MASHARTI YA MGANGA |full movie|.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 июл 2024
  • #stevemweusi #ayotv #milardayo #bunji #wemasepatu #toboa #timbwili #mtaawakazamoyo #aslay #ndaro #chekatu #dontatv #kpnazebuu #comedyplus #mwakatobe #kipara #clamgang #habari #wakewenza #bosimchawi #juakali #mfungo #wasafitv #eatv #kifochangu #chiebway_tz #kicheche #wronghouse #comedy #dontatv #doko #chingamedia #kisiki #rkmovies #kpwaaquino #comedyplus #bhailam #shetani #chumvinyingi

Комментарии • 32

  • @DonMooSTUDIO_Express
    @DonMooSTUDIO_Express Месяц назад +6

    UFUO ilianza vizuri sana. Mbeleni ikaanza kama kupoteza mwelekeo. Mala ghafla ikaishi hewani. Chibu ndugu yangu kuwa makini usije kukwamisha jahaxi la mafans wako.... 🙏

    • @devisrwekaza709
      @devisrwekaza709 Месяц назад +2

      Kuna season 2 njiani tuwe wavumilivu

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express Месяц назад

      @@devisrwekaza709 sawa sawa. Lakini mtulize kichwa katika kuiandika. Maana mvuto wa EP za mwanzo hauendani kabisa na EP za mbeleni mpaka mwisho wa season one. 🙏

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 Месяц назад

      @@DonMooSTUDIO_Express unapenda kukosoa ishu za UFUO umezikazanilia ni kwanini eti, kwann usirekebishe kwanza video zako then ndo umwambie chibu kwakujirekebisha et

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express Месяц назад

      @@nancyg8664 kwanza tambua nipo hapa kama shabiki. Channel yangu ukiangalia video zote nimerekodi kwakutumia simu iliyochoka SAMSUNG a10 na bado watu wanabisha kuwa natumia simu kurekodi video zangu. Sijawahi kutoa Film kama kazi nilikuwa nawafurahisha vijana wangu tu. Sijawahi kulipia google Ads hata siku moja kuonesha sijawahi kufanya kazi sirious. Sasa tulia soon utajuelewa mimi ni nani....

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express Месяц назад

      @@nancyg8664 😁 usifananishe mimi na CHIBU. Channel yangu yote nimerekodi video zangu kwakutumia simu ya Samsung A10 ya kitambo sana 😁 Hata kutengenezea nimetumia simu hiyo hiyo 😁 Njoo whatsapp nikupe video ambazo nawashut watu za harusi n.k uone mauaji yangu 😁

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 Месяц назад +2

    Sisimizi mwenye tattoo 🤣🤣🤣 🙌, aaaweeeeh mwaka mi sitaki😳

  • @moshaercky3632
    @moshaercky3632 Месяц назад +1

    Majiiiiiniiii yenye urumaaaa😂

  • @mazikumange9130
    @mazikumange9130 Месяц назад +1

    Mwakatobe😂🔥🔥

  • @Mkundaviral
    @Mkundaviral Месяц назад +1

    Let's go 🎉

  • @QueenPatrice-zu4tq
    @QueenPatrice-zu4tq Месяц назад +1

    Pig up bro nice job 🔥🔥🔥🔥

  • @faridamarsha9476
    @faridamarsha9476 Месяц назад +1

    Wilson Emmanuel🔥🔥🔥🔥

  • @paschalmtatiro9850
    @paschalmtatiro9850 Месяц назад +1

    Good job broo🎉

  • @user-rf2cg9tv3u
    @user-rf2cg9tv3u Месяц назад

    Mwakatobe jamani unaniuwa na cheko sana jamani hata uwo uganga nacheka mpaka basi hhhhhhh sisi mizi watatu hii Kali yamwaka

  • @shamilalupola6383
    @shamilalupola6383 Месяц назад +1

    Ila mganga mbona vichambo sasa hata kama umekosea mashart duuu😂😂kenge wewe

  • @machozimukucha
    @machozimukucha Месяц назад +2

    🎉🎉🎉🔥🔥🔥

  • @calvinntinder3722
    @calvinntinder3722 Месяц назад +1

    Dah mganga anachamba ad taarab🤣

  • @henrickosalvatory7835
    @henrickosalvatory7835 Месяц назад +1

    Wahusika wote wamezitendea kazi nzuri nafasi zao, hii iko🔥🔥🔥🙌 hongera sana chiebway na timu yako nzima

  • @adeladipaul8498
    @adeladipaul8498 Месяц назад +1

    Nakubali boss movie kalii🔥🔥 Yan n unyama

  • @user-rf2cg9tv3u
    @user-rf2cg9tv3u Месяц назад

    Jamani kumbe mwakatobe dawazake oyooo zimefanya kazi hhhhh

  • @rojaasha7024
    @rojaasha7024 Месяц назад +1

    Here we go again 🎉💯💯

  • @shamilalupola6383
    @shamilalupola6383 Месяц назад +1

    🔥🔥🔥🔥

  • @Mwandola1
    @Mwandola1 Месяц назад +2

    💚 🔥 nice like me

  • @cadmax_
    @cadmax_ Месяц назад +1

    🔥🔥🔥

  • @gugutheartist7352
    @gugutheartist7352 Месяц назад

    Ganga kwel hapa au tumepigwa😂

  • @KambaleMbangale
    @KambaleMbangale Месяц назад +1

    Munatisha kinyama

  • @user-ll4qd3km9e
    @user-ll4qd3km9e Месяц назад +1

    hahaha

  • @calvinntinder3722
    @calvinntinder3722 Месяц назад +1

    🎉🎉🎉🎉🎉🔥🔥🔥🔥💫💫💫💫🌟🌟🌟🌟

  • @gugutheartist7352
    @gugutheartist7352 Месяц назад

  • @yuui1878
    @yuui1878 Месяц назад

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @madollarmadollar7097
    @madollarmadollar7097 Месяц назад +2

    Ufuo ilishia wapi wapi chibu mbona unazingua