MASHARTI YA MGANGA |full movie|.
HTML-код
- Опубликовано: 27 июл 2024
- #stevemweusi #ayotv #milardayo #bunji #wemasepatu #toboa #timbwili #mtaawakazamoyo #aslay #ndaro #chekatu #dontatv #kpnazebuu #comedyplus #mwakatobe #kipara #clamgang #habari #wakewenza #bosimchawi #juakali #mfungo #wasafitv #eatv #kifochangu #chiebway_tz #kicheche #wronghouse #comedy #dontatv #doko #chingamedia #kisiki #rkmovies #kpwaaquino #comedyplus #bhailam #shetani #chumvinyingi
UFUO ilianza vizuri sana. Mbeleni ikaanza kama kupoteza mwelekeo. Mala ghafla ikaishi hewani. Chibu ndugu yangu kuwa makini usije kukwamisha jahaxi la mafans wako.... 🙏
Kuna season 2 njiani tuwe wavumilivu
@@devisrwekaza709 sawa sawa. Lakini mtulize kichwa katika kuiandika. Maana mvuto wa EP za mwanzo hauendani kabisa na EP za mbeleni mpaka mwisho wa season one. 🙏
@@DonMooSTUDIO_Express unapenda kukosoa ishu za UFUO umezikazanilia ni kwanini eti, kwann usirekebishe kwanza video zako then ndo umwambie chibu kwakujirekebisha et
@@nancyg8664 kwanza tambua nipo hapa kama shabiki. Channel yangu ukiangalia video zote nimerekodi kwakutumia simu iliyochoka SAMSUNG a10 na bado watu wanabisha kuwa natumia simu kurekodi video zangu. Sijawahi kutoa Film kama kazi nilikuwa nawafurahisha vijana wangu tu. Sijawahi kulipia google Ads hata siku moja kuonesha sijawahi kufanya kazi sirious. Sasa tulia soon utajuelewa mimi ni nani....
@@nancyg8664 😁 usifananishe mimi na CHIBU. Channel yangu yote nimerekodi video zangu kwakutumia simu ya Samsung A10 ya kitambo sana 😁 Hata kutengenezea nimetumia simu hiyo hiyo 😁 Njoo whatsapp nikupe video ambazo nawashut watu za harusi n.k uone mauaji yangu 😁
Sisimizi mwenye tattoo 🤣🤣🤣 🙌, aaaweeeeh mwaka mi sitaki😳
Majiiiiiniiii yenye urumaaaa😂
Mwakatobe😂🔥🔥
Let's go 🎉
Pig up bro nice job 🔥🔥🔥🔥
Wilson Emmanuel🔥🔥🔥🔥
Good job broo🎉
Mwakatobe jamani unaniuwa na cheko sana jamani hata uwo uganga nacheka mpaka basi hhhhhhh sisi mizi watatu hii Kali yamwaka
Ila mganga mbona vichambo sasa hata kama umekosea mashart duuu😂😂kenge wewe
🎉🎉🎉🔥🔥🔥
Dah mganga anachamba ad taarab🤣
Wahusika wote wamezitendea kazi nzuri nafasi zao, hii iko🔥🔥🔥🙌 hongera sana chiebway na timu yako nzima
Nakubali boss movie kalii🔥🔥 Yan n unyama
Jamani kumbe mwakatobe dawazake oyooo zimefanya kazi hhhhh
Here we go again 🎉💯💯
🔥🔥🔥🔥
💚 🔥 nice like me
🔥🔥🔥
Ganga kwel hapa au tumepigwa😂
Munatisha kinyama
hahaha
🎉🎉🎉🎉🎉🔥🔥🔥🔥💫💫💫💫🌟🌟🌟🌟
❤
❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Ufuo ilishia wapi wapi chibu mbona unazingua
Wanazinguwa