DIAMOND KOMASAVA KUCHEZWA NA CHRIS BROWN UMENIFUNGULIA MILANGO/MUZIKI SIO KUIMBA KINGEREZA UJANJA TU
HTML-код
- Опубликовано: 23 июн 2024
- Kwa maoni au ushauri comment hapo chini bila kusahau ku like na kushare ili kuweza kupata update mbali mbali ndani na nje Ya Tanzania
Tufollow katika ukurasa wetu wa instagram @BONGO TRENDY TV
Na kulike facebook page Bongo trendy online Развлечения
Simba la masimba
Diamond alkua atoboe kitambo kimataifa alipo imba na neyo akaimba Rick Ross akaimba na mogan heritage.shida jamaa alivimba kichwa akaona ashatoboa kimziki akajisahau badala kufanyi hizo ngomba tour kuzifanyia promo kuongea na wasanii neyo na Rick Ross wamsaidie promo.angekua mbali