Leo fans namba moja wa Mr CHIBU & Mr BUTUA nimekuwa wakwanza. 🙏 Kazi hii inanishawishi sana kuifatilia. Usicheleweshe Mr CHIBU hii kazi ninakupa 100% hii umetuliza kichwa.... ❤
Hiii mov inafunzaa sanaa vijana unawezea ikawa umeoa au umeolewa kumbe umeingia kwenye ndoa na msukule😢😢.....ila nimecheka kipara na mkeo na umbea wao😂😂😂😂😂
Leo fans namba moja wa Mr CHIBU & Mr BUTUA nimekuwa wakwanza. 🙏 Kazi hii inanishawishi sana kuifatilia. Usicheleweshe Mr CHIBU hii kazi ninakupa 100% hii umetuliza kichwa.... ❤
Nimemaliza kuiangalia ❤ heshima kwako Mr Chibu ❤ Kazi kubwa sanaaaa... leta aidia kam hizi za kitofauti zenye ubunifu 💥💥
Move zenu mzuri san
Mungu abariki vipaji vyetu ,...kazi nzuri ❤
Safi sana
Nilisahau kukoment kaka🔥🔥🔥🔥😃
Kazi nzur Sana wapenz ❤❤
Kipara jamani 😂😂😂bomba la mkojo tena🙌🙌
Kazi nzuri endelea na mapambano 👏👏
Kazi nzuri team Vevo🎉
Nilitaka nisicheke 😂😂tafungua bomba lamkojo kikombe mia tatu umepigaje apo❤❤❤🎉🎉
Kazi kubwa Chibu🎉🎉
Chibuu a.k.a young majag unatisha sana mkuu yani bajet tu tunaenda Netflix mashort makali akili nyingi umeshindikana🙌🙌🙌
Nampenda sana sauda anajuwa alafu anaeshima.sana hatakwamuonekanotuu😘😘
🙏🙏🙏😘nakupenda pia
😂😂😂😂 eti bahat yako umbea unaniwashaa
Tuna wapenda saana team chibu ❤
Congratulation bro👏
Movie hii ilikuwa kali saana jamani 🎉🎉
Nko hapa all the way from Saudi Arabia wapi likes zangu kazi nzuri
Nkublizee wangu
Pôle sana chibu kweli tuna kukubali
Sauda hongera sanaaa Kwa kukomboa Kijiji chenyu🎉🎉
🙏🙏
🙏🙏
Jenereshen dijitoo washen😂😂😂acha umbea mtibie mkeo huko😂😂😂😂
Kalisana
Kari 🔥🔥🔥
Much love from kenya 🇰🇪 hongera chibu alafu mbone umesema ni mwisho wakati Sandra hatukumuona kwa mamake wee chibu wee😂😂😂👉
Kazi nzurii sana kaka
Hihi Mov iko makini sana
Eshima yako Chibuu...pia na wengine
Finishing mbon mbovu 😮😮😮😮
Sauda utamuweza abigael
Mchumba tuu😁
Kazi nzurii sana
🥳🥳
🔥🔥
Sauda ana jua anajua mpk anajua tena ❤❤
Aqui em Moçambique estamos bem
Jmn, kwa nilivyoelewa sio mzimu ni msukule, ila naona nyie mnatumia neno mzimu, sijui imekaaje
Hayaaa sasa😅😂
Hiii mov inafunzaa sanaa vijana unawezea ikawa umeoa au umeolewa kumbe umeingia kwenye ndoa na msukule😢😢.....ila nimecheka kipara na mkeo na umbea wao😂😂😂😂😂
Ata hapa kipala ubea😂😂😂😂ati nini mufugue duka ya mikojo
🎉🎉🎉❤❤🔥🔥🔥🔥
🎉🎉
Chibu Og kaka 🎉🎉🎉🎉
Sauda hogela
🙏🙏🙏asante
Ukiacha na uchawi😂 Abigael wewe nimrembo MashaAllah😍😍
😂😂😂waooo Asante sana
Sanaaa
Mchezo mzuri sana asnt Anbigael uko poa
🙏🙏🙏❤️❤️❤️🇧🇮🇧🇮
𝘔𝘪 𝘯𝘪𝘭𝘪𝘬𝘶𝘢 𝘯𝘢𝘶𝘭𝘪𝘻𝘢 𝘬𝘮 𝘮𝘨𝘯𝘨 𝘢𝘯𝘢 𝘮𝘬𝘦 𝘬𝘢𝘮𝘢 𝘩𝘢𝘯𝘢 𝘮𝘮 𝘯𝘱𝘰😂
🔥🔥🔥🔥