LIVE: Watoto Waliopoteana na Mama yao Kwa Miaka Zaidi ya 40 na Kukutana

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 окт 2024
  • #CloudsDigital Ipo Mubashara kutoka Studio Za Clouds FM

Комментарии • 1,2 тыс.

  • @nananjige2913
    @nananjige2913 3 года назад +53

    Daaah nmelia sanaa,kweli Mungu ni mwema🙏🏾🙏🏾

  • @ayshaayshaabdulrahman6143
    @ayshaayshaabdulrahman6143 3 года назад +7

    Mzee taji Allah akubariki akuifadhi Leo Duniani na kesho akhera ww unamoyo WA ajabu❤️❤️❤️

  • @osamashakeeb7194
    @osamashakeeb7194 3 года назад +9

    Kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa kuwakutanisha mama na wanawe❤pili mzee Taji Mungu akulipe unacho stahili una roho nzuri sanaaaaa❤clouds mubarikiwe kwa kazi nzuri mulio ifanya❤❤❤❤❤❤❤

    • @mariamseifselemani6316
      @mariamseifselemani6316 3 года назад

      Mungu ni mwema saana tunawapongeza clauds media lakini pia Mzee Taji unaroho yako Allah akujaalie Afya njema Na furaha maisha marefu Amin allahummah thummah Amin

  • @judithngulwa743
    @judithngulwa743 3 года назад +51

    ba mdogo anahitaji tuzo kwa kweli ni wachache sana wababa kama hawa kwa kweli Mungu akubariki sana wewe baba

  • @sondashukuru3078
    @sondashukuru3078 3 года назад +102

    Sema kweli clouds ni redio ya watu, then Mzee taji ni mfano mzuri wa kuigwa na jamiii

    • @ashamganga6636
      @ashamganga6636 3 года назад +1

      Wanaume kama mzee jengo sasa wamekufa

    • @mashalaizer3152
      @mashalaizer3152 3 года назад

      Kabisa na Mungu ampe umri mrefu

    • @euphrasiamsakwa3695
      @euphrasiamsakwa3695 3 года назад +3

      Nimejikuta nalia mungu ni mwema kwakweli

    • @mariamufungo9619
      @mariamufungo9619 3 года назад +2

      Hongera sana mzee taji,inatakiwa kitungwe kitabu cha historia ya mzee taji kutokana na roho yake nzuri

    • @mwanakhamiskhamis3115
      @mwanakhamiskhamis3115 3 года назад +1

      Jamaniii inaumaaa sanaa chanzo cha yote wanaume hawaa nimejikuta nalia tu

  • @saumsiraji9870
    @saumsiraji9870 3 года назад +26

    Alhamdulillah
    Nimejikuta nalia bamdogo Mwenyezi Mungu akupe mwisho mwema Aamiin Yaa Rabbiy

    • @queenpiscator6117
      @queenpiscator6117 3 года назад

      Na mimi nimelia sana

    • @eddymsese8747
      @eddymsese8747 3 года назад

      Mzee Taji in mzee mwenye busara sana na ccm imempoteza mtu muhimu kiwalani kumbe una story kubwa ya kuzunisha da nimelia jmn

    • @oyay2821
      @oyay2821 2 года назад

      Uislamu wake umechangia

  • @lawrencetesha5936
    @lawrencetesha5936 3 года назад +52

    Kuna vitu ni vingumu duniani wakuviwezesha ni Mungu pekee. Yani unahakaika miaka yote Mungu anavifanya ndani ya dakika tu🌍🙏Mungu ni Mwema Kila WAKATI.

  • @shadmayarakshimil1106
    @shadmayarakshimil1106 3 года назад +44

    Wallah nimejikuta nalia tu😭 namm namuomba Mungu anifanyie wepesi nionane na baba angu. cjui ata yuko wapi Mara ya mwisho kumuona Nina miaka 5.

    • @diddyalhad3202
      @diddyalhad3202 3 года назад

      Yaani kiukwel nimelia yaani nimekosa aman kabisa kwa kwel

    • @shadmayarakshimil1106
      @shadmayarakshimil1106 3 года назад

      @@diddyalhad3202 pole my

    • @shadmayarakshimil1106
      @shadmayarakshimil1106 3 года назад

      @the three bro's that are muslim sijui nianzie wap kumtafuta. Mama kisha tangulia mbele ya haki labda angekuwepo yeye angenipa muongozo vizur.

    • @fatemaligalawa1918
      @fatemaligalawa1918 3 года назад +1

      @@shadmayarakshimil1106 jaribu hatakwamama wadogo waomba pia nendakwenye Media utasaidiwa

    • @shadmayarakshimil1106
      @shadmayarakshimil1106 3 года назад

      @@fatemaligalawa1918 in shaa Allah mamy tafanya ivyo

  • @nancykabululu1542
    @nancykabululu1542 3 года назад +46

    Nmelia sana kwa kweli wanawake tunapitia mengi,, msione tupo kimya watu tumepitia mengi,,nakushukuru Gea mungu atakulipa kwa yote!!

  • @najma3268
    @najma3268 3 года назад +8

    Nimelia sana, baba mdogo Taji mungu akubariki sana , wewe ni baba bora Na ni mfano wa kuigwa kwakweli, Allah akujaalie umri mrefu inshaallah

  • @nadiaally9022
    @nadiaally9022 3 года назад +47

    Mzee taji Mungu akuzidishie daah wewe ni baba bora.

  • @Rizikialiamechannel763
    @Rizikialiamechannel763 Год назад +1

    Mashallah nimechelewa ila hii ni movie zaid nimelia sana hongereni sana clous😢

  • @sarahsarahgilla8491
    @sarahsarahgilla8491 3 года назад +21

    Yaani nalia tu jamanii,mama ana thamani yake,mliojaaliwa wazazi wote wapendeni sana na kuwatunza,Mungu amjaalie maisha marefu sana mzee taji.Mpumzike kwa amani wazazi wangu😭😭😭😭

    • @adamndilanna1562
      @adamndilanna1562 2 года назад

      Pole dada angu swali na uwaombee wazaz wako

    • @juliusnyangindu3744
      @juliusnyangindu3744 2 года назад

      Hongereni familia kukutana lakini historian ya mama pamoja na kuwa haijasemwa haijakaa vizuri Kuna shida mahali

    • @neemangena5458
      @neemangena5458 Год назад

      Namiminalija😢😢😢

  • @blasidajulius2240
    @blasidajulius2240 3 года назад +1

    Mzee Taji Mwenyezi Mungu akupe umri mrefu umewalea watoto wa kaka yako vzr sana wwe n mfano wakuigwa kwa roho yko nimekupenda sana baba🥰🙏

  • @kobajumakuziwa9976
    @kobajumakuziwa9976 3 года назад +13

    gea habib you deserve an annual or century award you have made a great contribution to this community congratulations

  • @mabugapiter636
    @mabugapiter636 3 года назад +40

    Mzee Taji utavikwa Taji ya uzima wa milele kwa wema ulioufanya kwa watoto wa kakayako.
    Mungu wa mbinguni atawainua pia watoto wa kwako pia

    • @linahsemindu4261
      @linahsemindu4261 3 года назад

      🙏🙏😭

    • @judithmelvinealuchio8968
      @judithmelvinealuchio8968 3 года назад +1

      anafanana na jina lake ukimaliza kazi utavalishwa taji mungu ni mwema jamani na huu ni mwaka wa baraka kwetu sote mungu ameamua kutenda kweli 🙏🙏🙏🇰🇪🇪🇺

    • @sanorescompay2979
      @sanorescompay2979 3 года назад

      Ameeen

    • @emmanueltesha6092
      @emmanueltesha6092 3 года назад

      Hakika Mungu akubariki baba mdogo jamani

    • @tajimwambole3115
      @tajimwambole3115 3 года назад

      Wa jina wangu jamani .Mungu akubariki sana.nimekupenda sana .

  • @namsamson3443
    @namsamson3443 3 года назад +75

    Huyu baba Mdogo TAJI NI MZEE ANAROHO NZURI SANA JAMANI. MSIMUACHE
    YAANI BABA YAO HAKUONEKANA KAMA ANAJALI SANA KAMA MZEE Taji jamanj

  • @familylove5417
    @familylove5417 3 года назад +55

    Yaraby niweke mama angu ameen nimelia jmani

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 3 года назад +14

    😭😭😭😭😭hii story imenisisimua sana, hongera sana baba kwa kuwalea vzr watoto kwa Mungu kuna fungu lako

  • @happyjohn7630
    @happyjohn7630 3 года назад +24

    Huyu mzee hiyo sigda ulionayo kweli nimwanga wa kuiyona mbingu l wish your my daddy maan hat mm sijawah muona mungu akupe baraka ktk uzeee wako

    • @dinahshirima6356
      @dinahshirima6356 3 года назад

      Ameen

    • @catherinandamgoba9329
      @catherinandamgoba9329 3 года назад +1

      Tusilaumu sana kumbuka Wazazi wa kiume wana Roho Mbaya sana kwakua Mm yamenikuta Yani Mwanaume akiwa na Mwanamke wa nje niatari sana kwa family asa mama na Watoto wake unakimbiwa Bila kujijua Au kujipanga niteni Nije nitoe shuuda nilio Nao Mm Kwakua Siwezi kuandika Apa Machozi Yananitoka sana Mm Mwanamke niliyo yapitia Katika chupuchupu ya kifo mara mbali nikitu nisicho kuja kusahau Maishani Mwangu Tena nimume Wangu wa Ndoa kanisani

    • @mimahmimah1595
      @mimahmimah1595 3 года назад

      Hii story ni yangu kabisaaa lakin mm ni baba ndio namtafta😭😭

    • @msakadoobongeladada-uh3sk
      @msakadoobongeladada-uh3sk 5 месяцев назад

      nenda clouds km Una details utampata babaako ​@@mimahmimah1595

  • @judithmelvinealuchio8968
    @judithmelvinealuchio8968 3 года назад +4

    ninacho amini kweli tangu haya maneno sitawai sahau kuwa mungu ni mwaminifu na anatenda no matter what mungu azidi kuwabariki jamani wana cloud Gear na wengineo baba mdogo I will continue praying for you you're a such a darling parent thanks tanzanian for loving and caring ❤️🙏🙏🇰🇪🇪🇺

  • @trufenaodongo7999
    @trufenaodongo7999 Год назад

    Thanks for mama simphrose mama yangu wakiroho kwa kazi njema kutafuta mama yetu ambae alikuwa ameteleana na watoto wake akawapata sofa kwa mungu wetu kama kweli mungu anakutumikia

  • @zakyahya4645
    @zakyahya4645 3 года назад +6

    Watunzeni mama Zenu wenzetu mulio jaaliwa kua nae nalia 😭😭kwa uchungu ila ni Mipango ya Allah siwezi kulaum sana nilitamani niiyone sura ya mama au japo Kidole tu lakini mungu akupenda 😭😭pumzika kwa Amani mama angu

  • @12322879
    @12322879 3 года назад +48

    Kama umetizama hii ishu halafu machozi hayajakulenga basi ujue Wewe sio binadamu

  • @rosehillary8742
    @rosehillary8742 3 года назад +4

    hii story umeniweza. I can't hold my tears....Kichwa chauma kweli😭😭💔💔
    Mungu ahimidiwe

  • @mikemunishi1364
    @mikemunishi1364 3 года назад +30

    Daah Huyo mzee... Clouds... Mfanyieni hata kitu.... Kama mnavyomfanyiaga Mama malkia wa nguvu.. Amefanya kitu Hakuna mtu anaweza Fanya kbs.. Hasa kwa Africa

  • @nuruhabdul6900
    @nuruhabdul6900 3 года назад +64

    Tuliobahatika kulelewa na wazazi wote wawili tushukuru MUNGU kwakweli

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 3 года назад

    Studio hongereni sana.
    Kazi mliyofanya ni kubwa mbastahili pongezi. Isiishie hapo jamani tengenezeni kipindi kwa ajili hii nahisi wako wengi wenye shida ya kupata wazazi au watoto wao

  • @janslinjanslin9889
    @janslinjanslin9889 3 года назад +19

    Uwiiii😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭hakuna siku nimepata uchungu kama leo jaman ukuu wa Mungu ni Mkubwa sana na umedhihirika kwa hao watoto na Mama Yao, jamani Wanaume acheni kuwapokonya wanawake watoto au kama mmeachana na umeamua kubaki na watoto wapeni uhuru pande zote (Mama na Watoto kutembeleana) ni uchungu mkubwa sana jaman 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

    • @teddyhenry2579
      @teddyhenry2579 3 года назад +1

      Jamani mdada kwanini umeniliza hivyo jamani mungu aendelee kukutunza wewe ni shujaaa hakika tumeuona ukuu wa mungu🥰🥰mama pole sanaa kwa uchungu ulioupata kwa watoto wako

  • @bibianabenedict2459
    @bibianabenedict2459 3 года назад +3

    Mungu ni mwema kwa kila binadamu,Imenigusa sana!Hongera Mwanahamis na mdogo wako kwa Kuungana na Mama.Mzee Taji Mungu azidi kukubariki.Mama ni mama

  • @meddytibilikilwa9280
    @meddytibilikilwa9280 3 года назад +69

    Ambae anaishi na wazazi awezi kuelewa nijinsi gani Hawa watu wanavyojisikia

    • @samwelpaul7334
      @samwelpaul7334 3 года назад +4

      Umeongea ukweli kbs

    • @dianamutahaba9342
      @dianamutahaba9342 3 года назад +1

      Kweli kabisa

    • @nishaabias5694
      @nishaabias5694 3 года назад +3

      Sana tulio kaa na ndugu tunajua

    • @zenamohamedi900
      @zenamohamedi900 3 года назад +4

      Ujakosea tusokua na wazazi ndo tunajua uchungu wa ili jambo

    • @azizamohamedi3161
      @azizamohamedi3161 3 года назад +1

      Yarabi mpe maisha marefu huyu Baba nimelia Sana kwakwel nimejaribu kuvaa viatu vya hawa watoto hawa uyo wakeke kwakwel amenipeleka mbali Sana Kwa miaka yooot iyo amepitia mangapi we mwenyez mungu mwingi warehma leo amewakutanisha na mama Yao 🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @listerlujiso774
    @listerlujiso774 3 года назад +1

    Bamdogo M.Mungu Akubariki Sana Na Mapenzi Yake Yakatimie Juu Yako Amen

  • @monicamwanjisi693
    @monicamwanjisi693 3 года назад +18

    We we baba mdogo unaroho ya ajabu sana mungu akupe kila lililo la heri .uoendo wa ajabu sana

    • @salmajumanne8914
      @salmajumanne8914 3 года назад

      Mashaalla kiukwel niwachache sana wt kama hao allah mruzuku pepo amin amin amin

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 2 года назад

    Mungu hawabariki sana Gea na kipindi chako cha kuwaunganisha wazazi na watoto wao.👍👍👍👍

  • @somoelikwena5996
    @somoelikwena5996 3 года назад +17

    Mungu ni mwema Sana maana mama amekua na maisha marefu mpaka kuonana na wanae mungu mkubwa Sana hongera Sana mama na baba mdogo kwa malezi ya watoto na adi kufikia apo

  • @jeniphanyamase8414
    @jeniphanyamase8414 3 года назад +1

    Mzee Taji mungu akujalie na akupe maisha maref yenye baraka tele moyo wa pekee kama huo ni wachache walionao.

  • @tuojackson351
    @tuojackson351 3 года назад +10

    Mzee Taji Mungu Akutimize mahitaji yako yoote na akutunze Daima kwa moyo wako wa upendo

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty 3 года назад +1

    Duh wameniliza sana kha kwakweli Mungu ni mwema ,kumbe move the kinegeria wanahongelea stori za kweli nilijua move tu

  • @afredyohana356
    @afredyohana356 3 года назад +9

    Kwakweli crauss Big up hapo mmemuezi vzr Sana Ruge kwa tukio hili Mungu azidi kuwapa Uhai mrefu

  • @blessedi8138
    @blessedi8138 3 года назад +9

    Me and my 2 siblings went through this painful life style😭😭.Mama alivyofukuzwa na baba, Our step mom tried to kill us using poison several times but we survived..we were separated but I thank God our Mom came back after 5 yrs and rescued us..I can feel the pain of staying without a Mom

  • @rukiakhamsin9220
    @rukiakhamsin9220 3 года назад +15

    Allah ambariki mzee taji,na akujaaliye pepo kesho kwa Ajili ya kuweza kuwajali maisha yote hayo,jazakha llahu kheiri

  • @zawaditaji
    @zawaditaji Год назад

    Wavamia ndoa za watu Mungu awalaani milelee wanaleta matatizo makubwa sanaa..ila malipo ni Duniani..Big up sanaa kwa Mzee Taji

  • @buguzajemedar2566
    @buguzajemedar2566 3 года назад +12

    Mungu ni mwema.baba mdogo ni shujaa kwa kweli.Allah ampe umri mrefu ba mdogo na amuongezee umri zaidi.yaani inaumiza sana

  • @upendokimaro4851
    @upendokimaro4851 3 года назад

    Mzee taji mungu akubariki sana natamani na mm ningekuwa na baba wadogo kama ww clouds mungu awabariki

  • @peninabernardo2504
    @peninabernardo2504 3 года назад +21

    Nimejikuta nalia kama mm ndo uyu mwanahamis😭😭😭mung ampe maisha maref sana uyu bamdogo taj

  • @jestinamagembe2125
    @jestinamagembe2125 3 года назад +1

    Aisee!!Mungu ni waajabu sana,mzee Taji Mungu atakubariki mnoo,nimelia kwa uchungu,hakuna km mama

  • @lidyakahwa3613
    @lidyakahwa3613 3 года назад +18

    da Geah na team nzima nzima ya clouds MUNGU awape maisha marefu

  • @sultanaswaleh8892
    @sultanaswaleh8892 2 года назад

    Loo !..nawa shukuru sana clouds MUNGU !..awa fugulie kila ! La kheir

  • @rukiakhamsin9220
    @rukiakhamsin9220 3 года назад +6

    ALLAH Akupe umri mrefu ,mzee tajik,daa geah mzee taji akitaka nusra ya ndoa mimi nipo hapa dada awe shem wako,Huyu ni mcha mungu bwana masha Allah

  • @kalundekasiga98
    @kalundekasiga98 2 года назад

    Mungu anapenda upendo huu Mzee Taji your the Best Dada

  • @ashamohamed857
    @ashamohamed857 3 года назад +22

    Nimelia sana sana. Gea kwa nini hamna Tishu hapo Ofisin jamani kampuni kubwa sana jama watu wanajifuta machozi na na mikono sio vizuri jamani 😭😭😭

    • @michaelchiwalo8444
      @michaelchiwalo8444 3 года назад +2

      Walisahau km kutakua na kukata vitunguu

    • @justerkarimi7662
      @justerkarimi7662 3 года назад +1

      Da Asha Mohamed!!!

    • @diddyalhad3202
      @diddyalhad3202 3 года назад +2

      Da Asha ni kwel mhm bt nahic wamejisahau tu ila nimelia sna yaani machozi daha mungu mkubwa

    • @hawahassan835
      @hawahassan835 3 года назад

      Ndio raha ya kulia ujifute na mkono chozi linanoga

    • @agneskighenda3795
      @agneskighenda3795 3 года назад +1

      Naminimejiuliza hilo! Mbona si ghali?

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935 3 года назад

    Mwanahamisi kitabu nisimacho Mimi ndg yako kinaeleza majaribu hayana budi kuja lkn tukijaribiwa huwa si jaribu la kutokuwa na pakutokea .Mshukuru sana Mungu kwa ajili ya ba mdogo Taji .pole pole sana

  • @salmaalimusa547
    @salmaalimusa547 3 года назад +41

    Hii ndio raha ya kulea vzr watoto nahaya ndo matunda.hongera bamdogo

    • @gregorychristopher1224
      @gregorychristopher1224 3 года назад +2

      Story imeniliza sana.

    • @lilykimisa3841
      @lilykimisa3841 3 года назад

      😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

    • @vailethwilliam888
      @vailethwilliam888 3 года назад +1

      Nimelia sana jamani😭😭😭 kweri Nani Kama mama pole mwanahamis na hongera kwa kumuona mama

    • @hadijalukas5959
      @hadijalukas5959 3 года назад

      😭😭😭😭😭😭😭😭😭

    • @asteriambwei3349
      @asteriambwei3349 3 года назад

      Gea nimekuonea Leo nasikiaga tuu sauti yako

  • @mariamufungo9619
    @mariamufungo9619 3 года назад

    Dada geah hongereni sana sana,yaani hiyo redio yenu ni ya kipekee sana,maana ukiangalia kuanzia wafanya kazi wake hadi bos wenu wote ni watu wenye hekima sana,pia hongera kwa mzee taji nimempenda sana huyu mzee kwa roho yake nzuri..mola akuandalie pepo ya janat fih daus mzee taji

  • @listerlujiso774
    @listerlujiso774 3 года назад +14

    Hii story imeniliza sana ila wazazi tusimame imara ktk mahusiano yetu ili tusitese watoto jaman ila bamdogo Mungu akubariki sana.

    • @winnemassawe8123
      @winnemassawe8123 3 года назад

      Geah umetuliza wengiii hii dunia bwana asohili ana lile, mungu tupe uvumilivu wa haya maisha hapa duniani maana, ba mdogo mungu ampe umri azidi kumfaidi mtoto wake huyoo

    • @sabraabdilnasir8826
      @sabraabdilnasir8826 3 года назад

      Huyu baba mdogo nimempenda sana sana allah akujaaliye pepo

  • @mishengoma2495
    @mishengoma2495 3 года назад

    Hongera sana Clouds media kwa kufacilitate HUU MUUJIZA WA MUNGU

  • @lulukomanya
    @lulukomanya 3 года назад +5

    Nimelia kama mtoto pole mwanahamisi school mate wangu weruweru Mungu ampe mama yetu umri mrefu ili nawe ufaidi utamu wa mama kama sisi tulio kua na wazazi wetu. Pole sana umeniweza leo

  • @nyakatongongo4292
    @nyakatongongo4292 4 месяца назад

    Mzee Taji nakuembea Mungu akubarikie na hitaji la moyo wako

  • @gloriarobert4836
    @gloriarobert4836 3 года назад +7

    Hii story imefanana sana na ya kwangu mwenyewe ! Inauma sana, inaumiza mno! Yote namwachia Mungu 🙆🏻🙏🏽🙏🏽🙏🏽

    • @HabiBarnabas-t5x
      @HabiBarnabas-t5x 4 месяца назад

      Pole sana kipenzi MWENYEZI MUNGU atakupa faraja

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935 3 года назад

    Mzee Taji big up sana I salute you .and God bless you

  • @mosesbusanya3528
    @mosesbusanya3528 3 года назад +14

    BABA MDOGO MUNGU ATAKULIPA, SURA YAKO INAONESHA WEMA ULIONAO NDANI YAKO, MUNGU AKULIPE MWISHO MWEMA🙏🙏🙏

  • @happytz6190
    @happytz6190 3 года назад

    Mwenyenzi Mungu akutunze mzee Taji umefanya kazi kubwa sio wote wenye roho ķm yako

  • @arbstationary7544
    @arbstationary7544 3 года назад +6

    hongereni sana clouds kweli ni redio ya watu. nimelia hata mimi, by Anna from Dodoma

  • @edinazegu7173
    @edinazegu7173 3 года назад +17

    Clouds ila mmejua kuniliza kwa furaha hongera mzee Tagi kwa upendo aliinesha kws hao watoto nimelia baba alipowapiga kisa mwanamke
    Uwiiiiii msiombee kutelekezwa

  • @zubedasakuru4670
    @zubedasakuru4670 3 года назад +3

    Huwezi kuelewa mpaka upitie mazingira haya! Na siku zote Mungu huwainua wanaopitia mazingira ya kukua kwa tabu! I have been there! Mungu ni mwema. Nimelia sana imenikumbusha mambo mengi sana! Mungu akubariki mzee Taji. Ntakutumia zawadi 🙏

    • @ndenejoseph2114
      @ndenejoseph2114 3 года назад

      Hongereni sana watoto na mama kuonana . Ni jambo la kumshukuru Mungu

    • @adamndilanna1562
      @adamndilanna1562 2 года назад

      Zubeda ahad na den

  • @jamesmboga7325
    @jamesmboga7325 3 года назад +1

    God has purpose for everything.God's plans doesn't fail even although it takes years.Namshukuru Mzee Taji kwa kazi njema, saidi sana mke wa wake, for taking care of these children.

  • @alexiamruu7581
    @alexiamruu7581 3 года назад +13

    Mwanamisi look cute like her mum💪💪💪Allah barik 🙏🙏

  • @sharinv8864
    @sharinv8864 3 года назад

    Asante sana mzee mungu akubariki sana.

  • @Jamess_-500
    @Jamess_-500 3 года назад +34

    Uwanaume nimeeka pembeni jamani chozi limenitoka 😢

  • @annamachaki3644
    @annamachaki3644 3 года назад +9

    Bamdogo wa Mwanahamis Mungu akupe maisha marefruuu🙏🙏

  • @judithngulwa743
    @judithngulwa743 3 года назад +16

    jamani dada ana uchungu sana but hongera sana Mungu awape umri mrefu angalau upate upendo wa mama kwa sasa

  • @mutomubaya
    @mutomubaya 2 года назад

    Shukran mtangazaji Allah awajaalie kila la kheri.

  • @sidratybinkhamis2837
    @sidratybinkhamis2837 3 года назад +23

    Allah anaweza kila kitu . Tusikate tamaa kwenye kudra zake

    • @rahimaramsey8713
      @rahimaramsey8713 3 года назад

      Nimeria jamani kaah mama mtamu natamani ningekuwa mie rkn mama yangu ayupo mungu amempenda zaid

  • @lightnessmariki4313
    @lightnessmariki4313 3 года назад

    Mwanahamisi na nduguyo pole na changamoto ,ahimidiwe Mungu aliye waunganisha tena.Baba Mdogo hongera sana Mungu asikupungukie.
    Wababa jifunzeni kitu kupitia hii familia!!

  • @edgarelikana9761
    @edgarelikana9761 3 года назад +7

    So Sad, Mungu akujarie afya ya mwl & Roho baba mdgo ww ni Mwanaume Shujaa ikiwa baba mzaz hakuwa na maamz dhabiti kwa mkewe kuzuia watt wake wasifike kwake lkn baba mdgo akaweza kuishi na watt wa kaka ake pmja na mkewe 😭😭 Dah Mzee Taji hongera sanaaaaa

  • @loveness09-k
    @loveness09-k 4 месяца назад +1

    Huyu dada kaniliza sana jamani sisi tulioishi na mama zetu tumshukuru Mungu 😭😭😭 20:57

  • @alinanuswempeta3895
    @alinanuswempeta3895 3 года назад +32

    😭😭😭😭Mungu anazidi kutufundisha mengi sana inauzunisha sana na kutupa moyo kuwa wakati miguu kwako sio mwisho wako

  • @nevuwilliam5701
    @nevuwilliam5701 3 года назад

    Pole sana Mwanahamisi umepita kwenye magumu.mno lakini mungu ni mwema ameweza kuwakutanisha na mama mkiwa watu wazima na hongera kwa kujiendeleza kimasomo pia hongera nyingi sana kwa mzee Taji aliyewalea mpk mlipoweza kuyamudu maisha yenu.

  • @brytondibogo2553
    @brytondibogo2553 3 года назад +17

    kumbe hawa wanaume hawajaanza kunyanyasa wanawake carne hii?? ni tangu enzi na enzi!! jamni mimi ndo mana hata siwataki kabisa

    • @wj1421
      @wj1421 3 года назад +1

      Yaaan wanaweza kubadilisha maisha yako yakawa mabaya kwa dakika zeroo

    • @yasiniyunusu2650
      @yasiniyunusu2650 3 года назад

      @@wj1421 Mungu mkubwa

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 3 года назад +2

    Sidhani hii clip kama kuna mtu hajadondosha chozi so Emotional
    Mbarikiwe nyote kwa ujumla🙏🏼🙏🏼💕💕

  • @sanorescompay2979
    @sanorescompay2979 3 года назад +4

    Eee Mungu wetu mwema ninakuomba sana umkumbuke huyu baba mdogo wa taifa mzee Taji katika ufalme wa mbinguni nikumbuke nami pia ili nikakutane naye nakumpongeza kwa moyo wake wa upendo 🙏🙏

  • @selestineosoo5045
    @selestineosoo5045 2 года назад

    Clouds, naomba ufatilizi wa hii familia BAADA ya mwaka. selestine from Kenya

  • @rahmasalum8642
    @rahmasalum8642 3 года назад +23

    Geah muandalieni zawadi baba mdogo kwa kutunza wtt iwe mfano kwa mababa

  • @aminagervas9140
    @aminagervas9140 3 года назад +2

    Mzee Taji ni mwanaume na nusu yaani kamshinda hata yule aliyewaleta duniani, hongera mzee mwenyeezi Mungu akupe hitaji la moyo wako.

  • @asmahanyally3225
    @asmahanyally3225 3 года назад +3

    Nimelia sn jmn nakumbuka mama angu alipochukua likizo na kwenda Kenya kumpeleka baba mlezi na kukaa miaka 19 ilikuwa ngumu sn sn sn so naelewa anachopitia huyo dada.......Mungu mkubwa sn ametukutanisha tena......Alhamdulillah

  • @wardw3022
    @wardw3022 2 года назад

    Hiki kipindi ni kizuri sana na kinagusa jamii hongera shukran kwenu clouds media

  • @jsbddhnxjdhhdhd1493
    @jsbddhnxjdhhdhd1493 3 года назад +9

    😭😭😭😭Inshaallah kumbe ipo cku na
    🙏🙏 mie nitakuja kumuona baba mtoto wangu

  • @abdallahkelly6774
    @abdallahkelly6774 3 года назад +1

    Manshallah mzee wetu taji , jina lako limejidhihirisha bayana kwa maisha ya hao watoto.

  • @saudahassam3031
    @saudahassam3031 3 года назад +6

    MUNGU AKUBARIKI MZEE TAJI ,MWANAHAMISI NA HASSAN HONGERENI KUMPATA MAMA KTK UMRI HUU.MACHOZI YAMENITOKA WALLAH

  • @felixmagulu6142
    @felixmagulu6142 3 года назад +2

    Mzee TAJI hongera sana kwa kuwalea vizuri watoto wa ndugu yako, Ulichokifanya umejiwekea hazina kubwa kwa Mungu..

  • @nunuuali5316
    @nunuuali5316 3 года назад +19

    Kuna vitu vinauma hapa dunian jaman,daaah eeeh Mungu rehem wazazi wangu hakika hata mimi wameondoka nikiwa bado nawahitaji ila basi tu nasema Alhamdulillah! Mzee Taji Allah akujaalie kila la kheri baba

  • @mimsbaibe6mimsgul737
    @mimsbaibe6mimsgul737 3 года назад

    WaAah pole mama kube sio kenya tu watoto wanatelekezwa kweli kuna Mungu binguni anatetea watoto n kutimiza ahadi zake thank God for everything uyu baba abarikiwe I wish anafulahia matunda ya kazi yake .kweli wamama tuna siri uko n watoto n hujawahi ambia bwana am a victim of domestic violence but nasemanga sitawahi ficha mwanaume anipende asinipende sitawahi ficha wanangu my blood my everything.

  • @jaycee9067
    @jaycee9067 3 года назад +11

    Story ya kusisimua. Mwanahamisi you are a ⭐️

  • @elinahjoseph3085
    @elinahjoseph3085 3 года назад +1

    Akika mungu ni mkuu Ila jamn mungu amzidishie uyu baba mdogo Kila alipo pungukiwa mm binafsi ni na mababa wakogo kibao Ila dah nimwachie tu mungu Ila mama asamehewe ndoa zinachangamoto Sana pia watoto mpoken mama kwa moyo wote na upendo idumu Aman furaha na upendo

  • @teddysisty320
    @teddysisty320 3 года назад +46

    Bamdogo Taji Mungu akuweke jamani moyo huo wanao wachache

  • @kellykelly7901
    @kellykelly7901 3 года назад +1

    Hongera kwa kukutana na Mama yako , mshukuru sana Mungu na bamdogo Taji kila jambo linawakati wake , yote ni mipango ya Mungu , pole sn Mwanahamisi , hongera sn Mzee Taji , na wana fanana kweli dam nzito 😭🙏🏼

  • @masofambagala5346
    @masofambagala5346 3 года назад +27

    Nakupenda mama yangu nakupenda baba yangu leo najiona mwenye bahat kwa hii stoli

    • @mariamsuma3003
      @mariamsuma3003 3 года назад

      Kabisa tuwashukuru wazaz wetu waliyetulea kwa pamoja mpaka sasa ila nmelia sana huyu dada kuongea hivo

    • @sheckycobb5240
      @sheckycobb5240 3 года назад

      Kumbe tunajifunza umuhimu wa nguo tukiwaona wasionazo...

  • @mjige9088
    @mjige9088 3 года назад

    What a story - Machozi yamenitoka Allah yuko nanyi sasa mupendane na mtembeleane na mjuane na hao wengine walioko Kenya ( mmekuwa familia kubwa sasa kutoka taifa mbili sasa Hongera wote kwa jumla) Baba mdogo your SIMPLY the best. I wish you all the best

  • @shuhudiamtasiwa6646
    @shuhudiamtasiwa6646 3 года назад +20

    Huyu baba sio maneno tu anahuruma jamani inayozunguka kwenye damu nimempenda sanaaa

  • @nduwimanafatma9948
    @nduwimanafatma9948 3 года назад +2

    Allah awape umri mrefu mama zetu waliohai na awape mwisho mwema na waliotangulia allah awasamehe.mzee Tagi allah amfungulie milango ya rizki ampe watoto watakao mpenda na yeye na ampe mwisho mwema

    • @salmahalfani6307
      @salmahalfani6307 3 года назад

      Aamin Amiin Yarabilaalahmiin duaa na iwe Makboul.