NI SALAMA ROHONI MWANGU. Tenzi namba 23.
HTML-код
- Опубликовано: 9 фев 2025
- Nionapo amani kama shwari, ama nionapo shida, kwa mambo yote umenijulisha, ni salama Rohoni mwangu.
Mwimbaji anakusudia kukuonyesha kuwa haijalishi mazingira tunayopitia, bado ni salama katika roho zetu.
#love #music #gospelmusic #nyimbozatenzi
Subscribe to this channel for more videos.
• TENZI ZA ROHONI.
Moja ya wimbo ni nao upenda Niki fikiria mungu alipo ni fikisha hadi leo ni salama kweli mungu anaomba uni ponye na ya dunia ni kupiga nie hadi mweisho sichoki kwako bwana 😫😫😫 nisamehe Zambi zangu Asante kwa wimbo wenu mungu awa bariki sana✍️✍️✍️✍️🤚🤜🤜🤜🤚
Safi sana brother
Mungu awatie ngguvu nyimbo zenu zaniliwaza nakunipandisha kiimani
Kweli nyimbo za tenz zinatufanya tufarijike kwahiyo napenda kuwapongeza Kwa kazi kwan ni kubwa
Hii iliwekwa bidii kabisa,,,keep it up.
So salama rohini kwa huyo mkeo kapungukiwa na uwepo wa Mungu na ibada kwa kuweka minywele feki atoe awe orijino
Nywere siyo sababu za kukosa uwepo wa Mungu Hilo ni pambo tu
@@imanifungo7736 hizo ni dalili za kupungukiwa kama si kukauka kwa nguvu na uwepo wa Mungu uwepo wa Mungu si wangapi wanakusifia na kuongeza bali wewe una badilika kiasi gani sawa na unachokiimba
Mimi hua anaijenga roho yangu Sana, Niko loitoktok Mungu aendelee kumpa ufunuo
Hii wimbo inanipa moyo sana nahisi kaa nimebarikiwa sana asante Sana Kwa wimbo
Salama very emotional kwangu kwa kweli Nina amani sasa
Mwanitia nguvu sana;🎉🎉🎉
@@JacklineMonyangi-h8w Asante sana
@@JacklineMonyangi-h8w Hiyo ni furaha yetu, watumie wengine link ya video hiyo nao watiwe moyo.
Mungu Wang nipe balaka zako🙏🙏🙏🙏 Amen
Amina brother kwa nyimbo nzuri salama rohoni 🤚🏽🤚🏽🤚🏽
Barikiwa sanaa tena sanaaa
barikiwa mtumishi
Asante wapendwa.wangu kwa nyimbo. nzuri
Ninapenda hi wimbo yangu utotoni hadi wa leo imenigusa rohoni mwangu Mungu awabariki
❤❤❤ good bless you Jesus never geve
Hiyo wimbo nakubuka nikiwa high school nilichaguliwa kuwa mwimbaji nilipenda kuimba naomba mungu anipe kipawa ❤❤❤❤
❤mungu awabariki sana
nice and blessed song 🎉🎉
Kiukwel nabarikiwa na nyimbo zako sana mtumish
Hongereni sana kwa nyimbo nzuri mungu awabariki sana
N’a furahi kuwona ngisi mu n’a pendana tou Amen
Kwer ukiwa na mungu ndan laha mtupu
Upo vizuri sana kaka barikiwa sana,,,,, napenda sana nyimbo zako,,, BIG UP
Bwana ni mwema. Asante sana
Ama kweli his tenzi imenigusa maana inaniweka karibu na uwepo wa mungu😊😊
I feel blessed whenever i listen to this song......bless my soul oh Lord🙏
Real
Nimebarikiwa mpendwa na nyimbo hii ,mungu akupandishe juu zaid
Amen 🙏 Amen 🙏. Peace of God.God bless
May the Lord continue to give you more strength ,move you from one glory to another. My early 2000, I was dancing this song after high school, both my parents were a live as they really loved this song,now they are no more . The memories of our lovely family by then comes every moment I listened to this song. God bless you mtumishi.
@@KennedyOgembo-m6x Aaaaaem amen amen
good work bro
Piga kazi mama yetu doctor samia suluhu hasani tutafika kanani salama mungu yupo nawe maana alijua pekee wewe ni rais wa Tanzania kama mwanamke nasikia fahari uwepo wako
Kazi nzuri baba Mungu aendelee kutukuzwa
Ubarikiwe sana kwanyimbo nzuri Mungu akubariki sana
Good work 🎉❤❤❤❤❤❤❤❤
Ni salama rohoni mwangu💃🙏🙏🤝
Napitia magunu lkn nikisikiliza huu wimbl najiona kuwa ni salama kweli fohon mwanangu
Hakika nafarijika sanaaaaaaaaaaaa
Ameeeen
Be blessed 🙏
Mungu awabariki.muendelee.kumtumikia.Mungu siku za maisha
kaka kwa wimbo huhu ni salama rohoni mwangu mungu azidi kuku bariki kwa kipaji hiki
Je sens les frissons quand j'entends des cantiques swahili
Amina Sana tupo salama kwasababu yesu yupo ndan yetunabarikiwa sana
I'm blessed ❤️salama rohoni mwangu
Ooooh Lord may Kenyans find solace in this song during this time of calamities
Floods and accidents😢😢😢
Ni salama Rohini Mungu tukumbuke.
Aminaa
Asante sana watumishi wa Mungu wimbo huu ni mzuri sana
This song make me to cry when l remember the far that God has brought me
@@HesbonKiprono-g4s Oooh! God be with us.
Nice song❤❤❤nipitie pia🙏🙏
Amina Mtumishi Barikiwa Saana 🔥🔥🔥🔥🔥
Kwa kweli sichoki kukiza nyimbo zenu.zinanifanya kujikuta nikiomba tu mahali popote
❤❤❤thanks to God
lord bless this man
Ameeeeen mtumishi 🙏🙏 nimebarikiwa sana sana kazi njema Mungu wa mbinguni akuinue zaidi na zaidi.
wonderful listening to this 2025.
@@eunicewanyiri1457 Well
Nafarijika sana pindi nasikiliza huu wimbo bwana ni mwema
Who is listening in 2025 ?
What a great song
Amen amen. Tuna chapisho jipya ambalo utalifurahia pia. Tazama
ruclips.net/video/O8ZgvH53IIs/видео.htmlsi=cnyFYjVaSB4St4FY
Amen tena sana, Hii wimbo inanikumbuza vile Baba ya watoto wangu aliniacha kwa kitanda nikiwa mgonjwa ,nilikua naimba nikilia Sana, God bless you
amen nyimbo zake zinanifariji barikiwa sana
Asante sana ndugu ya nngu kwa nyimbo zuri
Salama ni salama rohoni Kwan Kristo Yu ndani yangu
am blessed keep pressing it
Hata nami nisalama rohoni mwangu
Amen amen amen
Thanks your god bless go more again
Ubarikiwe sana
MUngU akubarik unanitia moyo hasa kipindi Cha magumu niliyonayo
Nyimbooooo nziliiii
Umeiimba vizuri kwa namna ambayo inatubariki saaaana
Mnaimba vzr sana jmn
Nabarikiwa sana
Ahsante kwa wimbo wenu. Mubarikiwe
Nyimbo nzuru mzidi kubarikiwa
M barikiwe na mungu kwa nyimbo zuri
Amen
Amen, amen, Mubarikiwe sana t
Hii wimbo hunibariki sana
Dino im proud of yo. Felix niko canada
To God be the Glory. Thank you very much, you cana join us in our Ministry also. You are welcome.
Barikiwa sana
I always listen to this song❤❤❤❤
Waoooh hongera sana Mungu akubariki mno
Bwana ni mwema
Hongera baba kazi nzuri sana 👏
Amen. Bwana ni mwema
Salama Rohini ...Amen Amen
Amina kubwa barikuwa sana
Huu wimbo back 2001 after my fathers death nlijua dunia c rahisi,,after burial wakoo wote walienda kutuacha na mum,,my mum jobless lazima apike changaa ndio tukule,,acha Mungu aitwe Mungu tuzidi kumsifu Mungu,,sai mm hapa strong en thanking God,,
Inanijenga nafsi yangu hii tenzi ya roho.barikiwa
Nyimbo zako kaka zinapendeza endelea hivo hivo
Asante sana
God bless you❤
Amen
Ni salama rohoni mwangu God bless you
Waoou emeni and emen wimbo umenijaza nguvu rohoni
Amen
Nice song 🙏🙏🙏
Whoever listening to this song in 2024 may God bless..it shall be well with you
Amen Ameeen Amen.
Be All Blessed abundantly .
🙏🙏🙏
Amen
Amen 🙏
amen
Amen,indeed God is doin good thing s to our lives
Hakika wimbo huu unabeba hisia kali ndani ya moyo na rohoni ....
Tangu nijue nyimbo za huyu ndugu basi moyoni huhisi nikiwa nimebarikiwa sana kila wakati ninapomsikiliza... Sante sana mtu wa Mungu
Nyimbo zako zanibariki sana. Mtumishi wa mungu 🙏🙏 god bless you 🙏 shalom 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Nisalama rohoni mwangu🙏🙏🙏🙏🙏
Kabisa, kuna special anointing kwa huyu mtumishi katika nyimbo hizi, zinabariki
Do g fill l
Qààa
MUNGU akubariki mtumishi nabarikwa na huduma yako♥️♥️♥️
Napitia shida lakini naamini Mungu yu nami
@@10bsteve80 Amen
What a beautiful song it is!!
Ubarikiwe Sana mtumishi wimbo. Huu nisarama umenigusa Sana MUNGU BABA akuzidi shie neema
Amen
Mubarikiwe sana ndugu zetu
Yesu ni usalama wangu amen
@@MoosaMd-h6b Amen
I heard this song in church today and it really touched my heart,had to search for it.May you be blessed
Naburudika tu,Keepit up! My beloved ones in Christ
Thank you, thank you, thank you.
🤚🏽🤚🏽🤚🏽🤚🏻🤚🏻🤚🏻salama ni salama rohoni ni salama rohoni 🤚🏽🤚🏽
Sisemi kitu,barikiwa sana na sana saidi
@@JeremiahChauro Amen, amen amen