salvi NI VIPI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 окт 2024

Комментарии • 53

  • @shebbytrante7025
    @shebbytrante7025 5 месяцев назад +4

    Mwaka 2024 bado ni ngoma yangu pendwa

  • @nangololoalli8479
    @nangololoalli8479 Год назад +3

    2023 here we goo

  • @Giant349
    @Giant349 6 месяцев назад +3

    2024 march iyo ali kiba ni mfalme ❤❤❤❤♥️♥️ nakumbuka kitaa nilikua naenda kibanda umiza kuchek movie na kuchungulia kwenye matobo 😂😂daa leo flat zimejaa mpaka Jikoni muda akuna

    • @shebbytrante7025
      @shebbytrante7025 5 месяцев назад +1

      Kweli kaka mimi movie moja naangali siku 4 yaani muda hamna kabisa 😂

  • @PatrickMmuni
    @PatrickMmuni 6 месяцев назад +3

    Mpaka 2024❤

  • @daniellighton5280
    @daniellighton5280 2 года назад +5

    Mwaka 2022 bado naisikiliza ngoma na niyamoto vilevile

  • @patricemmuni7919
    @patricemmuni7919 2 года назад +3

    Still watching 2022😎😎

  • @samwelfrank7787
    @samwelfrank7787 3 года назад +3

    Nakumbuka mbali kipindi nipo LAELA SEC

  • @jacksonmathayo6510
    @jacksonmathayo6510 3 года назад +2

    Safi saana king kiba umecorus vyema 👍

  • @michaelmwembezi5998
    @michaelmwembezi5998 Год назад

    Hii ngoma ilivo toka tukasema salvi hapa katobowa ,,,why Are you cool sikuiz kaka,, lakin na appreciate sana kaz yako mana tulikuwa tuna enjoy mno

  • @zairuhassani
    @zairuhassani Год назад +1

    Nyimbo safi xna

  • @danishilla9599
    @danishilla9599 4 года назад +3

    Mungu azidi kukubariki all days bro..najua unamipango mingi but God bless you moree

  • @indiaboytz5731
    @indiaboytz5731 5 лет назад +6

    Aisee bro ulilogwa ama mbona umetoa ngoma kali ivi nakupotea kabisa ama ulikuja ku bp maana kwa hii ngoma nimekuona mbali sana mbona kama aujitambui mshkaj ama uliokota pesa ya hii project unasubir kuokota tena mzee unanboa kinyama amna kutu kibaya kama umshabikie mtu na apogee mazima

    • @shebbytrante7025
      @shebbytrante7025 5 месяцев назад

      Kweli jamaa yangu,hii ngoma ni nouma na nusu

  • @naseeboscar9412
    @naseeboscar9412 2 года назад +2

    Naipenda sana hili song

  • @jeniferyamsebo3525
    @jeniferyamsebo3525 2 года назад +1

    Jamani kumbe bado ipo nilikua mdgo sana 😘

  • @josephmaganga3991
    @josephmaganga3991 8 лет назад +9

    tbt ila bado kaliii

  • @josephatanazi2190
    @josephatanazi2190 Год назад +1

    Ilikua bonge la ngoma ila haka kademu mdomo mrefu kama swenya na alikiba aliwakisha vizuri

  • @barakawatu9226
    @barakawatu9226 Год назад +1

    👊👊👊👊👊

  • @baddestboe4709
    @baddestboe4709 4 года назад +2

    Kwa audio mack mbn haipo kijana

  • @barakawatu9226
    @barakawatu9226 Год назад +1

    🎉swagg boy Salvi Manyika,

  • @yusuphkapalamotokayoyo4248
    @yusuphkapalamotokayoyo4248 6 лет назад +1

    yaani kaka unanifikisha mbali sana mwanang

  • @ShaqueeBlackrapper
    @ShaqueeBlackrapper 2 года назад +2

    my best song ever I'm here 2022

  • @amosmazwile2392
    @amosmazwile2392 3 года назад +1

    Mhuu!Rudi kwenye gemu we niatari

  • @mahelaemmanuel6063
    @mahelaemmanuel6063 7 лет назад +2

    keep it up boy from swangaa

  • @paulkibona1948
    @paulkibona1948 4 года назад +1

    Ngoma kali sanaaa

  • @CHAKAYES
    @CHAKAYES 3 года назад +2

    nikiwa Kama msanii wa kikazi kipya pindi naskia hiii nilikua na lia ni wimbo ulio nifanya nikazeee ulikua unanipa filng sana

  • @paschalkipeta2353
    @paschalkipeta2353 6 месяцев назад

    Aiseee❤❤❤

  • @benardsimtowe1719
    @benardsimtowe1719 6 месяцев назад

    Umepotelea wap

  • @henrywiz9415
    @henrywiz9415 Год назад +1

    As good song from ma bro saiii

  • @halimahemedy6838
    @halimahemedy6838 5 лет назад +2

    Jamani wapi salvi,

  • @AfRICA0404
    @AfRICA0404 3 года назад +1

    2021 og buddy

  • @sephhamis7083
    @sephhamis7083 7 лет назад +2

    Still good song mate

  • @djsadikiboytz6988
    @djsadikiboytz6988 3 года назад +1

    Sana mkali

  • @MichaelNgowi-nc3vn
    @MichaelNgowi-nc3vn Год назад

    2023 apa

  • @fridamnyambii7175
    @fridamnyambii7175 11 месяцев назад

    Mwenye namba ya salv anitumie jamani nimemkumbuka rafiki angu sijui yuko wapi 😢

  • @dastanjohn843
    @dastanjohn843 4 года назад +1

    Good song

  • @isacknguvumali3445
    @isacknguvumali3445 6 лет назад +1

    Ana zingua huyu ule wa mbali ulio imba na Nemo mbona haja u apload soon na un subscribe Chanel yako una boa ki noma

    • @Pandumasoftware
      @Pandumasoftware 4 года назад

      ruclips.net/video/bGm5ufq6X9I/видео.html

  • @BenLeeBl
    @BenLeeBl 2 года назад

    uyu kafa au yupo

  • @benardsimtowe1719
    @benardsimtowe1719 6 месяцев назад

    0:14

  • @japheephraim8939
    @japheephraim8939 6 лет назад +1

    bro umepotea xan

  • @hawaabdully2061
    @hawaabdully2061 7 лет назад +1

    daaah wap tena salvi wee??

  • @yusuphmwasandwanga6136
    @yusuphmwasandwanga6136 3 года назад +1

    tbt ya atali sana

  • @benjaminchalamila4871
    @benjaminchalamila4871 5 лет назад +1

    Iko poah

  • @listerescobar8547
    @listerescobar8547 5 лет назад +1

    Salvi ulikuja kwenye game kuuza sura au umerudi school mute sana?

  • @alphoncentinda8329
    @alphoncentinda8329 5 лет назад +2

    wewe kijana tuna hitaji ule wimbo ulio imba na nemo

    • @Pandumasoftware
      @Pandumasoftware 4 года назад

      ruclips.net/video/bGm5ufq6X9I/видео.html

  • @ibrahimsamwel8223
    @ibrahimsamwel8223 7 лет назад +1

    nakukubali salvi nakuomba uyukumbuke nasi ambao tupo chini yako nicall 0655036697 tuongee

  • @rashidally4884
    @rashidally4884 8 лет назад +1

    nice

  • @isacknguvumali3445
    @isacknguvumali3445 7 лет назад

    Oya bro mbona kila siku tuna kwambiaga apload na ule wimbo wako wa mbali hau apload kwa nini??? Na shabiki zako tuna utaka au ume poteza hata CD yake??? Iweke RUclips tui download ile nyimbo kali kinyama naielewa sana msanii wangu

    • @Pandumasoftware
      @Pandumasoftware 4 года назад

      Huu hapa mkuu Salvi ft Nemo mbali
      ruclips.net/video/bGm5ufq6X9I/видео.html