugo hovyo kabisa...
Nadhani ni masuala ya vipaombele. Maana najua kuna sehemu nyingi tunaeazidi waganda. Lakini kwenye hili kwakweli wanatuzidi. Hivyo inamaanisha eidha halijapewe kipaumbele au miradi mingi ambayo iliundwa ili kuleta kizi mbegu haijafanya kazi. Ukiangalia historia utakuta kuna miradi mingi ikianzishwa lakini swali ni je ilifika wapi?
Nyie mpo mkoa gan
Tuko Dar na Pwani!
SHAMBANI FARM naomba namba zenu za simu
The story is too long.Tell us where to get how to keep them and why Boer?
There are many videos on this same channel that talk about all the questions you have asked. Unfortunately I could not answer those questions in this video because it wasn't the objective of the video. The video was addressing what is in the title.
mbuzi aina ya boer wanapatikana wapi mii nikiwa zanzibar na bei yake ikoje
Nice, sorry mbuzi aina ya Galla jike na dume ni sh ngapi na ni wa umri gani? Shoukran, nitashukuru kama nikioatiwa jibu mapema
Unaweza kupata kwa TZS 250,000
@@ShambaniFarm shoujran sana Brother, tutaelekea kwenye utekelezaji shoukran sana
@@ShambaniFarm na umri wao pia ni upi, kwa maana hao wa 250K ni tayari wapo kwenye kuzaa au baada ya muda flani ndio wataanza kuzaa
Majike yanakuwa tayari kuzaa. Na madume yanakuwa kama ya miezi 9 mpaka mwaka mmoja.
namba yako plz
Namba za simu
Mimi nàhitaji hii jamii ya mbuzi naomba cm no zako tafadhali tuwasiliane
i wish to know if i can buy from bro?
Unfortunately we have not started selling. That's what I was explaining in this video that their availability is still a challenge here in Tanzania.
Jibu sahihi huwezi kumpata Tanzania.
when could be selling the boer bucks
I can't tell yet. There some numbers we need to achieve
Upo wapi ndugu? Hao chotara wanauzwa sh ngapi?
Tupo Dar es Salaam. Unahitaji majike au madume?
@@ShambaniFarm dume 1 majike 5. Vizaz tofaut
Mnapatikana wapi na Bei gani
Nikitaka kuanza farm ya mbuzi nitahtaji niqnze na mbuzi wa ngap??
Unfortunate you tubers wengi wanatoa story miingi. But maswali kama haya hutapata jibu kabisa
Very sad
Tunasubiri hao boer waongezeke mtuuzie
Itachukua muda kidogo. Tunaweza kukusaidia ku import pia. Kutoka South Africa.
I didnot understand kiswahili bt wat did u talk about briefly
I'm uploading an English version soon. Basically its about the availability of Boer goats in Tanzania.
Here is the English version ruclips.net/video/90FKGU2cROU/видео.html
When a you starting selling red Kalahari goat brother
There's still some way to go brother. We still don't have the mass numbers for us to start selling.
@@ShambaniFarm hopefully in 2021 you might be selling.
Lets hope so!
Naomba mkianza kuuza au kama kunasehemu wapo naomba nifahamishe
Tutakujulisha tukianza kuuza.
nahitaji kuanzisha ufugaji wa mbuzi ila aina bora ya mbuzi ndiyo sifahamu
Mbona amjibu ujumbe
Mbona tunajibu? Ni ujumbe gani haujajibiwa.
Tupe number zenu kaka
Nahitaji sana mbuzi hawa,
Karibu tukuhudumie.
Naomba namba yako,,tuwasiliane
Mawaxiliano please
Contact zetu zipo kwenye “about us” kwenye hii channel yetu.
Nikiitaji mbuzi Boer mmoja utaniuzia shi.ngapi?
Hii video mbona imeshaelezea hilo kaka?!
ruclips.net/video/avNuK9sNjrg/видео.html
Pale kisalawe wanao Ila Ni %70
kuna jamaa anao wengi tu pwani, sema na yeye hajaanza uza...ila anao wengi....hao 60 unaosemea ni wachache mkuu...
Anaitwa nani na yuko Pwani gani?
Mnapatikana wapi
Tupo Dar
Nahitaji mbegu ntapataje
tupe namba yako bro
0788 455 234, please text first.
Nahitaj dume moja la boar Ni sh ngp
$850
Brother TUNAOMBA MAWASILIANO YAKO
0788455234
@@ShambaniFarm thanks mkuu
Salma kaka mm nimfungaji wambuzi wakienyeji ila na changa moto ya mbuzi wangu wana ujua mapafu naomba ushauli na tiba nifabyej
Suluhisho la mapagu ni chanjo tu kaka. Pia hakikisha chini ya banda uchafu unasafishwa walau mara moja kwa wiki kama wanatumia banda la kichanja. Kama wanatumia banda la chini usafi ni kila siku.
Nunua dawa inaitwa tylocene
Mm nipo Moshi nafuga aina ya galla karibu sana.
Mm hua nafuatilia sana. Wa Uganda hawapo vizuri sana. Wamedumaa. Pia Asasi toka ameanza kufuga ni muda mfupi sana. Nilijitahidi kuwasiliana na wanaoagiza kutoka South Africa wakaniambia kwa sasa wamesimama. Kuna tatizo la vibali
Tylocene ndiyo suluhisho
NAOMBA Namba yako
Assalam mambo
bro umefika wp ktk hii project kwani mm pia nataka kuanza kufuga hawa mbuzi kama pia unayo namba yake nitumieni e pls
Can i have your Contacts..
+255788455234
@@ShambaniFarm unauzaje jike 1 na Dume 1 ???
0674 272155
Yaani nyie mnatia huruma jamani
Inaonekana hamna haha ya kusaidia watz Ila mnaitaji kitambulika tu
Kuweni wawazi alafu jibuni comments mtaona mtakavo kuwa na wafuasi wengi Sana
Msiwe wabnafsi
Tunashukuru kwa maoni yako hata kama yanaonekana kutoka kwenye moyo usiofurahia tunayoyafanya. Tunakubali ya kuwa watu wanaruhusiwa kuwa na maoni tofauti. Ila sisi tunajua kwamba hakuna chochote tunachokificha na Nia yetu tunaijua sisi. Tunajitahidi kwa kadri ipasavyo kujibu comments kila tunapopata nafasi - 90% ya comments zilizopo kwenye channel yetu zimejibiwa. Asante sana
Mimi huwa Ni mkorofi ninaejitambua Ivo nimefarijika kwa kuona kero ya kutowajibu watu inaanza kupungua
Andaa vid inavoonesha jinsi ya kuagiza AWA mbuzi
Muache kuongopa. Tanzania hakuna mbuzi aina hiyo. Wanapatikana Uganda kwa Afrika Mashariki.
Sawa. Hongera kwa kujua hilo mjuzi sana.
Iringa wapo wengi tu ASAS Farm