MOCCO GENIUS AFICHUA ALICHOAMBIWA NA DIAMOND KUHUSU KOLABO YAKE NA ALIKIBA - NAPENDWA
HTML-код
- Опубликовано: 3 окт 2022
- MOCCO GENIUS AFICHUA ALICHOAMBIWA NA DIAMOND KUHUSU KOLABO YAKE NA ALIKIBA - NAPENDWA
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Развлечения
Alikiba is so talented jaman. Wana East Africa Kenya Uganda and Tanzania give me your likes
watu wanaokutana na ally kiba na diamond wote hutuambia jamaa hawana roho mbaya na hawaongelean vibaya kwann sis mashabiki tusiache kuwachukia hawa watu tuwasaport wote coz sis hata hatukutaki nao laki midomo yetu sasa
Brother #IddySonyo umeongea point ndugu...
Jamn ebu mnilike leo wakwanza
Tunajua mama dangote anapenda sana mashair ya kiba
Alikiba 💪💪🔥
#KingKiba huyo jamaa mkali sana 🔥❤
Napendwa 2 nomaaa saaana😍🔥🔥🔥
GENIUS MOKOOOOO
Huu ni mda mwafaka wa sisi kama mashabiki kuwatia moru hawa wasanii wetu wawili wanaopendwa na watu wengi watufanyie nyimbo moja ya pamoja... Aki itavuma ulimwengu mzima.
Esma acha dharau hizo, Eti kaimba nani ? Kwani humjui shemeji yako Kiba Kweli basi muulize mdogo wako queen🤣😂🤣😂
SAFI WASAFI KUMBE HUWA UNASAPOT HATA UPANDE WA PILI GOOD KING KIBA
Sio kua ana support bali ameupenda wimbo na hakutaka kufichua hisia zake nyimbo haina matusi nyimbo safi tamu.
@@jumajay8496 nashukulu aiseeh umenifungua lengo lilikuwa niseme hvyo nimeshndwa kutolea maelezo vzuri me kiswahili nimejifunza shulen ukweli kwetu tulikuwa tunaongea kirugha tuuu. ukizaliwa tu unakutana na kirugha aseeeh
King kibaa
Alwayzz KingKiba is on top
Ally he's very cool
I really love wasafi channel even though I don't understand Swahili kumamake
😀😀 kwel kumamakee
Kumamamammake Umejuaje sasa 😂😂😂😂😂
@@rashidrajabu6156 eti jamani asitutanie
🤣🤣
😂😂😂😂
Nilitaka kushangaa hapa isiwepo picha ya diamond hahahahha hii tv safi sana akihijiwa msanii yeyote yule lazma atajwe diamond na familia yake .
Hapo ndo wanakela
Best producer ever happened in tz
Mwambieni na Baba enu akipewa korabo awe anaimba vizuri sio kuuma Uma maneno na kuharibu Ngoma za watu mfano kina Chris kina Davido mbona wakipewa korabo wanauwa coz wanaproove ukubwa wao sio kuwaharibia watu nyimbo
King King Fire
unafanya kazi safi bro..mungu azidi kukubariki
Mocco anajua kuimba
Moco nzi nywele zko wanaziona km mavi naona wanazifata tu 😄😁
I’ve said many times, Ali Kiba is something else. Mocco is talented and probably the best producer in the game at the moment.
Big up like me
Dogo anaadabu sana anastahili
Safi , interview imekaa poa ,
MashaAllah nice
Kweli
Good
Esma kwani kaimba nani unajifanya aufahama au? Acha zarau bhnr.
tokos
Mocco🤝
King kiba kipenzi Cha watu sema hajitangazi
kiba ni mtu poa sana yani angekuwa sadala hapo weee hawezi msaidia mtu hana ngoma hata moja
😆😆😁et sadala
#mdete tv
Lakini alimchukua Mmakonde baada ya kukataliwa BSS huku Master J akimwambia akatafute shughuli nyingine ya kufanya kwani kipaji cha kuimba hana na ndiye artist pekee anayepambani wasanii wa kwenye label yake mpaka wanakuwa international artists siyo hao wa kwenye labels nyingine wanabaniwa miaka nenda rudi wanabaki kuwa underground.
Naomba kujua kwani brichi inasaidia nn kichwani kwa wanaum nijibuni please niweze kujua
Kama nyie tu mnavyopaka ,tofaut ni jinsia tu imechili apo
Kwan nyie suruali mnazivaa ili ziwasaidie nn
Nikujifananisha na uzungu na kutojikubal. Wote kike kiume bado watu wapo kwenye utumwa wa uzungu afu mwisho mnawaita mabeberu. Yaan unapishana na mwanamke wa kimakonde utasema angelina juli
Asanten wot nawapenda🌍
#Mimah Ally
Bleaching kwa mwanaume ni dalili za ushoga tu hakuna kingine.
Uwongoooo
Hhahahaa unazngua
Esma acha mazarau unaona video kabsa unauliza kaimba nani
Na ule wimbo wake na malaika ni wimbo wake wa ngapi?🤒
Ile ni collabo,sio solo collabo
Wanabana visauti kama chiriku
dangote ndio nanii
Ndo babayako
@@frenkferecian6215 😂
Like zangu Kama unamkubar Simba
Kumamako ww na huyo Simba jike
Wote machoko we na simba
ruclips.net/video/2rbAk8EFokc/видео.html
matakoi just wasted my data with stupid things
Mtu mkubwa san Mocco ruclips.net/video/dMSYJuJqKrU/видео.html