Kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa kuwakutanisha mama na wanawe❤pili mzee Taji Mungu akulipe unacho stahili una roho nzuri sanaaaaa❤clouds mubarikiwe kwa kazi nzuri mulio ifanya❤❤❤❤❤❤❤
Mungu ni mwema saana tunawapongeza clauds media lakini pia Mzee Taji unaroho yako Allah akujaalie Afya njema Na furaha maisha marefu Amin allahummah thummah Amin
Yaani nalia tu jamanii,mama ana thamani yake,mliojaaliwa wazazi wote wapendeni sana na kuwatunza,Mungu amjaalie maisha marefu sana mzee taji.Mpumzike kwa amani wazazi wangu😭😭😭😭
Tusilaumu sana kumbuka Wazazi wa kiume wana Roho Mbaya sana kwakua Mm yamenikuta Yani Mwanaume akiwa na Mwanamke wa nje niatari sana kwa family asa mama na Watoto wake unakimbiwa Bila kujijua Au kujipanga niteni Nije nitoe shuuda nilio Nao Mm Kwakua Siwezi kuandika Apa Machozi Yananitoka sana Mm Mwanamke niliyo yapitia Katika chupuchupu ya kifo mara mbali nikitu nisicho kuja kusahau Maishani Mwangu Tena nimume Wangu wa Ndoa kanisani
ninacho amini kweli tangu haya maneno sitawai sahau kuwa mungu ni mwaminifu na anatenda no matter what mungu azidi kuwabariki jamani wana cloud Gear na wengineo baba mdogo I will continue praying for you you're a such a darling parent thanks tanzanian for loving and caring ❤️🙏🙏🇰🇪🇪🇺
Thanks for mama simphrose mama yangu wakiroho kwa kazi njema kutafuta mama yetu ambae alikuwa ameteleana na watoto wake akawapata sofa kwa mungu wetu kama kweli mungu anakutumikia
Watunzeni mama Zenu wenzetu mulio jaaliwa kua nae nalia 😭😭kwa uchungu ila ni Mipango ya Allah siwezi kulaum sana nilitamani niiyone sura ya mama au japo Kidole tu lakini mungu akupenda 😭😭pumzika kwa Amani mama angu
Daah Huyo mzee... Clouds... Mfanyieni hata kitu.... Kama mnavyomfanyiaga Mama malkia wa nguvu.. Amefanya kitu Hakuna mtu anaweza Fanya kbs.. Hasa kwa Africa
Studio hongereni sana. Kazi mliyofanya ni kubwa mbastahili pongezi. Isiishie hapo jamani tengenezeni kipindi kwa ajili hii nahisi wako wengi wenye shida ya kupata wazazi au watoto wao
Uwiiii😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭hakuna siku nimepata uchungu kama leo jaman ukuu wa Mungu ni Mkubwa sana na umedhihirika kwa hao watoto na Mama Yao, jamani Wanaume acheni kuwapokonya wanawake watoto au kama mmeachana na umeamua kubaki na watoto wapeni uhuru pande zote (Mama na Watoto kutembeleana) ni uchungu mkubwa sana jaman 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Jamani mdada kwanini umeniliza hivyo jamani mungu aendelee kukutunza wewe ni shujaaa hakika tumeuona ukuu wa mungu🥰🥰mama pole sanaa kwa uchungu ulioupata kwa watoto wako
Yarabi mpe maisha marefu huyu Baba nimelia Sana kwakwel nimejaribu kuvaa viatu vya hawa watoto hawa uyo wakeke kwakwel amenipeleka mbali Sana Kwa miaka yooot iyo amepitia mangapi we mwenyez mungu mwingi warehma leo amewakutanisha na mama Yao 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu ni mwema Sana maana mama amekua na maisha marefu mpaka kuonana na wanae mungu mkubwa Sana hongera Sana mama na baba mdogo kwa malezi ya watoto na adi kufikia apo
Me and my 2 siblings went through this painful life style😭😭.Mama alivyofukuzwa na baba, Our step mom tried to kill us using poison several times but we survived..we were separated but I thank God our Mom came back after 5 yrs and rescued us..I can feel the pain of staying without a Mom
Mwanahamisi kitabu nisimacho Mimi ndg yako kinaeleza majaribu hayana budi kuja lkn tukijaribiwa huwa si jaribu la kutokuwa na pakutokea .Mshukuru sana Mungu kwa ajili ya ba mdogo Taji .pole pole sana
Dada geah hongereni sana sana,yaani hiyo redio yenu ni ya kipekee sana,maana ukiangalia kuanzia wafanya kazi wake hadi bos wenu wote ni watu wenye hekima sana,pia hongera kwa mzee taji nimempenda sana huyu mzee kwa roho yake nzuri..mola akuandalie pepo ya janat fih daus mzee taji
Geah umetuliza wengiii hii dunia bwana asohili ana lile, mungu tupe uvumilivu wa haya maisha hapa duniani maana, ba mdogo mungu ampe umri azidi kumfaidi mtoto wake huyoo
Nimelia kama mtoto pole mwanahamisi school mate wangu weruweru Mungu ampe mama yetu umri mrefu ili nawe ufaidi utamu wa mama kama sisi tulio kua na wazazi wetu. Pole sana umeniweza leo
Clouds ila mmejua kuniliza kwa furaha hongera mzee Tagi kwa upendo aliinesha kws hao watoto nimelia baba alipowapiga kisa mwanamke Uwiiiiii msiombee kutelekezwa
Huwezi kuelewa mpaka upitie mazingira haya! Na siku zote Mungu huwainua wanaopitia mazingira ya kukua kwa tabu! I have been there! Mungu ni mwema. Nimelia sana imenikumbusha mambo mengi sana! Mungu akubariki mzee Taji. Ntakutumia zawadi 🙏
God has purpose for everything.God's plans doesn't fail even although it takes years.Namshukuru Mzee Taji kwa kazi njema, saidi sana mke wa wake, for taking care of these children.
Mwanahamisi na nduguyo pole na changamoto ,ahimidiwe Mungu aliye waunganisha tena.Baba Mdogo hongera sana Mungu asikupungukie. Wababa jifunzeni kitu kupitia hii familia!!
So Sad, Mungu akujarie afya ya mwl & Roho baba mdgo ww ni Mwanaume Shujaa ikiwa baba mzaz hakuwa na maamz dhabiti kwa mkewe kuzuia watt wake wasifike kwake lkn baba mdgo akaweza kuishi na watt wa kaka ake pmja na mkewe 😭😭 Dah Mzee Taji hongera sanaaaaa
Pole sana Mwanahamisi umepita kwenye magumu.mno lakini mungu ni mwema ameweza kuwakutanisha na mama mkiwa watu wazima na hongera kwa kujiendeleza kimasomo pia hongera nyingi sana kwa mzee Taji aliyewalea mpk mlipoweza kuyamudu maisha yenu.
Eee Mungu wetu mwema ninakuomba sana umkumbuke huyu baba mdogo wa taifa mzee Taji katika ufalme wa mbinguni nikumbuke nami pia ili nikakutane naye nakumpongeza kwa moyo wake wa upendo 🙏🙏
Nimelia sn jmn nakumbuka mama angu alipochukua likizo na kwenda Kenya kumpeleka baba mlezi na kukaa miaka 19 ilikuwa ngumu sn sn sn so naelewa anachopitia huyo dada.......Mungu mkubwa sn ametukutanisha tena......Alhamdulillah
Kuna vitu vinauma hapa dunian jaman,daaah eeeh Mungu rehem wazazi wangu hakika hata mimi wameondoka nikiwa bado nawahitaji ila basi tu nasema Alhamdulillah! Mzee Taji Allah akujaalie kila la kheri baba
WaAah pole mama kube sio kenya tu watoto wanatelekezwa kweli kuna Mungu binguni anatetea watoto n kutimiza ahadi zake thank God for everything uyu baba abarikiwe I wish anafulahia matunda ya kazi yake .kweli wamama tuna siri uko n watoto n hujawahi ambia bwana am a victim of domestic violence but nasemanga sitawahi ficha mwanaume anipende asinipende sitawahi ficha wanangu my blood my everything.
Akika mungu ni mkuu Ila jamn mungu amzidishie uyu baba mdogo Kila alipo pungukiwa mm binafsi ni na mababa wakogo kibao Ila dah nimwachie tu mungu Ila mama asamehewe ndoa zinachangamoto Sana pia watoto mpoken mama kwa moyo wote na upendo idumu Aman furaha na upendo
Hongera kwa kukutana na Mama yako , mshukuru sana Mungu na bamdogo Taji kila jambo linawakati wake , yote ni mipango ya Mungu , pole sn Mwanahamisi , hongera sn Mzee Taji , na wana fanana kweli dam nzito 😭🙏🏼
What a story - Machozi yamenitoka Allah yuko nanyi sasa mupendane na mtembeleane na mjuane na hao wengine walioko Kenya ( mmekuwa familia kubwa sasa kutoka taifa mbili sasa Hongera wote kwa jumla) Baba mdogo your SIMPLY the best. I wish you all the best
Allah awape umri mrefu mama zetu waliohai na awape mwisho mwema na waliotangulia allah awasamehe.mzee Tagi allah amfungulie milango ya rizki ampe watoto watakao mpenda na yeye na ampe mwisho mwema
Daaah nmelia sanaa,kweli Mungu ni mwema🙏🏾🙏🏾
Nana hi
Dah!!! Balaaa kweli kweli
Hakika michozi itakutoka ila Mungu yu mwema🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Mzee taji Allah akubariki akuifadhi Leo Duniani na kesho akhera ww unamoyo WA ajabu❤️❤️❤️
Kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa kuwakutanisha mama na wanawe❤pili mzee Taji Mungu akulipe unacho stahili una roho nzuri sanaaaaa❤clouds mubarikiwe kwa kazi nzuri mulio ifanya❤❤❤❤❤❤❤
Mungu ni mwema saana tunawapongeza clauds media lakini pia Mzee Taji unaroho yako Allah akujaalie Afya njema Na furaha maisha marefu Amin allahummah thummah Amin
ba mdogo anahitaji tuzo kwa kweli ni wachache sana wababa kama hawa kwa kweli Mungu akubariki sana wewe baba
Jamani naomba number ya mzee taji jamani jomoni hadi rahaaaaa
Ni baba mdogo wachache mungu ambariki
Mzee taji anastaili tuzo kwakweli
Wababa bora wapo wengi
Sema kweli clouds ni redio ya watu, then Mzee taji ni mfano mzuri wa kuigwa na jamiii
Wanaume kama mzee jengo sasa wamekufa
Kabisa na Mungu ampe umri mrefu
Nimejikuta nalia mungu ni mwema kwakweli
Hongera sana mzee taji,inatakiwa kitungwe kitabu cha historia ya mzee taji kutokana na roho yake nzuri
Jamaniii inaumaaa sanaa chanzo cha yote wanaume hawaa nimejikuta nalia tu
Alhamdulillah
Nimejikuta nalia bamdogo Mwenyezi Mungu akupe mwisho mwema Aamiin Yaa Rabbiy
Na mimi nimelia sana
Mzee Taji in mzee mwenye busara sana na ccm imempoteza mtu muhimu kiwalani kumbe una story kubwa ya kuzunisha da nimelia jmn
Uislamu wake umechangia
Kuna vitu ni vingumu duniani wakuviwezesha ni Mungu pekee. Yani unahakaika miaka yote Mungu anavifanya ndani ya dakika tu🌍🙏Mungu ni Mwema Kila WAKATI.
Kabisaa
@@anithajosephat7323 j888jjjhjjhjjjkolmmmm
Yeydt
@@anithajosephat7323 dudyw
Wallah nimejikuta nalia tu😭 namm namuomba Mungu anifanyie wepesi nionane na baba angu. cjui ata yuko wapi Mara ya mwisho kumuona Nina miaka 5.
Yaani kiukwel nimelia yaani nimekosa aman kabisa kwa kwel
@@diddyalhad3202 pole my
@the three bro's that are muslim sijui nianzie wap kumtafuta. Mama kisha tangulia mbele ya haki labda angekuwepo yeye angenipa muongozo vizur.
@@shadmayarakshimil1106 jaribu hatakwamama wadogo waomba pia nendakwenye Media utasaidiwa
@@fatemaligalawa1918 in shaa Allah mamy tafanya ivyo
Nmelia sana kwa kweli wanawake tunapitia mengi,, msione tupo kimya watu tumepitia mengi,,nakushukuru Gea mungu atakulipa kwa yote!!
Kwel kabisa wanawake tunapitia mapito magumu sana
Hakika
Majambo haya yawe endelevu jamani watu wanapotezana na vipenzi vyao sana !! Mashaallah sana
Subhanallah
@Jojo Majare Amen
Nimelia sana, baba mdogo Taji mungu akubariki sana , wewe ni baba bora Na ni mfano wa kuigwa kwakweli, Allah akujaalie umri mrefu inshaallah
Mzee taji Mungu akuzidishie daah wewe ni baba bora.
Mashallah nimechelewa ila hii ni movie zaid nimelia sana hongereni sana clous😢
Yaani nalia tu jamanii,mama ana thamani yake,mliojaaliwa wazazi wote wapendeni sana na kuwatunza,Mungu amjaalie maisha marefu sana mzee taji.Mpumzike kwa amani wazazi wangu😭😭😭😭
Pole dada angu swali na uwaombee wazaz wako
Hongereni familia kukutana lakini historian ya mama pamoja na kuwa haijasemwa haijakaa vizuri Kuna shida mahali
Namiminalija😢😢😢
Mzee Taji Mwenyezi Mungu akupe umri mrefu umewalea watoto wa kaka yako vzr sana wwe n mfano wakuigwa kwa roho yko nimekupenda sana baba🥰🙏
gea habib you deserve an annual or century award you have made a great contribution to this community congratulations
Mzee Taji utavikwa Taji ya uzima wa milele kwa wema ulioufanya kwa watoto wa kakayako.
Mungu wa mbinguni atawainua pia watoto wa kwako pia
🙏🙏😭
anafanana na jina lake ukimaliza kazi utavalishwa taji mungu ni mwema jamani na huu ni mwaka wa baraka kwetu sote mungu ameamua kutenda kweli 🙏🙏🙏🇰🇪🇪🇺
Ameeen
Hakika Mungu akubariki baba mdogo jamani
Wa jina wangu jamani .Mungu akubariki sana.nimekupenda sana .
Huyu baba Mdogo TAJI NI MZEE ANAROHO NZURI SANA JAMANI. MSIMUACHE
YAANI BABA YAO HAKUONEKANA KAMA ANAJALI SANA KAMA MZEE Taji jamanj
Yeaaah nkwel kabsa maneno yako sahihi
Mzee Taji Mungu akuweke
Amin
Yaraby niweke mama angu ameen nimelia jmani
Taj mungu Akubariki sana nimelia kwa uchungu sana
Inaumiza sana
😭😭😭😭😭hii story imenisisimua sana, hongera sana baba kwa kuwalea vzr watoto kwa Mungu kuna fungu lako
Huyu mzee hiyo sigda ulionayo kweli nimwanga wa kuiyona mbingu l wish your my daddy maan hat mm sijawah muona mungu akupe baraka ktk uzeee wako
Ameen
Tusilaumu sana kumbuka Wazazi wa kiume wana Roho Mbaya sana kwakua Mm yamenikuta Yani Mwanaume akiwa na Mwanamke wa nje niatari sana kwa family asa mama na Watoto wake unakimbiwa Bila kujijua Au kujipanga niteni Nije nitoe shuuda nilio Nao Mm Kwakua Siwezi kuandika Apa Machozi Yananitoka sana Mm Mwanamke niliyo yapitia Katika chupuchupu ya kifo mara mbali nikitu nisicho kuja kusahau Maishani Mwangu Tena nimume Wangu wa Ndoa kanisani
Hii story ni yangu kabisaaa lakin mm ni baba ndio namtafta😭😭
nenda clouds km Una details utampata babaako @@mimahmimah1595
ninacho amini kweli tangu haya maneno sitawai sahau kuwa mungu ni mwaminifu na anatenda no matter what mungu azidi kuwabariki jamani wana cloud Gear na wengineo baba mdogo I will continue praying for you you're a such a darling parent thanks tanzanian for loving and caring ❤️🙏🙏🇰🇪🇪🇺
Thanks for mama simphrose mama yangu wakiroho kwa kazi njema kutafuta mama yetu ambae alikuwa ameteleana na watoto wake akawapata sofa kwa mungu wetu kama kweli mungu anakutumikia
Watunzeni mama Zenu wenzetu mulio jaaliwa kua nae nalia 😭😭kwa uchungu ila ni Mipango ya Allah siwezi kulaum sana nilitamani niiyone sura ya mama au japo Kidole tu lakini mungu akupenda 😭😭pumzika kwa Amani mama angu
Kama umetizama hii ishu halafu machozi hayajakulenga basi ujue Wewe sio binadamu
Hakika G
mimi nalia hapa ofisni mpka naulizwa nini shida nashindwa hata kujibu aisee kweli ktk dunia kila mtu anachangamoto ila zinatofautiana
Koo mm sio binadamu
Kwel bro
😂😂😂😂😂😂😂kwakwel ni mbwa
hii story umeniweza. I can't hold my tears....Kichwa chauma kweli😭😭💔💔
Mungu ahimidiwe
Daah Huyo mzee... Clouds... Mfanyieni hata kitu.... Kama mnavyomfanyiaga Mama malkia wa nguvu.. Amefanya kitu Hakuna mtu anaweza Fanya kbs.. Hasa kwa Africa
Absolutely
Nikweli kabisa huyu baba apewe tuzo
Baba wshoka
Tuliobahatika kulelewa na wazazi wote wawili tushukuru MUNGU kwakweli
Aminaaa
Kabisa
Hongera zenu
Hongereni sana
Amin🙏
Studio hongereni sana.
Kazi mliyofanya ni kubwa mbastahili pongezi. Isiishie hapo jamani tengenezeni kipindi kwa ajili hii nahisi wako wengi wenye shida ya kupata wazazi au watoto wao
Uwiiii😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭hakuna siku nimepata uchungu kama leo jaman ukuu wa Mungu ni Mkubwa sana na umedhihirika kwa hao watoto na Mama Yao, jamani Wanaume acheni kuwapokonya wanawake watoto au kama mmeachana na umeamua kubaki na watoto wapeni uhuru pande zote (Mama na Watoto kutembeleana) ni uchungu mkubwa sana jaman 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Jamani mdada kwanini umeniliza hivyo jamani mungu aendelee kukutunza wewe ni shujaaa hakika tumeuona ukuu wa mungu🥰🥰mama pole sanaa kwa uchungu ulioupata kwa watoto wako
Mungu ni mwema kwa kila binadamu,Imenigusa sana!Hongera Mwanahamis na mdogo wako kwa Kuungana na Mama.Mzee Taji Mungu azidi kukubariki.Mama ni mama
Ambae anaishi na wazazi awezi kuelewa nijinsi gani Hawa watu wanavyojisikia
Umeongea ukweli kbs
Kweli kabisa
Sana tulio kaa na ndugu tunajua
Ujakosea tusokua na wazazi ndo tunajua uchungu wa ili jambo
Yarabi mpe maisha marefu huyu Baba nimelia Sana kwakwel nimejaribu kuvaa viatu vya hawa watoto hawa uyo wakeke kwakwel amenipeleka mbali Sana Kwa miaka yooot iyo amepitia mangapi we mwenyez mungu mwingi warehma leo amewakutanisha na mama Yao 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Bamdogo M.Mungu Akubariki Sana Na Mapenzi Yake Yakatimie Juu Yako Amen
Daa nimelia sana jaman
We we baba mdogo unaroho ya ajabu sana mungu akupe kila lililo la heri .uoendo wa ajabu sana
Mashaalla kiukwel niwachache sana wt kama hao allah mruzuku pepo amin amin amin
Mungu hawabariki sana Gea na kipindi chako cha kuwaunganisha wazazi na watoto wao.👍👍👍👍
Mungu ni mwema Sana maana mama amekua na maisha marefu mpaka kuonana na wanae mungu mkubwa Sana hongera Sana mama na baba mdogo kwa malezi ya watoto na adi kufikia apo
Mzee Taji mungu akujalie na akupe maisha maref yenye baraka tele moyo wa pekee kama huo ni wachache walionao.
Mzee Taji Mungu Akutimize mahitaji yako yoote na akutunze Daima kwa moyo wako wa upendo
E
. .ni mungu tu jamän
Duh wameniliza sana kha kwakweli Mungu ni mwema ,kumbe move the kinegeria wanahongelea stori za kweli nilijua move tu
Kwakweli crauss Big up hapo mmemuezi vzr Sana Ruge kwa tukio hili Mungu azidi kuwapa Uhai mrefu
Me and my 2 siblings went through this painful life style😭😭.Mama alivyofukuzwa na baba, Our step mom tried to kill us using poison several times but we survived..we were separated but I thank God our Mom came back after 5 yrs and rescued us..I can feel the pain of staying without a Mom
Allah ambariki mzee taji,na akujaaliye pepo kesho kwa Ajili ya kuweza kuwajali maisha yote hayo,jazakha llahu kheiri
Amiiiiin
Aminiii🙏🙏hakika anastahili pongezi kwa huyu mshua
Wavamia ndoa za watu Mungu awalaani milelee wanaleta matatizo makubwa sanaa..ila malipo ni Duniani..Big up sanaa kwa Mzee Taji
Mungu ni mwema.baba mdogo ni shujaa kwa kweli.Allah ampe umri mrefu ba mdogo na amuongezee umri zaidi.yaani inaumiza sana
Amiiiiin
Huyu baba ambariki sana
Mzee taji mungu akubariki sana natamani na mm ningekuwa na baba wadogo kama ww clouds mungu awabariki
Nimejikuta nalia kama mm ndo uyu mwanahamis😭😭😭mung ampe maisha maref sana uyu bamdogo taj
Daah mwanahamisi ameniumiza mnooo😭😭
Aisee!!Mungu ni waajabu sana,mzee Taji Mungu atakubariki mnoo,nimelia kwa uchungu,hakuna km mama
da Geah na team nzima nzima ya clouds MUNGU awape maisha marefu
Loo !..nawa shukuru sana clouds MUNGU !..awa fugulie kila ! La kheir
ALLAH Akupe umri mrefu ,mzee tajik,daa geah mzee taji akitaka nusra ya ndoa mimi nipo hapa dada awe shem wako,Huyu ni mcha mungu bwana masha Allah
Mungu anapenda upendo huu Mzee Taji your the Best Dada
Nimelia sana sana. Gea kwa nini hamna Tishu hapo Ofisin jamani kampuni kubwa sana jama watu wanajifuta machozi na na mikono sio vizuri jamani 😭😭😭
Walisahau km kutakua na kukata vitunguu
Da Asha Mohamed!!!
Da Asha ni kwel mhm bt nahic wamejisahau tu ila nimelia sna yaani machozi daha mungu mkubwa
Ndio raha ya kulia ujifute na mkono chozi linanoga
Naminimejiuliza hilo! Mbona si ghali?
Mwanahamisi kitabu nisimacho Mimi ndg yako kinaeleza majaribu hayana budi kuja lkn tukijaribiwa huwa si jaribu la kutokuwa na pakutokea .Mshukuru sana Mungu kwa ajili ya ba mdogo Taji .pole pole sana
Hii ndio raha ya kulea vzr watoto nahaya ndo matunda.hongera bamdogo
Story imeniliza sana.
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Nimelia sana jamani😭😭😭 kweri Nani Kama mama pole mwanahamis na hongera kwa kumuona mama
😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Gea nimekuonea Leo nasikiaga tuu sauti yako
Dada geah hongereni sana sana,yaani hiyo redio yenu ni ya kipekee sana,maana ukiangalia kuanzia wafanya kazi wake hadi bos wenu wote ni watu wenye hekima sana,pia hongera kwa mzee taji nimempenda sana huyu mzee kwa roho yake nzuri..mola akuandalie pepo ya janat fih daus mzee taji
Hii story imeniliza sana ila wazazi tusimame imara ktk mahusiano yetu ili tusitese watoto jaman ila bamdogo Mungu akubariki sana.
Geah umetuliza wengiii hii dunia bwana asohili ana lile, mungu tupe uvumilivu wa haya maisha hapa duniani maana, ba mdogo mungu ampe umri azidi kumfaidi mtoto wake huyoo
Huyu baba mdogo nimempenda sana sana allah akujaaliye pepo
Hongera sana Clouds media kwa kufacilitate HUU MUUJIZA WA MUNGU
Nimelia kama mtoto pole mwanahamisi school mate wangu weruweru Mungu ampe mama yetu umri mrefu ili nawe ufaidi utamu wa mama kama sisi tulio kua na wazazi wetu. Pole sana umeniweza leo
Mzee Taji nakuembea Mungu akubarikie na hitaji la moyo wako
Hii story imefanana sana na ya kwangu mwenyewe ! Inauma sana, inaumiza mno! Yote namwachia Mungu 🙆🏻🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Pole sana kipenzi MWENYEZI MUNGU atakupa faraja
Mzee Taji big up sana I salute you .and God bless you
BABA MDOGO MUNGU ATAKULIPA, SURA YAKO INAONESHA WEMA ULIONAO NDANI YAKO, MUNGU AKULIPE MWISHO MWEMA🙏🙏🙏
Kweli kabisa
Mwenyenzi Mungu akutunze mzee Taji umefanya kazi kubwa sio wote wenye roho ķm yako
hongereni sana clouds kweli ni redio ya watu. nimelia hata mimi, by Anna from Dodoma
Clouds ila mmejua kuniliza kwa furaha hongera mzee Tagi kwa upendo aliinesha kws hao watoto nimelia baba alipowapiga kisa mwanamke
Uwiiiiii msiombee kutelekezwa
Huwezi kuelewa mpaka upitie mazingira haya! Na siku zote Mungu huwainua wanaopitia mazingira ya kukua kwa tabu! I have been there! Mungu ni mwema. Nimelia sana imenikumbusha mambo mengi sana! Mungu akubariki mzee Taji. Ntakutumia zawadi 🙏
Hongereni sana watoto na mama kuonana . Ni jambo la kumshukuru Mungu
Zubeda ahad na den
God has purpose for everything.God's plans doesn't fail even although it takes years.Namshukuru Mzee Taji kwa kazi njema, saidi sana mke wa wake, for taking care of these children.
Mwanamisi look cute like her mum💪💪💪Allah barik 🙏🙏
Asante sana mzee mungu akubariki sana.
Uwanaume nimeeka pembeni jamani chozi limenitoka 😢
Pole inahuzunisha mno..
Bamdogo wa Mwanahamis Mungu akupe maisha marefruuu🙏🙏
Hongera sana baba mdogo
jamani dada ana uchungu sana but hongera sana Mungu awape umri mrefu angalau upate upendo wa mama kwa sasa
Shukran mtangazaji Allah awajaalie kila la kheri.
Allah anaweza kila kitu . Tusikate tamaa kwenye kudra zake
Nimeria jamani kaah mama mtamu natamani ningekuwa mie rkn mama yangu ayupo mungu amempenda zaid
Mwanahamisi na nduguyo pole na changamoto ,ahimidiwe Mungu aliye waunganisha tena.Baba Mdogo hongera sana Mungu asikupungukie.
Wababa jifunzeni kitu kupitia hii familia!!
So Sad, Mungu akujarie afya ya mwl & Roho baba mdgo ww ni Mwanaume Shujaa ikiwa baba mzaz hakuwa na maamz dhabiti kwa mkewe kuzuia watt wake wasifike kwake lkn baba mdgo akaweza kuishi na watt wa kaka ake pmja na mkewe 😭😭 Dah Mzee Taji hongera sanaaaaa
Huyu dada kaniliza sana jamani sisi tulioishi na mama zetu tumshukuru Mungu 😭😭😭 20:57
😭😭😭😭Mungu anazidi kutufundisha mengi sana inauzunisha sana na kutupa moyo kuwa wakati miguu kwako sio mwisho wako
Pole sana Mwanahamisi umepita kwenye magumu.mno lakini mungu ni mwema ameweza kuwakutanisha na mama mkiwa watu wazima na hongera kwa kujiendeleza kimasomo pia hongera nyingi sana kwa mzee Taji aliyewalea mpk mlipoweza kuyamudu maisha yenu.
kumbe hawa wanaume hawajaanza kunyanyasa wanawake carne hii?? ni tangu enzi na enzi!! jamni mimi ndo mana hata siwataki kabisa
Yaaan wanaweza kubadilisha maisha yako yakawa mabaya kwa dakika zeroo
@@wj1421 Mungu mkubwa
Sidhani hii clip kama kuna mtu hajadondosha chozi so Emotional
Mbarikiwe nyote kwa ujumla🙏🏼🙏🏼💕💕
Eee Mungu wetu mwema ninakuomba sana umkumbuke huyu baba mdogo wa taifa mzee Taji katika ufalme wa mbinguni nikumbuke nami pia ili nikakutane naye nakumpongeza kwa moyo wake wa upendo 🙏🙏
Clouds, naomba ufatilizi wa hii familia BAADA ya mwaka. selestine from Kenya
Geah muandalieni zawadi baba mdogo kwa kutunza wtt iwe mfano kwa mababa
Kwa kweli ni wachache mno ukizingatia baba mzazi yupo
Kabisa wajina
Mzee Taji ni mwanaume na nusu yaani kamshinda hata yule aliyewaleta duniani, hongera mzee mwenyeezi Mungu akupe hitaji la moyo wako.
Nimelia sn jmn nakumbuka mama angu alipochukua likizo na kwenda Kenya kumpeleka baba mlezi na kukaa miaka 19 ilikuwa ngumu sn sn sn so naelewa anachopitia huyo dada.......Mungu mkubwa sn ametukutanisha tena......Alhamdulillah
Hiki kipindi ni kizuri sana na kinagusa jamii hongera shukran kwenu clouds media
😭😭😭😭Inshaallah kumbe ipo cku na
🙏🙏 mie nitakuja kumuona baba mtoto wangu
Ipo siku.
Yuko wapi
Manshallah mzee wetu taji , jina lako limejidhihirisha bayana kwa maisha ya hao watoto.
MUNGU AKUBARIKI MZEE TAJI ,MWANAHAMISI NA HASSAN HONGERENI KUMPATA MAMA KTK UMRI HUU.MACHOZI YAMENITOKA WALLAH
Mzee TAJI hongera sana kwa kuwalea vizuri watoto wa ndugu yako, Ulichokifanya umejiwekea hazina kubwa kwa Mungu..
Kuna vitu vinauma hapa dunian jaman,daaah eeeh Mungu rehem wazazi wangu hakika hata mimi wameondoka nikiwa bado nawahitaji ila basi tu nasema Alhamdulillah! Mzee Taji Allah akujaalie kila la kheri baba
Mungu mkubwa kazamoyo ndg yangu
WaAah pole mama kube sio kenya tu watoto wanatelekezwa kweli kuna Mungu binguni anatetea watoto n kutimiza ahadi zake thank God for everything uyu baba abarikiwe I wish anafulahia matunda ya kazi yake .kweli wamama tuna siri uko n watoto n hujawahi ambia bwana am a victim of domestic violence but nasemanga sitawahi ficha mwanaume anipende asinipende sitawahi ficha wanangu my blood my everything.
Story ya kusisimua. Mwanahamisi you are a ⭐️
Akika mungu ni mkuu Ila jamn mungu amzidishie uyu baba mdogo Kila alipo pungukiwa mm binafsi ni na mababa wakogo kibao Ila dah nimwachie tu mungu Ila mama asamehewe ndoa zinachangamoto Sana pia watoto mpoken mama kwa moyo wote na upendo idumu Aman furaha na upendo
Bamdogo Taji Mungu akuweke jamani moyo huo wanao wachache
Yes baba mdogo anaroho ya pekee
Hakika
Hongera kwa kukutana na Mama yako , mshukuru sana Mungu na bamdogo Taji kila jambo linawakati wake , yote ni mipango ya Mungu , pole sn Mwanahamisi , hongera sn Mzee Taji , na wana fanana kweli dam nzito 😭🙏🏼
Nakupenda mama yangu nakupenda baba yangu leo najiona mwenye bahat kwa hii stoli
Kabisa tuwashukuru wazaz wetu waliyetulea kwa pamoja mpaka sasa ila nmelia sana huyu dada kuongea hivo
Kumbe tunajifunza umuhimu wa nguo tukiwaona wasionazo...
What a story - Machozi yamenitoka Allah yuko nanyi sasa mupendane na mtembeleane na mjuane na hao wengine walioko Kenya ( mmekuwa familia kubwa sasa kutoka taifa mbili sasa Hongera wote kwa jumla) Baba mdogo your SIMPLY the best. I wish you all the best
Huyu baba sio maneno tu anahuruma jamani inayozunguka kwenye damu nimempenda sanaaa
Allah awape umri mrefu mama zetu waliohai na awape mwisho mwema na waliotangulia allah awasamehe.mzee Tagi allah amfungulie milango ya rizki ampe watoto watakao mpenda na yeye na ampe mwisho mwema
Aamin Amiin Yarabilaalahmiin duaa na iwe Makboul.